Thursday 4 October 2012

[wanabidii] RE: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU

DR.D. OLOMI, SI KILA MWANANCHI WA KENYA, GHANA NA AFRICA YA KUSINI ALIANDIKA KATIBA, ILA WACHACHE WAO WENYA NIA NJEMA NA MACHUNGU YA KUTETEA HAKI ZA WANANCHI WA NCHI ZAO WALIJITOA N KUZALISHA KATIBA HIZO NZURI ZINAZOBEBA MASUALA YA WATU WAO. KUMBUKA HATA MWL J K NYERERE WAKATI WAKE ALIKUWA YEYE PEKE YAKE  ALIYEUMIZWA NA HALI YA WKOLONI WAPORAJI NA AKASIMAMA NA KUTOA HOJA NA HATIMAYE MABADILIKO YALIPATIKANA. SASA HIVI WATANZANIA WENGI WASOMI WANATOSHA SANA KUANDIKA KATIBA NZURI SANA HATA KUPITA HIZO ULIZOTOLEA MFANO.  KAMA UMEKWISHA ZISOMA NA KUZIELEWA VIZURI NYANYUKA POPOTE ULIPO NA JIUNGE NA MCHAKATO WA  KUFANIKISHA KULETA KATIBA MPYA TANZANIA. WENGI WATAKUONA NA WATAKUFUATA NYUMA.  VILE VILE IMEANDIKWA ; “Ecclesiastes 7:19, New International Version Bible;  Wisdom makes one wise man more powerful than ten rulers in a city”.  NAKUSHAURI TENA UNYANYUKE UFANYE KAZI ILIYOKO MBELE YA WATANZANIA KWA MANUFAA YAO NA VIZAZI VYAO.

 D. KALOGOSHO  

 

From: Bubelwa E. Kaiza [mailto:bubelwa.kaiza@fordia.org]
Sent: Wednesday, October 03, 2012 10:18 AM
To: wanataaluma@googlegroups.com; 'Demetria Kalogosho'
Cc: magesa@tanzaniaports.com; issamichuzi@gmail.com; johnbukuku@gmail.com; mjengwamaggid@gmail.com; haki.yako@gmail.com; m_mbura@yahoo.co.uk; mhegera@hotmail.com; masaoe@hotmail.com; oswald_urassa@hotmail.com; innojg@me.com; jjnyella@hotmail.com; tmuganyizi@tra.go.tz; stmrema@hq.bot-tz.org; lextlm@hotmail.com; gokkibaga@gmail.com; dakifile@simbanet.net; geoffkasambula@yahoo.com; edwinfulltime@yahoo.com; dgtenga@hq.bot-tz.org; aamdimu@gmail.com; hkitenge@yahoo.com; salumm@hotmail.com; kfairom@gmail.com; askk@excite.com; jeffnsemwa@yahoo.co.uk; ericshitindi@utumishi.go.tz; mwakalinga@hotmail.com; amani37@yahoo.com; nyoxterie@yahoo.com; maponde59@yahoo.com; yetongola@hq.bot-tz.org; josephatsanda@yahoo.com; jrmsaki@yahoo.com; msafiri_1965@yahoo.com; ed@hakielimu.org; hkitenge@hotmail.com; rlwakatare@yahoo.com; jnjau@cresta-attorneys.com; hutoldu@yahoo.com; magai@immma.co.tz; masha@immma.co.tz; killpests@gmail.com; gonza30@hotmail.com; glwakatare@nwb.or.tz; lkanijo@gmail.com; clement@samcatgroup.com; iyennsemwa@gmail.com; bkaissy@tra.go.tz; e_maseke@yahoo.co.uk; emapesa@yahoo.com; fmwaisela@yahoo.com; ekakuyu@ppftz.org; ikalumuna@hotmail.com; csabuni@tra.go.tz; skimaro@tra.go.tz; singili@intafrica.com; hasner_8@hotmail.com; atumwa@yahoo.com; chandosophia@hotmail.com; mas_jirabi@hotmail.com; mas_jirabi@yahoo.com; j_haule@hotmail.com; void_k@yahoo.com; taiyoerasto@yahoo.com; gmagulu@yahoo.com; sittir@stanbic.com; smsangi@mail.com; kiafrema@yahoo.com; ikushoka@yahoo.com; asimwe@eiq.net.au; e.ombaka@gmail.com; akavishe@bancabc.com; anna@cartrack.co.tz; ansimmasi@barakasolar.co.tz; stideslyte05@yahoo.com; bosco@infoconsultancy.com; butamop@yahoo.co.uk; daniel@technologyconcepts.co.tz; management@trust.co.tz; dennisfrancis2010@yahoo.com; dicksonhyera@yahoo.com; olomi@udbs.udsm.ac.tz; mayoinsuranceltd@gmail.com; yobu@udbs.udsm.ac.tz; tzasili@yahoo.com; eric.duplessis@theprofingroup.com; bdm@skylinktanzania.com; magadytz@yahoo.com; godmosha@yahoo.com; principal@ud.co.tz; hopeofhelen@yahoo.com; hildegardmziray@gmail.com; kwigaya@yahoo.com; oosir@resolution.co.tz; rtemba@yahoo.com; skeeter24emma23@yahoo.com; tq@datavision.co.tz; viv@bizonlineafrica.com; wonyango@resolution.co.tz; md@pmc.co.tz; ovacado@hotmail.com; muraguri@bnieastafrica.com; gkatulamahendeka@yahoo.com; bmunisi05@yahoo.com; dshambwe@nhctz.com; machangaanna@yahoo.com; samsimpilu@tanzaniaports.com; mobinsons@yahoo.com; hmwamsyani@yahoo.com; cnazi2002@yahoo.com; j99cgum@yahoo.com; s.muhongo@bol.co.tz; a.nguluma@rexattorneys.co.tz; abckowero@yahoo.co.uk; wanabidii@googlegroups.com; adelaidan@gmail.com; admin@kongoi.com; adrianngasi@yahoo.com; afaraji@hotmail.com; akilonge@yahoo.co.uk; albertsozzy@yahoo.com; ali_seif@yahoo.com; ally.mzava@natnets.org; allymzava@yahoo.com; almkindi@gmail.com; amarco.marco0@gmail.com; amidelo@hotmail.com; anaelm@resolute-ltd.com.au; andrew.kwayu@kilimo.go.tz; angelinaballart@yahoo.com; asaguti@mkapahivfoundation.org; atemu@calder-systems.com; bahati.geuzye@tz.ey.com; bandaobed@yahoo.com; bastectz@hotmail.com; beatuslm@yahoo.com; bertharita2002@yahoo.co.uk; bin_yakub@hotmail.com; bmbambe@gmail.com; bmwasonga@hotmail.com; bnjau@interconsult-tz.com; bnjau@uccmail.co.tz; bonitakilama@yahoo.com; bosser13@yahoo.com; brighton.chiza@aku.edu; buseejj@yahoo.com
Subject: RE: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU

 

Kama wasomi wetu wangekuwa-relevant katika muktadha wa taaluma zao na weledi wao, wanasiasa vibaka (na mfumo unaolinda vibaka hao kushamiri katika siasa za nchi yetu) wasingepata nafasi ya preying on our state.

Olomi can you take the lead?

Kaiza  

 

-----Original Message-----
From: wanataaluma@googlegroups.com [mailto:wanataaluma@googlegroups.com] On Behalf Of Donath R.Olomi
Sent: Jumatano, Oktoba 03, 2012 5:21 AM
To: Demetria Kalogosho
Cc: magesa@tanzaniaports.com; issamichuzi@gmail.com; johnbukuku@gmail.com; mjengwamaggid@gmail.com; haki.yako@gmail.com; wanataaluma@googlegroups.com; m_mbura@yahoo.co.uk; mhegera@hotmail.com; masaoe@hotmail.com; oswald_urassa@hotmail.com; innojg@me.com; jjnyella@hotmail.com; tmuganyizi@tra.go.tz; stmrema@hq.bot-tz.org; lextlm@hotmail.com; gokkibaga@gmail.com; dakifile@simbanet.net; geoffkasambula@yahoo.com; edwinfulltime@yahoo.com; dgtenga@hq.bot-tz.org; aamdimu@gmail.com; hkitenge@yahoo.com; salumm@hotmail.com; kfairom@gmail.com; askk@excite.com; jeffnsemwa@yahoo.co.uk; ericshitindi@utumishi.go.tz; mwakalinga@hotmail.com; amani37@yahoo.com; nyoxterie@yahoo.com; maponde59@yahoo.com; yetongola@hq.bot-tz.org; josephatsanda@yahoo.com; jrmsaki@yahoo.com; msafiri_1965@yahoo.com; ed@hakielimu.org; hkitenge@hotmail.com; rlwakatare@yahoo.com; jnjau@cresta-attorneys.com; hutoldu@yahoo.com; magai@immma.co.tz; masha@immma.co.tz; killpests@gmail.com; gonza30@hotmail.com; glwakatare@nwb.or.tz; lkanijo@gmail.com; clement@samcatgroup.com; iyennsemwa@gmail.com; bkaissy@tra.go.tz; e_maseke@yahoo.co.uk; emapesa@yahoo.com; fmwaisela@yahoo.com; ekakuyu@ppftz.org; ikalumuna@hotmail.com; csabuni@tra.go.tz; skimaro@tra.go.tz; singili@intafrica.com; hasner_8@hotmail.com; atumwa@yahoo.com; chandosophia@hotmail.com; mas_jirabi@hotmail.com; mas_jirabi@yahoo.com; j_haule@hotmail.com; void_k@yahoo.com; taiyoerasto@yahoo.com; gmagulu@yahoo.com; sittir@stanbic.com; smsangi@mail.com; kiafrema@yahoo.com; ikushoka@yahoo.com; asimwe@eiq.net.au; e.ombaka@gmail.com; akavishe@bancabc.com; anna@cartrack.co.tz; ansimmasi@barakasolar.co.tz; stideslyte05@yahoo.com; bosco@infoconsultancy.com; butamop@yahoo.co.uk; daniel@technologyconcepts.co.tz; management@trust.co.tz; dennisfrancis2010@yahoo.com; dicksonhyera@yahoo.com; olomi@imedtz.org; olomi@udbs.udsm.ac.tz; mayoinsuranceltd@gmail.com; yobu@udbs.udsm.ac.tz; tzasili@yahoo.com; eric.duplessis@theprofingroup.com; bdm@skylinktanzania.com; magadytz@yahoo.com; godmosha@yahoo.com; principal@ud.co.tz; hopeofhelen@yahoo.com; hildegardmziray@gmail.com; kwigaya@yahoo.com; oosir@resolution.co.tz; rtemba@yahoo.com; skeeter24emma23@yahoo.com; tq@datavision.co.tz; viv@bizonlineafrica.com; wonyango@resolution.co.tz; md@pmc.co.tz; ovacado@hotmail.com; muraguri@bnieastafrica.com; gkatulamahendeka@yahoo.com; bmunisi05@yahoo.com; dshambwe@nhctz.com; machangaanna@yahoo.com; samsimpilu@tanzaniaports.com; mobinsons@yahoo.com; hmwamsyani@yahoo.com; cnazi2002@yahoo.com; j99cgum@yahoo.com; s.muhongo@bol.co.tz; a.nguluma@rexattorneys.co.tz; abckowero@yahoo.co.uk; wanabidii@googlegroups.com; adelaidan@gmail.com; admin@kongoi.com; adrianngasi@yahoo.com; afaraji@hotmail.com; akilonge@yahoo.co.uk; albertsozzy@yahoo.com; ali_seif@yahoo.com; ally.mzava@natnets.org; allymzava@yahoo.com; almkindi@gmail.com; amarco.marco0@gmail.com; amidelo@hotmail.com; anaelm@resolute-ltd.com.au; andrew.kwayu@kilimo.go.tz; angelinaballart@yahoo.com; asaguti@mkapahivfoundation.org; atemu@calder-systems.com; bahati.geuzye@tz.ey.com; bandaobed@yahoo.com; bastectz@hotmail.com; beatuslm@yahoo.com; bertharita2002@yahoo.co.uk; bin_yakub@hotmail.com; bmbambe@gmail.com; bmwasonga@hotmail.com; bnjau@interconsult-tz.com; bnjau@uccmail.co.tz; bonitakilama@yahoo.com; bosser13@yahoo.com; brighton.chiza@aku.edu; bubelwa.kaiza@fordia.org; buseejj@yahoo.com
Subject: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU

 

Waz

 

Katika kutafuta katiba mpya ni vizuri kuzingatia kuwa kuna nchi ambazo

zimetoa katiba mpya miaka ya karibuni,  ikiwemo Kenya, Ghana na Africa

Kusini.

 

Nchi hizi zimekuwa na matatizo mbalimbali makubwa, yakiwemo

ubaguzi,ufisadi uliopindukia unaowahusisha viongozi wa juu, ukabila na

mapinduzi ya kijeshi ya umwagaji damu.

 

Katiba za nchi hizi zimeangalia mbele na zimejaribu kuweka misingi ya

kuzikwepesha na haya matatizo siku zijazo. Vilevile ni katiba

zilizoandaliwa wakati sehemu kubwa ya wananchi wakiwa na utambuzi wa haki

zao, na kukiwa hakuna kundi lililokuwa limehodhi nguvu kiasi cha kuweza

kulazimisha mambo waliyoyataka yawekwe kwenye katiba au kukwepesha yale

ambayo hawakuyata yasiwekwe kwenye katiba.  Matokea yake zimekuwa katiba

za watu wa nchi husika, na si za viongozi au kundi la wafanyabishara au

wadau wa nchi wenye maslahi katika nchi hizo.

 

Sisi watanzania mmoja mmoja na katika vikundi, na kamati ya kukusanya

maoni maoni hatuna budi kuzisoma hizi katiba na kujifunza jinsi maswala

haya yalivyowekewa misingi

 

 

“Give your energy to things that give you energy.”,

 

“Learn enough to begin and then learn as you go.”

 

 

Dr. Donath R.Olomi

Chief Executive Officer

Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED)

Mwalimu  House 7th Floor, Ilala

P.O. Box 35036 Dar es Salaam, Tanzania E-mail: info@imedtz.org, website:

www.imedtz.org

Mobile +255-754-296660

0 comments:

Post a Comment