Monday 1 April 2013

Re: [wanabidii] Re: KANISA LA WINNER UKONGA BANANA LAVAMIWA

Nadhani Yona aombe radhi yeye na achague adhabu ya kupewa kwa kutoa taarifa isiyo ya ukweli kwenye jukwaa!


2013/3/31 ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com>
Mimi naona tuunde tume kuchunguza kashfa hii.

----------
Sent from my Nokia Phone

------Original message------
From: Ipyana <hebronipyana1@gmail.com>
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, March 29, 2013 10:42:24 AM GMT-0700
Subject: [wanabidii] Re: KANISA LA WINNER UKONGA BANANA LAVAMIWA

Yona nimerudi,nimepata kwa undani juu ya tukio lililotokea hapo kanisani
WinnersChapel Banana,kimsingi tukio halikuwa ulivyolireport hapa
jukwaani,huyo kijana ni mtanzania na ni mkurya,jina lake ni Mwita,alikuwa
ni mwalimu kwenye shule inayomilikiwa na kanisa iitwayo Kingdom
Heritage,yeye kafukuzwa kutokana misconduct mbalimbali kazini,kwa hiyo kuna
vifaa vya shule vya shule ambavyo alipaswa avisubmit ili aweze kupewa
hakizake kitu ambacho hakukifanya,ndipo alipotoka kwenda kunywa akarudi kwa
mkuu wa shule akiwa amewaka,akaanza kumlazimisha mwalimu mkuu amlipe chake
lakini haikuwezekana  kwani walinzi walimbana na kumwondoa hapo,kwa hiyo si
kweli kwamba ni mnijeria,na si kweli kwamba alikwenda pale na AK-47,na si
kweli kwamba kulikuwa na kuhamanika kokote kutoka kwa waumini kama pia
ulivyotaka kutuaminisha hapa,Mwita alidhibitiwa kama mlevi yeyote
anavyodhibitiwa  basi ukawa mwisho wa habari,sasa exagerations za kwamba
kulikuwa na AK-47,tukio la ugaidi,watu kuhamanika mwisho wa yoe ni
kujitafutia aibu tu na kushusha heshima ya jukwaa na wanajukwaa.Sasa mzee
wa adhabu kwa kudanganya hapa jitafutie adhabu,mimi isingekuwa wewe ndo
mhusika mkuu wa hili jukwaa ningekutwanga ban ya miezi minne hivi ili ujue
kwamba kwa nafasi yako hupaswi kuwa mkurupukaji.Haya unajiadhibuje?

On Thursday, March 28, 2013 6:56:06 AM UTC-8, Yona F Maro wrote:
>
> Taarifa zinasema kuna mtu amevamia ofisi za mchungaji wa kanisa la
> winner la ukonga banana na gari lenye namba  CSE35 KG TOYOTA KURZA .
>
> Huyu mvamizi ni wa asili ya Nigeria , watu hapo wanahusisha tukio hili
> la dalili za kufanyika kwa ugaidi
>

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.





--
Ipyana Lwinga

Email:    ipyanalwinga@gmail.com
Mob:     +255 757 065577
Skype:   ipyana.plwinga

"Mpende Jirani yako kama nafsi yako..."

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment