Thursday 9 May 2013

Re: [wanabidii] Mbunge anapojibu hoja za mbunge mwenzake waziri afanye nini?

SWALEHE,
 
hiyo ndo ile aliyosema mbunge wa iringa mjini mch. Msigwa kuwa AKILI NDOGO ZIMERUHUSIWA KUTAWALA VICHWA VIKUBWA, mh msigwa hakukosea na ndicho walichonacho wabunge wengi wa CCM, kuna siku nilisema hapa kuwa siku bajeti ya wizara ya maji inapitishwa nilishindwa kumwelewa Mh. christopher ole sendeka , mbunge wa simanjiro CCM,alitangulia kuchangia mbunge wa chadema kuhusu maji aliefuata alikuwa ole sendeka cha kushangaza jamaa badala ya kuzungumzia tatizo la maji lilivyokubwa kule umasaini akaanza kumsaidia waziri maghembe kujibu hoja za mbunge wa chadema, akatumia muda mwingi kujibu hoja ya maji alipokuja kuanza kuongelea suala la tatizo la maji kule kwa wananchi wake tena akaanza kulaumu yaleyale aliyokuwa anatetea! yaani jamani nyie acheni,KWELI VIONGOZI WAMEPATA NCHI. BADALA YA NCHI KUPATA VIONGOZI


2013/5/9 Selemani Swalehe <semkiwas@gmail.com>
Wana mabadiliko ninapotazama Bunge napata tabu sana. Mara nyingi mbunge yeyote yule anapotoa hoja katika kuchangia tunategemea Waziri wa wizara husika ndie atakaejibu hoja za wabunge wote wakati atakaposimama kutoa  majumuisho na kuwasilisha hoja rasmi.Lakini cha ajabu wakati mbunge kutoka kambi ya upinzani anapochangia na  kutoa hoja alizotumwa na wananchi wa jimbo lake, akimaliza kama anaefuatia kuchangia ni mbunge kutoka CCM  badala ya kutoa hoja zake alizotumwa na wananchi wa jimbo lake  anaanza kujibu hoja za mbunge mwenzake alizotoa na kukanusha yale aliyosema mbunge wa upinzani wakati hiyo ni kazi ya waziri na sio kazi ya mbunge.Sasa waziri yeye atafanya kazi gani? Hii imekaaje? ni kutetea chama au ni kuonyesha umahiri wa kuwakandamiza wapinzani ili pengine mbunge huyo aonekane anafaa na hatimae kupata cheo au ni nini? Sijui kama comrades mmeliona hilo.
Suleiman Swalehe

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment