Friday 24 March 2017

Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:

Soma tena nilichokiandika. Kilikuwa kimepigwa marufuku. Nadhani hukuwa unakisoma hadharani labda kama ulikuwa maeneo yasiyoonekana. kama ulikuwa hujui basi ilikuwa na bahati it was one of the forbidden documents. Nami nilikisoma katika mazingira maalum na sio hadharani.
--------------------------------------------
On Thu, 3/23/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, March 23, 2017, 7:11 PM

Amazing.
Kitabu cha John Okello nimekisoma nikiwa Agha Khan
Dar-es-Salaam mwaka 1966. Sikuwekwa
kizuizini.em
2017-03-23 9:34 GMT-04:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Kama kuna
jambo baya alilowahi kulifanya Mwalimu Nyerere katika uhai
wake, ni kushirikiana na Dr. Milton Obote wa Uganda na Jomo
Kenyata wa Kenya kumnyanyasa Field Mashal John Okello baada
ya kufanikisha mapinduzi ya Zanzibar. Inasemekana mara baada
ya kuupindua usultani wa Zanzibar, John Okello alionekana
tishio kwa mataifa ya Afrika Mashariki na hivyo kutupwa
tupwa huku na huko na akakosa mwelekeo na kupotelea
kusikojulikana. Katika kitabu chake John Okello anasema
kusudi lake kubwa haikuwa kuzipindua serikali halali bali
alitaka kuelekea kusini kuzipindua serikali za huko na
alitaka kuanzia Angola. Myaka yetu hiyo ungekutwa na kitabu
hicho ungewekwa kizuizini.

Wakati fulani waIsrael wakipigana na waFilisti
waliwatanguliza wenzao ambao walikimbia mbele ya wafilisti.
Huo ulikuwa mtego wa kuwaondoa askari wa wafilisti mjini ili
waisrael wauchome moto na kuwapiga kutokea pande zote. Vita
ina mbinu nyingi. Hii hutegemea na adui unayepigana naye.

Nani haoni mafanikio ya vita ya madawa ya kulevya? Pita
mitaani kama utakuta watu wakisinzia hovyo hovyo kama
ilivyokuwa kabla ya vita kuanza! Hakuna kitu kibaya kama
watu kutoona kinachoendelea na badala yake kuona
kisichokuwepo.

Magufuli alichofanya ilikuwa kumtanguliza Makonda. Makonda
toka amewataja wauza madawa biashara hii imeathirika sana
Tanzania. Haiingii akilini kuwa Makonda alitamka majina bila
kuwa na habari kamili. Kama inavyojulikana duniani wafanya
biashara wa madawa wana nguvu nyingi. Wana hela nyingi.
Wanaweza kumnunua mtu yeyote kama tunavyoona. Wanayumbisha
serikali nyingi. Wanaofikiri vita hii ingeanza bila kuwataja
wauza unga hawajaelewa vizuri vita yenyewe au ni wanufaika.
Kitendo cha Makonda kuwataja tu; mizigo iliyokuwa njiani
ilikomea huko huko. Iliyokuwa imeingia nchini ndiyo inapata
shida kuwafikia wateja. Kazi ya kwanza na muhimu ilikuwa
imekamilika. Ndipo na tume ya madawa ikatajwa. Ingetajwa
kabla ya kuwataja wahusika tume hiyo ingeishia hapo hapo
kwenye sherehe ya kuiapisha. Tungeshtukia magorofa yanaota
na ukifuatilia kila mjumbe wa tume angemiliki moja.

Faida nyingine ya kuwataja, ilisaidia mamlaka kujua nani
zaidi wanahusika na nani ni wanufaika. Tukawasikia walioanza
kusema "heshima za watu zimeharibika". Wenye akili
tukaongeza kwenye orodha. Watu wakahoji " inakuwaje watu
watajwe kabla ya uchunguzi". Utendaji wa polisi kwa
kiwango tulicho nacho na tulivyozoea ni Mamlaka ikipata
fununu inamchukua mtuhumiwa na kwenda kumhoji. Sasa kama
ndicho kilichofanyika kwa nini watu waone shida kuwataja
watuhumiwa? Nani amewapeleka gerezani, ambako huenda
waliohukumiwa? Watu wameitwa Polisi ili uchunguzi ufanyike.
Utawaitaje Polisi bila kuwataja? Mboja list of shame
ilitajwa na ndipo mengine yakafuata? Baada ya kutajwa mtu
anachukua juhudi zake kujisafisha. Iweje watake kusafishwa?
Mbona wezi wa kuku hujisafisha kila siku?



Ninafahamu na ninaamini waliotajwa ni wahusika tu.
Kinachoweza kukosekana ni ushahidi wa kimahakama. Kwa hiyo
ilikuwa ni hatari kutumia njia ya kimya kimya. Wangekuwa
wanaendelea na mitaani waathirika wangekuwa kama kawa. Sasa
hatuwaoni. Kwa nini Makonda alitumika, alitumiwa au alitumia
njia sahihi.

Baada ya hapo tunaona maajabu. Mtu anaibuka na hoja ya vyeti
vya Makonda. Anawakusanya watu kwa wingi kumuunga mkono.
Kuwa tuache agenda ya madawa yanayoharibu vijana wetu
tushughulikie vyeti vya Makonda. Sisemi makonda hakufoji.
(Japo sisemi alifoji, maana sijui). Ninasema kuacha wahalifu
wa madawa ya kulevya kwa sababu ya vyeti ni ujinga. Kama si
ujinga (kwa wasionufania) na ni  mbinu ya wahusika (kwa
wahusika wa madawa hayo.

Mtu kutarajia kuwa rais atamchukulia hatua zozote za
kumfanya Makonda asishughulikie madawa hayo ni kumdharau
rais. Kumfanya hana akili. Hajui malengo yake. Kama rais ana
dhamira njema na ndiye anayeongoza taifa kupambana na madawa
ya kulevya hawezi kuanza kumshughulika na vyeti vya Makonda.
Akifanya hivyo nitamdharau. Nitajua hana agenda. Anaweza
kuyumbishwa na jambo lolote na kutelekeza agenda yake. Hata
wasaidizi wake wasingeendelea kumsaidia. Kama rais mstaafu
Jakaya Kikwete alikuwa na dhamira ya kupambana na madawa.
Akampata Amina Chifupa, na kwa ujasiri akawa tayari kuwataja
wahusika kama alivyosema; Kikwete angekuwa na mamlaka ya
kuamurisha kifo angekiamuru kisimguse Amina Chifupa. Watu
aina ya Makonda au Chifupa sio wengi. Wao ni mashujaa wa
taifa hili na hawapatikani. Mmoja nimemuuliza "wewe ukiwa
msifuni ukagundua kuwa dereva wako hana liseni. Utamteremsha
msituni na kurudi mjini kutafuta dereva mwenye liseni?
Akasema atakuja mjini na dereva huyo hadi mjini na akifika
anambadilishia kazi. Nikasema tumuache Magufuli atoke
msituni. Yuko msituni kwa sababu ni watu wachache walio na
nia ya kupambana na madawa kama alivyo Makonda. Huwezi
kumtelekeza ukafikiri vita itaendelea.

Kama taifa litakosa ushahidi wa kuwapeleka mahakamani
wahusika lakini angalau biashara yao imeingiliwa na
haitiririki kama ilivyokuwa. Huenda isirudie pale ilipokuwa.
Angalau wauza unga wanajua kuna serikali. Juhudi zao za
kuiyumbisha zinawayumbisha kuliko serikali inavyoyumba. Pia
watanzania wameona kuwa hakuna mtu anayeweza kujihakikisha
kutoshughulikiwa kwa sababu ya nafasi aliyo nayo kisiasa au
kiuchumi. Hakuna tena mtu kufikiri kwa sababu ana fedha basi
atawaamrisha waliotumwa kumkamata.

Mahala pa kuonyesha uzalendo ni hapa. Ni sasa. Hatuna budi
kuiunga mkono serikali yetu kila inaponusa usaliti na
kuufagia. Kanunu za mchezo wa ngumi zipo. Ukizitumia
kuuendesha mchezo wa ngumi na mateke hutafika. Huu si mchezo
wa ngumi. Ni mchezo wa mateke na ngumi. Mbinu zote
zinatakiwa ili kushinda.

Lakini ninajisikia kuumia. Kuna watu ninajua wanaelewa.
Wamesikia kelele za mlango na kuamua kujitenga. Vita ikiisha
nitawaita na kuwashauri. Wasijisikie vibaya. Hata wakati wa
vita ya Uganda zilipotumika silaha nzito, (nasikia) kuna
askari wetu walikimbia kwa kudhani ni za adui. Hapana ndiyo
vita.

Elisa Muhingo

0767 187 507

elisamuhingo@yahoo.com



    

             --

         

            

         

       

             Send Emails to wana...@googlegroups.com

         

            

         

       

              

         

            

         

         

           Kujiondoa Tuma Email kwenda

         

            

         

         

           wanabidii+...@ googlegroups.com 

         

       

            Utapata Email ya

         

       

             kudhibitisha ukishatuma

         

            

         

       

              

         

            

         

         

           Disclaimer:

         

            

       

         

             Everyone

        posting to this Forum bears

          the sole

         

            responsibility

         

             for any legal

        consequences of his or

          her postings,

         

           and

         

       

            hence

         

             statements and facts must be

        presented

          responsibly.

         

       

           Your

         

             continued membership signifies that

          you agree to

         

           this

         

             disclaimer and pledge to abide by

        our

          Rules and

         

            Guidelines.

         

            

         

         

           ---

         

            

         

             You received this

        message because you

          are subscribed

         

           to

         

       

            the

         

             Google Groups "Wanabidii"

          group.

         

            

         

         

           To unsubscribe from this group and

         

        stop receiving

         

         

         emails

         

             from

        it, send an email to wanabidii+...@

         

        googlegroups.com.

         

         

          

         

             For more

        options, visit

         

            https://groups.google.com/d/

          optout.

         

            

         

         

       

         

         

         

       

          --

         

          Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

         

           

         

       

          Kujiondoa Tuma Email kwenda

         

          wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com 

         Utapata Email ya

         

        kudhibitisha ukishatuma

         

           

         

         

        Disclaimer:

         

          Everyone

        posting to this Forum bears the sole

       

        responsibility

          for any legal consequences

        of his or her postings, and

         hence

          statements and facts must be presented

        responsibly. Your

          continued membership

        signifies that you agree to this

         

        disclaimer and pledge to abide by our Rules

  and

          Guidelines.

         

          ---

         

         

        You received this message because you are

    subscribed

      to

         the

          Google Groups

        "Wanabidii" group.

         

          To unsubscribe from this group and stop

        receiving emails

          from it, send an email

        to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

         

          For more options,

        visit

       

        https://groups.google.com/d/
optout.

         

       

          

       

     

      --

      Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

     

      Kujiondoa Tuma Email kwenda

      wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com 

      Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

     

      Disclaimer:

      Everyone posting to this Forum bears the sole

     responsibility

      for any legal consequences of his or her

  postings,

    and

     hence

      statements and facts must be presented

  responsibly.

    Your

      continued membership signifies that you agree to

    this

      disclaimer and pledge to abide by our Rules and

     Guidelines.

      ---

      You received this message because you are

  subscribed

    to

     the

      Google Groups "Wanabidii" group.

      To unsubscribe from this group and stop
receiving

    emails

      from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

      For more options, visit

      https://groups.google.com/d/
optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment