Friday 24 March 2017

Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:

Naamini kabisa kuwa kizazi cha sasa kuna matatizo makubwa sana kuhusu Maana ya Kufanya Kazi, . . . . . . Aidha ktk vyombo vya Habari Kuna imani kubwa ktk waandishi wa kuwa kupata na kuandika habari za misisimko hata kama hazina Mashiko ktk maisha Halisi ndio Kazi, . . . . Ni kizazi cha "Udaku", kizazi cha kushabikia mambo yasiyo na TIJA . . . . . Kweli kuna "haja ya kurekebisha namna ya kulea watanzania" waweze kutambua matakwa yao ya msingi ambayo ndiyo yataleta Tija

Sent from my iPad

> On 24 Mar 2017, at 1:46 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
>
> po haja ya kurekebisha namna ya kulea watanzania kujua matakwa yao ni nini.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment