Saturday 25 March 2017

Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:

Njoo upite katika mitaa tulimokuwa tunaona vijana wakitokwa udenda. Linganisha na hali iliyokuwepo na iliyopo. Usiajiri mtu kukufanyia hilo kupoteza fedha zako.
--------------------------------------------
On Sat, 3/25/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Saturday, March 25, 2017, 2:54 AM

Tuna
ushahidi gani kwamba madaswa ya kulevya yamepungua
mitaani?em
2017-03-24 15:14 GMT-04:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Haya ni
mqoni yangu na tafsiri yangu ya mambo. Ninachosema ni:
makonda alitangaza majina ya washukiwa. Akawataka wajieleze
kituo cha Polisi.

Baadaye Rais akatangaza tume ya kudhibiti madawa ya
kulevya.

Vijana walikuwa wanadondoka udenda wamepungua mitaani.

hayo na mengine nikayatafsiri hivyo:

Ukitaka upigane na wauza unga lazima uwe na mkakati. Naona
mkakati ulianza kwa kuwataja washukiwa. Hata kama hakukuwa
na ushaidi wa kimahakama, kupungua kwa watumia unga mitaani
kulitokana na mpangilio huo.

Saa niite unavyoona. Nayo ni maoni yako

------------------------------ --------------

On Fri, 3/24/17, 'Jovi
kamuntu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA
JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Friday, March 24, 2017, 6:59 PM



 Muhingo, nakunukuu "Magufuli alichofanya

 ilikuwa kumtanguliza Makonda. Makonda toka amewataja
wauza

 madawa biashara hii imeathirika sana 

 Tanzania"

 Mpaka

 nasikia kucheka. Magufuli nimjuaye mimi amtangulize
Makonda?

 Kwa kuogopa nini? Naona sasa unataka kuwa msemaji wa
Rais

 Hongera sana.

  Jovin

 Bifabusha

 DIRECTOR

  KWFF LTD



 P. O. Box 313

 Skype: jovin.bifabusha

 +255-765-010235

 Karagwe,

 Tanzania





   On Friday, March 24, 2017 4:58 PM,

 Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
wrote:





  Elisa,Mimi

 nilikisoma hadharani. Nilikuwa naenda nacho shuleni
1966.

 Sikukamatwa, nadhani hata polisi wangenikamata sidhani

 ningepelekwa detention. Detention ilikuwa kwa wale

 waliokuweawanafanya njama za kupindua serikali

 peke yake. I was there and I know
what I am talking

 about.em

 2017-03-24 6:52 GMT-04:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Soma tena

 nilichokiandika. Kilikuwa kimepigwa marufuku. Nadhani
hukuwa

 unakisoma hadharani labda kama ulikuwa maeneo
yasiyoonekana.

 kama ulikuwa hujui basi ilikuwa na bahati it was one of
the

 forbidden documents. Nami nilikisoma katika mazingira
maalum

 na sio hadharani.



 ------------------------------ --------------



 On Thu, 3/23/17, Emmanuel

 Muganda <emuganda@gmail.com>

 wrote:







  Subject: Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA:

 HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA

 CHIFUPA:



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Thursday, March 23, 2017, 7:11 PM







  Amazing.



  Kitabu cha John Okello nimekisoma nikiwa Agha Khan



  Dar-es-Salaam mwaka 1966. Sikuwekwa



  kizuizini.em



  2017-03-23 9:34 GMT-04:00



  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



  Kama kuna



  jambo baya alilowahi kulifanya Mwalimu Nyerere katika

 uhai



  wake, ni kushirikiana na Dr. Milton Obote wa Uganda
na

 Jomo



  Kenyata wa Kenya kumnyanyasa Field Mashal John Okello

 baada



  ya kufanikisha mapinduzi ya Zanzibar. Inasemekana
mara

 baada



  ya kuupindua usultani wa Zanzibar, John Okello

 alionekana



  tishio kwa mataifa ya Afrika Mashariki na hivyo

 kutupwa



  tupwa huku na huko na akakosa mwelekeo na kupotelea



  kusikojulikana. Katika kitabu chake John Okello

 anasema



  kusudi lake kubwa haikuwa kuzipindua serikali halali

 bali



  alitaka kuelekea kusini kuzipindua serikali za huko

 na



  alitaka kuanzia Angola. Myaka yetu hiyo ungekutwa na

 kitabu



  hicho ungewekwa kizuizini.







  Wakati fulani waIsrael wakipigana na waFilisti



  waliwatanguliza wenzao ambao walikimbia mbele ya

 wafilisti.



  Huo ulikuwa mtego wa kuwaondoa askari wa wafilisti

 mjini ili



  waisrael wauchome moto na kuwapiga kutokea pande
zote.

 Vita



  ina mbinu nyingi. Hii hutegemea na adui unayepigana

 naye.







  Nani haoni mafanikio ya vita ya madawa ya kulevya?

 Pita



  mitaani kama utakuta watu wakisinzia hovyo hovyo

 kama



  ilivyokuwa kabla ya vita kuanza! Hakuna kitu kibaya

 kama



  watu kutoona kinachoendelea na badala yake kuona



  kisichokuwepo.







  Magufuli alichofanya ilikuwa kumtanguliza Makonda.

 Makonda



  toka amewataja wauza madawa biashara hii imeathirika

 sana



  Tanzania. Haiingii akilini kuwa Makonda alitamka

 majina bila



  kuwa na habari kamili. Kama inavyojulikana duniani

 wafanya



  biashara wa madawa wana nguvu nyingi. Wana hela

 nyingi.



  Wanaweza kumnunua mtu yeyote kama tunavyoona.

 Wanayumbisha



  serikali nyingi. Wanaofikiri vita hii ingeanza bila

 kuwataja



  wauza unga hawajaelewa vizuri vita yenyewe au ni

 wanufaika.



  Kitendo cha Makonda kuwataja tu; mizigo iliyokuwa

 njiani



  ilikomea huko huko. Iliyokuwa imeingia nchini ndiyo

 inapata



  shida kuwafikia wateja. Kazi ya kwanza na muhimu

 ilikuwa



  imekamilika. Ndipo na tume ya madawa ikatajwa.

 Ingetajwa



  kabla ya kuwataja wahusika tume hiyo ingeishia hapo

 hapo



  kwenye sherehe ya kuiapisha. Tungeshtukia magorofa

 yanaota



  na ukifuatilia kila mjumbe wa tume angemiliki moja.







  Faida nyingine ya kuwataja, ilisaidia mamlaka kujua

 nani



  zaidi wanahusika na nani ni wanufaika. Tukawasikia

 walioanza



  kusema "heshima za watu zimeharibika". Wenye

 akili



  tukaongeza kwenye orodha. Watu wakahoji " inakuwaje

 watu



  watajwe kabla ya uchunguzi". Utendaji wa polisi

 kwa



  kiwango tulicho nacho na tulivyozoea ni Mamlaka

 ikipata



  fununu inamchukua mtuhumiwa na kwenda kumhoji. Sasa

 kama



  ndicho kilichofanyika kwa nini watu waone shida

 kuwataja



  watuhumiwa? Nani amewapeleka gerezani, ambako

 huenda



  waliohukumiwa? Watu wameitwa Polisi ili uchunguzi

 ufanyike.



  Utawaitaje Polisi bila kuwataja? Mboja list of

 shame



  ilitajwa na ndipo mengine yakafuata? Baada ya kutajwa

 mtu



  anachukua juhudi zake kujisafisha. Iweje watake

 kusafishwa?



  Mbona wezi wa kuku hujisafisha kila siku?















  Ninafahamu na ninaamini waliotajwa ni wahusika tu.



  Kinachoweza kukosekana ni ushahidi wa kimahakama. Kwa

 hiyo



  ilikuwa ni hatari kutumia njia ya kimya kimya.

 Wangekuwa



  wanaendelea na mitaani waathirika wangekuwa kama
kawa.

 Sasa



  hatuwaoni. Kwa nini Makonda alitumika, alitumiwa au

 alitumia



  njia sahihi.







  Baada ya hapo tunaona maajabu. Mtu anaibuka na hoja
ya

 vyeti



  vya Makonda. Anawakusanya watu kwa wingi kumuunga

 mkono.



  Kuwa tuache agenda ya madawa yanayoharibu vijana

 wetu



  tushughulikie vyeti vya Makonda. Sisemi makonda

 hakufoji.



  (Japo sisemi alifoji, maana sijui). Ninasema kuacha

 wahalifu



  wa madawa ya kulevya kwa sababu ya vyeti ni ujinga.

 Kama si



  ujinga (kwa wasionufania) na ni  mbinu ya

 wahusika (kwa



  wahusika wa madawa hayo.







  Mtu kutarajia kuwa rais atamchukulia hatua zozote

 za



  kumfanya Makonda asishughulikie madawa hayo ni

 kumdharau



  rais. Kumfanya hana akili. Hajui malengo yake. Kama

 rais ana



  dhamira njema na ndiye anayeongoza taifa kupambana na

 madawa



  ya kulevya hawezi kuanza kumshughulika na vyeti vya

 Makonda.



  Akifanya hivyo nitamdharau. Nitajua hana agenda.

 Anaweza



  kuyumbishwa na jambo lolote na kutelekeza agenda
yake.

 Hata



  wasaidizi wake wasingeendelea kumsaidia. Kama rais

 mstaafu



  Jakaya Kikwete alikuwa na dhamira ya kupambana na

 madawa.



  Akampata Amina Chifupa, na kwa ujasiri akawa tayari

 kuwataja



  wahusika kama alivyosema; Kikwete angekuwa na mamlaka

 ya



  kuamurisha kifo angekiamuru kisimguse Amina Chifupa.

 Watu



  aina ya Makonda au Chifupa sio wengi. Wao ni mashujaa

 wa



  taifa hili na hawapatikani. Mmoja nimemuuliza "wewe

 ukiwa



  msifuni ukagundua kuwa dereva wako hana liseni.

 Utamteremsha



  msituni na kurudi mjini kutafuta dereva mwenye

 liseni?



  Akasema atakuja mjini na dereva huyo hadi mjini na

 akifika



  anambadilishia kazi. Nikasema tumuache Magufuli

 atoke



  msituni. Yuko msituni kwa sababu ni watu wachache

 walio na



  nia ya kupambana na madawa kama alivyo Makonda.

 Huwezi



  kumtelekeza ukafikiri vita itaendelea.







  Kama taifa litakosa ushahidi wa kuwapeleka

 mahakamani



  wahusika lakini angalau biashara yao imeingiliwa na



  haitiririki kama ilivyokuwa. Huenda isirudie pale

 ilipokuwa.



  Angalau wauza unga wanajua kuna serikali. Juhudi zao

 za



  kuiyumbisha zinawayumbisha kuliko serikali

 inavyoyumba. Pia



  watanzania wameona kuwa hakuna mtu anayeweza

 kujihakikisha



  kutoshughulikiwa kwa sababu ya nafasi aliyo nayo

 kisiasa au



  kiuchumi. Hakuna tena mtu kufikiri kwa sababu ana

 fedha basi



  atawaamrisha waliotumwa kumkamata.







  Mahala pa kuonyesha uzalendo ni hapa. Ni sasa. Hatuna

 budi



  kuiunga mkono serikali yetu kila inaponusa usaliti

 na



  kuufagia. Kanunu za mchezo wa ngumi zipo.

 Ukizitumia



  kuuendesha mchezo wa ngumi na mateke hutafika. Huu si

 mchezo



  wa ngumi. Ni mchezo wa mateke na ngumi. Mbinu zote



  zinatakiwa ili kushinda.







  Lakini ninajisikia kuumia. Kuna watu ninajua

 wanaelewa.



  Wamesikia kelele za mlango na kuamua kujitenga. Vita

 ikiisha



  nitawaita na kuwashauri. Wasijisikie vibaya. Hata

 wakati wa



  vita ya Uganda zilipotumika silaha nzito, (nasikia)

 kuna



  askari wetu walikimbia kwa kudhani ni za adui. Hapana

 ndiyo



  vita.







  Elisa Muhingo







  0767 187 507







  elisamuhingo@yahoo.com















      







               --







           







              







           







         







               Send

 Emails to wana...@googlegroups.com







           







              







           







         







              

  







           







              







           







           







             Kujiondoa

 Tuma Email kwenda







           







              







           







           







            

 wanabidii+...@ googlegroups.com 







           







         







              Utapata

 Email ya







           







         







              

 kudhibitisha ukishatuma







           







              







           







         







              

  







           







              







           







           







            

 Disclaimer:







           







              







         







           







              

 Everyone







          posting to this Forum

 bears







            the sole







           







             

 responsibility







           







               for

 any legal







          consequences of his or







            her postings,







           







             and







           







         







              hence







           







              

 statements and facts must be







          presented







            responsibly.







           







         







             Your







           







              

 continued membership signifies that







            you agree to







           







             this







           







              

 disclaimer and pledge to abide by







          our







            Rules and







           







             

 Guidelines.







           







              







           







           







             ---







           







              







           







               You

 received this







          message because you







            are subscribed







           







             to







           







         







              the







           







               Google

 Groups "Wanabidii"







            group.







           







              







           







           







             To

 unsubscribe from this group and







           







          stop receiving







           







           







           emails







           







              

 from







          it, send an email to

 wanabidii+...@







           







          googlegroups.com.







           







           







            







           







               For

 more







          options, visit







           







              https://groups.google.com/d/







            optout.







           







              







           







           







         







           







           







           







         







            --







           







            Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







           







             







           







         







            Kujiondoa Tuma

 Email kwenda







           







           

 wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 







           Utapata Email ya







           







          kudhibitisha ukishatuma







           







             







           







           







          Disclaimer:







           







            Everyone







          posting to this Forum

 bears the sole







         







          responsibility







            for any legal

 consequences







          of his or her postings,

 and







           hence







            statements and

 facts must be presented







          responsibly. Your







            continued

 membership







          signifies that you agree

 to this







           







          disclaimer and pledge to

 abide by our Rules







    and







            Guidelines.







           







            ---







           







           







          You received this message

 because you are







      subscribed







        to







           the







            Google Groups







          "Wanabidii"

 group.







           







            To unsubscribe from

 this group and stop







          receiving emails







            from it, send an

 email







          to

 wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







           







            For more

 options,







          visit







         







          https://groups.google.com/d/



  optout.







           







         







            







         







       







        --







        Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







       







        Kujiondoa Tuma Email kwenda







        wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 







        Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







       







        Disclaimer:







        Everyone posting to this Forum

 bears the sole







       responsibility







        for any legal consequences of his

 or her







    postings,







      and







       hence







        statements and facts must be

 presented







    responsibly.







      Your







        continued membership signifies

 that you agree to







      this







        disclaimer and pledge to abide by

 our Rules and







       Guidelines.







        ---







        You received this message because

 you are







    subscribed







      to







       the







        Google Groups

 "Wanabidii" group.







        To unsubscribe from this group

 and stop



  receiving







      emails







        from it, send an

 email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







        For more options, visit







        https://groups.google.com/d/



  optout.















  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha



  ukishatuma















  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to

 this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed

 to the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to

 wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.



























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to

 this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed

 to the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment