Wewe Selemani Swalehe acha utani kama si porojo za kawaida. Nani kakuloga na kuamini Lowassa alichafuliwa? Na nani kakuambia sasa anaonekana ni Mr.Clean? Hoja ya msingi uliyotakiwa kupost hapa ni kwa jinsi gani hizo tuhuma thidi yake zimekuja kuthibitika kuwa hazikuwa na ukweli ndani yake. Hapo ningekuelewa lakini habari ikikaa kimya bila kusemwa si kweli kwamba ni ushahidi kuwa haipo. Hatumchukii Lowassa maana ni Mtanzania kama alivyo Rostam, Chenge, wewe, mimi nakadhalika. Kinachomchafua Lowassa ni woga. Woga wa kushindwa kuthibitishia umma kile anachotajwa kwayo. Mfano, Richmond aliacha watu ndio waongeeee hadi leo tunaamini ni muhusika. Pili kuna kashfa ya Mvua ya Kudungua kwa Helikopta alileta yeye na katika usanifu wa mradi huo unadaiwa kutafuna mabilioni ya shilingi na ni yeye anatajwa kwa nini akaye kimya? Inawezekana hahusiki kabisa lakini kukaa kimya kwa wanasiasa mara nyingi ni kupisha "pepo wachafu" au kupotezea. Kuna kashfa ya kudaiwa kumiliki ranchi kadhaa hapa nchini kinyume cha sheria. Uhusiano wake na familia ya Baba wa Taifa bado inadaiwa kuwa tete na mengine mengi. Laiti kama ningekuwa political adviser wa Lowassa ningemshauri kutolea ufafanuzi mambo haya kama anataka kweli kuitwa Mr.Clean. Ndugu Lowassa, wanakupaka mafuta kwa mgongo wa chupa, bado hujawa Mr.Clean. Simama wima ujitetee na tukuhoji hadharani.
--- On Thu, 4/25/13, Selemani Swalehe <semkiwas@gmail.com> wrote:
From: Selemani Swalehe <semkiwas@gmail.com> Subject: Re: [wanabidii] MH.Edward Lowassa kupewa tuzo ya heshima To: wanabidii@googlegroups.com Date: Thursday, April 25, 2013, 5:53 AM
CHEZEYA FEDHA WEWE Sule 2013/4/21 fadhil fadhil <fadhil.fadhil96@gmail.com> ajabu sana Lowasa alichafuliwa sana kila mtu alimuona fisadi, leo hii anaonekana shujaa na, tena hao wanaojiita viongozi wa dini ndio waliokuwa mstari wa mbele kumshutumu kuwa fisadi na serikali yote ya kifisadi wakiongozwa na wanasiasa waliokuwa na interest binafsi, Leo hii amekuwa mr.clean na sio fisadi tena, jamani tuacheni siasa za kuchafuana na kushutumiana bila sababu na ushahidi, Wanaojiita viongozi wa dini ndio wanaotuharibia nchi yetu na umoja wetu, pale wanapokuwa na interest binafsi na watawala wakiwapotezea tabu zinaanzia hapo. Mhe Lowasa kuwa makini nao sio wazuri hao, ikitokea ukaja kuwa rais watataka wanufaike nawe, ukuikataa kutumika kwa maslahi yao kosa, na tatizo litaanzia hapo, maneno mabaya na kashfa zote watakutupia kama tunavyoona yanayotokea sasa, viongozi wa dini wanafanya za wanasiasa On 4/18/13, mutabaazi lugaziya < mjlugaziya@mail.com> wrote: > Hii ndio Bongo!!! > > Wonders will never cease in this country. > > MJL > > -- > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com> > Kujiondoa Tuma Email kwenda > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha > ukishatuma > > Disclaimer: > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal > consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be > presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to > this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. > --- > You received this message because you are subscribed to the Google Groups > "Wanabidii" group. > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. > For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. > > > -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.comKujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.com Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. --- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
|
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment