Monday 22 April 2013

[wanabidii] filamu mpya bungeni

http://www.habarimpya.com/en/zilizopita/item/2329-bunge-filamu-production-kuzindua-filamu-ya-waziri-boya

Spika wa Bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania,Anne Makinda.            Bungeni,Dodoma
BAADA ya Bendi ya Bunge Modern Taarabu kufanya uzinduzi wao wa albamu yao ya nyimbo tano iliyokuwa na jina la 'FUCK YOU'! jijini Dodoma, taasisi nyingine ya sanaa Bungeni ya Bunge Filamu Production nayo iko mbioni kuzindua filamu yao mpya ya 'Waziri boya'.
Katika filamu hiyo iliyosheheni wasanii na watunzi mbalimbali na mahiri katika ya uigizaji inaongozwa na msanii mkongwe wa muziki wa kizazi kipya (Bongo Fleva) Joseph Mbilinyi maarufu kwa majina ya Mr II ama Sugu.
Ifuatayo ni majina ya washiriki katika filamu hiyo vikundi vyao vya sanaa katika mabano na utunzi wa kazi zao mbele (SUGU:- Mbunge Mbeya mjini Chadema). "Mambo mengine nchi hii hayaendi kutokana na serikali pumbavu, hatuwez kuwa na wazirg wa elim boya.
(LIVINGSTONE LUSINDE:- Mbunge Mtera CCM). "Kuna wabunge ambao wana mimba zisizotarajiwa bungeni. (JUMA NKAMIA:- Mbunge Kondoa kskz CCM). "Siongei na Mbwa bali naongea na mwenye Mbwa.
(PETER MSIGWA:-Mbunge Iringa Mjini Chadema). "Serikali ina tatizo kwa kuwa kuna akili ndogo inatawala vichwa vikubwa. (ANNA ABDALA:- Viti maalum CCM). "Sikufurahishwa na kauli ya Lusinde kwamba tunamimba zisizotarajiwa.
(LETICIA NYERERE:- Viti maalum Chadema). "Kwa kuwa wanaume wengi wanabaka, kifunguliwe kituo wafundishwe kutongoza. (ALLY KESI:- Mbunge Nkasi CCM). "Serikali iruhusu raia walime bangi wapate fedha za kigeni.(DIDAS MASABURI, Meya wa Jiji la Dar es Salaam CCM) "Baadhi ya wabunge wanafikiri kwa makalio.
Read 75 times

0 comments:

Post a Comment