Saturday 27 April 2013

Re: [wanabidii] HUJUMA ZA TANGANYIKA KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO

Nijuavyo mimi, kwa mujibu wa Katiba, katika sherehe za Muungano, ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania (na si Rais wa Tanganyika) ambaye ndiye amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ndiye anakuwa mwenyeji (host) na kukagua gwaride lililoandaliwa.
 
Nadhani hata wakati wa sherehe za mapinduzi ya Zanzibar (ambazo huwa zinafanyika Zanzibar) Rais za Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ndiye aliyekuwa host, na wengine wote akina JK walikaa jukwaani kuangalia.
 
Hata hivyo ni hoja inayozungumzika kuwa sherehe hizi zifanywe kwa kupokezana.
 
mkm

--- On Sat, 4/27/13, amichuzi@gmail.com <amichuzi@gmail.com> wrote:

From: amichuzi@gmail.com <amichuzi@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] HUJUMA ZA TANGANYIKA KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Saturday, April 27, 2013, 1:48 PM

Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: salum mkango <salumkango@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sat, 27 Apr 2013 02:29:43 -0700 (PDT)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] HUJUMA ZA TANGANYIKA KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO

Ndugu yangu Dennis waswahili husema ukila na kipofu usimshike mkono. Lakini wengi wetu tukishashiba tunamshika mkono kipofu na hapo ndipo anapostuka na kujiuliza huyu jamaa kala kwake kumeisha anakuja kula upande wangu pia???? Hapo ndipo walipofika wenzetu Wazanzibari. Sasa wanatushika mikono. Ipo siku tutawapa watakacho halafu..........
 

From: denis Matanda <denis.matanda@gmail.com>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Saturday, April 27, 2013 12:15 PM
Subject: Re: [wanabidii] HUJUMA ZA TANGANYIKA KATIKA SHEREHE ZA MUUNGANO

Amri ingekuwa yangu, ningewapa hawa Wazanzibari wanachokitaka. Haki ya mungu. Hawatajua thamani ya huu muungano mpaka uvunjike na by then itakuwa too late kwa kuwa hakutakuwa na uwezekano wa kuja kuungana tena chini ya kizazi hiki.
 
Sitashangaa kama baadhi ya hawa wenye chokochoko hizi ndio wale wenye maduka Tandika na Kariakoo.........................


2013/4/27 Fakhi Karume <fkarume@gmail.com>
Jamani hawa Watanganyika wataendelea na huu wizi wao wa kuwaibia Wazanzibari kila kitu hata hizi sherehe za Mungano mpaka lini?

Zamani wakati wa marehemu Karume tuliona sherehe zinakuwa za pammoja yaani Mzee Karume wanapanda gari la pammoja na kukaguwa gwaride pammoja hii ilikuwa kuimanisha kuwa muungano ni wa nchi mbili na viongozi hao wa nchi mbili kuwa pammoja Sasa hawa wezi Watanganyika wameziiba sherehe za Muungano kuwa zao peke yao na kila mwaka kuziofanya nchini kwao na humuoni tena huyo rais wa Zanzibar kwenye gwaride au hata kupanga lile gari kuwa pammoja kama wakati wa uhai wake Karumeili kuwaonyesha wananchi kuwa tuko wawili ndio ishara ya muungano wa nchi mbili Isitoshe wezi hawa wanaona ni haki yao kufanya sherehe kule kwao tu .Sasa nawauliza hawaoni haya hata kidogo kuwaibia hao wanaowaita ndugu zao alau kwa kuwadanganya kwa lkila mwaka sherehe hizi zikafanyika kila upande?

Wazanzibari muwajuwe hao Watanganyika si wenzenu wanataka kukuibieni tu na hata bado mtayaona wenyewe huko mbele amkeni wacheni kulala usingizi wa pono
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
Wasalaam,
 
Denis Matanda,
Mine Planning Supt,
Tanzania.
 
" Low aim, not failure, is a crime"
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

0 comments:

Post a Comment