Thursday 9 May 2013

Re: [wanabidii] URAIS 2015 - Dr Augustine Philip Mahiga

Sio kwamba humu nchini hatuna watu wazuri hata CCM kuna watu wazuri TATIZO NI MFUMO WA KIONGOZI NDANI YA CHAMA HICHO.


2013/5/9 paul lawala <pasamila292000@gmail.com>
Hii kanuni ya kutoa shilingi huwa naisikia tu,ila sijaijua kiundani


2013/5/9 anna nyanga <luguanna@yahoo.com>
Watanzania, wakati wa kuangalia sura umepitwa na wakati.
 
Ni vizuri kutumia wakati huu kabla ya uchaguzi kuweka bayana ni Tanzania ya namna gani tunahitaji.. Tutengeneze sifa za Tanzania tunayoitaka kwanza. Then hao mnaowanadi sasa hivi tuone je wataweza kutengeneza Tanzania tunayoitaka.
Tunataka Tanzania bora sio bora Tanzania.
 
Ila tusisahau Tanzania iliyobora inajengwa na Watanzania walio bora. Tuwe wa kweli na nchi yetu.

From: Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Thursday, May 9, 2013 2:11 PM
Subject: Re: [wanabidii] URAIS 2015 - Dr Augustine Philip Mahiga
Adding in the list Samuel Sitta
Reference - Tanzania Daima 09/Mei/2013
Sitta amuokoa Nchimbi
•  Makombora ya Lissu yamtoa jasho
na Edson Kamukara
 
WAZIRI wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Samuel Sitta, juzi alimuokoa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk. Emmanuel Nchimbi, dhidi ya makombora ya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu (CHADEMA).
Busara za Sitta ndizo zilizomfanya Lissu abadilishe nia yake ya kuondoa shilingi kwenye bajeti ya Wizara ya Mambo ya Ndani.
Hatua hiyo ilikuja wakati Bunge limekaa kama kamati kupitia vifungu vya wizara hiyo, ambapo Lissu alitaka Waziri Nchimbi afafanue serikali imetekelezaje mapendekezo ya tume yake iliyoongowa na Jaji Ihema pamoja na ile ya Haki za Binadamu zilizoshauri Jeshi la Polisi kusukwa upya ili lifanye kazi bila kufuata matakwa ya wanasiasa wa chama tawala.
Lissu alitoa taarifa kwa Mwenyekiti wa kikao hicho, Anne Makinda, kuwa anakusudia kuondoa shilingi kwenye mshahara wa Waziri Nchimbi endapo majibu yake yataendelea kuwa mafupi na mepesi.
Hata hivyo, kama alivyokuwa amejibu mapema wakati akihitimisha hoja za wabunge, Nchimbi alisema ni kweli kwamba Jeshi la Polisi halipaswi kufanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa na kwamba ndiyo sababu Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Iringa, Michael Kamuhanda, anaendelea kuwa kazini.
Nchimbi aliongeza kuwa ripoti hizo wamezisoma lakini wanajipa muda kuzifanyia kazi, kwani endapo watakurupuka pasipo kuangalia mazingira mwisho wake unaweza kuwa mbaya.
"Unajua ukikutana na mtu aliyetoka kuombwa rushwa na trafiki halafu ukamuulizia utendaji wa jeshi hilo, atakwambia hakuna watu wabaya kama hao. Lakini ukikutana na dereva aliyepata ajali akakatika mguu halafu akaokolewa na trafiki, ukimuuliza kuhusu utendaji wa jeshi hili, atasema hakuna watu wazuri kama hao," alisema.
Hivyo, Dk. Nchimbi alisema ripoti hizo hawawezi kuzifanyia kazi moja kwa moja bali wanapima kuona wakati zinafanyiwa kazi wajumbe waliegemea kwenye nini.
Majibu hayo yalimwinua tena Lissu na kutoa hoja ya kuondoa shilingi akisema Waziri Nchimbi ametoa maelezo ya mzaha wakati tume aliyoiunda yeye na ile ya Haki za Binadamu iliyoundwa na rais ni kwanini wameshindwa kuzifanyia kazi.
Hoja hiyo iliungwa mkono na wabunge wengi wa upinzani ambao walianza kuichangia wakidai jeshi hilo linafanya kazi kwa maelekezo ya wanasiasa, hata kufikia hatua ya kushindwa kuwachukulia hatua vigogo wa CCM kwa amri za wakuu wa mikoa na wilaya.
Kabla ya Waziri Nchimbi kujibu hoja hizo, Makinda alimuita Waziri Sitta ambaye alikuwa akikaimu nafasi ya waziri mkuu ili aweze kutoa maelezo kuhusu sakata hilo.
Sitta alisema wanasiasa wanapaswa kuwatendea haki wananchi, akifafanua kuwa: "Hapa kuna tuhuma nzito dhidi ya Jeshi la Polisi, kuna tuhuma nzito dhidi ya serikali ya CCM na zinatolewa na wenzetu wabunge tunaowaheshimu kutoka upande wa upinzani.
"Nataka kushauri mheshimiwa mwenyekiti, kanuni ya 103 si mahala pake kuzungumza jambo zito namna hii, kwa sababu inahitaji hoja ikae vizuri, iwe na ushahidi, majibu yawepo."
"Sasa wakati wa kuondoa shilingi tuzungumze suala la polisi kutumiwa na wanasiasa, na pande zote ziweze kupeana taarifa kulingana na mujibu na pengine upande wa serikali wana jambo la kusema, maana tunakerwa na kauli za viongozi wa vyama vingine wanaotoa eti saa 24 fulani aondoke," alisema.
Alisema kuwa kuna wanasiasa wanataka kuonesha serikali haifai, ni goigoi, kwamba hakuna serikali inayoendeshwa hivyo.
"Sasa haya ukiyachanganya ni furushi kubwa kwa wananchi wetu, ningemshauri Mheshimiwa Lissu atumie kanuni nadhani ya 53, apewe nafasi kwenye mkutano ujao alete hoja binafsi kwa mujibu wa kanuni, tuwe na muda wa kuijadili vizuri na tutoe majibu yanayostahili," alisema Sitta.
Hoja hiyo ilikubaliwa na Lissu akisema kuwa Sitta ametoa majibu yanayoeleweka, ambayo si ya kuokoteza kama ya Dk. Nchimbi, maelezo ambayo baadaye yaliruhusu kikao kuendelea na kupitisha vifungu na hatimaye kuipitisha bajeti ya wizara hiyo.
On 9 May 2013 13:10, denis Matanda <denis.matanda@gmail.com> wrote:
Add my name on the list!
On Thu, May 9, 2013 at 10:03 AM, Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com> wrote:
Potential candidates
On 9 May 2013 13:01, denis Matanda <denis.matanda@gmail.com> wrote:
Sijaelewa. Unamaanisha kuwa anafaa kuwa rais 2015?
On Thu, May 9, 2013 at 9:55 AM, Yona Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
Augustine Philip Mahiga (born 28 August 1945) is a Tanzanian diplomat. He is the current United Nations Special Representative and Head of the United Nations Political Office for Somalia.

Mahiga is a former Permanent Representative of Tanzania to the United Nations.[1] He is married and has three children.
In 1971, he earned a Bachelor of Arts (Education) at the University of East Africa in Dar es Salaam. That same year, Mahiga completed his Masters of Arts at the University of Toronto (U of T). He received his PhD in International Relations in 1975 from U of T.
--
http://www.wejobs.blogspot.com/ Jobs in Africa
http://www.jobsunited.blogspot.com/ International Job Opportunities
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
Wasalaam,
 
Denis Matanda,
Mine Planning Supt,
Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Bariki G. Mwasaga,P.O. Box 3021,Dar es Salaam, Tanzania+255 754 812 387
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.    
--
Wasalaam,
 
Denis Matanda,
Mine Planning Supt,
Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.    
-- Bariki G. Mwasaga,P.O. Box 3021,Dar es Salaam, Tanzania+255 754 812 387
-- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.    

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment