Tuesday 22 November 2016

Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe

Masanja. Ubarikiwe kwa hili nitakalisema. Katiba iliyopo ilikuwa shirikishi. Nilishapoteza barua niliyopelekewa na Mfaume Kawawa akinishukuru kwa maoni yangu.kuhusu katiba. Hiyo ilikuwa 1970 au 77 kama sijasahau wakati wa wananchi kushiriki mjadala wa katiba kwa njia mbalimbali.
Rais Magufuli amesema katiiba hakikuwa kipaumbele chake katika uchaguzi 2015. Hadanganyi lakini hakusema kweli. Ngoja niseme kweli akanushe akitaka. Katiba ni kipaumbele chake na tayari mchakato umeanza.
Hatua za kwanza zitakamilika 2010. Ni kusafisha jamii ya kitanzania, kuondoa uovu uliozidi mpaka kuweka misingi bora ya kiuchumi na kuhakikisha watanzania wanajua wanachofanya na wanakoelekea. 2020 ataka[pokamiliasha mpango huo atakuja na agenda ya katiba mpya wakati akiomba ridhaa ya watanzania kwa awamu ya pili. Hapo watanzania wataandika katiba mpya wakiongozwa na Magufuli. Huenda itakuwa katiba bora kuliko ya Warioba ambayo watanzania waliandika kwa hasira kwa sababu ya maovu yaliyokuwepo. Kwa hiyo katiba bora inaweza kupitia barabara hiyo. Ukiondoa wenye chuki binafsi kwa Magufuli kwa sababu aliwashinda; watanzania watakuwa wamoja zaidi wakati huo
Elisa
--------------------------------------------

--------------------------------------------
On Mon, 11/21/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri nchi inyooshwe
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, November 21, 2016, 11:50 AM




Ndg. Elisa, Katiba inafuatwa sasa
kuliko huko nyuma ni mawazo yako kwa vigezo ulivotumia
kupima. La msing ni kwamba Katiba iliyopo haijawahi kuwa
shirikishi kwa Mwananchi wa kawaida katika uaandaaji wake.
Wanodai katiba mpya ni kwamba waliona mwanga fulani katika
huu mchakato na wanataka usiachwe ukazimika na ndiyo maana
wanadai mchakato wa Katiba Mpya urejerewe.
Ni kweli kabisa kuna mambo
yanayofanywa na serikali ya awamu ya tano ambayo huko nyuma
ilikuwa ni ndoto kufanyika jambo ambulo ni zuri sana kwa
taifa. Mambo haya yakiachwa yaendelee kudumu kuwa maono ya
mtu mmoja bado si afya kwa taifa vile vile, kwa sababu
yanaweza kuporomoka Siku moja Kama ambavyo yamekuja. Katiba
mpya ndiyo suruhu ya hilo. Mambo mazuri yanayoendelea
yatengenezewe mfumo madhubuti ambao si rahisi mtu mwingine
kuyabadirisha au kuyaondoa kirahisi kwa masirahi yake
binafsi au ya kikundi fulani kidogo, hapo ndipo suala la
Katiba Mpya linapokuwa na umuhimu mkubwa.



2016-11-21 10:34 GMT+03:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Edgar.

sasa katiba inafuatwa kuliko wakati uliopita. Ndiyo maana
waliozoea kukwepa kodi wanashawishi watu kuwa katiba
inavunjwa. Mafisadi waliofikiri hawawezi kuguswa wanaguswa.
Ukichunguza sana utakuta wanaoshawishi wengine kuwa katiba
haifuatwi ni wale waliozoea kuivunja na watu tukafikiri ndio
utaratibu. Uholela hauwezi kuruhusiwa kuendelea bali
tujiruhusu kuzoea kufuata taratibu

------------------------------ --------------

On Sat, 11/19/16, Edgar Mbegu
<embegu@hotmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya
isubiri nchi inyooshwe

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Saturday, November 19, 2016, 3:18 PM





 Tusishabikie na ubabe wa ndani vile vile. Tusikubali

 nchi kuendeshwa kwa utashi wa mtu mmoja hata kama ana
akili

 kiasi gani! Katiba iliyopo ifuatwe to the letter hata
kama

 ni mbovu. Utawala wa sharia utamalaki kwa maslahi ya wote
na

 siyo ya mtu au kikundi

  cha watu. 





















 Sent from Samsung

 tablet.















 -------- Original message

 --------

 From: 'Mashaka Makana' via
Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>

 Date: 19/11/2016 12:50 (GMT+03:00)

 To: wanabidii@googlegroups.com

 Subject: Re: [wanabidii] Magufuli
kasema yote: katiba

 mpya isubiri nchi inyooshwe













 Watanzania

 tusishabikie ubabe wa nchi kigeni kuwa ndiyo suluhisho
ya

 matatizo ya ndani ya nchi. Tunasiakia na kuona ya Libya
na

 kule Iraq watu walishabikia wakidhani ingekuwa suluhisho
ya

 tamaa ya mali

  na madaraka na kukubali kutumika na hawajapata
chochote

 zaidi ya kuharibu miundombinu ya nchi yao na vita vya

 wenyewe kwa wenyewe. Hii Demokrasia ya uchaguzi kila
baada

 ya miaka mitano ukilinganisha na gharama za uchaguzi ni

 hasara tupu na matumizi mabaya

  ya pesa za umma, Wakati wa kampeni za uchaguzi raia

 hawafanyi kazi kungojea mikusanyiko ya kampeni. Je. ni
hali

 ya namna hii na kwa nchi zenye utawala wa kifalme?
Msaada

 hapo!





















 From:

 'Lesian' via Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>



 To:

 wanabidii@googlegroups.com



 Sent:

 Saturday, November 19, 2016 11:39
AM



 Subject: Re:

 [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya isubiri
nchi

 inyooshwe











 Katiba

 iliopo ni'mbovu reuben.....inawapa watu mamlaka ya
ajabu

 anateua hadi wajumbe wa nyumbakumi...hawa ma dcs wa n
sasa

 kama si upotevu wa pesa......



 Katiba iliopo ni nzr kwa watu kama kina reuben tu

 wqnaofagilia kila jambo ilmradi limesemwa na kusimamiwa
na

 ccm



 Hawanaga mawazo mbadala na hawatak,'na maana yake

 hawataki kuona mbele na trump kaja atawanyooshen
subirin

 mnaokomaa madarakan navyma vyenu kaja komesha..teh teh







 'Reuben Mwandumbya' via Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:









 Mbegu;

 Sio

 kwamba inji haina Katiba kabisa,itanyooshwa na katiba

 iliyopo.

 Katiba

 iliyopo sio kwamba ni mbaya kabisa kwamba sawa na
haipo,

 mabadiliko ya katiba yana sehemu chache za kuboresha na

 kuongeza.

 Uhuni

 uliokuwepo/uliopo umetokana na kutofuata Katina, shaeria
na

 kanuni zake i.e. lazier free

  



 Reuben

























 On Thursday,

 November 17, 2016 7:42 PM, Edgar Mbegu

 <embegu@hotmail.com>
wrote:





















 Nchi itanyooshwa kwa sheria zipi? Kwa utaratibu upi?

  Kwa utashi wa mtu binafsi?  Ametumwa na nani?





















 Sent from Samsung

 tablet.

















 -------- Original message --------

 From: 'mpombe mtalika' via Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>

 Date: 17/11/2016 10:36 (GMT+03:00)

 To: ELISA MUHINGO' via Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>

 Subject: [wanabidii] Magufuli kasema yote: katiba mpya

 isubiri nchi inyooshwe













 Serikali

 za Wanyama na ndege au Wadudu;







 Ndani

 zina taadhima, kama kwamba maabudu;







 Na

 watu wenye hekima, siku hizi hawamudu







 Madaraka

 na heshima, heri mnyama na mdudu







 Vinywa

 vimewaachama, tamu imekuwa ngwandu







 Na

 heshima imehama baki taka na mashudu







 Na

 madhara na dhuluma miungu ya kuabudu









 (Shaaban

 Robert; katika "Kielelezo cha Fasili")







 SHAABAN Robert katika shairi nililonukuu hapo juu,
anaelezea

 madhara ya Uongozi na Viongozi wanapokosa maono, hekima
na

 heshima kwa wananchi akisema, inapokuwa hivyo heri
Serikali

 za Wanyama, Ndege au Wadudu zina taadhima kuliko za
viongozi

 wenye kukithiri

  kwa dhuluma na kujigeuza miungu watu.







 Japo gwiji hilo la ushairi Afrika Mashariki alikuwa

 akiandikia zama zake zaidi ya miaka 50 iliyopita ambapo

 fukuto la ufisadi, rushwa, kutoweka kwa uzalendo,
uadilifu,

 maadili ya uongozi na ubinyaji wa demokrasia ilivyo
sasa

 halikuwa jambo lililopevuka, lakini

  utabiri wake wa kinabii kwa yajayo hayo wakati huo
ulikuwa

 sahihi na ndiyo yaliyoikaba koo nchi yetu hivi leo.







 Ilivyo leo, na kama tunavyoambiwa na wataalamu wa siasa
na

 sayansi ya jamii kwa ujumla, suluhisho la maovu haya ya

 kijamii ni kwa njia ya Katiba ya nchi itakiwayo na
itokanayo

 na wananchi wahanga wa maovu hayo, kwa njia ya maoni na
kura

 ya maoni.







 Pengine ni kwa sababu hii miaka ya karibuni, na hasa

 kuelekea Uchaguzi Mkuu wa 2015, kwamba suala la Katiba
mpya

 lilikuwa ajenda moto, na zaidi kwa vyama vya upinzani

 vilivyodai kuwa Katiba iliyopo imepitwa na wakati kwa
sababu

 iliandaliwa katika mazingira

  tofauti na ya sasa miaka 40 iliyopita.







 Tangu mwanzo, Serikali, kupitia Mwanasheria wake Mkuu
(AG)

 na mara nyingi pia kupitia waziri mwenye dhamana ya mambo
ya

 Katiba na vigogo wengine wa chama tawala, ilitamka wazi

 kuwa, "Katiba mpya si ajenda ya serikali
madarakani",

 tamko lililochukuliwa na wengi

  kama sawa na kujaribu kuzuia mafuriko kwa viganja vya

 mkono.







 Hatimaye mwaka 2012, serikali ilisalimu amri kwa

 "mafuriko" hayo kwa kuteua Tume ya Kupendekeza
"Rasimu

 ya Katiba", chini ya uenyekiti makini wa Jaji Joseph
Sinde

 Warioba kwa matarajio kwamba Katiba hiyo mpya ingetumika
kwa

 mara ya kwanza katika Uchaguzi Mkuu

  wa Oktoba 2015.







 Hadi kipindi hicho na mpaka sasa, nchi yetu ilikuwa na
moja

 ya Katiba bora Afrika Mashariki – Katiba ya Jamhuri
ya

 Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977, ambayo ukiondoa

 mapungufu machache kadhaa yaliyomo, likiwamo lile la
harufu

 ya chama kimoja; madaraka makubwa

  ya Rais (Mhimili wa Utawala) dhidi ya mihimili mingine


 Bunge na Mahakama na baadhi kuhusu Muungano, ilitosha na
kwa

 utoshelevu mkubwa katika ujenzi wa demokrasia na
utawala

 bora nchini.







 Ni mwananchi gani mpenda demokrasia ya kweli bila
kificho,

 anaweza kubeza ubora usio na mshindani wa Katiba hii
kwa

 mambo muhimu inayotetea, kama vile, "malengo muhimu
na

 misingi ya shughuli za serikali madarakani" (ibara 6


 11); na "Haki ya Usawa na Wajibu

  wa Serikali kwa Raia" (ibara 12 – 30) ambayo Katiba
za

 nchi nyingi hazina?.







 Ibara hizi za Katiba zina umahiri wa pekee kutokana na

 ukweli kwamba zilitungwa na kupewa nguvu na msukumo enzi
za

 utawala ulioweka mbele mambo kama vile uwajibikaji na

 maadili kwa viongozi; usawa wa binadamu na wa kijamii,
utu

 na dhana nzima ya uchumi/utajiri

  wa nchi kuwa mikononi mwa wananchi kwa ajili ya na kwa

 manufaa ya wananchi wenyewe.







 Kwa kuzingatia haya, nchi haikuhitaji, na bado
haihitaji

 Katiba mpya kwa wakati huu, ila ipo haja isiyohojika ya

 kuifanyia marekebisho ya hapa na pale Katiba iliyopo
kwa

 kuondoa ibara zinazopwaya au zinazokinzana (repugnant

 provisions) na mnyumbuliko wa demokrasia

  kwa mazingira ya sasa.







 Serikali ya Awamu ya Nne ilitishika na kusalimu amri
kwa

 "mungurumo" wa mbali wa kudai Katiba mpya bila
sababu

 wakati ikijua ubora wa Katiba iliyopo, ila kwa sababu
ya

 "uzembe" wake wa kuruhusu maovu ya kijamii
tuliyoyataja

 kutamalaki.







 Uzembe huo ulisababisha kujipaka matope na uchafu wa
kila

 aina ama kwa kushiriki au kwa kunyamazia maovu hayo
kufikia

 kile anachosema kila mara Rais wa awamu ya tano, John
Pombe

 Joseph Magufuli (JPM), kwamba, "nchi iliendeshwa
kihovyo

 hovyo tu kana kwamba hapakuwa

  na (viongozi) serikali".







 Kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na Tume ya Warioba kwa
njia

 ya Rasimu ya Katiba ni kuboresha na kufafanua kwa fikra
na

 "mantiki" pana zaidi ya yaliyo bora yaliyomo katika

 Katiba ya 1977 pamoja na namna ya utekelezaji kwa
uthabiti,

 na kwa kuziba au kuondoa mapungufu

  tuliyokwishaelezea hapo mwanzo.







 Ni Rasimu iliyohusisha "akili" bora za ainaaina

 zinazofahamika hapa nchini, zenye fikra za kimapinduzi,
utu

 na usawa wa binadamu na wa kijamii na ambayo kama
ingepita

 ilivyo, bila ya shaka yoyote ingetoa Katiba bora na ya
aina

 yake kumfanya Mtanzania aishi

  bustani ya Edeni bila hofu wala mawaa, badala ya
kuendelea

 kuishi kwenye "shamba la bibi" ilivyo sasa, kwa kila
mtu

 kuishi kadri ya ukali wa meno yake kuweza kurarua na
kupora

 kiharamia awezavyo, bila kujali wanyonge na mafukara wa
nchi

 wa kufukarishwa na

  mfumo.







 Rasimu hii ilikuwa tishio kwa maslahi ya mfumo wa
kifisadi

 uliotaka kubakia na uliofanya nchi "kuendeshwa
kihovyo

 hovyo tu kana kwamba hapakuwa na serikali".







 Waingereza wana msemo, kwamba, "give a dog a bad name
and

 it will be killed", yaani, "mpe mbwa jina baya na

 atauawa". Haraka haraka mafisadi wa nchini na wa
kimataifa

 walivuta pumzi kukusanya nguvu kuiangamiza rasimu hii
kwa

 kuipa tume na baadhi ya wajumbe

  wake majina mabaya mabaya ionekane ya "majahili"
na

 rasimu hiyo kuwa haifai.







 Kanuni na taratibu za kutunga Katiba zikapindwa bungeni

 kuhakikisha kwamba inanyumbulishwa na kusukwasukwa
mithili

 ya meli ndani ya tufani na kupoteza mwelekeo wa Katiba

 iliyokusudiwa.







 Kisha, kwa matumizi ya hoja za nguvu; ubaguzi wa
kiitikadi

 wa kubumba; ushawishi wa kilaghai na matumizi ya pesa
chafu

 kwa kushirikisha ubepari wa ndani na wa kimataifa,
tabaka

 hili la kifisadi lililewesha bangi sehemu kubwa ya
Bunge

 Maalum la Katiba kiasi

  cha kupanua midomo na kulishwa kila aina ya
"mvinyo",

 vinywa vimewaachama mithili ya makinda ya ndege, huku

 likijipa bila uhalali wa kisheria, mamlaka ya kuandika

 lenyewe "Katiba Inayopendekezwa" kwa kutupilia
mbali

 sehemu kubwa ya maoni ya wananchi.







 Matokeo ya ubabe huu yalikuwa ni pamoja na kunyofolewa
kwa

 sehemu kubwa, misingi ya usawa wa kijamii, tunu za
taifa,

 maadili ya taifa, usimamizi wa rasilimali za taifa kwa

 manufaa ya wananchi wote na uwajibikaji wa viongozi ili

 kusimika kile kinachoweza kuitwa

  "jamii ya kitabaka".







 Baada ya kunyofolewa kwa sehemu kubwa mengi mema kwenye

 Rasimu ya Tume ya Warioba, "Katiba Inayopendekezwa"
ya

 wababe wa ufisadi na mawakala wa ukoloni mamboleo, si
tu

 kwamba iliweka rehani demokrasia na uhuru wa nchi na
raia

 kwa ubeberu mpya, bali pia inasaliti

  yaliyo mema katika Katiba ya sasa ya mwaka 1977
kuturejesha

 "utumwani" kwa Farao, Misri.







 Pengine, na huenda JPM aliyaona mapema haya kiasi cha
kupata

 ujasiri wa kuhoji kwenye mkutano wake na wahariri wa
vyombo

 vya habari nchini hivi karibuni akisema, "Je, mliwahi

 kunisikia wakati wa kampeni zangu nikitaja lolote juu
ya

 Katiba?".







 Maadam wababe wa ufisadi bado wana ushawishi mkubwa wa

 kilaghai juu ya mkondo wa Katiba nchini kwa kushirikiana
na

 vigogo wengi ambao bado wapo ndani ya mfumo wa
serikali,

 mwendelezo wowote wa "Katiba Inayopendekezwa" hauna

 maana tena kwa sababu utaipeleka

  nchi pabaya kwa matakwa ya wababe hao.







 Acha muda upite kwa jambo hili, hadi umma
utakapofunguka

 macho kuona uchafu uliokuwa ukilishwa ili kuchangamkia

 mchezo huo wa kifo. Na maadam sehemu kubwa ya Katiba
iliyopo

 ina mengi mazuri ila kwa sababu tu ilibezwa kwa maslahi
ya

 kitabaka; JPM hana sababu

  ya kukosa usingizi juu ya "mwongozo" wa kufanyia
kazi

 ila kwa kuzingatia na kuheshimu mema yaliyomo.







 Wananchi (mimi nikiwa mmoja wao) baada ya kuona kuwa
maovu

 ya kijamii yanavuma na kunyamaziwa wakati Katiba
iliyopo

 ikivunjwa bila hofu kwa wavunjaji kuwajibishwa,
walifikia

 kutamani kuwa na kiongozi "kichaa" kidogo, dikteta
mwema

 (benevolent dictator) ainyooshe

  kwanza nchi japo kwa awamu moja tu kwa kuwashikisha
adabu

 wote wenye kuchezea demokrasia, uhuru na haki za raia,
hata

 kama ni kwa "kuweka pembeni" kidogo baadhi ya
vifungu

 vya Katiba nzuri iliyopo.







 Tangu mwanzo, serikali haikuwa na nia njema na suala la

 Katiba mpya ila kuziba ombwe la uongozi kwa njia hiyo

 kufuatia kutamalaki kwa ufisadi, rushwa na demokrasia
duni

 na hivyo kuelekea kuipa nguvu kambi ya upinzani dhidi
ya

 serikali iliyokwenda likizo kuchapa

  usingizi.







 Ni wazi pasingekuwa na hoja ya upinzani juu ya maovu
haya

 kama uongozi ungetekeleza wajibu wake vyema kwa kuongozwa
na

 Katiba iliyopo, na hivyo pia pasingezuka hoja ya Katiba

 mpya.







 Ndiyo maana, baada ya Serikali ya Awamu ya Tano kuingia

 madarakani na kujitoa mhanga kupambana na maovu haya,
kambi

 ya upinzani imeishiwa hoja na madai ya Katiba mpya
kukosa

 mantiki. Hebu angalia mifano hii kuona ilivyokuwa.







 Ukiona serikali madarakani inaatamia kwa mbawa zake
maovu

 yenye kuhujumu nchi, kupora au kuibia serikali mapato
na

 kuwakingia kifua wafanyabiashara wahujumu wa uchumi,

 wakishirikiana na wanasiasa ili wasiguswe; hapo elewa

 kwamba, serikali hiyo imejiweka rehani

  kwa wenye fedha, mafisadi na maharamia wa uchumi wa

 nchi.







 Ukiona kuibuka kwa tabaka la wafanyabiashara
kuchangamkia

 nafasi za uongozi wa chama na serikali kwa udi na uvumba
na

 kwa kupenyeza nguvu ya fedha kupata uongozi, fahamu
kwamba

 demokrasia, utawala bora na utawala wa sheria unayoyoma
na

 kukaribisha utajiri (fedha)

  kununua madaraka na uongozi, na uongozi kuwa sehemu ya

 kundi la kimafia la kupora utajiri wa nchi, hata kama
nchi

 itakuwa na katiba bora kupita zote duniani.







 Chini ya awamu hii, yaonesha kama vile JPM anawaambia

 viongozi wa aina hii, wauze kwanza vyote walivyo navyo
na

 kisha wamfuate katika kuutafuta ufalme wa kisiasa, kwa
maana

 hawawezi kutumikia mabwana wawili kwa pamoja, yaani watu
na

 mali.







 Nakwambia, subiri uchaguzi mkuu ujao (2020) uone; zaidi
ya

 nusu kati yao hawatachukua fomu, maana walizoea vya
kunyonga

 na sasa vya kuchinja hawaviwezi. Hapo, iko wapi hoja ya

 Katiba mpya?.







 Ukiona uchumi wa nchi unahama mikononi mwa wananchi
kwenda

 mikononi mwa wajanja wachache; rasilimali za taifa
kuporwa

 na "wawekezaji" wa kigeni bila hofu kwa kushirikiana
na

 mawakala wao wa ndani; elewa kwamba nchi iko hatarini

 kugeuzwa "shamba la bibi", kwa

  kila mtu kurarua na kupora kadri ya ukali wa meno
yake.







 Ukiona viongozi wa kitaifa wakiutangazia umma kwa
ulaghai

 kwamba uchumi wa taifa unapaa wakati wananchi wakizidi

 kufukarika kuliko mwanzo, na eti kwamba wasiokubaliana
na

 uongo huo ni "wavivu wa kufikiri" au wapinzani wa
chama

 na serikali; fahamu kwamba hizo

  ni dalili za serikali kujiweka mbali na wananchi wake
na

 kuwa "mwenye shibe (viongozi) hamjui mwenye njaa".







 Ukiona serikali inapuuza maoni ya wananchi na kusikiliza
ya

 wenye pesa na wenye madaraka; elewa kwamba serikali
hiyo

 imelewa madaraka; itanyanyasa vyombo vya habari na

 wanahabari kwa changamoto zao za "kuuamsha umma".







 Lakini ilivyo leo, mambo yanaonekana kugeuka, kwamba

 kiongozi wa awamu ya tano (JPM), anaonekana kuongozwa
na

 kauli mbiu na hekima ya Rais, mwanademokrasia wa zamani
wa

 Marekani, Abraham Lincoln, kwamba "Kwa kuungwa mkono
na

 umma (si na mafisadi na majambazi

  ya kisiasa) naweza kufanya jambo lolote; lakini bila
hivyo

 na mbele ya upinzani wa umma, siwezi kufanya lolote".







 Kauli mbiu hii inakidhi ule msemo wa Kilatini "Vox
Populi,

 Vox Dei", yaani, "Sauti ya Wengi ni Sauti ya
Mungu".

 Pengine ni kwa sababu hii, kwamba JPM mara nyingi
hachoki

 kuwaomba wananchi wamwombee kwa Mungu amlinde katika

 harakati hizi. Kwa nini?.







 Hapa tena, Shabaan Robert anaonekana kumpa sala JPM kwa

 shairi "NILINDE", linapokuja suala la kutetea na
kulinda

 maslahi ya taifa katikati ya ufisadi uliotamalaki.
Kwenye

 shairi hilo, Shaaban Robert anasema:







 "Ni

 weledi wa kusema, watu wa leo







 Na

 elimu na hekima, si haba kwao







 Bali

 hawana huruma, katika moyo







 Na

 fahari (kwa taifa) na heshima







 ni

 chache kwao tamthili ya wanyama,









 mfano

 wao kisha waweza kuuma, sumu wanayo







 E

 Mungu mwenye uzima, nilinde nao".







 Na tumuombee sote kwa Mungu afanikishe vita hii bila hoja
ya

 Katiba mpya.







 Raia mwema





 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to

  abide by our Rules and Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit

 https://groups.google.com/d/
optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to

  abide by our Rules and Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit

 https://groups.google.com/d/
optout.



























 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to

  abide by our Rules and Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit

 https://groups.google.com/d/
optout.



























 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to

  abide by our Rules and Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to

 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.









 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.










--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment