Thursday 4 October 2012

Re: [wanabidii] Meya wa Ilala Jerry Silaa Atakwa na TAKUKURU kwa Rushwa

Duh,  2015!!!!!

Walikuwa wengi hao mikoani, but Kyela kibaraka wao mmoja kapigwa chini!!!!!!!!



2012/10/4 lucas haule <kisacha2003@yahoo.com>
Kigwa, mimi nimmoja wa watu ambao huwatakia matarajio mazuri baadhi ya watu ambao sura zao zinasema kitu.
Mfano nilikuwa mkereketwa wako sana, lakini kule kusikia habari zikuhuyo ambazo hazilingani na ninavyokuona ikaniuma, mwisho nakaamua nikuweke katikati tu.
Huyu bwana mdogo kule ilala, anamtaji mkubwa sana, vijana wanampenda, kina mama, kasoro kuna wazee wanaona anawabania, lakini nisingependa akutwe na mabalaa ya kashfa.
atujibu; Alifuata nini Iringa, Kampeni anampigia nani, Kwanini takokula wamemwinda, je na yeye pamoja na ustaharabu wake yupo kwenye makundi haramu, au anamiradi Iringa?
Msaidia aje atujibu au mjibie baada ya kupata maelezo yake.
Mwambie wapo watu hawatarajii maneno mabaya yawe kwake asituvunje moyo hata ule uliobaki.

--- On Wed, 10/3/12, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com> wrote:

From: Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Meya wa Ilala Jerry Silaa Atakwa na TAKUKURU kwa Rushwa
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wednesday, October 3, 2012, 9:23 AM

acheni kumchafua Lord Mayor Silaa tafadhali! 

2012/10/3 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
Nimepata taarifa hii kuwa Meya wa Ilala Jerry Silaa amekamatwa na
Takukuru mkoani Iringa kwa tuhuma za Rushwa.

Meya huyu wa Manispaa ya Ilala anadaiwa kukutwa na shilingi Milioni 15
mfukoni akigawa rushwa kwa wajumbe wa CCm katika kampeni

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
"Vision is the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782 636963
website: www.peercorpstrust.org or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment