Salum,
Kwanza sikubaliani na hizi fikra eti za kuwaelimisha wana Mtwara. Hivi ni nani anayetakiwa kumuelimisha mwenzake? Nadhani Serikali inabidi ielimishwe ili iweze kujua aspirations na needs za wana Mtwara. Hivyo nasi tunatakiwa kuelimishwa ili kujua ni kwa nini wanafanya hayo wanayoyafanya?
Pili, hivi unafikiri utawaelimisha wana Mtwara kwa kuwapeleka Wabunge nje? au kwa Waziri kwenda kuongea na watu wachache na tena viongozi wa serikali? huko sio kuelimisha. Mipango yoyote inatakiwa ianze chini, serikali ilitakiwa kujenga ownership kwa wananchi wa Mtwara, hawakufanya hivyo, inawagharimu, sasa wanatafuta wa kumlaumu, eti wanachochewa, hivyo ndio wanazidi kulikoroga.
Kwa nini wasiwatume wataalam, sociologists wakaenda kufanya utafiti wa kina na kujua chanzo ni nini? hivi unadhani hata ukiwaelimisha usiku kucha ndio wataunga mkono mpango huu? katu haiwezekani. Wakikumbuka walivyotapeliwa na utaratibu wa stakabadhi ghalani, wanachukia kweli. Kwanza walipwe korosho zao kwa bei nzuri ili waweze kupeleka watoto wao shule.
Sele
Date: Thu, 23 May 2013 05:26:13 -0700
From: salumkango@yahoo.com
Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI
To: wanabidii@googlegroups.com; josephkumb@yahoo.com; samkwawa2@yahoo.com; mditihenry@yahoo.co.uk
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Kwanza sikubaliani na hizi fikra eti za kuwaelimisha wana Mtwara. Hivi ni nani anayetakiwa kumuelimisha mwenzake? Nadhani Serikali inabidi ielimishwe ili iweze kujua aspirations na needs za wana Mtwara. Hivyo nasi tunatakiwa kuelimishwa ili kujua ni kwa nini wanafanya hayo wanayoyafanya?
Pili, hivi unafikiri utawaelimisha wana Mtwara kwa kuwapeleka Wabunge nje? au kwa Waziri kwenda kuongea na watu wachache na tena viongozi wa serikali? huko sio kuelimisha. Mipango yoyote inatakiwa ianze chini, serikali ilitakiwa kujenga ownership kwa wananchi wa Mtwara, hawakufanya hivyo, inawagharimu, sasa wanatafuta wa kumlaumu, eti wanachochewa, hivyo ndio wanazidi kulikoroga.
Kwa nini wasiwatume wataalam, sociologists wakaenda kufanya utafiti wa kina na kujua chanzo ni nini? hivi unadhani hata ukiwaelimisha usiku kucha ndio wataunga mkono mpango huu? katu haiwezekani. Wakikumbuka walivyotapeliwa na utaratibu wa stakabadhi ghalani, wanachukia kweli. Kwanza walipwe korosho zao kwa bei nzuri ili waweze kupeleka watoto wao shule.
Sele
Date: Thu, 23 May 2013 05:26:13 -0700
From: salumkango@yahoo.com
Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI
To: wanabidii@googlegroups.com; josephkumb@yahoo.com; samkwawa2@yahoo.com; mditihenry@yahoo.co.uk
Ndugu yangu Lucas ni lazima tufike wakati dirisha tuliite dirisha na si mlango wa kuingiza hewa ndani. Tukubali kwamba wananchi wa Mtwara wamekosea kwa njia waliyoichukua kudai haki zao. Na si kweli kwamba serikali haijafanya juhudi kwenda Mtwara kuwaelimisha wananchi wa Mtwara. Ni mara ngapi wabunge wao wamepelekwa mpaka nje ya nchi kujionea jinsi miradi kama hii ya gesi inavyotekelezwa na faida zake kwa majimbo yao na taifa kwa ujumla? Ni mara ngapi Waziri wa Nishati na Madini amekwenda Mtwara au Kuzungumza kupitia vyombo vya habari kuhusu huu mradi na manufaa yake kwa Mtwara na taifa kwa ujumla? Hivi wanafikiri hata kiwanda cha Cement kinachojengwa Mtwara watafanya kazi bila ya kuwa na elimu ya kutosha? Nenda Nyamongo, Geita, Buzwagi na Bulyanhulu kajionee mwenyewe ni Wasukuma, Wakurya au Wajita wangapi wanaofanya kazi kwa upendeleo eti kwa sababu migodi iko kwao? hakuna kitu kama hicho katika ulimwengu wa soko huria. Tusiwadanganye wanaMtwara.
From: lucas haule <kisacha2003@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, May 23, 2013 2:43 PM
Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, May 23, 2013 2:43 PM
Subject: Re: [wanabidii] VURUGU MTWARA BAADA YA SERIKALI TAMKO LA SERIKALI KUHUSU GESI
Hildegarda, kaka Tatizo siyo yote unayoyasema, tatzo ni Wanamtwara wangapi walielimishwa kuhusu gesi hiyo? Na kauli ya siku za mapema za mkuu wa mkoa alisema wale hawana akili. Wananchi wakamwambia Pinda nenda na huyu alitutukana, serikali ilifanya nini? Tuna angaika kusema tutadharauliwa, watadharauliwa walioshindwa kuona mpaka wakigawiwa maumivu. Kama unaipenda nchi wakemee wote ambao huwa wanawabeza watoa taadhari na kuionya serikali kabla ya hatari. Naumizwa na kuumia kwa watu, vifo lakini njia waliyochukua wananchi, siwalaumu na nailaumu serikali kwa kuzembea.
|
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment