Tuesday 26 April 2016

[wanabidii] WANANCHI WA KIGOGO WANUFAIKA NA UPIMAJI BURE WA AFYA KUTOKA FAZEL FOUNDATION NA TAHMEF

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea  CODES hapa chini


<img class=" wp-image-14019 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_8603.jpg" alt="IMG_8603" width="629" height="508" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwanzilishi wa Taasisi ya Fazel, Dkt. Sajjad Fazel akisalimiana na Diwani wa Kigogo, Bw. Manyama wakati wa funguzi wa huduma ya upimaji wa afya bure kwa wakazi wa Kigogo. Katikati ni Imam wa Msikiti wa Al Ghadir, Sheikh Jalala.(Picha na habari na<span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com" target="_blank"> Modewjiblog</a></span>)</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Kwa kuhakikisha jamii inakuwa katika hali ya usalama wa kiafya, Taasii ya Fazel Foundation kwa kushirikiana na Taasisi ya Elimu ya Afya na Madawa (TAHMEF) wametoa huduma ya upimaji wa magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa Kigogo, Dar es Salaam.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Zoezi hilo lilifanyika Aprili, 23 katika Msikiti wa Al Ghadir uliopo Kigogo Post na jumla ya 352 wanawake wakiwa 150 na wanaumme 202 walipimwa Malaria, Kisukari, Shinikizo la Damu na Upungufu wa Damu mwilini.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Kati ya watu hao, watu 38 wameonekana kuwa na Shinikizo la Damu, 36 Upungufu wa Damu, 8 Kisukari na mmoja Maralia ambapo walipata nafasi ya kupatiwa dawa na ushauri kutoka kwa madaktari mbalimbali.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Aidha kwa mafanikio hayo, Fazel Foundation inawashukuru wote walioshiriki katika huduma hiyo akiwepo Dkt. Mohammed Alloo, Dkt. Sibtain Moledina, Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL Group), Salama Pharmaceuticals na Clinicheck Labs, Imam wa msikiti wa Al Ghadir Sheikh Jalala, Msikiti wa Al Ghadir, Diwani wa Kigogo, Bw. Manyama, Team ya Volunteers na Hawza ya Imam Sadiq kwa ushiriki wao katika zoezi hilo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14020 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_8619.jpg" alt="IMG_8619" width="1400" height="933" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><em>Wakiwa katika picha ya pamoja, Wa kwanza kushoto ni Diwani wa Kigogo, Bw. Manyama, Imam wa Msikiti wa Al Ghadir, Sheikh Jalala, Mwanzilishi wa Taasisi ya Fazel, Dkt. Sajjad Fazel na Mwanzilishi wa Taasisi ya Elimu ya Afya na Madawa (TAHMEF), Juliana Busasi.</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14021 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/IMG_8673.jpg" alt="IMG_8673" width="1400" height="1055" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><em>Boniventure Pius akimpima Imam wa Msikiti wa Al Ghadir, Sheikh Jalala wakati wa uzinduzi wa upimaji afya bure kwa wakazi wa Kigogo. Aliyesimama kulia ni Mwanzilishi wa Fazel Foundation, Dkt. Sajjad Fazel.</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14003 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0006.jpg" alt="DSC_0006" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkisi Shamra akimuhudumia mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14005 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0009-1.jpg" alt="DSC_0009" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mary Kalleku akimpima mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14006 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0014.jpg" alt="DSC_0014" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Victoria Msambichaka akimwambia jambo mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14007 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0017-2.jpg" alt="DSC_0017" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wananchi waliofika kupimwa afya bure kutoka Fazel Foundation na TAHMEF.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14009 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0021-3.jpg" alt="DSC_0021" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14008 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0019.jpg" alt="DSC_0019" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Eneo lililokuwa likitumika kupokea wananchi waliokwenda kupima bure afya zao.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14010 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0024.jpg" alt="DSC_0024" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Dkt. Mohammed Alloo kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akimshauri jambo mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.</strong></span></em></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14011 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0025.jpg" alt="DSC_0025" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Alex Juma akimpa dawa mmoja wa wananchi aliyefika kupima afya bure baada ya kubainika kuwa na ugonjwa.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14012 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0032-1.jpg" alt="DSC_0032" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwanzilishi wa Fazel Foundation, Dkt. Sajjad Fazel akizungumza jambo na Mwanzilishi wa Taasisi ya Elimu ya Afya na Madawa (TAHMEF), Juliana Busasi wakati wakati zoezi la kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo likiendelea.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14013 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0034-1.jpg" alt="DSC_0034" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kenneth Mananu akimsikiliza mmoja wa wananchi waliofika kituoni kupata vipimo vya afya bure. Anayefuatia ni Joshua Mnkeni akimpa ushauri mmoja wa wananchi aliyefika kupata huduma ya kupima afya bure.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14014 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0035.jpg" alt="DSC_0035" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Eneo la kutolea huduma kwa wananchi wanaofika kupata huduma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14015 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0038.jpg" alt="DSC_0038" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wagonjwa wakisubiri kumuona daktari.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14016 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0039.jpg" alt="DSC_0039" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Hans Olomi akimpima mmoja wa watoto waliofika kupimwa afya zao bure, Anayefuatia ni Simon Nassary.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-14018 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0050-1.jpg" alt="DSC_0050" width="1400" height="931" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwanzilishi wa Fazel Foundation, Dkt. Sajjad Fazel akimwambia jambo Kenneth Munanu wakati zozi la upimaji likiendeea.</strong></em></span></p>

KAWAIDA

IMG_8603

Mwanzilishi wa Taasisi ya Fazel, Dkt. Sajjad Fazel akisalimiana na Diwani wa Kigogo, Bw. Manyama wakati wa funguzi wa huduma ya upimaji wa afya bure kwa wakazi wa Kigogo. Katikati ni Imam wa Msikiti wa Al Ghadir, Sheikh Jalala.(Picha na habari na Modewjiblog)

Kwa kuhakikisha jamii inakuwa katika hali ya usalama wa kiafya, Taasii ya Fazel Foundation kwa kushirikiana na Taasisi ya Elimu ya Afya na Madawa (TAHMEF) wametoa huduma ya upimaji wa magonjwa mbalimbali kwa wananchi wa Kigogo, Dar es Salaam.

Zoezi hilo lilifanyika Aprili, 23 katika Msikiti wa Al Ghadir uliopo Kigogo Post na jumla ya 352 wanawake wakiwa 150 na wanaumme 202 walipimwa Malaria, Kisukari, Shinikizo la Damu na Upungufu wa Damu mwilini.

Kati ya watu hao, watu 38 wameonekana kuwa na Shinikizo la Damu, 36 Upungufu wa Damu, 8 Kisukari na mmoja Maralia ambapo walipata nafasi ya kupatiwa dawa na ushauri kutoka kwa madaktari mbalimbali.

Aidha kwa mafanikio hayo, Fazel Foundation inawashukuru wote walioshiriki katika huduma hiyo akiwepo Dkt. Mohammed Alloo, Dkt. Sibtain Moledina, Mohammed Enterprises Tanzania Limited (METL Group), Salama Pharmaceuticals na Clinicheck Labs, Imam wa msikiti wa Al Ghadir Sheikh Jalala, Msikiti wa Al Ghadir, Diwani wa Kigogo, Bw. Manyama, Team ya Volunteers na Hawza ya Imam Sadiq kwa ushiriki wao katika zoezi hilo.

IMG_8619

Wakiwa katika picha ya pamoja, Wa kwanza kushoto ni Diwani wa Kigogo, Bw. Manyama, Imam wa Msikiti wa Al Ghadir, Sheikh Jalala, Mwanzilishi wa Taasisi ya Fazel, Dkt. Sajjad Fazel na Mwanzilishi wa Taasisi ya Elimu ya Afya na Madawa (TAHMEF), Juliana Busasi.

IMG_8673

Boniventure Pius akimpima Imam wa Msikiti wa Al Ghadir, Sheikh Jalala wakati wa uzinduzi wa upimaji afya bure kwa wakazi wa Kigogo. Aliyesimama kulia ni Mwanzilishi wa Fazel Foundation, Dkt. Sajjad Fazel.

DSC_0006

Mkisi Shamra akimuhudumia mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.

DSC_0009

Mary Kalleku akimpima mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.

DSC_0014

Victoria Msambichaka akimwambia jambo mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.

DSC_0017

Baadhi ya wananchi waliofika kupimwa afya bure kutoka Fazel Foundation na TAHMEF.

DSC_0021

DSC_0019

Eneo lililokuwa likitumika kupokea wananchi waliokwenda kupima bure afya zao.

DSC_0024

Dkt. Mohammed Alloo kutoka Hospitali ya Taifa ya Muhimbili akimshauri jambo mmoja wa wananchi waliofika katika kituo kilichokuwa kikitumika kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo, Dar es Salaam.

DSC_0025

Alex Juma akimpa dawa mmoja wa wananchi aliyefika kupima afya bure baada ya kubainika kuwa na ugonjwa.

DSC_0032

Mwanzilishi wa Fazel Foundation, Dkt. Sajjad Fazel akizungumza jambo na Mwanzilishi wa Taasisi ya Elimu ya Afya na Madawa (TAHMEF), Juliana Busasi wakati wakati zoezi la kupima afya bure kwa wakazi wa Kigogo likiendelea.

DSC_0034

Kenneth Mananu akimsikiliza mmoja wa wananchi waliofika kituoni kupata vipimo vya afya bure. Anayefuatia ni Joshua Mnkeni akimpa ushauri mmoja wa wananchi aliyefika kupata huduma ya kupima afya bure.

DSC_0035

Eneo la kutolea huduma kwa wananchi wanaofika kupata huduma.

DSC_0038

Wagonjwa wakisubiri kumuona daktari.

DSC_0039

Hans Olomi akimpima mmoja wa watoto waliofika kupimwa afya zao bure, Anayefuatia ni Simon Nassary.

DSC_0050

Mwanzilishi wa Fazel Foundation, Dkt. Sajjad Fazel akimwambia jambo Kenneth Munanu wakati zozi la upimaji likiendeea.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment