Saturday 27 April 2013

Re: [wanabidii] PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA NI VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA

Ngetti,

Nimeupenda uchambuzi wako, wasipokuelewa basi.

Kwa nyongeza, mazingira ya sasa ni tofauti na yale ya wakati wa kudai uhuru hivyo hata mikakati yake lazima iwe tofauti, ilikuwa muafaka kuzungumzia kumwaga damu wakati ule lakini kwa leo hii sio muafaka, wengi watakaa nyuma kusubiri wengine watende!!

Felix


2013/4/27 Gaudencia Ngetti <gaudencia.ngetti@yahoo.com>
Inavyoonekana wengi hatuna historia ya rise and fall ya vyama vya upinzani hapa nchini. Lakini pia hatujui dalili za magonjwa yanaoua kila chama cha upinzani kinachojitahidi kuinua kichwa dhidi ya CCM.
 
Kwanza ijulikane kuwa hata hao CHADEMA tunaowasema si wabunge wake wote na viongozi wenye nia ya dhati kabisa ya kutaka kuking'oa CCM madarakani. Kinachopiganiwa ni mkate wa kila siku na si kingine.
 
NCCR-Mageuzi ilikuwa na dalili zake za kufa, wengine tuliandika mapema na kuonya kiasi cha kuitwa manabii. Kikaja kufa hivyo hivyo. Ikaja CUF na ngangari dhidi ya ngunguri ya Omar Mahita. Hapa pia wachambuzi wakaandika na kuonya kuwa kutokana na misingi thabiti ya nchi hii, ukija na sera yoyote inayoonesha sura na taswira ya vurugu kwa hakika huwezi kufika mbali.
 
Kuna dalili zote kuwa mwisho wa Chadema uko mlangoni. Kauli za kina Peter Msigwa si za kukuza chama cha siasa katika nchi yoyote iliyo na misingi ya ukomunisti ulioyeyuka.
Mbowe analijua hili vizuri sana na anafahamu kuwa mwisho wa chama chake ni 2015 maana baada ya kushindwa kutafuatia kukata tamaa kukubwa.
 
Wanabidii, naomba niwape kwa mara nyingine utabiri wangu. NCCR-MAGEUZI ita-gain momentum na itakuja kuwa threat kwa CCM siku chache zijazo kuliko CHADEMA. Uongozi wa James Mbatia unaweza kukuza chama maana Watanzania wa jana, wa leo na wa kesho ni wapenda amani hata kama amani huwa na mwisho kwa muktadha wa uvumilivu.
 
Kinachofanyika bungeni na wabunge wa Chadema ni ulimbukeni wa siasa ambao siku zote huwa na mwisho mbaya. Naamini kuna njia mbalimbali ambazo wabunge wa Chadema wanaweza kufikisha ujumbe bila kutunisha misuli na matusi.
 
Lakini pia ikumbukwe kuwa wabunge wa CCM ni wajanja sana. Wao majimbo yao yanaendelea, Chadema wanasusia. Watakuja kukumbuka shuka kumekucha.
 
Mfano tumeona kwenye uundwaji wa MABARAZA ya Katiba. Ni Chadema hao hao ndio walipitisha utaratibu wa namna ya kuwapata wajumbe wa mabaraza hayo. CCM ikaanza kujipanga mapema, sasa wameingiza watu top. Chadema wao walikuwa wakiandamana na kuzunguka na people's power.
 
Nawaambieni, mwakani kuna uchaguzi wa Serikali za mitaa. Chadema wameganda kwenye mabaraza ya katiba na tembo wanaoibiwa. CCM tunawaona wanavyozunguka sasa hivi nyumba hadi nyumba kuweka mambo sawa. Chadema inasubiri kampeni mwakani bila kujua ushindi katika siasa ni mahesabu si wingi wa watu na kura. Wakija kupigwa wataanza kudai wameibiwa kura. Yetu macho, wengine hatuna dini wala siasa. 

--- On Sat, 4/27/13, denis Matanda <denis.matanda@gmail.com> wrote:

From: denis Matanda <denis.matanda@gmail.com>

Subject: Re: [wanabidii] PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA NI VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Saturday, April 27, 2013, 9:19 AM


Mimi nahisi Fadhili amemsahau Arfi wa Mpanda kwenye list yake ya watu anaowakubali!!!!!


2013/4/27 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>
Kaka lipumba kayazungumza yale yale wanayozungumzaga chadema, kama
kupwaya kwa kiti, na majibu ya mawaziri, kuzungumzia udhaifu wa
chadema bungeni imekuwa kosa? hili ni tatizo kubwa sana watu
tunamalazi ya kupenda hata upuuzi ambao hautusaidii kama watanzania.

On 4/27/13, Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com> wrote:
> Fadhili, Hiyo ni hotuba? Na wewe tunakufahamu kwanini unamkubali ZZK tu.
> Vin
>
>
> 2013/4/27 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com>
>
>>  ALIOZUNGUMZA LIPUMBA TATIZO LIKO WAPI? MBONA KAONGEA YA MSINGI NA
>> MAMBO YA UZALENDO, TATIZO LENU HAMPENDI KUKOSOLEWA HATA KATIKA MAMBO
>> YA MSINGI. HII NI NCHI YETU SOTE NA SI YA CHADEMA NA CCM. Binafsi
>> katika wabunge wa chadema namkubali ZITTO TU hata hoja zake bungeni
>> zina mashiko na maslahi kwa taifa, wengine mipasho na vurugu
>> tu.nawaasa wabunge wengine wa ccm na chadema wajifunze kwa ZITTO.
>> Tatizo kubwa la wabunge wa chadema wameingia katika mtego wa ccm
>> wabebakia kurumbana na kusahau yamsingi kwa taifa na hilo ndilo
>> walilotaka ccm.
>>
>>       HII NDIO HUTUBA YA LIPUMBA
>>
>> Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema vurugu zinazoendelea bungeni
>> zinasababishwa na Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na Mwenyekiti
>> wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe,
>> kushindwa kujenga hoja na mbinu za kuwabana wabunge wa Chama Cha
>> Mapinduzi (CCM).
>>
>>
>> Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CUF, Profesa
>> Ibrahim Lipumba alisema wabunge wa Chadema wana tabia ya kufuata mfumo
>> wa kwenda bungeni na hoja zinazobeba chama chao na si za Watanzania
>> wote kama jinsi CCM wanavyofanya.
>>
>> "Kambi rasmi ya upinzani imepoteza uwezo wa kujenga hoja za mashiko na
>> mbinu madhubuti za kuwabana wabunge wa CCM bungeni na badala yake
>> Chadema, wamekuwa na tabia mbaya ya kubeba chama chao," alisema
>> Profesa Lipumba.
>>
>>
>> Alisema kambi rasmi ya upinzani pia imeshindwa kulinda utaratibu mzuri
>> wa kutetea masilahi ya umma bila jazba na hoja zenye mashiko kama
>> ilivyokuwa miaka ya nyuma ilipokuwa ikiongozwa na CUF, Kiongozi huyo
>> alisema kambi ya upinzani inapaswa ijipange upya kwa utaratibu na
>> mikakati mizuri ya kuteta hoja za wananchi bila kuyumbishwa na wabunge
>> wa CCM.
>>
>> "Bunge usiwe uwanja wa kuonyesha mbwembwe za chama bali uwe uwanja wa
>> kutetea haki za wananchi, wabunge wanapaswa wabadilishe mitazamo ya
>> kuona bungeni ni sehemu ya kujionyesha kisiasa na chama chako
>> kinafanya nini nje ya Bunge," alisema Lipumba.
>>
>>
>> Alisema viongozi wa Serikali wanapaswa kubadilika kuhusu namna ya
>> kutoa majibu bungeni.
>>
>> Profesa Lipumba alisema mawaziri wengi wanakuwa wakitoa majibu mepesi
>> katika maswali ya msingi yanayoulizwa na wabunge wa upinzani.
>>
>> Alisema Bunge linatumia muda na pesa za walipakodi vibaya kwa baadhi
>> ya wabunge kuwa na ubishi usiokuwa na tija, kutoleana matusi na
>> wengine kuingilia hoja za wenzao bila sababu za msingi.
>>
>> Profesa Lipumba pia alisema Spika wa Bunge, Anne Makinda amepoteza
>> uwezo wa kuliongoza Bunge.
>>
>> Mwananchi
>>
>>
>>
>> On 4/26/13, lingsadam@yahoo.co.uk <lingsadam@yahoo.co.uk> wrote:
>> > Elisa, ndugu yangu nadhani unafikia hitimisho sivyo ndivyo na kwa
>> > haraka.
>> > Umejuaje hawajasoma link?umejuaje wameudhika? Binafsi nimeisoma hiyo na
>> huo
>> > ndiyo mchango wangu. Si lazima nichangie kwenye kila hoja, mathalan. Na
>> sio
>> > kila hoja iwavutie wachangiaji wote.
>> > -----Original message-----
>> > From: ELISA MUHINGO
>> > Sent:  26/04/2013, 22:38
>> > To: wanabidii@googlegroups.com
>> > Subject: RE: [wanabidii] PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA
>> > NI
>> > VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA
>> >
>> >
>> > Wasomaji wangefuatilia link wangeweza kuchangia mjadala vizuri.
>> > Mahala fulani anasema Mawaziri wanashindwa kujibu hoja makini
>> zinazotolewa
>> > na wabunge wa chadema. Kuna mahala amemlaumu Speaker kwa kushindwa
>> kuendesha
>> > bunge. Basi kwa sababu kichwa cha mada kimewaudhi wachangiaji ila
>> > Lipumba
>> > ameongea ya maana
>> >
>> > --- On Fri, 4/26/13, lingsadam@yahoo.co.uk <lingsadam@yahoo.co.uk>
>> wrote:
>> >
>> >
>> > From: lingsadam@yahoo.co.uk <lingsadam@yahoo.co.uk>
>> > Subject: RE: [wanabidii] PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA
>> > NI
>> > VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA
>> > To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
>> > Date: Friday, April 26, 2013, 12:12 PM
>> >
>> >
>> > Nadhi hii ni nzuri. Chadema watakumbuka kuwa kukataa kuwa na vyama
>> vingine
>> > vyenye wabunge bungeni kuunda ka,bi rasmi ya upinzani bungeni ni fursa
>> > na
>> > changamoto. Lipumba kapata pa kushika pabaya.
>> >
>> > Lakini kwamba enzi CUF kinaongoza kambi ya upinzani hoja zilikuwa nzito
>> hata
>> > kuwabana wabunge wa CCM hapo tena Lipumba katia chumvi nyingi. Na pia
>> > ni
>> > vema kuwa ndoa ya vyama hivi viwili kule zanzibar imekuwa kama sindano
>> > ya
>> > ganzi kwa chama cha wananchi.
>> >
>> > Mwisho, nadhani mkakati wa wabunge wa chadema, bila kujali labels
>> > wanazopewa, uko effective si tu ktk kukibeba chama chao bali pia
>> > kujaribu
>> > kusukuma agenda za kitaifa. For in an oppressive atmosphere the best
>> > good
>> > people can do is try to disobey the bad laws!
>> > -----Original message-----
>> > From: hkigwangalla@gmail.com
>> > Sent:  26/04/2013, 20:47
>> > To: wanabidii@googlegroups.com
>> > Subject: Re: [wanabidii] PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA
>> > NI
>> > VINARA WA VURUGU NA HAWANA HOJA
>> >
>> >
>> > Duh! Sasa siasa imepamba moto! CUF rasmi katika uwanja wa siasa za
>> uzalendo
>> > zaidi!
>> > Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
>> >
>> > -----Original Message-----
>> > From: richard bahati <ribahati@gmail.com>
>> > Sender: wanabidii@googlegroups.com
>> > Date: Fri, 26 Apr 2013 10:33:17
>> > To: wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>
>> > Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
>> > Subject: [wanabidii] PROFESA LIPUMBA AIPONDA CHADEMA NA KUDAI KUWA NI
>> > VINARA
>> > WA VURUGU NA HAWANA HOJA
>> >
>> > Chama Cha Wananchi (CUF), kimesema vurugu zinazoendelea bungeni
>> > zinasababishwa na Kambi Rasmi ya Upinzani inayoongozwa na Mwenyekiti wa
>> > Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, kushindwa
>> > kujenga hoja na mbinu za kuwabana wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
>> > <http://www.blogger.com/null>
>> >
>> > Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa CUF, Profesa
>> > Ibrahim
>> > Lipumba alisema wabunge wa Chadema wana tabia ya kufuata mfumo wa
>> > kwenda
>> > bungeni na hoja zinazobeba chama chao na si za Watanzania wote kama
>> > jinsi
>> > CCM wanavyofanya.
>> >
>> > Taarifa hiiinaendelea kwa undani hapa chini:
>> >
>> >
>> http://goldentz.blogspot.com/2013/04/profesa-lipumba-aiponda-chadema-na.html
>> >
>> > --
>> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups
>> > "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an
>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>> >
>> >
>> > --
>> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups
>> > "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an
>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>> >
>> >
>> > --
>> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups
>> > "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an
>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>> >
>> > --
>> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups
>> > "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an
>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>> >
>> >
>> > --
>> > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>> >
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>> >
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> > must
>> be
>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> agree to
>> > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups
>> > "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an
>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>> >
>> >
>> >
>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>>
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.





--
Wasalaam,
 
Denis Matanda,
Mine Planning Supt,
Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment