Friday 27 June 2014

[wanabidii] MWANACHUO WA RUCO ACHOMWA MOTO AKIDHANIWA NI MWIZI...!

LEMA mwanachuo aliyechomwa moto
Maskini: Mwanafunzi wa Chuo Anusurika Kifo Baada ya Kuchomwa Moto Akidhaniwa ni Mwizi

Kijana huyu anaitwa LEMA, anasoma chuo cha ruaha a.k.a RUCO huko iringa. Alikuwa sheria mwaka wa nne. Ameitiwa mwizi kumbe sio akachomwa moto. Ameungua ila hajafa, hivyo ndivyo alivyo.. Alitoka kutazama mpra alivokua anarud akawa anaenda bar apate chochote muda ukawa umeisha mlinz akampgia kelele za mwizi wakampiga lakini aliwaambia watu wasimpeleke police akawaelekeza ye siyo mwizi na kitambulisho aliwaonyesha lakini hawakuelewa wakamuwasha moto. Kijana huyu ameungua asilimia 85% ya mwili wake.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment