Tuesday 22 November 2016

Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe

Huwezi kupanda pamba msituni. Unajuaa kuwa nchi sasa imegawanyika. Tema makundi yasiitostahili. Zamani kulikuwa na makundi ya wafanyakazi na wakulima. Sasa kuna mafisadi, kuna wanaowashabilia. Kuna wala rushwa, Kuna watoa rushwa. Kuna wezi wakubwa wasioweza kukamwtwa na polisi, kuna vibaka waliojaa mageerreza. Kuna walipa kodi, Kuna wakwepa kodi.
Haya makundi yanahitaji kuletwa pamoja ili waweze kujadili katiba ya watanzania. mfano uliona jinsi ambavyo watanzania waliandaa katiba yao chini ya Warioba na kundi jingine likaikataa chini ya waliomuweka Marehemu Samwel Sitta. magufuli akitaka kujadili katiba sasa tgukiwa msituni "pamba haitastawi"
--------------------------------------------
On Tue, 11/22/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, November 22, 2016, 12:32 PM




Asante sana Elisa kwa ufafanuzi
wako. Hata hivyo nasikitikia sana nchi yangu niipendayo
Tanzania. Sijui ni kitu gani kitatutoa kwenye huu ulevi wa
ubaguzi. Hata tunapoongelea suala muhimu la Katiba Mtanzania
mwenye elimu yake nzuri analeta ubaguzi, kwa kuona kwamba ni
wale tu wanaokubalika kwa watawala ndio wenye haki ya
kushiriki. Hata hayo maelezo uliyotoa ya lini Katiba
itapatikana mbona yana kasoro kubwa tu. utoe ahadi mwaka
2006 utekeleze 2020 hicho ni kitu gani?


Asante


2016-11-22 12:11 GMT+03:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Masanja.
Ubarikiwe kwa hili nitakalisema. Katiba iliyopo ilikuwa
shirikishi. Nilishapoteza barua niliyopelekewa na Mfaume
Kawawa akinishukuru kwa maoni yangu.kuhusu katiba. Hiyo
ilikuwa 1970 au 77 kama sijasahau wakati wa wananchi
kushiriki mjadala wa katiba kwa njia mbalimbali.

Rais Magufuli amesema katiiba hakikuwa kipaumbele chake
katika uchaguzi 2015. Hadanganyi lakini hakusema kweli.
Ngoja niseme kweli akanushe akitaka. Katiba ni kipaumbele
chake na tayari mchakato umeanza.

Hatua za kwanza zitakamilika 2010. Ni kusafisha jamii ya
kitanzania, kuondoa uovu uliozidi mpaka kuweka misingi bora
ya kiuchumi na kuhakikisha watanzania wanajua wanachofanya
na wanakoelekea. 2020 ataka[pokamiliasha mpango huo atakuja
na agenda ya katiba mpya wakati akiomba ridhaa ya watanzania
kwa awamu ya pili. Hapo watanzania wataandika katiba mpya
wakiongozwa na Magufuli. Huenda itakuwa katiba bora kuliko
ya Warioba ambayo watanzania waliandika kwa hasira kwa
sababu ya maovu yaliyokuwepo. Kwa hiyo katiba bora inaweza
kupitia barabara hiyo. Ukiondoa wenye chuki binafsi kwa
Magufuli kwa sababu aliwashinda; watanzania watakuwa wamoja
zaidi wakati huo

Elisa

------------------------------ --------------

On Mon, 11/21/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya
isubiri nchi inyooshwe

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Monday, November 21, 2016, 11:50 AM









 Ndg. Elisa, Katiba inafuatwa sasa

 kuliko huko nyuma ni mawazo yako kwa vigezo ulivotumia

 kupima. La msing ni kwamba Katiba iliyopo haijawahi
kuwa

 shirikishi kwa Mwananchi wa kawaida katika uaandaaji
wake.

 Wanodai katiba mpya ni kwamba waliona mwanga fulani
katika

 huu mchakato na wanataka usiachwe ukazimika na ndiyo
maana

 wanadai mchakato wa Katiba Mpya urejerewe.

 Ni kweli kabisa kuna mambo

 yanayofanywa na serikali ya awamu ya tano ambayo huko
nyuma

 ilikuwa ni ndoto kufanyika jambo ambulo ni zuri sana
kwa

 taifa. Mambo haya yakiachwa yaendelee kudumu kuwa maono
ya

 mtu mmoja bado si afya kwa taifa vile vile, kwa sababu

 yanaweza kuporomoka Siku moja Kama ambavyo yamekuja.
Katiba

 mpya ndiyo suruhu ya hilo. Mambo mazuri yanayoendelea

 yatengenezewe mfumo madhubuti ambao si rahisi mtu
mwingine

 kuyabadirisha au kuyaondoa kirahisi kwa masirahi yake

 binafsi au ya kikundi fulani kidogo, hapo ndipo suala
la

 Katiba Mpya linapokuwa na umuhimu mkubwa.







