Wednesday, 6 April 2016

[wanabidii] WAZIRI UMMY MWALIMU AFANYA ZIARA YA KIKAZI IFAKARA, MOROGORO

Habari za jioni,

Tafadhali pokea CODES hapa chini


<img class=" wp-image-11656 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/8560f637-78b3-467f-95ea-e2f591c0189a.jpg" alt="8560f637-78b3-467f-95ea-e2f591c0189a" width="629" height="354" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akiongea na wananchi katika hospitali ya Rufaa ya St. Francis pamoja na wajawazito wanaosubiri kujifungua na ambao wapo chini ya uangalizi wa madaktari.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu amefanya ziara ya siku 1 mjini Ifakara kufuatilia utendaji wa shughuli mbalimbali za Afya Wilayani Kilombero, Morogoro.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Katika ziara hiyo, Mhe Ummy ambae alieambatana na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Mhe Florence Tonguely-Mattli alifungua kozi ya miezi mitatu ya kutoa huduma ya dharura ya afya kwa kina mama wajawazito hususani katika eneo la upasuaji na utoaji wa dawa za usingizi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Taasisi ya Mafunzo ya Kimataifa ya Afya (TTCIH)  chini ya Mradi wa "Upatikanaji wa Uzazi Salama Tanzania" yanawahusisha Washiriki 70 kutoka mikoa ya Morogoro, Njombe na Mbeya.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Mhe Ummy pia alikagua shughuli mbalimbali za taasisi za afya ikiwemo kutembelea Taasisi ya Utafiti ya Ifakara (Ifakara Health Institute), Hospitali Teule ya Rufaa ya St. Francis, Chuo cha Uunguzi cha Edgar Malanta na Chuo Kikuu cha Tiba cha St. Francis.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11651 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/0f1f0d9a-ef44-4d26-bb82-c85e3a577fd9.jpg" alt="0f1f0d9a-ef44-4d26-bb82-c85e3a577fd9" width="629" height="354" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11652 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/2da305bb-0c4e-49f9-953c-105cabb0c669.jpg" alt="2da305bb-0c4e-49f9-953c-105cabb0c669" width="629" height="354" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11653 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/69adfba7-e3c5-42fd-a407-ff0981d8fccd.jpg" alt="69adfba7-e3c5-42fd-a407-ff0981d8fccd" width="631" height="355" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11654 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/449c9d9c-134c-4d45-b132-66e5ecab2fb1.jpg" alt="449c9d9c-134c-4d45-b132-66e5ecab2fb1" width="633" height="356" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mhe Ummy Mwalimu akibadilishana mawazo na Mkuu wa Taasisi ya Mafunzo ya Kimataifa ya Afya (TTCIH)  Prof. Pemba, Balozi wa Uswisi nchini Mhe Florence Tonguely-Mattli.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11655 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/3527b65c-f43a-4359-bc0b-9a25fefda589.jpg" alt="3527b65c-f43a-4359-bc0b-9a25fefda589" width="631" height="355" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Picha ya pamoja.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11657 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/b85fa399-431e-4ade-84c1-c55a1076097e.jpg" alt="b85fa399-431e-4ade-84c1-c55a1076097e" width="631" height="355" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11658 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/d7d05480-8495-4f65-ae56-423c9a313630.jpg" alt="d7d05480-8495-4f65-ae56-423c9a313630" width="631" height="355" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11659 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/eea390ef-f89d-458f-92b7-145abb5e19c8.jpg" alt="eea390ef-f89d-458f-92b7-145abb5e19c8" width="633" height="356" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na washiriki wakati wa kufungua mafunzo ya miezi mitatu ya kutoa huduma ya dharura ya afya kwa kinamama wajawazito mjini katika taasisi ya TTCIF, Ifakara.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-11660 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/f92df671-ceb3-45a5-8093-a889995f1267.jpg" alt="f92df671-ceb3-45a5-8093-a889995f1267" width="633" height="356" /></p>


KAWAIDA

8560f637-78b3-467f-95ea-e2f591c0189a

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akiongea na wananchi katika hospitali ya Rufaa ya St. Francis pamoja na wajawazito wanaosubiri kujifungua na ambao wapo chini ya uangalizi wa madaktari.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu amefanya ziara ya siku 1 mjini Ifakara kufuatilia utendaji wa shughuli mbalimbali za Afya Wilayani Kilombero, Morogoro.

Katika ziara hiyo, Mhe Ummy ambae alieambatana na Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Mhe Florence Tonguely-Mattli alifungua kozi ya miezi mitatu ya kutoa huduma ya dharura ya afya kwa kina mama wajawazito hususani katika eneo la upasuaji na utoaji wa dawa za usingizi.

Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Taasisi ya Mafunzo ya Kimataifa ya Afya (TTCIH)  chini ya Mradi wa "Upatikanaji wa Uzazi Salama Tanzania" yanawahusisha Washiriki 70 kutoka mikoa ya Morogoro, Njombe na Mbeya.

Mhe Ummy pia alikagua shughuli mbalimbali za taasisi za afya ikiwemo kutembelea Taasisi ya Utafiti ya Ifakara (Ifakara Health Institute), Hospitali Teule ya Rufaa ya St. Francis, Chuo cha Uunguzi cha Edgar Malanta na Chuo Kikuu cha Tiba cha St. Francis.

0f1f0d9a-ef44-4d26-bb82-c85e3a577fd9

2da305bb-0c4e-49f9-953c-105cabb0c669

69adfba7-e3c5-42fd-a407-ff0981d8fccd

449c9d9c-134c-4d45-b132-66e5ecab2fb1

Mhe Ummy Mwalimu akibadilishana mawazo na Mkuu wa Taasisi ya Mafunzo ya Kimataifa ya Afya (TTCIH)  Prof. Pemba, Balozi wa Uswisi nchini Mhe Florence Tonguely-Mattli.

3527b65c-f43a-4359-bc0b-9a25fefda589

Picha ya pamoja.

b85fa399-431e-4ade-84c1-c55a1076097e

d7d05480-8495-4f65-ae56-423c9a313630

eea390ef-f89d-458f-92b7-145abb5e19c8

Mhe. Ummy Mwalimu akiongea na washiriki wakati wa kufungua mafunzo ya miezi mitatu ya kutoa huduma ya dharura ya afya kwa kinamama wajawazito mjini katika taasisi ya TTCIF, Ifakara.

f92df671-ceb3-45a5-8093-a889995f1267



--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment