Jamani,
Sijaona hii ripoti ya pili kutoka Baraza la Habari la Tanzania ikijadiliwa au kuwekwa humu.
Naomba basi kwa heshima na taadhima niiweke humu ingawa mwenyewe sijapata muda wa kuisoma. Pamoja nayo, naomba niiweke na ile ya Kamati ambayo kidogo jana inipe homa nilipoidonyoadonyoa kidogo dakika chache baada ya kuwekwa humu.
Matinyi.
Sijaona hii ripoti ya pili kutoka Baraza la Habari la Tanzania ikijadiliwa au kuwekwa humu.
Naomba basi kwa heshima na taadhima niiweke humu ingawa mwenyewe sijapata muda wa kuisoma. Pamoja nayo, naomba niiweke na ile ya Kamati ambayo kidogo jana inipe homa nilipoidonyoadonyoa kidogo dakika chache baada ya kuwekwa humu.
Matinyi.
0 comments:
Post a Comment