 2016-11-21 10:34 GMT+03:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Edgar.



 sasa katiba inafuatwa kuliko wakati uliopita. Ndiyo
maana

 waliozoea kukwepa kodi wanashawishi watu kuwa katiba

 inavunjwa. Mafisadi waliofikiri hawawezi kuguswa
wanaguswa.

 Ukichunguza sana utakuta wanaoshawishi wengine kuwa
katiba

 haifuatwi ni wale waliozoea kuivunja na watu tukafikiri
ndio

 utaratibu. Uholela hauwezi kuruhusiwa kuendelea bali

 tujiruhusu kuzoea kufuata taratibu



 ------------------------------ --------------



 On Sat, 11/19/16, Edgar Mbegu

 <embegu@hotmail.com>

 wrote:







  Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba
mpya

 isubiri nchi inyooshwe



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Saturday, November 19, 2016, 3:18 PM











  Tusishabikie na ubabe wa ndani vile vile. Tusikubali



  nchi kuendeshwa kwa utashi wa mtu mmoja hata kama ana

 akili



  kiasi gani! Katiba iliyopo ifuatwe to the letter hata

 kama



  ni mbovu. Utawala wa sharia utamalaki kwa maslahi ya
wote

 na



  siyo ya mtu au kikundi



   cha watu. 











































  Sent from Samsung



  tablet.































  -------- Original message



  --------



  From: 'Mashaka Makana' via

 Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: 19/11/2016 12:50 (GMT+03:00)



  To: wanabidii@googlegroups.com



  Subject: Re: [wanabidii] Magufuli

 kasema yote: katiba



  mpya isubiri nchi inyooshwe



























  Watanzania



  tusishabikie ubabe wa nchi kigeni kuwa ndiyo
suluhisho

 ya



  matatizo ya ndani ya nchi. Tunasiakia na kuona ya
Libya

 na



  kule Iraq watu walishabikia wakidhani ingekuwa
suluhisho

 ya



  tamaa ya mali



   na madaraka na kukubali kutumika na hawajapata

 chochote



  zaidi ya kuharibu miundombinu ya nchi yao na vita vya



  wenyewe kwa wenyewe. Hii Demokrasia ya uchaguzi kila

 baada



  ya miaka mitano ukilinganisha na gharama za uchaguzi
ni



  hasara tupu na matumizi mabaya



   ya pesa za umma, Wakati wa kampeni za uchaguzi raia



  hawafanyi kazi kungojea mikusanyiko ya kampeni. Je.
ni

 hali



  ya namna hii na kwa nchi zenye utawala wa kifalme?

 Msaada



  hapo!











































  From:



  'Lesian' via Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>







  To:



  wanabidii@googlegroups.com







  Sent:



  Saturday, November 19, 2016 11:39

 AM







  Subject: Re:



  [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri

 nchi



  inyooshwe























  Katiba



  iliopo ni'mbovu reuben.....inawapa watu mamlaka
ya

 ajabu



  anateua hadi wajumbe wa nyumbakumi...hawa ma dcs wa n

 sasa



  kama si upotevu wa pesa......







  Katiba iliopo ni nzr kwa watu kama kina reuben tu



  wqnaofagilia kila jambo ilmradi limesemwa na
kusimamiwa

 na



  ccm







  Hawanaga mawazo mbadala na hawatak,'na maana yake



  hawataki kuona mbele na trump kaja atawanyooshen

 subirin



  mnaokomaa madarakan navyma vyenu kaja komesha..teh
teh















  'Reuben Mwandumbya' via Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>

 wrote:



















  Mbegu;



  Sio



  kwamba inji haina Katiba kabisa,itanyooshwa na katiba



  iliyopo.



  Katiba



  iliyopo sio kwamba ni mbaya kabisa kwamba sawa na

 haipo,



  mabadiliko ya katiba yana sehemu chache za kuboresha
na



  kuongeza.



  Uhuni



  uliokuwepo/uliopo umetokana na kutofuata Katina,
shaeria

 na



  kanuni zake i.e. lazier free



   







  Reuben



















































  On Thursday,



  November 17, 2016 7:42 PM, Edgar Mbegu



  <embegu@hotmail.com>

 wrote:











































  Nchi itanyooshwa kwa sheria zipi? Kwa utaratibu upi?



   Kwa utashi wa mtu binafsi?  Ametumwa na nani?











































  Sent from Samsung



  tablet.



































  -------- Original message --------



  From: 'mpombe mtalika' via Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: 17/11/2016 10:36 (GMT+03:00)



  To: ELISA MUHINGO' via Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>



  Subject: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba
mpya



  isubiri nchi inyooshwe



























  Serikali



  za Wanyama na ndege au Wadudu;















  Ndani



  zina taadhima, kama kwamba maabudu;















  Na



  watu wenye hekima, siku hizi hawamudu















  Madaraka



  na heshima, heri mnyama na mdudu















  Vinywa



  vimewaachama, tamu imekuwa ngwandu















  Na



  heshima imehama baki taka na mashudu















  Na



  madhara na dhuluma miungu ya kuabudu



















  (Shaaban



  Robert; katika "Kielelezo cha Fasili")















  SHAABAN Robert katika shairi nililonukuu hapo juu,

 anaelezea



  madhara ya Uongozi na Viongozi wanapokosa maono,
hekima

 na



  heshima kwa wananchi akisema, inapokuwa hivyo heri

 Serikali



  za Wanyama, Ndege au Wadudu zina taadhima kuliko za

 viongozi



  wenye kukithiri



   kwa dhuluma na kujigeuza miungu watu.















  Japo gwiji hilo la ushairi Afrika Mashariki alikuwa



  akiandikia zama zake zaidi ya miaka 50 iliyopita
ambapo



  fukuto la ufisadi, rushwa, kutoweka kwa uzalendo,

 uadilifu,



  maadili ya uongozi na ubinyaji wa demokrasia ilivyo

 sasa



  halikuwa jambo lililopevuka, lakini



   utabiri wake wa kinabii kwa yajayo hayo wakati huo

 ulikuwa



  sahihi na ndiyo yaliyoikaba koo nchi yetu hivi leo.















  Ilivyo leo, na kama tunavyoambiwa na wataalamu wa
siasa

 na



  sayansi ya jamii kwa ujumla, suluhisho la maovu haya
ya



  kijamii ni kwa njia ya Katiba ya nchi itakiwayo na

 itokanayo



  na wananchi wahanga wa maovu hayo, kwa njia ya maoni
na

 kura



  ya maoni.















  Pengine ni kwa sababu hii miaka ya karibuni, na hasa



  kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015, kwamba suala la
Katiba

 mpya



  lilikuwa ajenda moto, na zaidi kwa vyama vya upinzani



  vilivyodai kuwa Katiba iliyopo imepitwa na wakati kwa

 sababu



  iliandaliwa katika mazingira



   tofauti na ya sasa miaka 40 iliyopita.















  Tangu mwanzo, Serikali, kupitia Mwanasheria wake Mkuu

 (AG)



  na mara nyingi pia kupitia waziri mwenye dhamana ya
mambo

 ya



  Katiba na vigogo wengine wa chama tawala, ilitamka
wazi



  kuwa, "Katiba mpya si ajenda ya serikali

 madarakani",



  tamko lililochukuliwa na wengi



   kama sawa na kujaribu kuzuia mafuriko kwa viganja
vya



  mkono.















  Hatimaye mwaka 2012, serikali ilisalimu amri kwa



  "mafuriko" hayo kwa kuteua Tume ya Kupendekeza

 "Rasimu



  ya Katiba", chini ya uenyekiti makini wa Jaji
Joseph

 Sinde



  Warioba kwa matarajio kwamba Katiba hiyo mpya
ingetumika

 kwa



  mara ya kwanza katika Uchaguzi Mkuu



   wa Oktoba 2015.















  Hadi kipindi hicho na mpaka sasa, nchi yetu ilikuwa
na

 moja



  ya Katiba bora Afrika Mashariki – Katiba ya Jamhuri

 ya



  Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambayo ukiondoa



  mapungufu machache kadhaa yaliyomo, likiwamo lile la

 harufu



  ya chama kimoja; madaraka makubwa



   ya Rais (Mhimili wa Utawala) dhidi ya mihimili
mingine

 –



  Bunge na Mahakama na baadhi kuhusu Muungano, ilitosha
na

 kwa



  utoshelevu mkubwa katika ujenzi wa demokrasia na

 utawala



  bora nchini.















  Ni mwananchi gani mpenda demokrasia ya kweli bila

 kificho,



  anaweza kubeza ubora usio na mshindani wa Katiba hii

 kwa



  mambo muhimu inayotetea, kama vile, "malengo muhimu

 na



  misingi ya shughuli za serikali madarakani" (ibara
6

 –



  11); na "Haki ya Usawa



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.










--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment