DR.D. OLOMI, SI KILA MWANANCHI WA KENYA, GHANA NA AFRICA YA KUSINI ALIANDIKA KATIBA, ILA WACHACHE WAO WENYA NIA NJEMA NA MACHUNGU YA KUTETEA HAKI ZA WANANCHI WA NCHI ZAO WALIJITOA N KUZALISHA KATIBA HIZO NZURI ZINAZOBEBA MASUALA YA WATU WAO. KUMBUKA HATA MWL J K NYERERE WAKATI WAKE ALIKUWA YEYE PEKE YAKE ALIYEUMIZWA NA HALI YA WKOLONI WAPORAJI NA AKASIMAMA NA KUTOA HOJA NA HATIMAYE MABADILIKO YALIPATIKANA. SASA HIVI WATANZANIA WENGI WASOMI WANATOSHA SANA KUANDIKA KATIBA NZURI SANA HATA KUPITA HIZO ULIZOTOLEA MFANO. KAMA UMEKWISHA ZISOMA NA KUZIELEWA VIZURI NYANYUKA POPOTE ULIPO NA JIUNGE NA MCHAKATO WA KUFANIKISHA KULETA KATIBA MPYA TANZANIA. WENGI WATAKUONA NA WATAKUFUATA NYUMA. VILE VILE IMEANDIKWA ; “Ecclesiastes 7:19, New International Version Bible; Wisdom makes one wise man more powerful than ten rulers in a city”. NAKUSHAURI TENA UNYANYUKE UFANYE KAZI ILIYOKO MBELE YA WATANZANIA KWA MANUFAA YAO NA VIZAZI VYAO.
D. KALOGOSHO
From: Bubelwa E. Kaiza [mailto:bubelwa.kaiza@fordia.org]
Sent: Wednesday, October 03, 2012 10:18 AM
To: wanataaluma@googlegroups.com; 'Demetria Kalogosho'
Cc: magesa@tanzaniaports.com; issamichuzi@gmail.com; johnbukuku@gmail.com; mjengwamaggid@gmail.com; haki.yako@gmail.com; m_mbura@yahoo.co.uk; mhegera@hotmail.com; masaoe@hotmail.com; oswald_urassa@hotmail.com; innojg@me.com; jjnyella@hotmail.com; tmuganyizi@tra.go.tz; stmrema@hq.bot-tz.org; lextlm@hotmail.com; gokkibaga@gmail.com; dakifile@simbanet.net; geoffkasambula@yahoo.com; edwinfulltime@yahoo.com; dgtenga@hq.bot-tz.org; aamdimu@gmail.com; hkitenge@yahoo.com; salumm@hotmail.com; kfairom@gmail.com; askk@excite.com; jeffnsemwa@yahoo.co.uk; ericshitindi@utumishi.go.tz; mwakalinga@hotmail.com; amani37@yahoo.com; nyoxterie@yahoo.com; maponde59@yahoo.com; yetongola@hq.bot-tz.org; josephatsanda@yahoo.com; jrmsaki@yahoo.com; msafiri_1965@yahoo.com; ed@hakielimu.org; hkitenge@hotmail.com; rlwakatare@yahoo.com; jnjau@cresta-attorneys.com; hutoldu@yahoo.com; magai@immma.co.tz; masha@immma.co.tz; killpests@gmail.com; gonza30@hotmail.com; glwakatare@nwb.or.tz; lkanijo@gmail.com; clement@samcatgroup.com; iyennsemwa@gmail.com; bkaissy@tra.go.tz; e_maseke@yahoo.co.uk; emapesa@yahoo.com; fmwaisela@yahoo.com; ekakuyu@ppftz.org; ikalumuna@hotmail.com; csabuni@tra.go.tz; skimaro@tra.go.tz; singili@intafrica.com; hasner_8@hotmail.com; atumwa@yahoo.com; chandosophia@hotmail.com; mas_jirabi@hotmail.com; mas_jirabi@yahoo.com; j_haule@hotmail.com; void_k@yahoo.com; taiyoerasto@yahoo.com; gmagulu@yahoo.com; sittir@stanbic.com; smsangi@mail.com; kiafrema@yahoo.com; ikushoka@yahoo.com; asimwe@eiq.net.au; e.ombaka@gmail.com; akavishe@bancabc.com; anna@cartrack.co.tz; ansimmasi@barakasolar.co.tz; stideslyte05@yahoo.com; bosco@infoconsultancy.com; butamop@yahoo.co.uk; daniel@technologyconcepts.co.tz; management@trust.co.tz; dennisfrancis2010@yahoo.com; dicksonhyera@yahoo.com; olomi@udbs.udsm.ac.tz; mayoinsuranceltd@gmail.com; yobu@udbs.udsm.ac.tz; tzasili@yahoo.com; eric.duplessis@theprofingroup.com; bdm@skylinktanzania.com; magadytz@yahoo.com; godmosha@yahoo.com; principal@ud.co.tz; hopeofhelen@yahoo.com; hildegardmziray@gmail.com; kwigaya@yahoo.com; oosir@resolution.co.tz; rtemba@yahoo.com; skeeter24emma23@yahoo.com; tq@datavision.co.tz; viv@bizonlineafrica.com; wonyango@resolution.co.tz; md@pmc.co.tz; ovacado@hotmail.com; muraguri@bnieastafrica.com; gkatulamahendeka@yahoo.com; bmunisi05@yahoo.com; dshambwe@nhctz.com; machangaanna@yahoo.com; samsimpilu@tanzaniaports.com; mobinsons@yahoo.com; hmwamsyani@yahoo.com; cnazi2002@yahoo.com; j99cgum@yahoo.com; s.muhongo@bol.co.tz; a.nguluma@rexattorneys.co.tz; abckowero@yahoo.co.uk; wanabidii@googlegroups.com; adelaidan@gmail.com; admin@kongoi.com; adrianngasi@yahoo.com; afaraji@hotmail.com; akilonge@yahoo.co.uk; albertsozzy@yahoo.com; ali_seif@yahoo.com; ally.mzava@natnets.org; allymzava@yahoo.com; almkindi@gmail.com; amarco.marco0@gmail.com; amidelo@hotmail.com; anaelm@resolute-ltd.com.au; andrew.kwayu@kilimo.go.tz; angelinaballart@yahoo.com; asaguti@mkapahivfoundation.org; atemu@calder-systems.com; bahati.geuzye@tz.ey.com; bandaobed@yahoo.com; bastectz@hotmail.com; beatuslm@yahoo.com; bertharita2002@yahoo.co.uk; bin_yakub@hotmail.com; bmbambe@gmail.com; bmwasonga@hotmail.com; bnjau@interconsult-tz.com; bnjau@uccmail.co.tz; bonitakilama@yahoo.com; bosser13@yahoo.com; brighton.chiza@aku.edu; buseejj@yahoo.com
Subject: RE: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU
Kama wasomi wetu wangekuwa-relevant katika muktadha wa taaluma zao na weledi wao, wanasiasa vibaka (na mfumo unaolinda vibaka hao kushamiri katika siasa za nchi yetu) wasingepata nafasi ya preying on our state.
Olomi can you take the lead?
Kaiza
-----Original Message-----
From: wanataaluma@googlegroups.com [mailto:wanataaluma@googlegroups.com] On Behalf Of Donath R.Olomi
Sent: Jumatano, Oktoba 03, 2012 5:21 AM
To: Demetria Kalogosho
Cc: magesa@tanzaniaports.com; issamichuzi@gmail.com; johnbukuku@gmail.com; mjengwamaggid@gmail.com; haki.yako@gmail.com; wanataaluma@googlegroups.com; m_mbura@yahoo.co.uk; mhegera@hotmail.com; masaoe@hotmail.com; oswald_urassa@hotmail.com; innojg@me.com; jjnyella@hotmail.com; tmuganyizi@tra.go.tz; stmrema@hq.bot-tz.org; lextlm@hotmail.com; gokkibaga@gmail.com; dakifile@simbanet.net; geoffkasambula@yahoo.com; edwinfulltime@yahoo.com; dgtenga@hq.bot-tz.org; aamdimu@gmail.com; hkitenge@yahoo.com; salumm@hotmail.com; kfairom@gmail.com; askk@excite.com; jeffnsemwa@yahoo.co.uk; ericshitindi@utumishi.go.tz; mwakalinga@hotmail.com; amani37@yahoo.com; nyoxterie@yahoo.com; maponde59@yahoo.com; yetongola@hq.bot-tz.org; josephatsanda@yahoo.com; jrmsaki@yahoo.com; msafiri_1965@yahoo.com; ed@hakielimu.org; hkitenge@hotmail.com; rlwakatare@yahoo.com; jnjau@cresta-attorneys.com; hutoldu@yahoo.com; magai@immma.co.tz; masha@immma.co.tz; killpests@gmail.com; gonza30@hotmail.com; glwakatare@nwb.or.tz; lkanijo@gmail.com; clement@samcatgroup.com; iyennsemwa@gmail.com; bkaissy@tra.go.tz; e_maseke@yahoo.co.uk; emapesa@yahoo.com; fmwaisela@yahoo.com; ekakuyu@ppftz.org; ikalumuna@hotmail.com; csabuni@tra.go.tz; skimaro@tra.go.tz; singili@intafrica.com; hasner_8@hotmail.com; atumwa@yahoo.com; chandosophia@hotmail.com; mas_jirabi@hotmail.com; mas_jirabi@yahoo.com; j_haule@hotmail.com; void_k@yahoo.com; taiyoerasto@yahoo.com; gmagulu@yahoo.com; sittir@stanbic.com; smsangi@mail.com; kiafrema@yahoo.com; ikushoka@yahoo.com; asimwe@eiq.net.au; e.ombaka@gmail.com; akavishe@bancabc.com; anna@cartrack.co.tz; ansimmasi@barakasolar.co.tz; stideslyte05@yahoo.com; bosco@infoconsultancy.com; butamop@yahoo.co.uk; daniel@technologyconcepts.co.tz; management@trust.co.tz; dennisfrancis2010@yahoo.com; dicksonhyera@yahoo.com; olomi@imedtz.org; olomi@udbs.udsm.ac.tz; mayoinsuranceltd@gmail.com; yobu@udbs.udsm.ac.tz; tzasili@yahoo.com; eric.duplessis@theprofingroup.com; bdm@skylinktanzania.com; magadytz@yahoo.com; godmosha@yahoo.com; principal@ud.co.tz; hopeofhelen@yahoo.com; hildegardmziray@gmail.com; kwigaya@yahoo.com; oosir@resolution.co.tz; rtemba@yahoo.com; skeeter24emma23@yahoo.com; tq@datavision.co.tz; viv@bizonlineafrica.com; wonyango@resolution.co.tz; md@pmc.co.tz; ovacado@hotmail.com; muraguri@bnieastafrica.com; gkatulamahendeka@yahoo.com; bmunisi05@yahoo.com; dshambwe@nhctz.com; machangaanna@yahoo.com; samsimpilu@tanzaniaports.com; mobinsons@yahoo.com; hmwamsyani@yahoo.com; cnazi2002@yahoo.com; j99cgum@yahoo.com; s.muhongo@bol.co.tz; a.nguluma@rexattorneys.co.tz; abckowero@yahoo.co.uk; wanabidii@googlegroups.com; adelaidan@gmail.com; admin@kongoi.com; adrianngasi@yahoo.com; afaraji@hotmail.com; akilonge@yahoo.co.uk; albertsozzy@yahoo.com; ali_seif@yahoo.com; ally.mzava@natnets.org; allymzava@yahoo.com; almkindi@gmail.com; amarco.marco0@gmail.com; amidelo@hotmail.com; anaelm@resolute-ltd.com.au; andrew.kwayu@kilimo.go.tz; angelinaballart@yahoo.com; asaguti@mkapahivfoundation.org; atemu@calder-systems.com; bahati.geuzye@tz.ey.com; bandaobed@yahoo.com; bastectz@hotmail.com; beatuslm@yahoo.com; bertharita2002@yahoo.co.uk; bin_yakub@hotmail.com; bmbambe@gmail.com; bmwasonga@hotmail.com; bnjau@interconsult-tz.com; bnjau@uccmail.co.tz; bonitakilama@yahoo.com; bosser13@yahoo.com; brighton.chiza@aku.edu; bubelwa.kaiza@fordia.org; buseejj@yahoo.com
Subject: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU
Waz
Katika kutafuta katiba mpya ni vizuri kuzingatia kuwa kuna nchi ambazo
zimetoa katiba mpya miaka ya karibuni, ikiwemo Kenya, Ghana na Africa
Kusini.
Nchi hizi zimekuwa na matatizo mbalimbali makubwa, yakiwemo
ubaguzi,ufisadi uliopindukia unaowahusisha viongozi wa juu, ukabila na
mapinduzi ya kijeshi ya umwagaji damu.
Katiba za nchi hizi zimeangalia mbele na zimejaribu kuweka misingi ya
kuzikwepesha na haya matatizo siku zijazo. Vilevile ni katiba
zilizoandaliwa wakati sehemu kubwa ya wananchi wakiwa na utambuzi wa haki
zao, na kukiwa hakuna kundi lililokuwa limehodhi nguvu kiasi cha kuweza
kulazimisha mambo waliyoyataka yawekwe kwenye katiba au kukwepesha yale
ambayo hawakuyata yasiwekwe kwenye katiba. Matokea yake zimekuwa katiba
za watu wa nchi husika, na si za viongozi au kundi la wafanyabishara au
wadau wa nchi wenye maslahi katika nchi hizo.
Sisi watanzania mmoja mmoja na katika vikundi, na kamati ya kukusanya
maoni maoni hatuna budi kuzisoma hizi katiba na kujifunza jinsi maswala
haya yalivyowekewa misingi
“Give your energy to things that give you energy.”,
“Learn enough to begin and then learn as you go.”
Dr. Donath R.Olomi
Chief Executive Officer
Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED)
Mwalimu House 7th Floor, Ilala
P.O. Box 35036 Dar es Salaam, Tanzania E-mail: info@imedtz.org, website:
www.imedtz.org
Mobile +255-754-296660
0 comments:
Post a Comment