Wednesday 8 May 2013

[wanabidii] Hofu Ya Ugaidi (1)



Na Maggid Mjengwa,

MOJA ya sababu kadhaa za vita vya Iraq ilikuwa ni kupambana na ugaidi.

Juzi hapa nchi yetu imekumbwa na shambulizi la pili la kigaidi. Naam, ugaidi ungalipo na unabaki kuwa ni tishio kubwa duniani.

Hakika, hapa duniani matukio ya kigaidi yameongezeka. Ajabu ya matukio ya ugaidi, kihistoria, mengi ya matukio makubwa ya ugaidi humu duniani yamefanyika katika mwezi
Septemba. Ni ukweli wa kihistoria, kuwa mwezi Septemba ni mwezi wenye
kuambatana sana na matukio ya kigaidi.

Mfululizo wa makala hizi zitazungumzia juu ya suala hili la ugaidi na hofu yenye kuambatana nayo. Mahusiano ya mwezi Septemba na ugaidi yataonekana pia.

Kwa faida ya wasomaji, nitaanza kwa kuangalia chimbuko la ugaidi kihistoria
na kutoa mifano mbalimbali.

Ni rahisi kusema kwamba ulimwengu umebadilika baada ya ugaidi wa Septemba 11
mwaka 2001 kule Marekani. Kwamba ugaidi....Soma zaidi..http://www.mjengwablog.com/habari-za-kijamii/item/2550-hofu-ya-ugaidi-1.html#.UYpu5sq86Ag

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment