Tuesday 23 October 2012

Re: [wanabidii] Wanaoshinda Vijiweni Kunywa Kahawa Wasisumbuliwe – Kaborou - Mwanzo

Hata kama ni kinywa kimoja ni vichwa viwili vilivyofikiri haya 1) Watu wakae vijiweni na ndio utamaduni wao na 2) Kuungwa mkono katika kuleta maendeleo.
Kama ni kichwa kimoja basi ni Problem inayohitaji specialist fulani

--- On Tue, 10/23/12, kailima kombwey <kailima.kombwey@googlemail.com> wrote:

From: kailima kombwey <kailima.kombwey@googlemail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Wanaoshinda Vijiweni Kunywa Kahawa Wasisumbuliwe – Kaborou - Mwanzo
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, October 23, 2012, 9:14 AM

Sijuwi hiyo Mikakati yake ya Maendeleo itapatikana vipi wakati anawahimiza watu wasifanye kazi badala yake wakae vijiweni kunywa "gahawa?" kwetu kule Kibondo na Kasulu watu wanashinda kazini mashambani na kwenye shughuli zingine na siyo vibarazani kunywa "gahawa". Na huo siyo utamaduni wa watu wa Kigoma angesema ni utamaduni wa Ujiji.
On Oct 23, 2012 3:54 PM, "Magiri paul" <kiganyi@gmail.com> wrote:
MWENYEKITI wa CCM Mkoa Kigoma, Dkt. Aman Kabourou ametaka wananchi wa mji wa Kigoma Ujiji wanaoshinda kwenye vijiwe na kunywa kahawa kutwa nzima wasisumbuliwe kwani huo ndiyo utamaduni wa mji huo.
Akihutubia Mkutano wake wa kwanza wa hadhara tangu achaguliwe kushika nafasi hiyo uliofanyika kwenye viwanja vya Cine Atlas Ujiji, Kabourou alisema watu hao wamezoea kuvaa kanzu zao nzuri nyeupe na kukaa kwenye vigenge vya kahawa kubadilishana mawazo.
Akizungumzia maendeleo ya Mkoa huo, Kabourou aliwataka wananchi kumuunga mkono katika mkakati wa kusimamia na kuleta maendeleo ya mkoa huo, kama ambavyo Rais Jakaya Kikwete alivyoonesha mfano kwa kuufungua mkoa huo na kuleta miradi mbalimbali ya maendeleo.

http://wotepamoja.com/archives/9554#.UIaS9SLj0qw.gmail
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment