Thursday 4 October 2012

Re: [wanabidii] RE: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU

Kalogosho nafikiri Ndugu Olomi mchango wake amekwishautoa kwa kutumia
njia hii ya mtandao. Si lazima aonane na tume ya kuratibu maoni ya
katiba moja kwa moja, kutegemea nafasi yake anaweza kuchangia kwa
kutumia barua pepe, barua ya kawaida, simu nk. Ali mradi mawazo yake
yafike kwa wahusika.
Pia kwa kuweka maoni yako hapa kwenye jukwaa la wanabidii tayari
anakuwa ametoa maoni yake maana yatasaidia watu kupanua wigo katika
kutoa maoni yao na pindi wapatapo nafasi ya kukutana na tume watatoa
maoni hayo.

Wapo ambao wanasoma humu humu kwenye mtandao na wataudhuria mikutano
watatoa mawazo yatakayokuwa yameboreshwa na maoni ya wengine kutoka
kwenye mitandao. Itakuwa vizuri zaidi kama Olomi ataweza kuhudhuria
mikutano au kumuona mjumbe mmojawapo akamueleza mchango wake lakini
pia ata kama hataweza wengine tunaweza kuwakilisha mawazo yake.

Kuhusu Mlm Nyerere kuumizwa na ukoloni peke yake naomba niseme wazi
kwamba umetuongopea. Wapo wengi zaidi ya Nyerere walioumizwa na
ukoloni na ndiyo maana waliungana naye kuutafuta uhuru wa nchi hii.
Hivi unataka kutwambia ata wale watu wa vijijini waliokuwa wanashinda
mapolini kwa kuogopa kukamatwa na wakoloni kwa sababu ya kodi ya
kichwa waliupenda ukoloni? Nyerere peke yake angeweza vipi kuutafuta
uhuru?



On Thu, Oct 4, 2012 at 2:40 PM, Demetria Kalogosho
<demetria.kalogosho@tgnp.org> wrote:
> DR.D. OLOMI, SI KILA MWANANCHI WA KENYA, GHANA NA AFRICA YA KUSINI ALIANDIKA
> KATIBA, ILA WACHACHE WAO WENYA NIA NJEMA NA MACHUNGU YA KUTETEA HAKI ZA
> WANANCHI WA NCHI ZAO WALIJITOA N KUZALISHA KATIBA HIZO NZURI ZINAZOBEBA
> MASUALA YA WATU WAO. KUMBUKA HATA MWL J K NYERERE WAKATI WAKE ALIKUWA YEYE
> PEKE YAKE ALIYEUMIZWA NA HALI YA WKOLONI WAPORAJI NA AKASIMAMA NA KUTOA
> HOJA NA HATIMAYE MABADILIKO YALIPATIKANA. SASA HIVI WATANZANIA WENGI WASOMI
> WANATOSHA SANA KUANDIKA KATIBA NZURI SANA HATA KUPITA HIZO ULIZOTOLEA MFANO.
> KAMA UMEKWISHA ZISOMA NA KUZIELEWA VIZURI NYANYUKA POPOTE ULIPO NA JIUNGE NA
> MCHAKATO WA KUFANIKISHA KULETA KATIBA MPYA TANZANIA. WENGI WATAKUONA NA
> WATAKUFUATA NYUMA. VILE VILE IMEANDIKWA ; "Ecclesiastes 7:19, New
> International Version Bible; Wisdom makes one wise man more powerful than
> ten rulers in a city". NAKUSHAURI TENA UNYANYUKE UFANYE KAZI ILIYOKO MBELE
> YA WATANZANIA KWA MANUFAA YAO NA VIZAZI VYAO.
>
> D. KALOGOSHO
>
>
>
> From: Bubelwa E. Kaiza [mailto:bubelwa.kaiza@fordia.org]
> Sent: Wednesday, October 03, 2012 10:18 AM
> To: wanataaluma@googlegroups.com; 'Demetria Kalogosho'
> Cc: magesa@tanzaniaports.com; issamichuzi@gmail.com; johnbukuku@gmail.com;
> mjengwamaggid@gmail.com; haki.yako@gmail.com; m_mbura@yahoo.co.uk;
> mhegera@hotmail.com; masaoe@hotmail.com; oswald_urassa@hotmail.com;
> innojg@me.com; jjnyella@hotmail.com; tmuganyizi@tra.go.tz;
> stmrema@hq.bot-tz.org; lextlm@hotmail.com; gokkibaga@gmail.com;
> dakifile@simbanet.net; geoffkasambula@yahoo.com; edwinfulltime@yahoo.com;
> dgtenga@hq.bot-tz.org; aamdimu@gmail.com; hkitenge@yahoo.com;
> salumm@hotmail.com; kfairom@gmail.com; askk@excite.com;
> jeffnsemwa@yahoo.co.uk; ericshitindi@utumishi.go.tz; mwakalinga@hotmail.com;
> amani37@yahoo.com; nyoxterie@yahoo.com; maponde59@yahoo.com;
> yetongola@hq.bot-tz.org; josephatsanda@yahoo.com; jrmsaki@yahoo.com;
> msafiri_1965@yahoo.com; ed@hakielimu.org; hkitenge@hotmail.com;
> rlwakatare@yahoo.com; jnjau@cresta-attorneys.com; hutoldu@yahoo.com;
> magai@immma.co.tz; masha@immma.co.tz; killpests@gmail.com;
> gonza30@hotmail.com; glwakatare@nwb.or.tz; lkanijo@gmail.com;
> clement@samcatgroup.com; iyennsemwa@gmail.com; bkaissy@tra.go.tz;
> e_maseke@yahoo.co.uk; emapesa@yahoo.com; fmwaisela@yahoo.com;
> ekakuyu@ppftz.org; ikalumuna@hotmail.com; csabuni@tra.go.tz;
> skimaro@tra.go.tz; singili@intafrica.com; hasner_8@hotmail.com;
> atumwa@yahoo.com; chandosophia@hotmail.com; mas_jirabi@hotmail.com;
> mas_jirabi@yahoo.com; j_haule@hotmail.com; void_k@yahoo.com;
> taiyoerasto@yahoo.com; gmagulu@yahoo.com; sittir@stanbic.com;
> smsangi@mail.com; kiafrema@yahoo.com; ikushoka@yahoo.com; asimwe@eiq.net.au;
> e.ombaka@gmail.com; akavishe@bancabc.com; anna@cartrack.co.tz;
> ansimmasi@barakasolar.co.tz; stideslyte05@yahoo.com;
> bosco@infoconsultancy.com; butamop@yahoo.co.uk;
> daniel@technologyconcepts.co.tz; management@trust.co.tz;
> dennisfrancis2010@yahoo.com; dicksonhyera@yahoo.com; olomi@udbs.udsm.ac.tz;
> mayoinsuranceltd@gmail.com; yobu@udbs.udsm.ac.tz; tzasili@yahoo.com;
> eric.duplessis@theprofingroup.com; bdm@skylinktanzania.com;
> magadytz@yahoo.com; godmosha@yahoo.com; principal@ud.co.tz;
> hopeofhelen@yahoo.com; hildegardmziray@gmail.com; kwigaya@yahoo.com;
> oosir@resolution.co.tz; rtemba@yahoo.com; skeeter24emma23@yahoo.com;
> tq@datavision.co.tz; viv@bizonlineafrica.com; wonyango@resolution.co.tz;
> md@pmc.co.tz; ovacado@hotmail.com; muraguri@bnieastafrica.com;
> gkatulamahendeka@yahoo.com; bmunisi05@yahoo.com; dshambwe@nhctz.com;
> machangaanna@yahoo.com; samsimpilu@tanzaniaports.com; mobinsons@yahoo.com;
> hmwamsyani@yahoo.com; cnazi2002@yahoo.com; j99cgum@yahoo.com;
> s.muhongo@bol.co.tz; a.nguluma@rexattorneys.co.tz; abckowero@yahoo.co.uk;
> wanabidii@googlegroups.com; adelaidan@gmail.com; admin@kongoi.com;
> adrianngasi@yahoo.com; afaraji@hotmail.com; akilonge@yahoo.co.uk;
> albertsozzy@yahoo.com; ali_seif@yahoo.com; ally.mzava@natnets.org;
> allymzava@yahoo.com; almkindi@gmail.com; amarco.marco0@gmail.com;
> amidelo@hotmail.com; anaelm@resolute-ltd.com.au; andrew.kwayu@kilimo.go.tz;
> angelinaballart@yahoo.com; asaguti@mkapahivfoundation.org;
> atemu@calder-systems.com; bahati.geuzye@tz.ey.com; bandaobed@yahoo.com;
> bastectz@hotmail.com; beatuslm@yahoo.com; bertharita2002@yahoo.co.uk;
> bin_yakub@hotmail.com; bmbambe@gmail.com; bmwasonga@hotmail.com;
> bnjau@interconsult-tz.com; bnjau@uccmail.co.tz; bonitakilama@yahoo.com;
> bosser13@yahoo.com; brighton.chiza@aku.edu; buseejj@yahoo.com
> Subject: RE: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU
>
>
>
> Kama wasomi wetu wangekuwa-relevant katika muktadha wa taaluma zao na weledi
> wao, wanasiasa vibaka (na mfumo unaolinda vibaka hao kushamiri katika siasa
> za nchi yetu) wasingepata nafasi ya preying on our state.
>
> Olomi can you take the lead?
>
> Kaiza
>
>
>
> -----Original Message-----
> From: wanataaluma@googlegroups.com [mailto:wanataaluma@googlegroups.com] On
> Behalf Of Donath R.Olomi
> Sent: Jumatano, Oktoba 03, 2012 5:21 AM
> To: Demetria Kalogosho
> Cc: magesa@tanzaniaports.com; issamichuzi@gmail.com; johnbukuku@gmail.com;
> mjengwamaggid@gmail.com; haki.yako@gmail.com; wanataaluma@googlegroups.com;
> m_mbura@yahoo.co.uk; mhegera@hotmail.com; masaoe@hotmail.com;
> oswald_urassa@hotmail.com; innojg@me.com; jjnyella@hotmail.com;
> tmuganyizi@tra.go.tz; stmrema@hq.bot-tz.org; lextlm@hotmail.com;
> gokkibaga@gmail.com; dakifile@simbanet.net; geoffkasambula@yahoo.com;
> edwinfulltime@yahoo.com; dgtenga@hq.bot-tz.org; aamdimu@gmail.com;
> hkitenge@yahoo.com; salumm@hotmail.com; kfairom@gmail.com; askk@excite.com;
> jeffnsemwa@yahoo.co.uk; ericshitindi@utumishi.go.tz; mwakalinga@hotmail.com;
> amani37@yahoo.com; nyoxterie@yahoo.com; maponde59@yahoo.com;
> yetongola@hq.bot-tz.org; josephatsanda@yahoo.com; jrmsaki@yahoo.com;
> msafiri_1965@yahoo.com; ed@hakielimu.org; hkitenge@hotmail.com;
> rlwakatare@yahoo.com; jnjau@cresta-attorneys.com; hutoldu@yahoo.com;
> magai@immma.co.tz; masha@immma.co.tz; killpests@gmail.com;
> gonza30@hotmail.com; glwakatare@nwb.or.tz; lkanijo@gmail.com;
> clement@samcatgroup.com; iyennsemwa@gmail.com; bkaissy@tra.go.tz;
> e_maseke@yahoo.co.uk; emapesa@yahoo.com; fmwaisela@yahoo.com;
> ekakuyu@ppftz.org; ikalumuna@hotmail.com; csabuni@tra.go.tz;
> skimaro@tra.go.tz; singili@intafrica.com; hasner_8@hotmail.com;
> atumwa@yahoo.com; chandosophia@hotmail.com; mas_jirabi@hotmail.com;
> mas_jirabi@yahoo.com; j_haule@hotmail.com; void_k@yahoo.com;
> taiyoerasto@yahoo.com; gmagulu@yahoo.com; sittir@stanbic.com;
> smsangi@mail.com; kiafrema@yahoo.com; ikushoka@yahoo.com; asimwe@eiq.net.au;
> e.ombaka@gmail.com; akavishe@bancabc.com; anna@cartrack.co.tz;
> ansimmasi@barakasolar.co.tz; stideslyte05@yahoo.com;
> bosco@infoconsultancy.com; butamop@yahoo.co.uk;
> daniel@technologyconcepts.co.tz; management@trust.co.tz;
> dennisfrancis2010@yahoo.com; dicksonhyera@yahoo.com; olomi@imedtz.org;
> olomi@udbs.udsm.ac.tz; mayoinsuranceltd@gmail.com; yobu@udbs.udsm.ac.tz;
> tzasili@yahoo.com; eric.duplessis@theprofingroup.com;
> bdm@skylinktanzania.com; magadytz@yahoo.com; godmosha@yahoo.com;
> principal@ud.co.tz; hopeofhelen@yahoo.com; hildegardmziray@gmail.com;
> kwigaya@yahoo.com; oosir@resolution.co.tz; rtemba@yahoo.com;
> skeeter24emma23@yahoo.com; tq@datavision.co.tz; viv@bizonlineafrica.com;
> wonyango@resolution.co.tz; md@pmc.co.tz; ovacado@hotmail.com;
> muraguri@bnieastafrica.com; gkatulamahendeka@yahoo.com; bmunisi05@yahoo.com;
> dshambwe@nhctz.com; machangaanna@yahoo.com; samsimpilu@tanzaniaports.com;
> mobinsons@yahoo.com; hmwamsyani@yahoo.com; cnazi2002@yahoo.com;
> j99cgum@yahoo.com; s.muhongo@bol.co.tz; a.nguluma@rexattorneys.co.tz;
> abckowero@yahoo.co.uk; wanabidii@googlegroups.com; adelaidan@gmail.com;
> admin@kongoi.com; adrianngasi@yahoo.com; afaraji@hotmail.com;
> akilonge@yahoo.co.uk; albertsozzy@yahoo.com; ali_seif@yahoo.com;
> ally.mzava@natnets.org; allymzava@yahoo.com; almkindi@gmail.com;
> amarco.marco0@gmail.com; amidelo@hotmail.com; anaelm@resolute-ltd.com.au;
> andrew.kwayu@kilimo.go.tz; angelinaballart@yahoo.com;
> asaguti@mkapahivfoundation.org; atemu@calder-systems.com;
> bahati.geuzye@tz.ey.com; bandaobed@yahoo.com; bastectz@hotmail.com;
> beatuslm@yahoo.com; bertharita2002@yahoo.co.uk; bin_yakub@hotmail.com;
> bmbambe@gmail.com; bmwasonga@hotmail.com; bnjau@interconsult-tz.com;
> bnjau@uccmail.co.tz; bonitakilama@yahoo.com; bosser13@yahoo.com;
> brighton.chiza@aku.edu; bubelwa.kaiza@fordia.org; buseejj@yahoo.com
> Subject: [TPN] KATIBA MPYA -TUWEZAVYO KUJIFUNZA KWA WENZETU
>
>
>
> Waz
>
>
>
> Katika kutafuta katiba mpya ni vizuri kuzingatia kuwa kuna nchi ambazo
>
> zimetoa katiba mpya miaka ya karibuni, ikiwemo Kenya, Ghana na Africa
>
> Kusini.
>
>
>
> Nchi hizi zimekuwa na matatizo mbalimbali makubwa, yakiwemo
>
> ubaguzi,ufisadi uliopindukia unaowahusisha viongozi wa juu, ukabila na
>
> mapinduzi ya kijeshi ya umwagaji damu.
>
>
>
> Katiba za nchi hizi zimeangalia mbele na zimejaribu kuweka misingi ya
>
> kuzikwepesha na haya matatizo siku zijazo. Vilevile ni katiba
>
> zilizoandaliwa wakati sehemu kubwa ya wananchi wakiwa na utambuzi wa haki
>
> zao, na kukiwa hakuna kundi lililokuwa limehodhi nguvu kiasi cha kuweza
>
> kulazimisha mambo waliyoyataka yawekwe kwenye katiba au kukwepesha yale
>
> ambayo hawakuyata yasiwekwe kwenye katiba. Matokea yake zimekuwa katiba
>
> za watu wa nchi husika, na si za viongozi au kundi la wafanyabishara au
>
> wadau wa nchi wenye maslahi katika nchi hizo.
>
>
>
> Sisi watanzania mmoja mmoja na katika vikundi, na kamati ya kukusanya
>
> maoni maoni hatuna budi kuzisoma hizi katiba na kujifunza jinsi maswala
>
> haya yalivyowekewa misingi
>
>
>
>
>
> "Give your energy to things that give you energy.",
>
>
>
> "Learn enough to begin and then learn as you go."
>
>
>
>
>
> Dr. Donath R.Olomi
>
> Chief Executive Officer
>
> Institute of Management and Entrepreneurship Development (IMED)
>
> Mwalimu House 7th Floor, Ilala
>
> P.O. Box 35036 Dar es Salaam, Tanzania E-mail: info@imedtz.org, website:
>
> www.imedtz.org
>
> Mobile +255-754-296660
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

0 comments:

Post a Comment