Wednesday 23 November 2016

Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe

Ha ha ha ha! Siamini kuwa sikukuelewa. Lakini wewe ndiwe ulisema "Kama tunajitambua". Kumbe kuna uwezekani wa kutojitambua. Na huenda wote hatujitambui katika maeneo tofauti tofauti. Ukisema nisipojitambua nikipagundua naanza kujitambua. Vilevile na wewe. Hivi bila kurudia nililosema ukilichunguza huoni ukweli ndani yake?? Najua likisemwa linaelekezwa mahala na hii si nzuro sana. lakini katika kujitambua ni lazima tujiambie tulikokuwa tumepotelea ikiwa ni pamoja na watu kushabikia uovu. Mmmmmmh. Twendelee
--------------------------------------------
On Wed, 11/23/16, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, November 23, 2016, 12:57 PM

Elisha
nadhani una obsession na kitu fulani. Hebu ona hii nukuu
yako "Watu wanaojitambua hawawezi kumshabikia mtu
waliyewahi kumuona mhalifu". Mjadala uko kwingine, wewe
unaenda kwingwine. Hii 'meandering reasoning' kweli
inaweza kufikia 'conclusion' ya kitu? Mimi nadhani
kujikita kwenye hoja na kuona namna gani tunaweza kuvuka
hapa tulipo kuliko kutafuta mchawi.

2016-11-22 22:08 GMT+03:00
Edgar Mbegu <embegu@hotmail.com>:








Na hili ndilo tatizo linalotumaliza halafu tunatafuta
mchawi. Wanateuliwa watu hawana uwezo wala uzalendo maadamu
tu wanajipendekeza kwa chama fulani, baada ya muda tu
unasikia wametumbuliwa!










Sent from Samsung
tablet.







-------- Original message --------
From: Edgar Mbegu
<embegu@hotmail.com>

Date: 22/11/2016 22:03 (GMT+03:00)
To: wanabidii@googlegroups.com

Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba
mpya isubiri nchi inyooshwe






Magobe hiyo hawatakubali. Wanataka Katiba ya kugawana
vyeo watu wachache hata kama hawana uwezo! 










Sent from Samsung
tablet.







-------- Original message --------
From: 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

Date: 22/11/2016 21:30 (GMT+03:00)
To: wanabidii@googlegroups.com

Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba
mpya isubiri nchi inyooshwe






Magobe
umenena- "kama tunajitambua". Sasa
jiulize-Tunajitambua? Watu wanaojitambua hawawezi
kumshabikia mtu waliyewahi kumuona mhalifu. Nimetaja
"makabila" kadhaa hapo chini. Kabila la wezi
wasiokamatwa na serikali na kabila la vibaka
waliojaa magerezani. Kabila la walipa kodi na lile la
wasiolipa kodi. Kabila la mafisadi wote hao tunao.
Anajitokeza kiongozi anaanza kuvun ja mwiko na kuhakikisha
makabila haramu yanavunjwa. watu wote wanalipa kodi. Watu
wanaojitambua hawawezi kwa namna yoyote
kuanza kumpinga mtu anayewadhibiti wahalifu huku mataifa
mengine wakimuunga mkono. Nikutokana na hilo mazingira
inabidi yawekwe ili watu waweze kuandika katiba nzuri.
Lakini si kweli kuwa Katiba ni JIBU la kila kitu. Tunayo
katiba inayompa madaraka Rais kuwadhibiti
mafisadi. Ilishindikana kutumika badala yake wakalelewa. Ni
katiba hiyo hiyo sasa inatumika kudhibiti uhalifu uliolelewa
Kwamghiyo katiba lazima iambatane na kiongozi bora

------------------------------ --------------

On Tue, 11/22/16, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya
isubiri nchi inyooshwe

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Tuesday, November 22, 2016, 2:19 PM

 

 Kama

 tunajitambua kweli, lazima tutambue kwamba tunahitaji
katiba

 mpya inayoendana na mahitaji na mazingira yetu ya sasa.

 Wanaotaka kunyoosha nchi bila kuwa na katiba nzuri

 watainyooshaje na itakuwa na mwelekeo upi? In order for

 something to be good as an end, the means of achieving
it

 must also be good. Na katiba nzuri ndilo JIBU la kila
kitu.

 Ndilo jibu kwa madaraka ya Rais, ndilo jibu kwa mgawanyo
wa

 madaraka na usawa wa mihimili ya dola, ndiyo jibu kwa
kupata

 tafsiri nzuri ya sheria za nchi na ndilo jibu pia kwa

 upatikanaji wa haki kwa wote kwa vile katiba nzuri
itafanya

 mahakama zetu si tu kuwa 'courts of law, but also
courts

 of justice' (kama Jaji Mwalusanya anavyosema kwenye

 maandishi yake).

 

 2016-11-22 13:38 GMT+03:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Huwezi

 kupanda pamba msituni. Unajuaa kuwa nchi sasa
imegawanyika.

 Tema makundi yasiitostahili. Zamani kulikuwa na makundi
ya

 wafanyakazi na wakulima. Sasa kuna mafisadi, kuna

 wanaowashabilia. Kuna wala rushwa, Kuna watoa rushwa.
Kuna

 wezi wakubwa wasioweza kukamwtwa na polisi, kuna vibaka

 waliojaa mageerreza. Kuna walipa kodi, Kuna wakwepa
kodi.

 

 Haya makundi yanahitaji kuletwa pamoja ili waweze
kujadili

 katiba ya watanzania. mfano uliona jinsi ambavyo
watanzania

 waliandaa katiba yao chini ya Warioba na kundi jingine

 likaikataa chini ya waliomuweka Marehemu Samwel Sitta.

 magufuli akitaka kujadili katiba sasa tgukiwa msituni

 "pamba haitastawi"

 

 ----------------------------- - --------------

 

 On Tue, 11/22/16, Ezekiel

 Massanja <ezekielmassanja@gmail.com>

 wrote:

 

 

 

  Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba
mpya

 isubiri nchi inyooshwe

 

  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>

 

  Date: Tuesday, November 22, 2016, 12:32 PM

 

 

 

 

 

 

 

 

 

  Asante sana Elisa kwa ufafanuzi

 

  wako. Hata hivyo nasikitikia sana nchi yangu
niipendayo

 

  Tanzania. Sijui ni kitu gani kitatutoa kwenye huu
ulevi

 wa

 

  ubaguzi. Hata tunapoongelea suala muhimu la Katiba

 Mtanzania

 

  mwenye elimu yake nzuri analeta ubaguzi, kwa kuona
kwamba

 ni

 

  wale tu wanaokubalika kwa watawala ndio wenye haki ya

 

  kushiriki. Hata hayo maelezo uliyotoa ya lini Katiba

 

  itapatikana mbona yana kasoro kubwa tu. utoe ahadi

 mwaka

 

  2006 utekeleze 2020 hicho ni kitu gani?

 

 

 

 

 

  Asante

 

 

 

 

 

  2016-11-22 12:11 GMT+03:00

 

  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 

  Masanja.

 

  Ubarikiwe kwa hili nitakalisema. Katiba iliyopo
ilikuwa

 

  shirikishi. Nilishapoteza barua niliyopelekewa na

 Mfaume

 

  Kawawa akinishukuru kwa maoni yangu.kuhusu katiba.
Hiyo

 

  ilikuwa 1970 au 77 kama sijasahau wakati wa wananchi

 

  kushiriki mjadala wa katiba kwa njia mbalimbali.

 

 

 

  Rais Magufuli amesema katiiba hakikuwa kipaumbele
chake

 

  katika uchaguzi 2015. Hadanganyi lakini hakusema
kweli.

 

  Ngoja niseme kweli akanushe akitaka. Katiba ni

 kipaumbele

 

  chake na tayari mchakato umeanza.

 

 

 

  Hatua za kwanza zitakamilika 2010. Ni kusafisha jamii

 ya

 

  kitanzania, kuondoa uovu uliozidi mpaka kuweka
misingi

 bora

 

  ya kiuchumi na kuhakikisha watanzania wanajua

 wanachofanya

 

  na wanakoelekea. 2020 ataka[pokamiliasha mpango huo

 atakuja

 

  na agenda ya katiba mpya wakati akiomba ridhaa ya

 watanzania

 

  kwa awamu ya pili. Hapo watanzania wataandika katiba

 mpya

 

  wakiongozwa na Magufuli. Huenda itakuwa katiba bora

 kuliko

 

  ya Warioba ambayo watanzania waliandika kwa hasira
kwa

 

  sababu ya maovu yaliyokuwepo. Kwa hiyo katiba bora

 inaweza

 

  kupitia barabara hiyo. Ukiondoa wenye chuki binafsi
kwa

 

  Magufuli kwa sababu aliwashinda; watanzania watakuwa

 wamoja

 

  zaidi wakati huo

 

 

 

  Elisa

 

 

 

  ---------------------------- -- --------------

 

 

 

  On Mon, 11/21/16, Ezekiel Massanja

 <ezekielmassanja@gmail.com>

 

  wrote:

 

 

 

 

 

 

 

   Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote:
katiba

 mpya

 

  isubiri nchi inyooshwe

 

 

 

   To: "wanabidii@googlegroups.com"

 

  <wanabidii@googlegroups.com>

 

 

 

   Date: Monday, November 21, 2016, 11:50 AM

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

 

   Ndg. Elisa, Katiba inafuatwa sasa

 

 

 

   kuliko huko nyuma ni mawazo yako kwa vigezo

 ulivotumia

 

 

 

   kupima. La msing ni kwamba Katiba iliyopo haijawahi

 

  kuwa

 

 

 

   shirikishi kwa Mwananchi wa kawaida katika
uaandaaji

 

  wake.

 

 

 

   Wanodai katiba mpya ni kwamba waliona mwanga fulani

 

  katika

 

 

 

   huu mchakato na wanataka usiachwe ukazimika na
ndiyo

 

  maana

 

 

 

   wanadai mchakato wa Katiba Mpya urejerewe.

 

 

 

   Ni kweli kabisa kuna mambo

 

 

 

   yanayofanywa na serikali ya awamu ya tano ambayo
huko

 

  nyuma

 

 

 

   ilikuwa ni ndoto kufanyika jambo ambulo ni zuri
sana

 

  kwa

 

 

 

   taifa. Mambo haya yakiachwa yaendelee kudumu kuwa

 maono

 

  ya

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment