Tuesday 28 May 2013

Re: [wanabidii] Waarabu wa Dubai na Wachina Kujenga Kigamboni! Wananchi hawajaambiwa!

Hotuba ya Kikwete huko mbagala, na hoja ya mbunge wa kigamboni vinachefua hali ya hewa.

Ndugu zangu, tuihurumie nchi yetu japo kidogo. Inaonyesha serikali haijifunzi kwa machafuko yanayoendela Mwara hivi sasa. Unawezaje kutekeleza mpango mkubwa kiasi hiki wa kujenga nyumba zaidi ya 15,000 bila kuwashirikisha wananchi na hata mbunge wao? Je! mpango kama huu kikwete anadai kukwepa kuujua sawasawa na kwamba yeye amebariki mapendekezo ya manisipaa husika. 

Hili jamani ni haki kweli? Je! Rais Kikwete anataka kutuaminisha kua hajui huu mpango KAMAMBE na kwamba yeye amepewa tu mapendekezo na manispaa husika? Na kwamba akielezwa vizuri ndipo ataenda kuwaeleza wananch kama wahusika hawatafanya hivyo?? Kwamba yeye mwenyewe haujui huu mpango vizuri mpaka aelezwee?? Jamani tuache kufanyia nchi mzaha. 
Alexander


From: Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Tuesday, May 28, 2013 5:44 PM
Subject: Re: [wanabidii] Waarabu wa Dubai na Wachina Kujenga Kigamboni! Wananchi hawajaambiwa!

Seleman Matthew naamini ana upeo na uelewa wa kutetea wakazi wa Kigamboni sijajua hao madiwani wenzako hali zao zikoje


2013/5/28 Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
HII nimeiangalia na kusikitika, nimeangalia mkutano wa rais wetu kwa wananchi nikasema hivi huyu mtu anapata wapi nguvu ya kuongea vile lakini sasa najiridhisha kuwa unafiki ndio tatizo kubwa. MABADILIKO hatuna haja ya kwenda mbali, tunawabunge humu wanaoingia mjengoni na ilivyoimani ya wote bunge lina simamia serikali waache unafiki hapa wafanye ambacho mie na wewe tunakitegemea.

Satellite cities si idea mbaya nilifanya kazi kwenye hizo projects nimepata bahati ya kusoma mapendekezo ya wataalam tatizo nilionalo hapa final implementation sina uhakika kama itakwendana na kilichotarajiwa, kama kawaida the whole idea inaweza kuwa raped kama mlivyosikia mwarabu na mchina washalamba tenda masikini mtanzania haielezwi wazi atahusika hivi na ni vigezo gani vimetumika kwanza kulipitisha hilo eneo kuwa jiji na zabuni za kudaka tenda zilienda vipi haiko wazi najiridhisha kuwa the whole idea is Rapped.
Kesho tutasikia Dar ring road inajengwa bunju na pugu vibanda vinavunjwa. It is ok lakini kama rais anasema aulizwe diwani ambaye yeye kama mimi hajui na mbunge wa eneo husika hajui wao wanaambiwa tu kama wewe unavyoambiwa na kibaya zaidi tunajua uweza wa madiwani zetu si katika kuwakashifu lakini ni ukweli uweza wao wa kuchanganua mambo mdogo sijui tunakwenda wapi.
Ingependeza hili suala lisiwe la kisiasa watu wasitupwe nje kama enzi za mkoloni anachukua aridhi afrika kusini niliyoyasoma kwenye vitabu vya historia yatajirudia.


2013/5/28 Wanakijiji Kimbiji <wanakijijikimbiji@yahoo.com>


   MJI MPYA WA KIGAMBONI ! SASA WANANCHI TUPO NJIA PANDA !
   Kauli ya waziri wa Ardhi Bunge inawapa mashaka wakazi wa Kigamboni,

   Mpango wa siri ya kuwafukuza wenyeji wa Dar na kuwaweka wageni ndio
   Agenda ya Wizara ya Ardhi,
   
   Watanzania sasa tuna miaka 51 ya Uhuru,lakini tupoangalia tutajikuta 
   tunaingia katika migogoro ya Ardhi na uvunjivu wa amani utakaosababishwa
   na Ardhi.
   Ni mda mchache tu huko bungeni Dodoma waziri wa ardhi Mhe.Bi Anna
  Tibaijuka ameliezea bunge kuwa nyumba takribani elfu 30 zitajengwa na 
   makampuni ya Dubai na Wachina, na wakazi wa Kigamboni watakuwa na hisa !
   Kauli hiyo ya waziri Anna Tibaijuka inawatia wasi wasi wananchi na kujiuliza
   maswali mengi kama vile kuwa na hisa katika biashara hipi? nani mmiliki wa
   Ardhi? mbona wananchi wa Kigamboni hawajapewa taarifa yoyote!
   hakuna kikako chochote kile kilicho washirikisha wananchi na kujua
   hatima yao ! mbuge wa Kigamboni Mhe.Ndugulile naye kashangazwa na

   TATIZO LA KUWAMILIKISHA ARDHI WAWEKEZAJI LITALETA UTATA,
   Wenyeji wa asili ya mikoa ya Dar-es-salaam na Pwani, wamejawa na unyonge
   na kujiona wapo katika kilio cha kusaga meno kwa kuondolewa katika sehemu
   zao za asili na kutojua wapi watapelekwa,
   Tabia za baadhi ya wajanja kumiliki mashamba makubwa nalo limekuwa ugonjwa
   ulijitokeza katika kumiliki Ardhi.
   
   UVUNJWAJI WA SHERIA ZA ARDHI
   Migogoro mingi ya Ardhi inatokana na uvunjwaji wa sheria zilizopo
   na wizara inahusika kwa namna moja au ingine katika kuvunja sheria hizo,
   Kuna Ardhi zinazomilikiwa kimila,pia na manispaa, lakini Wizara ya ardhi
   imekuwa ikiwanyang'anya wazawa na kuwapa wawekezaji wa kigeni ardhi
   hizo bila ya kuwashirikisha wahusika,wananchi,serikali za mitaa na manispaa.
   Ni juzi tu wakazi wa eneo la Tuangoma, njia panda ya Amani beach huko
   Kimbiji walijikuta wanabobolewa majumba na kulazimishwa kulipwa
  fidia la Sh.700,000 kwa heka ! na muwekezaji wa Kichina ndio kaanza
   kazi? Wanajeshi nao wanajaribu kuwatishia maisha wanye mashamba 
   ili wapate mashamba ya bure.
   Serikali ilitupia jicho tatizo la Ardhi tusije tukawa watumwa katika nchi yetu.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
Bariki G. Mwasaga,
P.O. Box 3021,
Dar es Salaam, Tanzania
+255 754 812 387
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


0 comments:

Post a Comment