Friday 5 October 2012

Re: [wanabidii] Lake Malawi saga, let Tanzania arrest Joyce Banda

What Balile is suggesting is easier said than done. You never know who is behind the arrogancy of Her Excellency Joyce Banda. Very much possible that she is acting under the push of the multinational companies that are eying the resources in Lake Nyasa. In case we opt for gun politics these companies may be on her side to our dismay. We have to watch every step we make. 
 
Damian M. Gabagambi, PhD.
From: Peter Lwegasira <petermakatu@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, October 5, 2012 2:19 PM
Subject: Re: [wanabidii] Lake Malawi saga, let Tanzania arrest Joyce Banda
Wadau,

Pale Kurasini, Dar es Salaam kuna bohari kubwa sana ya mafuta masafi ya petroli na mizigo mingine inaitwa Malawi Cargo Centre. Jina hili linatokana na bohari hii kuendesha na kampuni inayoitwa Malawi Cargo Centre Limited, Kampuni hii inamilikiwa na serikali ya Malawi. Mizigo yote ya serikali ya Malawi na watu binafsi na mashirika mengine ya nchini Malawi inayopitia bandari ya Dar es Salaam inatunzwa kwenye bohari hii. Mimi napendekeza kwa kuanzia serikali yetu ifunge shughuli zote za bohari hii ikiwa ni jibu kwa Rais Joyce Banda wa Malawi kwa tamko lake mpaka hapo kesi yake dhidi ya serikali yetu itakapokwisha huko ICJ.

Lwega

From: Deodatus Balile <deobalile@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, October 3, 2012 4:04 PM
Subject: Re: [wanabidii] Lake Malawi saga, let Tanzania arrest Joyce Banda
In life we learn through examples. Most of the time, I normally support less of US missions to overthrow legitimate leaders.I'm one of those pained by the regime decline of Saddam Hussein, Col. Mohammar Gadaffi, Hossin Mubarak, Manuel Noriega, to mention a few.But when it comes to living with nuisencical leader like Joyce Banda, I find myself inclined to join Mobhare Matinyi and Tony, hence left without option.Let's (Tanzania) replace (overthrow)Joyce Banda for not only our interests as a nation, but also in the name of peace and security for SADC region.For quite some time we are not used to uncultured presidents like the one we are witnessing I Malawi now.Kanali Bakari shook the matchbox we taught him a lesson. I think it is time to restore peace, harmony and tranquility in the region by doing away with this stubborn president.Balile
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: lilian.ruga@yahoo.com
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 3 Oct 2012 09:49:02 +0000
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal

Ujinga wetu Pius umekwenda mbali mno! Wakenya wamenunua mashamba hadi milima ya Iringa, Mtwara, Lindi beach na mikorosho wanamaliza! Mbao Muheza na Amani kwishaaa! Tutajibu nini vizazi vijavyo? Tulishangaa mikataba ya mangungu na sie mafuvu yetu yatapelekwa kuchunguzwa ili kujua kama tulikuwa na akili timamu!
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network
From: Pius Makomelelo <makomelelopius@yahoo.co.uk>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 3 Oct 2012 07:25:39 +0100 (BST)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal

Tony,Nategemea kwa matamshi haya ya Banda, JK atatoe tamko zito. Tamko limulike hata majirani wengine wenye macho ya husuda na ardhi ya Tanzania. Tumekuwa soft mno. Angalia misitu inavyoisha kule Karagwe na Ngara! Kilimanjaro na Serengeti nazo zinaneemesha watani wetu kuliko tunachookota sie. Ifike wakati viongozi wetu tuliowachagua tena kwa utashi wetu watuonyeshe watz kwamba kweli uchaguzi wetu ulikuwa sahihi! Kwamba wanaweza kutuongoza vizuri kulinda nchi yetu na masirahi yetu.


From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, 3 October 2012, 9:13
Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
Pius,Sisi waTz huwa mazezeta kwelikweli! Inabidi ifike wakati Kenya tuwaambie kuuza mmlima wetu inabidi walipe royalty na tufunge mpaka wote ili watalii wakitaka kuja kuona mlima wapitie Uganda au zanzibar au kwa ndege! Ujinga wetu ndio umefanya Malawi kujiaminisha kuwa ziwa lote ni la kwao! Hivi kweli Malawi watasemaje hivyo wakati kuna taarifa ya mabonde (Great Lakes Basins), mito na maziwa zinatamka na wao kujua kuwa maji karibu asilimia 63 yanatoka milima ya Livingston, Lukumburu, njombe, Ludewa, mbinga, Songea, mito na maji ya mvua ndani ya mipaka ya Tz ziwani! Wakileta kichaa sasa tutalichukua ziwa lote, yaani tunabadili mipaka iwe upande wa magharibi mwa ziwa, tuone kama wataona sawa! Leo tunaweza kuanzisha man-made inland lakes upande wa Tz na ziwa litanyauka kwa asilimia isiyopungua 70. Maana ziwa hilo linapata asilimia karibu 42 ya maji ya mito upande wa Tz, 21 ya maji ya mvua ziwani, na 27 ya maji ya mito na mvua upande wa malawi!
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.
From: Pius Makomelelo <makomelelopius@yahoo.co.uk>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 3 Oct 2012 06:45:01 +0100 (BST)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal

Kwa mtaji huu inabidi tuwe macho hata na hawa watani wetu wa jadi wanaotumia utalii kutanganza mlima Kilimanjaro uko kwao! Yule mama Banda katangaza rasmi kuwa hataki tena mazungumzo! Hana imani na Tanzania. Hana imani na JK eti wtz tumezindua ramani mpya na kufukuza wavuvi wamalawi. Katumwa, sasa naona anachotafuta wakati muafaka umefika wa kumpa. Kalewa madaraka. Wtz tuweni makini, lazima kuna agenda za kikoloni zinatengenezwa. Banda mkubwa alitambulika ukanda wetu huu kama kibaraka. Ni jadi yao hawa, hatuna haja ya kupoteza muda kujadiliana nao! Dawa ya kibaraka ni kumshughulikia kabla hata hajaota mbawa za kutosha.


From: Felix Mwakyembe <fkyembe@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, 2 October 2012, 23:29
Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
Ukweli ni kwamba hapa tulipofika tumepatengeza wenyewe kwa kuwakubalia Wamalawi katika mambo ya Ziwa hilo.Walianza kwa kubadili jina kutoka jina la asili la Nyasa ambalo linajumuisha wote wanaopakana na hilo Ziwa na kuliita Malawi wakiengua upande wa Tanzania, tulikaa kimya na kuwapigia makofi. Walitengeza ramani zenye kuonyesha mpaka kuwa ufukwe wa Tanzania, nasi tukazitumia pasipo kuhoji!!!Malawi walihakikisha kizazi cha sasa kisifahamu lolote kuhusu jina la Nyasa na mpaka kuwa katikati ya ziwa, walielewa walichokuwa wakifanya, wakati sisi tukiwa hatuelewi tunataka nini. Imefika wakati Jumuiya za Kimataifa zinatambua hivyo, na hata miradi ya kiuchumi inayohusu ziwa hilo, wenye kunufaika ni Malawi, kwa upande wetu hata miradi hukataliwa na taasisi za nje, labda huo mradi uhusishe na wamalawi. Tumelea wenyewe!!
On 2 October 2012 23:19, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com> wrote:
safi sana, msimamo wangu kwa hakika unafanana na wa kwako, na kwa kweli demokrasia ikishindwa - twende vitani tu tuwatandike nduli hawa chini ya uongozi wa yule mama mkaidi anayeitwa Nduli Grace 
On Tue, Oct 2, 2012 at 11:14 PM, Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com> wrote:
Dkt. Kigwangalla,   Usiwe na shaka, hatutaki vita na tutafanya mazungumzo mpaka mwisho, ikishindikana zitapigwa. Kuna Wakurya kama laki mbili - vijana watupt na hawana kazi baada ya migodi yao ya dhahabu kuporwa na wawekezaji na ng'ombe kuibiwa na majambazi; hawa ukitangaza vita watakuja kama mvua, achilia mbali tulioko huku majuu, tutarudi wote golini tujazane. Hebu fikiria kila mkoa ukitoa vijana wake laki moja wasiokuwa na kazi itakuwaje? Tutawapiga washikaji zetu kwa kutembea na miguu na bakora bila bunduki, na hatumui mtu, ni bakora tupu ila baraa lote la mawaziri tutawachukua tuje nao huku mjini, tuwarundike Keko.   Mmarekani mmoja, sasa balozi mstaafu baaa ya kulitumikia jeshi pia na kufanya kazi ya kufundisha Wakenya, aliniambia kwamba wakati Watanzania wanaingia Uganda yeye alikuwa kijana mdogo akifanya kazi na wamisionari. Anasema miaka yote aliyokuwa jeshini Marekani alikuwa anawakumbuka wale Watanzania jinsi walivyokuwa na nidhamu ya kijeshi na jinsi walivyowaua Walibya. Anasema kwamba rekodi hazisemi ukweli kuwa eti walikufa Waarabu 600 tu, anasema Kampala peke yake walizidi 1,000. Anasema Watanzania ni habari nyingine kabisa.   Hatutaki vita lakini lazima ziwa tulidhibiti; iwe isiwe.   Matinyi.  
Date: Tue, 2 Oct 2012 23:06:28 +0300
Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
From: hkigwangalla@gmail.com To: wanabidii@googlegroups.com
Felix, ninachokumbuka tu ni kwamba nilikula samaki mtamu anayeitwa Mbasa kwa ndizi safi za mbeya...and notable was the way yule samaki na yule kuku alivyokuwa amechoma...

utamu wa samaki yule maalum kwa ajili ya wageni wanaokuja kule mwambao wa ziwa Nyasa ni yule samaki, na nitakuwa tayari kushiriki vita ya kulikomboa lile Ziwa ili wajukuu zangu waendelee kula Mbasa maisha yao yote 
On Tue, Oct 2, 2012 at 10:46 PM, Felix Mwakyembe <fkyembe@gmail.com> wrote:
Hahahahaha, huku note tu pale una kuwa connected Malawi simu zote, kwa hiyo nawe siku hiyo ulikuwa Malawi!!!!!

Felix
On 2 October 2012 22:14, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com> wrote:
Mwakyex, nakumbuka voda yangu ilikuwa inashika...ila siku-notice kingine chochote cha ajabu. airtel haikuwa inakamata 
On Tue, Oct 2, 2012 at 9:03 PM, Felix Mwakyembe <fkyembe@gmail.com> wrote:
Dr Kigwa,

Hivi ulipokuwa pale Nduli, Kyela simu zako zilishika net za wapi!!!!


Felix
On 2 October 2012 18:19, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com> wrote:
Moderator, mfute huyu MMalawi kwenye hili group, anatutia hasira na vichefu chefu hapa. Hana kingine anachochangia zaidi ya Lake Nyasa tu...nadhani anafanya kazi ya kiintelijensia ya kutaka kujua tunasema nini na tuna hoja zipi kwenye hili suala...ONDOA HUYU HARAKA tafadhali...

Tuliishasema Tanzania italinda mipaka yake, na tuko tayari kwa lolote wakati wowote...waache kutuchokonoa chokonoa 
On Tue, Oct 2, 2012 at 2:01 PM, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:
Hayo mafuta tunaweza tafiti kama joint project kama yapo! nadhani hao wavuvi wa dagaa wanasail bila matata. Mazungumzo pia yalenge kuishawishi malawi kujiunga EAC sawa na Burundi na Rwanda wanaweza faidika zaidi.

Kama kuna economic advantage ya kuwekeza katika meli basi Bakhresa au Songoro wanaweza wekeza huko
On Tue, Oct 2, 2012 at 1:51 PM, ELISA MUHINGO <elisamuhingo@yahoo.com> wrote:
Na meli aliyoahidi Rais ijengwe  ianze safari zake kwenye port zetu. mafuta waendelee kutafiti ila wsichimbe etc

--- On Tue, 10/2/12, Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com> wrote:

From: Hosea Ndaki <hosea.ndaki@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, October 2, 2012, 3:35 AM

Si vibaya mazungumzo yakaendelea ilimradi hakuna chombo chenye nembo au bendera ya malawi majini. Naimani mazungumzo haya yatakuwa kama ya kuondoa kero za muungano yaani hayana kikomo.
On Tue, Oct 2, 2012 at 1:10 PM, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:
1. Nilidhani mjadala wetu unatokana na hiyo mikataba (treaties)
inasema nini na sisi tunaitafsiri namna gani.
2. Nilitegemea tuelimishane katika hili kama ambavyo baadhi yetu
wamekuwa wakifanya ili tupate a way forward.
3. Sikujua kama mtu akijaribu kutoa tafsiri inayosemwa kwenye hiyo
mikataba anamsaidia "enemy" na anakuwa "traitor".
4. Mfano, nilichochangia kinatokana na jinsi nilivyoelewa Article 15
of the United Nations Convention on the Law of the Sea (UNCLOS)
(Montego Bay, December 10, 1982) on Delimitation of the Territorial
Sea between States with Opposite or Adjacent coasts:

"Where the coasts of two States are opposite or adjacent to each
other, neither of the two States is entitled, failing agreement
between them to the contrary, to extend its territorial sea beyond the
median line every point of which is equidistant from the nearest
points on the baselines from which the breadth of the territorial seas
of each of the two States is measured. The above provision does not
apply, however, where it is necessary by reason of historic title or
other special circumstances to delimit the territorial seas of the two
States in a way which is at variance therewith."

4. Inawezekana tafsiri yangu si sahihi au ya wachangiaji wenzangu.
5. Ili kupata mwanga ni lazima kila mmoja aeleze tasiri yake na
ipambanishwe na tafsiri nyingine au ushahidi wenye uzito zaidi.
6. Nilikuwa katika stage hii.
7. Lakini kumbe wenzangu mmevuka hapa na ndiyo maana baadhi mnaanza
kunishambulia.
8. Ila sasa kama majadiliano yanakuwa ya namna hii na hasa
kumshambulia mchangiaji na badala ya kutetea hoja tutajifunza nini?
9. Katika yote niliyosema sijamsaidia "enemy" na wala sijawa "traitor"
kama baadhi ya wachangiaji wanavyodhani. Napenda nchi yangu Tanzania
kama Watanzania wengine wanavyoipenda ila kwa hili tungeelemishana
namna gani tunaweza kufikia mwafaka bila ya kusababisha mafarakano.
10. Mwisho niseme: I love to see this issue resolved peacefully
without engaging in any war as President Jakaya Kikwete said recently.
Wars have never been solutions to African problems!
11. Let's not attack others simply because their
opinions/interpretations are different from ours.

On 10/2/12, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:
> Sina la kuchangia zaidi ya kushangaa na kusikitika!
>
> On 10/1/12, denis Matanda <denis.matanda@gmail.com> wrote:
>> Acheni kumshambulia Magobe bure. Busara inatakiwa itumike hapa......
>> On Oct 1, 2012 8:05 PM, "Godfrey Ngupula" <ngupula@yahoo.co.uk> wrote:
>>
>>>
>>>
>>> You guys.suala la Tz na Malawi lilivyo,ile speed ya kujenga kwanza
>>> tensiona kisha kuingia ktk discusion ndio ilitakiwa. kwa speed na
>>> mikwara
>>> ya bwana Lowasa,huu mgogoro tungeumaliza kwa kupata nusu ya ziwa kama
>>> ilivyokuwa mwanzo.Nyerere alifanikiwa kuishi na Banda kwa miaka yote kwa
>>> style hiyohiyo. Lakini,kwa style ya bwana Jk,ya kutafuta zaidi uswahiba
>>> na
>>> urafiki kuliko haki,am telling you.Tanzania at last tutaambulia possibly
>>> less than 5& ya lake nyasa..Tumeshuhudia jinsi mgogoro wa matumizi ya
>>> maji
>>> ya ziwa victoria na mkataba wa kikoloni na misri.Bila ya mkwara wa
>>> aliyekuwa waziri wa maji of that time,tusingefika.Godfrey Ngupula
>>>
>>>
>>> ------------------------------
>>> On Mon, Oct 1, 2012 7:32 PM EEST ezekiel kunyaranyara wrote:
>>>
>>> >
>>> >
>>> >Brother
>>> >Matinyi,
>>> >
>>> >When
>>> >I saw Mr Magobes' thread down here on this saga this morning, I felt
>>> > like
>>> nausea.
>>> >I was really infuriated by his comments (just to be fair and frank) and
>>> >thought that may be he is not a Tanzanian. I immediately prepared a
>>> > reply
>>> thread
>>> >which after reading it twice before posting it, only to find that it
>>> > will
>>> be
>>> >tasteless to most of these forum contributors.
>>> >
>>> >I
>>> >decided to keep tight-lipped and see if others will like his comments.
>>>  Now I understand that no any Tanzanian likes
>>> >Magobes' comments. From your comments now it is obvious that Magobe has
>>> > a
>>> >vested interest in this Saga. May be he is a Malawian, a traitor or
>>> "unnecessary
>>> >coward".
>>> >
>>> >My
>>> >advice to him is that he mutes his computer or mobile keyboards and
>>> > stops
>>> downhammering our serious efforts and ridicule Tanzanians with
>>> >meaningless pass off and advices that will ultimately sink down
>>> >their sprit in looking for their right. It is better he understands
>>> > that,
>>> we
>>> >(all Tanzanians) are serious in this concern and we do not want any
>>> > body
>>> to scam
>>> >with our lake. If he cannot assist us then he is against us.
>>> >
>>> >I
>>> >find this as a way of sharing with him my comments that reflect my
>>> feelings
>>> >towards his comments.
>>> >
>>> >KEMS
>>> >
>>> >
>>> >________________________________
>>> > From: Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
>>> >To: Wanabidii googlegroups <wanabidii@googlegroups.com>
>>> >Sent: Monday, 1 October 2012, 6:21
>>> >Subject: RE: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
>>> >
>>> >
>>> >
>>> >My colleague Magobe,
>>> >You seem to love Malawi so much - what did you get from these people
>>> > when
>>> you spent some time in their land during your missionary/etc work?
>>> >Anyway, we are not discussing the Treaty alone; we are discussing the
>>> whole issue and that is why we think our motherland - Tanzania - has
>>> legitimate claims.
>>> >Matinyi.
>>> >
>>> >
>>> >> Date: Mon, 1 Oct 2012 11:26:40 +0300
>>> >> Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
>>> >> From: tmagobe@gmail.com
>>> >> To: wanabidii@googlegroups.com
>>> >>
>>> >> The lake under dispute belongs to God. Tanzania and Malawi claim the
>>> >> lake belongs to them - Tanzania: half of it and Malawi: the whole of
>>> >> the lake. At this point, there is no party, which is wrong or right.
>>> >> If we go by what treats say, the whole lake belongs to Malawi. We may
>>> >> want to use 'muscles' but they don't help in things that are clear.
>>> >> If
>>> >> we want, we can convince Malawi to give us half of the lake but just
>>> >> force doesn't change the treaties under discussion.
>>> >>
>>> >> On 10/1/12, Willy Makundi <wrlmakundi@aol.com> wrote:
>>> >> > Ndugu Matinyi, let Mr Banda and all Malawians know that the world
>>> >> > did
>>> not
>>> >> > begin in 1890, neither is a Treaty between two robbers a definitive
>>> word on
>>> >> > the rights of the robbed. Could anyone tell me how the life of the
>>> people on
>>> >> > the eastern shore changed the day after Germany and United Kingdom
>>> signed
>>> >> > this treaty divvying up spheres of influence. Was there a single
>>> fisherman
>>> >> > who stopped fishing or a swimmer who applied for a visa to take a
>>> >> > dip
>>> in the
>>> >> > lake?
>>> >> >
>>> >> > This treaty can NOT and SHOULD NOT bind owners of the rights to the
>>> lake
>>> >> > prior to the treaty, unless one shows me where the Wamandas,
>>> Nyakyusas,
>>> >> > Matengos, Wanyasa signed off their rights to their water, fish and
>>> lake
>>> >> > resources. Lets not be ridiculous. Tanzania should make it very
>>> >> > clear
>>> that
>>> >> > the riparian rights of the people around lake Malawi/Nyasa have
>>> >> > never
>>> been
>>> >> > up for negotiation neither interrupted for a thousand years before
>>> Kaiser
>>> >> > and the King came up with the idea of sphere of influence - what
>>> >> > ever
>>> that
>>> >> > means. Sphere of influence za wazungu inahusianaje na mbasa za
>>> Wanyakyusa?
>>> >> >
>>> >> > A Mmanda shall never ever need a visa to go fetch drinking water
>>> >> > from
>>> a Lake
>>> >> > whose main inlet for the northern waters is from rivers like Songwe
>>> flowing
>>> >> > from Tanzania. The Malawians and the world should know that we will
>>> defend
>>> >> > our riparian rights with whatever means necessary and that there
>>> shall not
>>> >> > be a Malawian or their vessels that shall ever be safe once they
>>> cross the
>>> >> > median line of the lake - unless and until our riparian rights to
>>> >> > the
>>> lake
>>> >> > are affirmed by Malawi and the international community. Period!
>>> >> >
>>> >> > Meanwhile we should prepare ourselves to defend the rights of our
>>> people
>>> >> > near Lake Malawi. I am not a war hawk but I surely will not give
>>> >> > away
>>> >> > inalienable rights of my people because some King and a Kaiser
>>> >> > signed
>>> some
>>> >> > Treaty in the North Sea. I am an old man but for this cause, I will
>>> take up
>>> >> > arms if Malawi and the world choose to be irresponsibly
>>> >> > unreasonable.
>>> >> >
>>> >> > Tuache kumumunya maneno, haki zetu za ziwa hatukuwahi kuwapa
>>> Wajerumani wala
>>> >> > Waingereza na kwa uhakika sio Wamalawi. Sio kiburi, sio ubabe, ni
>>> kuweka
>>> >> > wazi kosa la uchoraji ramani ambao haukutilia maanani haki za
>>> >> > msingi
>>> za
>>> >> > wakazi. Hata tungekuwa wadogo kama Shelisheli hii haki
>>> >> > tungeipigania
>>> hata
>>> >> > kwa miaka alfu. Ni Mungu tu anaweza kutunyima haki ya matumizi ya
>>> maji.
>>> >> >
>>> >> > Mchilyi7.0
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > -----Original Message-----
>>> >> > From: Mobhare Matinyi <matinyi@hotmail.com>
>>> >> > To: Wanabidii googlegroups <wanabidii@googlegroups.com>
>>> >> > Sent: Sun, Sep 30, 2012 8:57 pm
>>> >> > Subject: RE: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > Banda and your fellow supporters, and Malawians,
>>> >> >
>>> >> > It is foolish to ask London to comment on that issue because they
>>> >> > are
>>> the
>>> >> > ones who messed up everything, not once, but many times.
>>> >> >
>>> >> > For your information, in the 1926 House of Commons hansards the
>>> British
>>> >> > secretary of colonies is recorded to have said: "I don't know where
>>> the
>>> >> > border is" - when he was asked to clarify on the issue. That was
>>> >> > 1926.
>>> >> >
>>> >> > Again, in the 1950s when the British were redrawing the borders of
>>> >> > the
>>> >> > Rhodesian Federation that would have included Malawi, Zambia and
>>> Zimbabwe,
>>> >> > they got into debate over the same border and decided to trash the
>>> 1930s map
>>> >> > in favor of the new map that placed the lake inside Malawi. Why did
>>> they
>>> >> > discuss the matter among themselves if the issue was clear?
>>> >> >
>>> >> > Here is another note: The facts as shown below regarding the
>>> >> > British
>>> mandate
>>> >> > over Tanganyika (given by the League of Nations) and the
>>> >> > trusteeship
>>> (given
>>> >> > by the UNO) are incorrect. Please refer to my earlier briefings on
>>> the same
>>> >> > detail which can also be found in a few studies including a PhD
>>> dissertation
>>> >> > by a Tanzanian which is still going on.
>>> >> >
>>> >> > Thank you.
>>> >> >
>>> >> > Matinyi.
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > Date: Sun, 30 Sep 2012 13:46:21 -0400
>>> >> > Subject: Re: [wanabidii] Lake belongs to Malawi, UK letters reveal
>>> >> > From: emuganda@gmail.com
>>> >> > To: wanabidii@googlegroups.com
>>> >> >
>>> >> > Charles Banda,
>>> >> > It is not a question of oil and gas. If the whole lake belongs to
>>> Malawi
>>> >> > then Tanzania has no right to use the lake,
>>> >> > and fish in it.
>>> >> > em
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > On Sun, Sep 30, 2012 at 1:30 PM, Charles Banda
>>> >> > <chasbanda@gmail.com>
>>> wrote:
>>> >> >
>>> >> > Tanzania already has oil & gas, it does not want poor Malawi to
>>> >> > enjoy
>>> its
>>> >> > own cake.
>>> >> > Word that Iranian oil tankers are flying Tanzanian national flag
>>> >> > Politics and economy.
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > On Sun, Sep 30, 2012 at 5:24 PM, Deogratias Kawonga
>>> >> > <deogratias.kawonga@gmail.com> wrote:
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > Matinyi,
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > Huyu Jamaa kaanza tena
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > Sent from my iPhone
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > On Sep 30, 2012, at 16:51, Charles Banda <chasbanda@gmail.com>
>>> >> > wrote:
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> >
>>> >> > As Malawi and Tanzania grapple with finding solutions to the Lake
>>> >> > Malawi boundary wrangle, Downing Street memos on the issue during
>>> >> > the
>>> >> > Hastings Kamuzu Banda era we have seen build a strong case for
>>> >> > Malawi.
>>> >> > The memos were written in the 1960s when the dispute first surfaced
>>> after
>>> >> > then Tanzanian president Julius Nyerere wrote London, complaining
>>> about
>>> >> > Banda's "expansionist" policy that was claiming the whole of Lake
>>> Malawi
>>>
>>> --
>>> Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/
>>> Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
>>> Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
>>>
>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>>> ukishatuma
>>>
>>> Disclaimer:
>>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>>> legal
>>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>>> be
>>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>>> agree
>>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>>
>>>
>>>
>>
>> --
>> Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/
>> Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
>> Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to
>> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>>
>>
>>
>

--
Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/
Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/
Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/
Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/
Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
-- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma  Disclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.   
--
"Vision is the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782 636963
website: http://www.peercorpstrust.org/ or http://www.hamisikigwangalla.com/
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 


-- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma  Disclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.   
-- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma  Disclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.   
-- "Vision is the ability to see the invisible!"Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBAP.O.Box 22499,Dar es salaam.Tanzania.Phone No: +255 754 636963                +255 782 636963 website: http://www.peercorpstrust.org/ or http://www.hamisikigwangalla.com/Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.com Skype ID: hkigwangallaBlog: blog.hamisikigwangalla.com  -- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma  Disclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.   
-- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma  Disclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.   
-- "Vision is the ability to see the invisible!"Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBAP.O.Box 22499,Dar es salaam.Tanzania.Phone No: +255 754 636963                 +255 782 636963website: http://www.peercorpstrust.org/ or http://www.hamisikigwangalla.com/ Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.comSkype ID: hkigwangalla Blog: blog.hamisikigwangalla.com 
-- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/ Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma  Disclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.   
-- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/ Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/   Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.    
-- "Vision is the ability to see the invisible!"Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBAP.O.Box 22499,Dar es salaam.Tanzania. Phone No: +255 754 636963                +255 782 636963 website: http://www.peercorpstrust.org/ or http://www.hamisikigwangalla.com/ Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org or info@hamisikigwangalla.comSkype ID: hkigwangalla Blog: blog.hamisikigwangalla.com  -- Karibu Jukwaa la http://www.mwanabidii.com/ Pata nafasi mpya za Kazi http://www.kazibongo.blogspot.com/ Blogu ya Habari na Picha http://www.patahabari.blogspot.com/   Kujiondoa Tuma Email kwenda mailto:wanabidii%2Bunsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.    
-- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.    
-- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.     -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.    
-- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.     -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.     -- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.    
-- Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com   Kujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma   Disclaimer: Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.    

0 comments:

Post a Comment