Saturday 4 May 2013

Re: [wanabidii]Degree mbili mtu hajui kingereza,Tanzania tutafika?



Unashangaa nini? Ona huyu hapa kapenya hadi Ng'ambo. Na Tag yake si waiona?  Kaambiwa ajitambulishe. Ni msomi. Afadhali angezungumza kiswahili yaishe kuliko kuwashangaza watu. Wanashindwa kumwelewa, wanashindwa kumcheka wanabaki wanaduwaa!!!


0 comments:

Post a Comment