Saturday 11 May 2013

Re: [wanabidii] Re: Kambi ya Mafunzo ya Ugaidi Igunga

safi sana  kep it up sir...namie ntaangalia leo ktk hy hapakwetu  mkuu

--- On Sat, 5/11/13, Joseph Mbele <mbele@stolaf.edu> wrote:

From: Joseph Mbele <mbele@stolaf.edu>
Subject: Re: [wanabidii] Re: Kambi ya Mafunzo ya Ugaidi Igunga
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Saturday, May 11, 2013, 12:04 PM

Yona

Kuna kitu kinachoitwa tangazo la kimataifa la haki za binadamu. Kama hukuijua, itafute uisome. Kifungu kimojawapo cha tangazo hili kinasema hivi:

Article 19
.
  • Everyone has the right to freedom of opinion and expression; this right includes freedom to hold opinions without interference and to seek, receive and impart information and ideas through any media and regardless of frontiers.

Kwa taarifa ya zaidi ni kwamba kwa jinsi ninavyoheshimu haki za binadamu, ikiwemo hii haki na uhuru wa habari, ile video nimeiweka pia katika mitandao mingine, kama vile Facebook, na pia kwenye blogu yangu iitwayo "hapakwetu." Ngoja nichepuke kidogo halafu nikuulize: Je, ile video iliyosemekana ni ya Lwakatare wa CHADEMA, na imepigiwa debe sana na akina Mwigulu Nchemba, nayo ni uchochezi?

Nikirudi kwenye kauli yako, napenda kusema kuwa ninajua ninachofanya.

Wasalaam

Joseph L. Mbele


On Fri, May 10, 2013 at 6:14 AM, Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
Mkiitwa wachochezi na kushtakiwa mnapiga kelele - Naamini unajua
unachofanya ndugu Joseph Mbele

On May 10, 1:52 am, Joseph Mbele <mb...@stolaf.edu> wrote:
> <iframe width="560" height="315" src="http://www.youtube.com/embed/aQQdjIon93U" frameborder="0"
> allowfullscreen></iframe>
>
> --
> Joseph L. Mbele
> English Department
> St. Olaf College
> Northfield, MN 55057
>
> Phone: (507) 786 3439

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.





--
Joseph L. Mbele
English Department
St. Olaf College
Northfield, MN 55057

Phone: (507) 786 3439

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment