Friday 24 March 2017

Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:

Muhingo, nakunukuu "Magufuli alichofanya ilikuwa kumtanguliza Makonda. Makonda toka amewataja wauza madawa biashara hii imeathirika sana  Tanzania"

Mpaka nasikia kucheka. Magufuli nimjuaye mimi amtangulize Makonda? Kwa kuogopa nini? Naona sasa unataka kuwa msemaji wa Rais Hongera sana.
 
Jovin Bifabusha
DIRECTOR KWFF LTD
P. O. Box 313
Skype: jovin.bifabusha
+255-765-010235
Karagwe,
Tanzania


On Friday, March 24, 2017 4:58 PM, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:


Elisa,
Mimi nilikisoma hadharani. Nilikuwa naenda nacho shuleni 1966. Sikukamatwa, nadhani hata polisi wangenikamata sidhani ningepelekwa detention. Detention ilikuwa kwa wale waliokuwea
wanafanya njama za kupindua serikali peke yake. I was there and I know what I am talking about.
em

2017-03-24 6:52 GMT-04:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Soma tena nilichokiandika. Kilikuwa kimepigwa marufuku. Nadhani hukuwa unakisoma hadharani labda kama ulikuwa maeneo yasiyoonekana. kama ulikuwa hujui basi ilikuwa na bahati it was one of the forbidden documents. Nami nilikisoma katika mazingira maalum na sio hadharani.
------------------------------ --------------
On Thu, 3/23/17, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] JPM KUMKINGIA KIFUA MAKONDA: HATA JK ANGEKUWA NA MAMLAKA ANGEZUIA KIFO CHA AMINA CHIFUPA:
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Thursday, March 23, 2017, 7:11 PM

 Amazing.
 Kitabu cha John Okello nimekisoma nikiwa Agha Khan
 Dar-es-Salaam mwaka 1966. Sikuwekwa
 kizuizini.em
 2017-03-23 9:34 GMT-04:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Kama kuna
 jambo baya alilowahi kulifanya Mwalimu Nyerere katika uhai
 wake, ni kushirikiana na Dr. Milton Obote wa Uganda na Jomo
 Kenyata wa Kenya kumnyanyasa Field Mashal John Okello baada
 ya kufanikisha mapinduzi ya Zanzibar. Inasemekana mara baada
 ya kuupindua usultani wa Zanzibar, John Okello alionekana
 tishio kwa mataifa ya Afrika Mashariki na hivyo kutupwa
 tupwa huku na huko na akakosa mwelekeo na kupotelea
 kusikojulikana. Katika kitabu chake John Okello anasema
 kusudi lake kubwa haikuwa kuzipindua serikali halali bali
 alitaka kuelekea kusini kuzipindua serikali za huko na
 alitaka kuanzia Angola. Myaka yetu hiyo ungekutwa na kitabu
 hicho ungewekwa kizuizini.

 Wakati fulani waIsrael wakipigana na waFilisti
 waliwatanguliza wenzao ambao walikimbia mbele ya wafilisti.
 Huo ulikuwa mtego wa kuwaondoa askari wa wafilisti mjini ili
 waisrael wauchome moto na kuwapiga kutokea pande zote. Vita
 ina mbinu nyingi. Hii hutegemea na adui unayepigana naye.

 Nani haoni mafanikio ya vita ya madawa ya kulevya? Pita
 mitaani kama utakuta watu wakisinzia hovyo hovyo kama
 ilivyokuwa kabla ya vita kuanza! Hakuna kitu kibaya kama
 watu kutoona kinachoendelea na badala yake kuona
 kisichokuwepo.

 Magufuli alichofanya ilikuwa kumtanguliza Makonda. Makonda
 toka amewataja wauza madawa biashara hii imeathirika sana
 Tanzania. Haiingii akilini kuwa Makonda alitamka majina bila
 kuwa na habari kamili. Kama inavyojulikana duniani wafanya
 biashara wa madawa wana nguvu nyingi. Wana hela nyingi.
 Wanaweza kumnunua mtu yeyote kama tunavyoona. Wanayumbisha
 serikali nyingi. Wanaofikiri vita hii ingeanza bila kuwataja
 wauza unga hawajaelewa vizuri vita yenyewe au ni wanufaika.
 Kitendo cha Makonda kuwataja tu; mizigo iliyokuwa njiani
 ilikomea huko huko. Iliyokuwa imeingia nchini ndiyo inapata
 shida kuwafikia wateja. Kazi ya kwanza na muhimu ilikuwa
 imekamilika. Ndipo na tume ya madawa ikatajwa. Ingetajwa
 kabla ya kuwataja wahusika tume hiyo ingeishia hapo hapo
 kwenye sherehe ya kuiapisha. Tungeshtukia magorofa yanaota
 na ukifuatilia kila mjumbe wa tume angemiliki moja.

 Faida nyingine ya kuwataja, ilisaidia mamlaka kujua nani
 zaidi wanahusika na nani ni wanufaika. Tukawasikia walioanza
 kusema "heshima za watu zimeharibika". Wenye akili
 tukaongeza kwenye orodha. Watu wakahoji " inakuwaje watu
 watajwe kabla ya uchunguzi". Utendaji wa polisi kwa
 kiwango tulicho nacho na tulivyozoea ni Mamlaka ikipata
 fununu inamchukua mtuhumiwa na kwenda kumhoji. Sasa kama
 ndicho kilichofanyika kwa nini watu waone shida kuwataja
 watuhumiwa? Nani amewapeleka gerezani, ambako huenda
 waliohukumiwa? Watu wameitwa Polisi ili uchunguzi ufanyike.
 Utawaitaje Polisi bila kuwataja? Mboja list of shame
 ilitajwa na ndipo mengine yakafuata? Baada ya kutajwa mtu
 anachukua juhudi zake kujisafisha. Iweje watake kusafishwa?
 Mbona wezi wa kuku hujisafisha kila siku?



 Ninafahamu na ninaamini waliotajwa ni wahusika tu.
 Kinachoweza kukosekana ni ushahidi wa kimahakama. Kwa hiyo
 ilikuwa ni hatari kutumia njia ya kimya kimya. Wangekuwa
 wanaendelea na mitaani waathirika wangekuwa kama kawa. Sasa
 hatuwaoni. Kwa nini Makonda alitumika, alitumiwa au alitumia
 njia sahihi.

 Baada ya hapo tunaona maajabu. Mtu anaibuka na hoja ya vyeti
 vya Makonda. Anawakusanya watu kwa wingi kumuunga mkono.
 Kuwa tuache agenda ya madawa yanayoharibu vijana wetu
 tushughulikie vyeti vya Makonda. Sisemi makonda hakufoji.
 (Japo sisemi alifoji, maana sijui). Ninasema kuacha wahalifu
 wa madawa ya kulevya kwa sababu ya vyeti ni ujinga. Kama si
 ujinga (kwa wasionufania) na ni  mbinu ya wahusika (kwa
 wahusika wa madawa hayo.

 Mtu kutarajia kuwa rais atamchukulia hatua zozote za
 kumfanya Makonda asishughulikie madawa hayo ni kumdharau
 rais. Kumfanya hana akili. Hajui malengo yake. Kama rais ana
 dhamira njema na ndiye anayeongoza taifa kupambana na madawa
 ya kulevya hawezi kuanza kumshughulika na vyeti vya Makonda.
 Akifanya hivyo nitamdharau. Nitajua hana agenda. Anaweza
 kuyumbishwa na jambo lolote na kutelekeza agenda yake. Hata
 wasaidizi wake wasingeendelea kumsaidia. Kama rais mstaafu
 Jakaya Kikwete alikuwa na dhamira ya kupambana na madawa.
 Akampata Amina Chifupa, na kwa ujasiri akawa tayari kuwataja
 wahusika kama alivyosema; Kikwete angekuwa na mamlaka ya
 kuamurisha kifo angekiamuru kisimguse Amina Chifupa. Watu
 aina ya Makonda au Chifupa sio wengi. Wao ni mashujaa wa
 taifa hili na hawapatikani. Mmoja nimemuuliza "wewe ukiwa
 msifuni ukagundua kuwa dereva wako hana liseni. Utamteremsha
 msituni na kurudi mjini kutafuta dereva mwenye liseni?
 Akasema atakuja mjini na dereva huyo hadi mjini na akifika
 anambadilishia kazi. Nikasema tumuache Magufuli atoke
 msituni. Yuko msituni kwa sababu ni watu wachache walio na
 nia ya kupambana na madawa kama alivyo Makonda. Huwezi
 kumtelekeza ukafikiri vita itaendelea.

 Kama taifa litakosa ushahidi wa kuwapeleka mahakamani
 wahusika lakini angalau biashara yao imeingiliwa na
 haitiririki kama ilivyokuwa. Huenda isirudie pale ilipokuwa.
 Angalau wauza unga wanajua kuna serikali. Juhudi zao za
 kuiyumbisha zinawayumbisha kuliko serikali inavyoyumba. Pia
 watanzania wameona kuwa hakuna mtu anayeweza kujihakikisha
 kutoshughulikiwa kwa sababu ya nafasi aliyo nayo kisiasa au
 kiuchumi. Hakuna tena mtu kufikiri kwa sababu ana fedha basi
 atawaamrisha waliotumwa kumkamata.

 Mahala pa kuonyesha uzalendo ni hapa. Ni sasa. Hatuna budi
 kuiunga mkono serikali yetu kila inaponusa usaliti na
 kuufagia. Kanunu za mchezo wa ngumi zipo. Ukizitumia
 kuuendesha mchezo wa ngumi na mateke hutafika. Huu si mchezo
 wa ngumi. Ni mchezo wa mateke na ngumi. Mbinu zote
 zinatakiwa ili kushinda.

 Lakini ninajisikia kuumia. Kuna watu ninajua wanaelewa.
 Wamesikia kelele za mlango na kuamua kujitenga. Vita ikiisha
 nitawaita na kuwashauri. Wasijisikie vibaya. Hata wakati wa
 vita ya Uganda zilipotumika silaha nzito, (nasikia) kuna
 askari wetu walikimbia kwa kudhani ni za adui. Hapana ndiyo
 vita.

 Elisa Muhingo

 0767 187 507

 elisamuhingo@yahoo.com



     

              --

          

             

          

        

              Send Emails to wana...@googlegroups.com

          

             

          

        

               

          

             

          

          

            Kujiondoa Tuma Email kwenda

          

             

          

          

            wanabidii+...@ googlegroups.com 

          

        

             Utapata Email ya

          

        

              kudhibitisha ukishatuma

          

             

          

        

               

          

             

          

          

            Disclaimer:

          

             

        

          

              Everyone

         posting to this Forum bears

           the sole

          

             responsibility

          

              for any legal

         consequences of his or

           her postings,

          

            and

          

        

             hence

          

              statements and facts must be

         presented

           responsibly.

          

        

            Your

          

              continued membership signifies that

           you agree to

          

            this

          

              disclaimer and pledge to abide by

         our

           Rules and

          

             Guidelines.

          

             

          

          

            ---

          

             

          

              You received this

         message because you

           are subscribed

          

            to

          

        

             the

          

              Google Groups "Wanabidii"

           group.

          

             

          

          

            To unsubscribe from this group and

          

         stop receiving

          

          

          emails

          

              from

         it, send an email to wanabidii+...@

          

         googlegroups.com.

          

          

           

          

              For more

         options, visit

          

             https://groups.google.com/d/

           optout.

          

             

          

          

        

          

          

          

        

           --

          

           Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

          

            

          

        

           Kujiondoa Tuma Email kwenda

          

           wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com 

          Utapata Email ya

          

         kudhibitisha ukishatuma

          

            

          

          

         Disclaimer:

          

           Everyone

         posting to this Forum bears the sole

        

         responsibility

           for any legal consequences

         of his or her postings, and

          hence

           statements and facts must be presented

         responsibly. Your

           continued membership

         signifies that you agree to this

          

         disclaimer and pledge to abide by our Rules

   and

           Guidelines.

          

           ---

          

          

         You received this message because you are

     subscribed

       to

          the

           Google Groups

         "Wanabidii" group.

          

           To unsubscribe from this group and stop

         receiving emails

           from it, send an email

         to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

          

           For more options,

         visit

        

         https://groups.google.com/d/
 optout.

          

        

           

        

      

       --

       Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

      

       Kujiondoa Tuma Email kwenda

       wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com 

       Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

      

       Disclaimer:

       Everyone posting to this Forum bears the sole

      responsibility

       for any legal consequences of his or her

   postings,

     and

      hence

       statements and facts must be presented

   responsibly.

     Your

       continued membership signifies that you agree to

     this

       disclaimer and pledge to abide by our Rules and

      Guidelines.

       ---

       You received this message because you are

   subscribed

     to

      the

       Google Groups "Wanabidii" group.

       To unsubscribe from this group and stop
 receiving

     emails

       from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

       For more options, visit

       https://groups.google.com/d/
 optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@ googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/ optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment