Tuesday 22 November 2016

Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe




Asante sana Elisa kwa ufafanuzi wako. Hata hivyo nasikitikia sana nchi yangu niipendayo Tanzania. Sijui ni kitu gani kitatutoa kwenye huu ulevi wa ubaguzi. Hata tunapoongelea suala muhimu la Katiba Mtanzania mwenye elimu yake nzuri analeta ubaguzi, kwa kuona kwamba ni wale tu wanaokubalika kwa watawala ndio wenye haki ya kushiriki. Hata hayo maelezo uliyotoa ya lini Katiba itapatikana mbona yana kasoro kubwa tu. utoe ahadi mwaka 2006 utekeleze 2020 hicho ni kitu gani?



Asante



2016-11-22 12:11 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Masanja. Ubarikiwe kwa hili nitakalisema. Katiba iliyopo ilikuwa shirikishi. Nilishapoteza barua niliyopelekewa na Mfaume Kawawa akinishukuru kwa maoni yangu.kuhusu katiba. Hiyo ilikuwa 1970 au 77 kama sijasahau wakati wa wananchi kushiriki mjadala wa katiba kwa njia mbalimbali.
Rais Magufuli amesema katiiba hakikuwa kipaumbele chake katika uchaguzi 2015. Hadanganyi lakini hakusema kweli. Ngoja niseme kweli akanushe akitaka. Katiba ni kipaumbele chake na tayari mchakato umeanza.
Hatua za kwanza zitakamilika 2010. Ni kusafisha jamii ya kitanzania, kuondoa uovu uliozidi mpaka kuweka misingi bora ya kiuchumi na kuhakikisha watanzania wanajua wanachofanya na wanakoelekea. 2020 ataka[pokamiliasha mpango huo atakuja na agenda ya katiba mpya wakati akiomba ridhaa ya watanzania kwa awamu ya pili. Hapo watanzania wataandika katiba mpya wakiongozwa na Magufuli. Huenda itakuwa katiba bora kuliko ya Warioba ambayo watanzania waliandika kwa hasira kwa sababu ya maovu yaliyokuwepo. Kwa hiyo katiba bora inaweza kupitia barabara hiyo. Ukiondoa wenye chuki binafsi kwa Magufuli kwa sababu aliwashinda; watanzania watakuwa wamoja zaidi wakati huo
Elisa
--------------------------------------------
On Mon, 11/21/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Monday, November 21, 2016, 11:50 AM




 Ndg. Elisa, Katiba inafuatwa sasa
 kuliko huko nyuma ni mawazo yako kwa vigezo ulivotumia
 kupima. La msing ni kwamba Katiba iliyopo haijawahi kuwa
 shirikishi kwa Mwananchi wa kawaida katika uaandaaji wake.
 Wanodai katiba mpya ni kwamba waliona mwanga fulani katika
 huu mchakato na wanataka usiachwe ukazimika na ndiyo maana
 wanadai mchakato wa Katiba Mpya urejerewe.
 Ni kweli kabisa kuna mambo
 yanayofanywa na serikali ya awamu ya tano ambayo huko nyuma
 ilikuwa ni ndoto kufanyika jambo ambulo ni zuri sana kwa
 taifa. Mambo haya yakiachwa yaendelee kudumu kuwa maono ya
 mtu mmoja bado si afya kwa taifa vile vile, kwa sababu
 yanaweza kuporomoka Siku moja Kama ambavyo yamekuja. Katiba
 mpya ndiyo suruhu ya hilo. Mambo mazuri yanayoendelea
 yatengenezewe mfumo madhubuti ambao si rahisi mtu mwingine
 kuyabadirisha au kuyaondoa kirahisi kwa masirahi yake
 binafsi au ya kikundi fulani kidogo, hapo ndipo suala la
 Katiba Mpya linapokuwa na umuhimu mkubwa.



 2016-11-21 10:34 GMT+03:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Edgar.

 sasa katiba inafuatwa kuliko wakati uliopita. Ndiyo maana
 waliozoea kukwepa kodi wanashawishi watu kuwa katiba
 inavunjwa. Mafisadi waliofikiri hawawezi kuguswa wanaguswa.
 Ukichunguza sana utakuta wanaoshawishi wengine kuwa katiba
 haifuatwi ni wale waliozoea kuivunja na watu tukafikiri ndio
 utaratibu. Uholela hauwezi kuruhusiwa kuendelea bali
 tujiruhusu kuzoea kufuata taratibu

 ------------------------------ --------------

 On Sat, 11/19/16, Edgar Mbegu
 <embegu@hotmail.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya
 isubiri nchi inyooshwe

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Saturday, November 19, 2016, 3:18 PM





  Tusishabikie na ubabe wa ndani vile vile. Tusikubali

  nchi kuendeshwa kwa utashi wa mtu mmoja hata kama ana
 akili

  kiasi gani! Katiba iliyopo ifuatwe to the letter hata
 kama

  ni mbovu. Utawala wa sharia utamalaki kwa maslahi ya wote
 na

  siyo ya mtu au kikundi

   cha watu. 





















  Sent from Samsung

  tablet.















  -------- Original message

  --------

  From: 'Mashaka Makana' via
 Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: 19/11/2016 12:50 (GMT+03:00)

  To: wanabidii@googlegroups.com

  Subject: Re: [wanabidii] Magufuli
 kasema yote: katiba

  mpya isubiri nchi inyooshwe













  Watanzania

  tusishabikie ubabe wa nchi kigeni kuwa ndiyo suluhisho
 ya

  matatizo ya ndani ya nchi. Tunasiakia na kuona ya Libya
 na

  kule Iraq watu walishabikia wakidhani ingekuwa suluhisho
 ya

  tamaa ya mali

   na madaraka na kukubali kutumika na hawajapata
 chochote

  zaidi ya kuharibu miundombinu ya nchi yao na vita vya

  wenyewe kwa wenyewe. Hii Demokrasia ya uchaguzi kila
 baada

  ya miaka mitano ukilinganisha na gharama za uchaguzi ni

  hasara tupu na matumizi mabaya

   ya pesa za umma, Wakati wa kampeni za uchaguzi raia

  hawafanyi kazi kungojea mikusanyiko ya kampeni. Je. ni
 hali

  ya namna hii na kwa nchi zenye utawala wa kifalme?
 Msaada

  hapo!





















  From:

  'Lesian' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>



  To:

  wanabidii@googlegroups.com



  Sent:

  Saturday, November 19, 2016 11:39
 AM



  Subject: Re:

  [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri
 nchi

  inyooshwe











  Katiba

  iliopo ni'mbovu reuben.....inawapa watu mamlaka ya
 ajabu

  anateua hadi wajumbe wa nyumbakumi...hawa ma dcs wa n
 sasa

  kama si upotevu wa pesa......



  Katiba iliopo ni nzr kwa watu kama kina reuben tu

  wqnaofagilia kila jambo ilmradi limesemwa na kusimamiwa
 na

  ccm



  Hawanaga mawazo mbadala na hawatak,'na maana yake

  hawataki kuona mbele na trump kaja atawanyooshen
 subirin

  mnaokomaa madarakan navyma vyenu kaja komesha..teh teh







  'Reuben Mwandumbya' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:









  Mbegu;

  Sio

  kwamba inji haina Katiba kabisa,itanyooshwa na katiba

  iliyopo.

  Katiba

  iliyopo sio kwamba ni mbaya kabisa kwamba sawa na
 haipo,

  mabadiliko ya katiba yana sehemu chache za kuboresha na

  kuongeza.

  Uhuni

  uliokuwepo/uliopo umetokana na kutofuata Katina, shaeria
 na

  kanuni zake i.e. lazier free

   



  Reuben

























  On Thursday,

  November 17, 2016 7:42 PM, Edgar Mbegu

  <embegu@hotmail.com>
 wrote:





















  Nchi itanyooshwa kwa sheria zipi? Kwa utaratibu upi?

   Kwa utashi wa mtu binafsi?  Ametumwa na nani?





















  Sent from Samsung

  tablet.

















  -------- Original message --------

  From: 'mpombe mtalika' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: 17/11/2016 10:36 (GMT+03:00)

  To: ELISA MUHINGO' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>

  Subject: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya

  isubiri nchi inyooshwe













  Serikali

  za Wanyama na ndege au Wadudu;







  Ndani

  zina taadhima, kama kwamba maabudu;







  Na

  watu wenye hekima, siku hizi hawamudu







  Madaraka

  na heshima, heri mnyama na mdudu







  Vinywa

  vimewaachama, tamu imekuwa ngwandu







  Na

  heshima imehama baki taka na mashudu







  Na

  madhara na dhuluma miungu ya kuabudu









  (Shaaban

  Robert; katika "Kielelezo cha Fasili")







  SHAABAN Robert katika shairi nililonukuu hapo juu,
 anaelezea

  madhara ya Uongozi na Viongozi wanapokosa maono, hekima
 na

  heshima kwa wananchi akisema, inapokuwa hivyo heri
 Serikali

  za Wanyama, Ndege au Wadudu zina taadhima kuliko za
 viongozi

  wenye kukithiri

   kwa dhuluma na kujigeuza miungu watu.







  Japo gwiji hilo la ushairi Afrika Mashariki alikuwa

  akiandikia zama zake zaidi ya miaka 50 iliyopita ambapo

  fukuto la ufisadi, rushwa, kutoweka kwa uzalendo,
 uadilifu,

  maadili ya uongozi na ubinyaji wa demokrasia ilivyo
 sasa

  halikuwa jambo lililopevuka, lakini

   utabiri wake wa kinabii kwa yajayo hayo wakati huo
 ulikuwa

  sahihi na ndiyo yaliyoikaba koo nchi yetu hivi leo.







  Ilivyo leo, na kama tunavyoambiwa na wataalamu wa siasa
 na

  sayansi ya jamii kwa ujumla, suluhisho la maovu haya ya

  kijamii ni kwa njia ya Katiba ya nchi itakiwayo na
 itokanayo

  na wananchi wahanga wa maovu hayo, kwa njia ya maoni na
 kura

  ya maoni.







  Pengine ni kwa sababu hii miaka ya karibuni, na hasa

  kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015, kwamba suala la Katiba
 mpya

  lilikuwa ajenda moto, na zaidi kwa vyama vya upinzani

  vilivyodai kuwa Katiba iliyopo imepitwa na wakati kwa
 sababu

  iliandaliwa katika mazingira

   tofauti na ya sasa miaka 40 iliyopita.







  Tangu mwanzo, Serikali, kupitia Mwanasheria wake Mkuu
 (AG)

  na mara nyingi pia kupitia waziri mwenye dhamana ya mambo
 ya

  Katiba na vigogo wengine wa chama tawala, ilitamka wazi

  kuwa, "Katiba mpya si ajenda ya serikali
 madarakani",

  tamko lililochukuliwa na wengi

   kama sawa na kujaribu kuzuia mafuriko kwa viganja vya

  mkono.







  Hatimaye mwaka 2012, serikali ilisalimu amri kwa

  "mafuriko" hayo kwa kuteua Tume ya Kupendekeza
 "Rasimu

  ya Katiba", chini ya uenyekiti makini wa Jaji Joseph
 Sinde

  Warioba kwa matarajio kwamba Katiba hiyo mpya ingetumika
 kwa

  mara ya kwanza katika Uchaguzi Mkuu

   wa Oktoba 2015.







  Hadi kipindi hicho na mpaka sasa, nchi yetu ilikuwa na
 moja

  ya Katiba bora Afrika Mashariki – Katiba ya Jamhuri
 ya

  Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambayo ukiondoa

  mapungufu machache kadhaa yaliyomo, likiwamo lile la
 harufu

  ya chama kimoja; madaraka makubwa

   ya Rais (Mhimili wa Utawala) dhidi ya mihimili mingine
 –

  Bunge na Mahakama na baadhi kuhusu Muungano, ilitosha na
 kwa

  utoshelevu mkubwa katika ujenzi wa demokrasia na
 utawala

  bora nchini.







  Ni mwananchi gani mpenda demokrasia ya kweli bila
 kificho,

  anaweza kubeza ubora usio na mshindani wa Katiba hii
 kwa

  mambo muhimu inayotetea, kama vile, "malengo muhimu
 na

  misingi ya shughuli za serikali madarakani" (ibara 6
 –

  11); na "Haki ya Usawa

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment