Zunzu, niafadhali usingechangia kabisa. Mwazo kama haya yanafaa jf siyo hapa kaka. KEMS Sent from Yahoo! Mail on Android |
From: Mike Zunzu <mikezunzu@yahoo.co.uk>;
To: wanabidii@googlegroups.com <wanabidii@googlegroups.com>;
Subject: Re: [wanabidii] RE: Mzaha wa serikali katika Elimu ufike mwisho
Sent: Wed, May 8, 2013 8:10:18 AM
NECTA wala wasiingie kwenye mgongano wa Serikali, wafanye kama Serikali, isipokuwa mtihani wa mwakani, wakisha maliza kusahihisha waitaafu Serikali, kwa sisi tumesha maliza kuksahihisha, tufanyenye utaratibu upi wa kugawa points, watawaabia cha kufanya, kwa mfano wanaweza wakasema, nusu wapeni daraja la kwanza, robo daraja la pili, nusu ya waliobaki wapeni daraja la tatu na waliobakia daraja la nne, kwa namna hiyo hapatakuwa na mtu atakayepata zero, tayari kiwango cha kufauli kitakuwa kimepanda. From: Azaveli Lwaitama <kerezesia_mukalugaisa@hotmail.com> To: Jeff Makongo <makongo@yahoo.com> Cc: "info@tenmet.org" <info@tenmet.org>; "info@policyforum.or.tz" <info@policyforum.or.tz>; Azaveli Lwaitama <kerezesia_mukalugaisa@hotmail.com>; "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>; "mjungud@yahoo.com" <mjungud@yahoo.com>; "magingamagiri@rocketmail.com" <magingamagiri@rocketmail.com> Sent: Tuesday, 7 May 2013, 10:46 Subject: [wanabidii] RE: Mzaha wa serikali katika Elimu ufike mwisho Wanafunzi waliofeli tu ndio wapewe fursa kufanya mtihani mwingine siyo kuchakachu matokeo yote yaliyotangwazwa awali. Wanafunzi waliofaulu wana haki ya kutobughudhiwa labda kama kuna ushahidi wakupendelewa kwa vyvyote vile. Watanzani tukatae kuchewa kwa sekta ya elimu kiasi hiki. Waziri wa Elimu alipoyasoma mataokeoa si alijiridhisha kuwa yalikuwa sahihi? Kama serikali inasema alikurpuka basi afukuzwe kazi mara moja kwanza na nafasi yake ichukuliwe na Mh Lukuvi amabaye alitangaza msimamo mpya wa serikali badala ya Waziri Dr Kwambwa!!! Serikali hii ya CCM inawadharau sana Watanzania, kwa nini kutangaza uamuzi kabala hata Tume ya Prof Mchome hajawasilisha Ripoti yake na kujadiliwa na wadau wote? Mwl Azaveli Lwaitama Chuo Kikuu Kishiriki cha Josiah Kibira( JOKUCo) Bukoba Date: Mon, 6 May 2013 20:30:18 -0700 From: makongo@yahoo.com Subject: Re: Mzaha wa serikali katika Elimu ufike mwisho To: info@tenmet.org; info@policyforum.or.tz; kerezesia_mukalugaisa@hotmail.com; wanabidii@googlegroups.com CC: mjungud@yahoo.com; magingamagiri@rocketmail.com Naungana na maelezo ya Watanzania wengi ambao wamechangia kuhusu maaumuzi ya serikali kubadilisha matokeo ya mithani ya kidato cha nne 2012. Napendekeza hatua zifuatazo: 1. Timu yetu ya wachambuzi wa masuala ya elimu, itusaidie itoe kwa muhtasari historia au mlolongo wa ufaulu wa vijana wetu kwa miaka miine iliyopita ili wananchi wajue ukubwa wa tatizo. Uchambuzi huu utathibitisha kuwa vijana wetu wamekuwa wakiendelea "kufeli" kwa na mfumo unaofanana, japo kwa viwango (scale) tofauti. 2. Tuishinikize serikali, kama imedhamiria kufanya "standardization" ijumuishe "wadau wengine huru" ili kuondoa hofu ya uchakachuaji. La sivyo mtihani wote ufutwe na vijana wapewe fursa ya kurudia mtihani mwingine. 3. Hakuna shaka kuwa wasimamizi wakuu wa wizara hii wameshindwa kazi. Tuunge kauli ya wananchi wengine wanaotaka Kawambwa na timu yake wapishe njia. Hatuwezi kuendelea na watu wananochekelea mchezo mchafu wa kuumiza umma. "kama chura alivyowaambia watoto walio kuwa wanatupa mawe kwenye dimbwi la maji.. " Mchezo wa Kawambwa na Mulugo ndiyo Mauti ya Elimu nchini" 4. NECTA kama chombo huru, imdhalilishwa kama mtaalam. Japo hatuwezi kuwaambia wajiuluzu, tuote ujumbe kuwa kimya chao kinawapa wananchi mashaka juu ya nia yao ya kufanya kazi kwa kusimamia sheria na misingi iliyowaweka. Wananchi wanatamani kusikia wataalam hawa wakitoa ufafanuzi wa mambo yanayopakazwa kwao na wizara. Siamini kwamba NECTA walikirupuka tu na kubadilsha tarati hizi bila kushauriana na serikali kwanza. Na kama hilo lilifanyika kabla, kwa nini leo NECTA inaumbuliwa hadharani.... 5. Sauti ya watanzania bado imegawanyika. hatuna jukwaa la kutuunganisha katika jambo hili...maskini TENMET wako wapi? Tunahitaji kujenga mtandao imara wa kusidia wanafunzi wahanga na wazazi kutoa sauti zao...bado hawajasikika kwa nguvu ya kuisumbu serikali.. Inatia aibu Makongo ---------------------------------------------------------------- Japhet Maingu Makongo Director, Ubunifu Associates Ltd P.O. Box 32971, Dar es Salaam, TANZANIA Website: www.ubunifu.co.tz, info@ubunifu.co.tz, Tel: +255 22 2762027, Mobile:+255 754 571 256 From: Marjorie Mbilinyi <marjorie.mbilinyi@tgnp.org> To: Lilyan Omary <lilyan.omary@hakielimu.org>; John Ulanga <julanga@thefoundation-tz.org>; kajubi@mct.or.tz; victoriac@peopledynamicsltd.com; Jeff Makongo <makongo@yahoo.com>; Jenerali Ulimwengu <jenerali@gmail.com>; rrajani@twaweza.org; hkbsao@hotmail.com; mqorro@yahoo.co.uk; mary.rusimbi@gmail.com; Richard Mabala <rmabala@yahoo.com>; sulemansumra@yahoo.co.uk; Wilbert Kapinga <Wilbert.Kapinga@mkono.com> Cc: Elizabeth Missokia <elizabeth.missokia@hakielimu.org>; Nyanda Shuli <nyanda.shuli@hakielimu.org> Sent: Monday, May 6, 2013 3:55 PM Subject: Re: Message for members and board directors afadhali! here are my inputs to Nyanda Shuli; I want to share with all of us: I am outraged by the government decision to nullify Form IV results, and to put all the blame on NECTA for the poor results, while singling out the Executive Director as well. The suggestion of reweighting the examination results [if I understand it correctly] in order to increase the number of passes and so on is intended to fool the Form IV candidates, their parents and the Tanzanian public. However, the level of public debate and outcry already generated by the announcement suggests 'you can fool the people some of the time, but you can't fool the people all the time'. The public education system has been allowed to steadily decline, producing illiterate school leavers incapable of thinking for themselves and applying theoretical knowledge to practical situations, and vice versa -- and this cognitive challenge persists right up to the university level. Meanwhile a system of private high performing schools has been allowed to develop and grow producing high quality school leavers -- the future middle class as well as the small elite governing class. As the time series of Form IV examinations shows during the last four years or so, there has been a consistent downward trend in form IV performance, even before the changes which took place reportedly in the marking approach in 2012. Rigorous research carried out by Uwezo, HakiElimu, Twaweza and other organisations has also confirmed the present crisis in public education at both primary and secondary school level. Efforts have been made to identify the key structural and systemic factors which can explain poor performance of both students and teachers. Substantive recommendations have been made over recent years on what needs to be done to create a strong public education system which provides quality and equitable education for all. The government must be called to account for its failure to provide quality and equitable education for all of its citizens, regardless of their ability to pay. Much more is at stake than the Form IV exam results of 2012; it is the very future of this nation. Marjorie Mbilinyi
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. |
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment