Kwa nini Gesi iende Bagamoyo?.Mtwara inaweza kuingizia taifa pesa nyingi kwa kuload hiyo gesi hapo hapo na kusafirisha nje. Angalia hapa www.youtube.com/watch?v=SpLAB8xbN_w
--- On Wed, 22/5/13, Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> wrote:
From: Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI To: wanabidii@googlegroups.com Date: Wednesday, 22 May, 2013, 14:10
Yona hawa unawaona ni wahalifu kuliko mtu aliesaini mkataba wa gesi isiyonufaisha mwananchi? Kwa ujumla wao wametia hasara kiasi gani kulinganisha hela zinazopotea serikalini bila maelezo. Hizi sheria ziko kuwakandamiza wadogo tu wakubwa wanajipatiaje kinga kwa haya madhambi wanayofanya na kusababishia hizi vurugu.
Hao wahalifu ni watanzania kwanini tunataka kuwapa treatment ya kama mwananchi si mwananchi. Hakuna anaependa vurugu na hawa si punguani, wanapodanganywa na wanapokuwa hawasikilizwi haya yatatokea. Tusubiri majibu ya kipumbavu ya kusingizia siasa then tufikiri tumetatua tatizo -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
|
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment