Mtwara kuna Bandari kwa nini serikali isiimarishe bandari ile na miundo mbinu ya barabara bna reli ili gesi hiyo ifuliwe mtwara huko na kusafirishwa ikiwa tayari kwa matumuizi ? naamini hii italeta ajira nyingi kwa wenzetu wa mtwara pamoja na kuendeleza mji wa mtwara, hii pia itasaidia kusogeza huduma nyingi za jamii karibu kwa watu wa mtwara na pia kitaifa ni nzuri kuona nchi yetu inakuwa kimaenedeleo pande zote. tuachane na mambo ya mabomba haya, haya ni miradi ya watu wasio kuwa na huruma na nchi yetu na hasa rasilimali zetu, na hata Maisha ya watanzania, Bomba hili ni la nani? mbona lina letwa hata kwa kumaliza maisha ya watu?!!! lina utofauti gani na kina Richmond, Symbion, EPA, Green Deep Agriculture, Kagoda, nk Tuachieni Tanzania yetu tutaendelea taratibu, siyo kwa mikono ya Mabwenyenye. --- On Wed, 5/22/13, Juma Mzuri <jumamzuri@gmail.com> wrote:
|
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment