Monday 22 October 2012

Re: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam

 
Ndugu zetu wasaidiwe mikakati kama ile ya wakristu ya kanisani ya "toa ndugu toa, Bwana anakuona mpaka rohoni mwako". Kuchangia daily kila misa michango inatumaliza kweli.
 
Makanisa madogo yanafika laki kwa misa, makubwa mkapa milioni moja na misa zote kutwa milioni kumi inaweza kufika. Ukiongeza zote za jimbo kwa jumapili moja ni hela nyingi. Bado michango ya Jumuia. Jumuia hii inatakiwa milioni au laki tatu kulingana na ukubwa wake waktika kuchangia jambo fulani aidha ujenzi wa chekechea, shule ya sekondari, kigagngo au kanisa, Radio tumaini etc. Mara michango ya kupelekea vitu wafungwa jela au University fulani. Hii michango inatafuna vichwa hasa. Mara kuna Harambee ili kuchangia kitu fulani. Mara bahasha uweke hela!!
 
Ndio hizo shule na vyuo vinazopeta nchini vinajengwa kwa michango ya waumini. wazungu wakristo wameacha misaada miaka mingi hakuna dezo tena. Mchacnge mlishe hata mapadri na masista wanategemea michango hiyo au labda kuwe na miradi ya kuzalisha mali.  Masista na mapadri wanalima na kufanya kazi mbali mbali na fedha zinaingia fuko moja linalolisha wote. Ukimuona kavaa kanzu na vilemba au kanzu na shati au guo la kipadri huyo hasomi Misa tu-ni daktari anatibu, au mwalimu wa msingi, secondari, chuo kikuu; ni injinia, sister mwalimu wa chekechea au nurse, daktari, anafundisha chuo cha juu. Dini na maendeleo sio dini na kukaa kitako-na kusoma dini na elimu dunia.
 
Lakini angalizo ktk biashara na miliki viwanda, magari, maduka ya jumla, mabasi ni ndugu zetu waislamu. Wanaweza kuchangia pia toa ndugu au harambee misikitini kila wakati wa sala na wanasali sala nyingi kutwa. Wanaweza wakatumia hela hizo kujenga maendeleo, kulipa walimu wazuri wafundishe au kuomba jumuia za uislam Libya, Oman, etc kuwaletea walimu wa vyuo na university kutoka nchi zilizobobea elimu dunia kama Misri wana walimu wazuri wa sayansi, madaktari. Walimu toka Mali, Nigeria, Morocco wana uhuru huo hata mzungu toka ulaya wapo waislamu pia walioingia dini hiyo na wanaujuzi mkuu. Inategemea priority zao zipo wapi.
 
Hii lalama ni sawa na lalama ya baadhi ya makabila nchini ambayo yanaooza vichanga, hawakazanii elimu halafu wanalaumu serikiali ambapo ni baba na ndugu wanamuoza msichana na hata serikali au wahisani waweke mabweni  ni tatizo bado akienda likizo wanafanya mpango apate mimba asirudi shule kisha lawama wapo nyuma.
 
Au, wapo  wanaofyeka misitu wanaharibu mazingira kisha wanahama hama na kila wanakokwenda wanaharibu na kupeleka matatizo kwingine. Kisha wanasema wapo nyuma, hawana nyumba nzuri na elimu lakini wanamifugo kibao beyond area's carrying capacity, hawataki kupunguza kufuga kisasa au kulima kisasa na wanaendelea kuhamahama bila malengo ya maendeleo na ukame ukizidi mifugo yote ya mamia inakufa anabaki nayo 10. bora angekuwa nayo kumi mizuri akabadilika kuliko kuwa mtumwa wake mwenyewe.
 
Au unaharibu Ziwa victoria, uchafu unaweka wewe, unakunywa wewe, unaugua wewe na kufa, unamaliza samaki wewe hufundishiki inaharibu mazingira yao kisha unalalamikia serikali au kuonewa. Hata kuwepo nna Beach management Units za Ziwa zilizoundwa nao wenyewe na kamati na sheria zake-tatizo. tunaona ktk TV kulima mapaka ziwani siltation inaleta matatizo na umasikini. Ukiondolewa kinguvu unaua mgambo, unavamia polisi na silaha za jadi!
 
Tafakuri zetu zinakasoro kidogo na hili suala la kuonewa. Huenda tunajionea wenyewe. Nani akufunge kama usome au usomeshe? 
 
Mfano, Wanapochangia wenyewe Efatha mpaka wanaweka Bank yao ya ujasiriamali (Ubungo), kwa nini dhebehu lingine lisiweze kuiga? Jee wahindi-Bohora, Ismailia etc wana mahospitali, university, masekondari-wamewezaje nao ni kundi dogo nchini? Mbona hawalalamiki kuonewa na mbona Jamat zao hazichomwi moto? Maana wahindi hawa ukoloni walipata upendeleo wa kuwa makarani wa fedha n.k. Pamoja na uchache wao wana mashule ya kutegemewa, Majamat majumba makubwa, referral  hospitals za zahanati za meno, macho etc., hawa wanajituma!!
 
Wenye mashamba makubwa ya Minazi, Mikorosho, miembe, ufuta, mihogo humu pwani (Coastal area), Shamba za umwagiliaji South pare, maeneo mazuri ya kilimo Kigoma, Ujiji, Ruvu and wami valley;  vyombo vya baharini yaani meli, mashua na majahazi ni ndugu zetu waislamu.
 
Labda tatizo ni umoja ulio constructive na kuwa na malengo haupo na kutumia visingizio. Budi kutenda wenyewe binafsi sio kusubiri kutendewa kama ilivyo hulka yetu watanzania. Utasikia wanahojiwa na media na kusema 'Serikali ituletee, serikali ije iondoe takataka hizi (tulizotupa wenyewe mtaroni) zinatukera na kutuletea madhara; serikali ituondelee hawa vijana wawape ajira (hawakuwasomesha, wanawafanyia kazi wazazi wao wapo kutwa kubwia unga, mtoto mtoro mzazi anaitwa haendi shule, akichapwa mtoto mzazi anakwenda kumchapa mwalimu).TUBADILIKE, vi nchi vidogo vinaibuka vitani vinatupita. Sasa ndio tunaanza vurugu za kujimaliza. Tukikimbia nchini mwetu africa-tunakimbilia nchi za Kikristu Ulaya. Tulite nchi zetu.


--- On Mon, 22/10/12, Mike Zunzu <mikezunzu@yahoo.co.uk> wrote:

From: Mike Zunzu <mikezunzu@yahoo.co.uk>
Subject: Re: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, 22 October, 2012, 13:07

Amour, 
Ndiyo maana mtu mmoja aki akitia najisi pahala patukufu au kitabu kitukufu au kuchora picha ya Mtume waislamu wanashambuli kila mtu asiye na imani yao, hiyo ni sawa kweli, mtu aliyetenda tukio fulani hajafanya makubaliano na waumini wengine wowote wale, ni maamuzi yake kufanya alichokifanya, vipi waislamu hushambulia kila muumini wa imani zingine bila kujali umehusika hukuhusika, tazama hivi sasa unahusisha vita vya mmerikani na ugomvi wa Waisrael na Wapalestine, hiyo ni akili nzuri kweli.
Uione watu wamechukua angalizo la nchi nyingine za kiislam ambako kuna vurugu pengine kuzidi na huko unakoona waislam wananyimwa haki, hilo ni angalizo tu halihusiani na vurugu zinazotokea Tanzania. 
Kwa hili la Tanzania, ni mafundisho na potofu yanayotolewa, Kumbuka maendeleo hayaji kwa kufikiria tu au kusema kunahitajika vitendo, Umepewa mifano wa soko huria la elimu lilivyo hivi sasa hapa Tanzania, kipi kinazuia waislam kuongeza vio vikuu. Wengine wakijenga vya kwao nako kelele, sijui wamepewa pesa na Serikali, inawezekana kabisa kweli Serikali ikatoa fungu fulani la pesa kusaidia ukamishwaji wa shughuli fulani, basi waislam na waanzishe hizo shughuli kama ni shule, vyuo, au hospitali, waonyeshe dhamira na waonyeshe tutapungukiwa kiasi hiki kukamilisha shughuli zetu, waombe msaada wa Serikali waone kama watanyimwa, Serikali haiwezi kutoa pesa tu bila kuona hata plan ya shughuli ilivyo. Hilo unalifahamu.  


From: amour chamani <abachamani@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Monday, 22 October 2012, 6:15
Subject: Re: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam

Ngupula,

1.Alshabaab wanapigania nchi yao ila ungenijulisha wewe Wakenya,Warundi nk wanatafuta nini huko? Kwanini Alshabaab wakati kuna makundi zaidi ya manne ya Mujahidina yakisaidiwa na Ethiopa na Eritrea.

2.Unatoa mfano wa Wamarekani weusi ni kweli na hapa sasa ndiyo tunataka mseme kwanini tumekuwa kama wao wakati tunaambizana kwamba sote ni sawa? Naomba na Wenzio uwajulishe hilo ambalo mara zote tunasema kwamba mnatubagua katika nchi hii.
3.Suala la uzazi wa mpango nadhani huelewi chochote ndugu yangu.Gharama ya kutunza mbwa mnaoishi nao ndani ni kubwa kuliko chakula cha kulisha watoto.Mnachukia watoto kwa sababu ya  aina ya maisha mnayoishi ya kinyama pengine ndiye maana hata baadhia ya viongozi wenu wa dini hawana familia.Matatizo ya dunia hii siyo watoto bali ni mgawanyo wa mali na rasilimali.Ghrama ya vita inayopiganwa na USA Afghanistan na Iraq ni kubwa ajabu au na hilo hujui.Kisha mnamaliza mnasema mko wengi kuliko sisi.

4.Hatuna hoja kweli kwani upofu mlio nao si mdogo ndiyo maana mnasikiliza kila kinachosemwa na Israel na USA bila hata kutafakari.Japo wengine ni doctrine(dogma) yenu.

5.Tunauliwa kama kuku nyinyi mtakufa wenyewe wakati ukifika lakini kote ni kufa tu au unasemaje mpendwa katika BWANA!




Walewale.

From: Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, October 21, 2012 9:20 PM
Subject: Re: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam


bwana Chamani,naomba unijuze pia na huko Somalia al shababu wanapigania ni nini?na huko afghanistan taliban wanapigania nini?Unajua,nafikiri kimsingi hamjui tatizo mnalolipigania,na msipokuwa care mtajaa gerezani na mtatuongezea idadi ya walemavu tu.Negros in america under the leadership of Martin Luther King they shouted and shouted but what they got was just a heartlage.But,soon afterwards,he told them.acheni maandamano na every move.He who can ran let him run.  And he who can box.sing let him do so.Leo hii hata kama utazungumzia ubaguz,may be in another way.

Ndugu zanguni,mtachukia watu mpka mtakuwa magaidi lkn mfumo wa maisha ya kibepari unahitaji bidii ktk kazi,mipango na elimu.Ukiyaacha hayo
yakakupita,utapitwa tu.Tueleweni,anzeni sasa kuzaa kwa mpango.Oweni mke moja na somesheni watoto wenu na jileteeni maendeleo. Mtadanganyika na kuuwawa kama kuku na hakuna atayewasikiza.Ona sasa,mnaonekana wakorofi and most dangerous people lkn hakuna mwenye akili atayewagopa coz hamna hoja,empty.
------------------------------
On Sun, Oct 21, 2012 8:52 PM EEST amour chamani wrote:

>Ngapula,
>Kwani kinyume cha mfumo Kristo ni mfumo Islam?
>Sisi tunapinga mnavyotubagua kwa kutumia mfumo wenu huo na naomba watu wasilichanganye hili na secularity ni vitu viwili kabisa.
>South Africa walikuwa wanapinga apartheid na walikuwa Waislam kwani? Rwanda wakati wa Jeneral Juvenari Habyarimana kulikuwa na ubaguzi wa kabila nayo vipi walikuwa wanapinga Western Civilization?
>Tunapinga Mfumo Kristo ambao ni ubaguzi hatupingi huo Umagharibi wenu.Msipotoshe hili.
>
>
>
>Walewale
>
>
>
>
>________________________________
> From: Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>
>To: wanabidii@googlegroups.com
>Sent: Sunday, October 21, 2012 8:23 PM
>Subject: RE: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam
>
>
>
>napenda ungezipinga hoja.Useme wav wanaopinga mfumo Kristo wana maana gani na wanataka mfumo gani.Rejea pia matakwa 30 ya waislam
>ktk katiba mpya na useme kama hayo yakikubaliwa ni nini kitatokea?
>Useme pia kabla ya uislam kuingia moroco,tunisia na misri zilikuwepo dini gani na nini kilitokea? Hayo uliyauliza ya kuhusu osama,taliban,na sadam hussein nayajua yote,but sijui yanahusiana vipi na mazungumzo haya.Jibu hoja rafiki,jazba ktk maandisha itakupotezea mwelekeo.
>hivi,kuna mkristo gani ambaye amehoji uhalali wa waislam kudominate zanzibar?can u change history kwa porojo?Ngupula.
>------------------------------
>On Sun, Oct 21, 2012 7:58 PM EEST Mobhare Matinyi wrote:
>
>>
>>Chamani,Fanya hisani moja kubwa: Toa maelezo ya maswali yote hayo uliyouliza ili mbishani wako aelimike; usiishie kumpiga mkwara tu. Toa somo Maalim.Katika somo lako jadili hali ya dini ilivyo Irak, Uturuki, Iran na kote huko ukigusia watu wasiokuwa Waislamu huwa wanafanywa nini. Usiiache Misri.Toa somo Yakhe.Matinyi.
>> Date: Sun, 21 Oct 2012 09:40:49 -0700
>>From: abachamani@yahoo.com
>>Subject: Re: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam
>>To: wanabidii@googlegroups.com
>>
>>Ngupula,Usilete komedi humu.Angalia isijekuwa wewe ndiyo mlemavu wa kufikiri wakati wenzio ni wavivu tu.Unazungumza uzushi wenu OIC hapa unakusaidia nini.Misri na Moroco kimefanyika nini mbona pilipili usiyokula ina kuwasha?Unafurahiya mauaji yanayofanyika Mashariki ya Kati kwa jina la Yesu na ndiyo maana siku hizi hata bendera ya USA na Israel mnaitumia kwenye nyumba za ibada.Unamjua vema Sadam Husein na uhusiano wake na USA na UK baada ya mapinduzi ya Iran 1979?Unajua uhusiano wa Usama na USA wakati wa kupambana na USSR Afghanistan na je unajua uhusiano wa TALEBAN na USA walipokuwa na mpango wa kupitisha gesi nchini mwao?Angalia kaka usidandie gari kwa mbele
>> utaumia.Jitahidi kufikiri usiwe mlemavu wa kufikiri.
>>
>>
>>
>>Walweale.
>>        From: Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>
>> To: wanabidii@googlegroups.com
>> Sent: Sunday, October 21, 2012 6:40 PM
>> Subject: Re: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam
>> 
>>
>>unajua sometimes nawaza hawa wanaosema wanapigana na mfumo Kristo tanzania je wanataka mfumo gani kama mbadala wa huo wanaosema mfumo kristo? Ktk uchunguz wangu kwa kuangalia matendo na maneno ya watu hao,nimegundua kuwa wanachotaka watu hao ni mfumo islam.Na wangelifurah sana kama sharia ingeshika ktk utawala wa kiserikali. Na matukio haya ni moja ya agenda za kikao kilichofanyika
>> Abuja Nigeria ili kugeuza nchi za kusini mwa jangwa la saharah zote ziwe za kiislam.Hivyo basi hii ni vita.Ni vita ya kuleta mageuzi ya kiislam Tanzania.Na kama wakristo wakizembea,hawa jamaa wakapata nguvu zaidi ya hii waliyokuwa nayo,wale wote wasiokubaliana nao watauawa.Na hatimaye bila kipingamiz chochote tz itabadilika kuwa dola ya kiislam.Wanachotaka kufanya waislam ndicho kilichofanyika ktk nchi ya misri,moroco,tunisia,nk.
>>Swali langu kwa waislam je ni nani asiyejua kuwa mwenye bajeti ndiye hushika dola?.ni nani anayeendesha bajeti ya Tz kama si germany,norway,sweden,australia,canada,uk na usa?kwa minajili hii ni nani anayeweza kuipinga mising ya kimagharibi?Taliban,Al-queda,al-shabab ,boko haram wote wameshindwa.Osama ameambulia kifo tu.Sadam ndo usiseme.Ona kitachotokea iran hiv karibuni. Mim binafsi,ningependa niwashauri waislam wanajoina wana Mungu zaidi ya wengine,watulie tu wajitafutie maendeleo yao.adui yao ni uvivu,ujinga na umasikini
>> wa kufikiri..waogope sana mtu mwenye akili na aliye kimya.Watu wako kimya wanaangalia tu mchezo unavyochezwa na wanajua nini cha kufanya. Ngupula
>>
>>
>>------------------------------
>>On Sun, Oct 21, 2012 6:03 PM EEST Hosea Ndaki wrote:
>>
>>Kule Zenj, wapo wakatoliki, wanglikana na wapentekoste lakini
>>wamekandamizwa kweli, hakuna hata mbunge mkristo! bado tu wanawachomea na
>>makanisa! Hapana kuna haja ya kufikiria upya uhusiano huu na wenzetu.
>>Pamoja na malumbano haya mtoto mdogo wa miaka 13 anasota rumande kwa ujinga
>>tu! wala hatujui kama yuko rumande ya watoto au wakubwa!
>>
>>
>>2012/10/21 Willy Makundi <wrlmakundi@aol.com>
>>
>> Jee tunaweza kusema serikali ni ya mfumo Nabii Issa unayoongozwa na *Dr
>> Jakaya Mrisho Kikwete, Dr Mohamed Bilal**, Dr Ali Mohamed Shein, **Chief
>>
>> Justice Mohamed Chande Othman, Mkurugenzi Usalama wa Taifa Rashid Othman,
>> IGP Said Mwema, Minister of Defense Shamsi Vuai Nahodha*, *Chief of Staff
>> Abrahamani Shimbo*, ambao kwa wanaojua mamlaka za serikali, hawa ndicho
>> kiini, ndio moyo, ndio uti wa mgongo wa serikali. Hawa Waislamu wote hawana
>> maslahi ya Waislamu moyoni ila kulelea mfumo Nabii Issa?
>>
>> Binafsi sipendi kuona majina ya miungu na manabii wetu yanatumika kurahisisha
>> maelezo magumu ya mapungufu yetu ya kijamii. Kuna ugumu gani kueleza
>> mapungufu ya mfumo wetu wa utawala bila kuyaficha kwa nabii Issa? Mifumo ya
>> utawala ya magharibi haiwezi kurahisishwa kiasi cha kuipa jina la nabii
>> Issa. Fikiria Israel, India, Japan, Russia nk uone urahisishaji huu
>> unavyopotosha na kutoheshimu miungu na manabii wetu.
>>
>>
>>
>> mchilyi7.0
>>
>>
>> -----Original Message-----
>> From: mngonge <mngonge@gmail.com>
>> To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
>> Sent: Sun, Oct 21, 2012 5:05 pm
>> Subject: Re: [wanabidii] Re: Hawa ndiyo maadui wa Waisalam na Uislam
>>
>> Naungana na mchambuzi wa maadui wa uislamu, kwa mtiririko kwamba adui
>> namba moja inawezekana kabisa ikawa ni elimu. Mimi naongeza kwa kuiita
>> elimu bora na sahihi. Wapo wachangiaji wengi wetu ambao nawajua kwamba
>> wamesoma na wana shahada moja au zaidi lakini bado ndo kwanza kabisa
>> wanaeneza dhana ya mfumo kristo na hivyo kuwapotosha wale wasiokuwa na
>> elimu.
>>
>> Kweli kabisa wakisoma
>> na kuelimika vizuri hawataendlea kupotoshwa
>> maana watakuwa na uwezo wa kuchambua mbichi na mbivu. Kwa upande wa
>> wakristu haswa kwa madhebu ya katoliki na KKT si rahisi wahumini
>> kufuata na kutekeleza atakayowaambia padri bila kwanza kulipima na
>> kuona kama lina mashiko au la. Anaweza kusema na wasimjibu kanisani
>> lakini wakishatoka kanisani watayaacha hapo hapo bila kumuunga mkono.
>>
>> Pamoja na ushauri mzuri kwa waislamu juu ya kuongeza na kuboresha
>> shule na vyuo. Nataka niseme kwamba pia wanaokosa elimu bora si
>> waislamu tu ni watanzania kwa ujumla wao. Shule nzuri ata kama ni ya
>> wakristu au waislamu mlalahoi hawezi kupeleka mtoto wake uko. Ukienda
>> Uingereza utawakuta watoto wengi wa kiislamu hasa toka Pemba wakisoma
>> huko katika shule nzuri.  Kama shule na vyuo vya serikali vingekuwa
>> vinatoa elimu
>> bora mbona watu wengi wangekuwa wameelimika vilivyo,
>> kuna haja ya kuangalia mfumo mzima wa elimu tunayoitoa kwa vijana
>> wetu. Iwe ni elimu ya kuwasaidia kuchambua jambo kwa akili zao wenyewe
>> na kuweza kupambana na mazingira yanayowazunguka
>>
>> Mwisho ninaomba wale wanaosema seriakli ni ya mfumo kristo
>> watufafanulie zaidi pengine kuna ukweli. Wakitaja tu kwamba serikali
>> ni ya mfumo kristo bila kufafanua si rahisi kuelewa wanchokilalamikia
>>
>> 2012/10/21 Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>:
>> > Katika Tanzania hakuna adui wa muislamu wala adui wa dini yoyote ,
>> > Sisi wote ni wamoja , tuendeleze umoja wetu .
>> >
>> > On Oct 21, 4:31 pm, Yona F Maro <oldmo...@gmail.com> wrote:
>> > Ndugu zangu.
>> >
>> > Tunapo kuwa tunajiuliza

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.




--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment