Saturday 23 April 2016

[wanabidii] MPANGO WA KUSAIDIA KAYA MASIKINI (PSSN) WABADILISHA MAISHA YA WANANCHI VIKUGE, KIBAHA

Habari za asubuhi,

Tafadhali pokea CODES hapo chini


<img class=" wp-image-13698 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/Natalia-Kanem-TASAF-Beneficiaries-Kibaha.jpg" alt="Natalia Kanem -TASAF Beneficiaries Kibaha" width="637" height="381" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mkazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Natalia Kanem (kulia) akifanya manunuzi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanakijiji wa Vikuge ambao wamewezeshwa na mpango wa PSSN wa TASAF. (Picha na <span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://www.modewjiblog.com" target="_blank">Modewjiblog</a></span>)</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Washirika wa maendeleo nchini wametembelea vijiji viwili Vikuge na Mwanabwito vilivyopo Wilayani Kibaha kwa ajili ya kutazama miradi ya kusaidia kaya masikini ambayo imeanzishwa kwa msaada wa fedha ambazo zinatolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ambapo washirika hao wamekuwa wakitoa fedha ili kusaidia miradi hiyo.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Washirika hao wa maendeleo kutoka UN Tanzania, Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali ya Uingereza (DFID), Irish Aid, USAID na Shirika la Kimataifa la Misaada la Sweden (SIDA) ambao wamekuwa wakishirikiana na TASAF katika Mpango wa Kusaidia Kaya Masikini (PSSN).</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Wakitoa taarifa mbele ya washirika wa maendeleo, wanavikundi kutoka Kijiji cha Vikuge wamesema kuwa kupitia mpango huo wameweza kuboresha maisha yao tofauti na jinsi ilivyokuwa awali.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Walisema kuwa maisha yao ya awali yalikuwa magumu lakini kutokana na msaada walioupata kutoka TASAF wameweza kuanzisha vikundi ambavyo vinawasaidia kuboresha maisha kwa kufanya biashara za mazao, nguo na chakula.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Kuna mafanikio tumeyapata darasani mahudhurio yameongezeka, klini wamama wanakwenda na hata utapiamlo haupo tena kwa watoto kwa sababu ya TASAF kutusaidia," alisema mwakilishi wa wanavikundi kutoka Vikuge.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13700 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/TASAF-Kibaha.jpg" alt="TASAF Kibaha" width="631" height="364" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mratibu TASAF Kibaha, Goodson Hare, akitoa neno la ukaribisho kwa ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini waliotembelea vijiji viwili Vikuge na Mwanabwito vilivyopo Wilayani Kibaha kwa ajili ya kutazama miradi ya kusaidia kaya masikini ambayo imeanzishwa kwa msaada wa fedha ambazo zinatolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Akizungumzia ziara hiyo, Mratibu Mkazi wa Umoja wa MATAIFA NCHINI, Alvaro Rodriguez alisema wamefanya ziara hiyo ili kuona ni hatua gani imefikiwa na wanufaikaji na kuona ni changamoto gani bado zinawakabili.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Tunaangalia changamoto zilizopo ili kuona ni jisni gani tunaweza kuwasaidia kama Mpango wa Kusaidia Kaya masikini ulivyo nab ado kuna wahitaji zaidi licha ya kuwa tumeshasaidia kaya Milioni1.1 kwa nchi nzima,</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Mpango huu ni mzuri na kawa wasaidiwa wakiwa kama wajasiliamali na kutengeneza kipato inaweza kusaidia Tanzania kuondokana na umasikini kuelekea katika uchumi wa kati kama jinsi ilivyojiwekea malengo," alisema Rodriguez.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13701 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/UN-Resident-Coordinator-and-UNDP-Resident-Representative-in-Tanzania-Mr.-Alvaro-Rodriguez.jpg" alt="UN Resident Coordinator and UNDP Resident Representative in Tanzania, Mr. Alvaro Rodriguez" width="630" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Kiongozi wa msafara wa washirika wa maendeleo nchini, Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumzia madhumuni ya ziara yao kwa wanakijiji.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13703" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0311-1.jpg" alt="DSC_0311" width="631" height="362" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi wa Programu Jamii wa TASAF, Amadeus Kamagenge akizungumza jambo wakati wa utambulisho wa ujumbe huo.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13704" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0183.jpg" alt="DSC_0183" width="632" height="420" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Wanufaikaji wa mpango wa PSSN wakisoma risala kwa wageni.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13705 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0299.jpg" alt="DSC_0299" width="630" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mmoja wa wanufaikaji wa mpango wa PSSN akitoa maoni wakati wa mkutano na washirika wa maendeleo waliotembelea kijiji chao.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13706" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0321-1.jpg" alt="DSC_0321" width="630" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwenyekiti kijiji cha Vikuge, Vitus Mchami akitoa salamu kwa niaba ya wanakijiji kwa ugeni huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13718 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0173.jpg" alt="DSC_0173" width="632" height="420" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wanakijiji cha Vikuge wanaonufaika na mradi wa PSSN waliohudhuria mkutano huo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13716 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0145.jpg" alt="DSC_0145" width="630" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Zoe Glorious (kulia) kutoka ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini akifanya mahojiano na Mnufaikaji wa kijiji cha Vikuge, Bi. Halima ambaye aliwezeshwa na mpango wa PSSN na kuanzisha biashara ya kufuga bata ambayo imemuwezesha kuendesha maisha yake na kumuingizia kipato.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13717" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0170.jpg" alt="DSC_0170" width="628" height="418" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Bi Halima akiwa katika picha ya pamoja na mtoto wake wakati wa ziara ya washirika wa maendeleo nchini walipomtembelea nyumbani kwake.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13712" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0388.jpg" alt="DSC_0388" width="630" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwakilishi wa Ubalozi wa Finland nchini, Milma Kettunen (kulia) akinunua moja ya bidhaa iliyotengenezwa na ukili kutoka kwa wakinamama wa kijiji cha Vikuge walionufaika na mpango wa PSSN na kujikwamua kiuchumi.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13698" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/Natalia-Kanem-TASAF-Beneficiaries-Kibaha.jpg" alt="Natalia Kanem -TASAF Beneficiaries Kibaha" width="630" height="377" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mkazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Natalia Kanem (kulia) akifanya manunuzi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanakijiji wa Vikuge ambao wamewezeshwa na mpango wa PSSN wa TASAF.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13713" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0413.jpg" alt="DSC_0413" width="630" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mwakilishi wa USAID, Daniel Moore akinunua kitamba cha Batiki kutoka kwa wanufaikaji wa mpango wa PSSN unaoendeshwa na TASAF wakati wa ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya TASAF mkoa wa Pwani.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13714" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0375.jpg" alt="DSC_0375" width="630" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo  (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU), Eric Beaume wakimsikiliza mmoja wa wanakijiji cha Vikuge aliwezeshwa na mpango wa PSSN na kufanya biashara ya kilimo cha matunda na mazao mbalimbali. Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Vikuge,Vitus Mchami, anayefatia Mratibu TASAF Kibaha, Goodson Hare</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13715" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0379.jpg" alt="DSC_0379" width="630" height="419" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya Biashara za wananchi wa Vikuge walionufaika na mpanngo wa PSSN wa TASAF.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13711 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0717.jpg" alt="DSC_0717" width="630" height="419" /></p>
<img class="wp-image-13719" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0556.jpg" alt="DSC_0556" width="628" height="364" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya wanakijiji wa Mwanabwito, Kibaha mkoa wa Pwani waliohudhuria mkutano wa washirika wa maendeleo.</strong></em></span></p>
<img class="wp-image-13707" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0367.jpg" alt="DSC_0367" width="630" height="439" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mratibu TASAF wa wilaya ya Kibaha, Goodson Hare akizungumza jambo wakati wa kutizama biashara zinazofanywa na wajasiriamali walionufaika na mpango wa PSSN wa TASAF kutoka kijiji cha Vikuge, Kibaha.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13708 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0553.jpg" alt="DSC_0553" width="630" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini akiwemo Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo  (kulia) wakiwasili kwenye kijiji cha Mwanabwito.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13709 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0518.jpg" alt="DSC_0518" width="630" height="419" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini na viongozi wa TASAF katika picha ya pamoja walipotembelea shamba la miti katika kijiji cha Mwanabwito mkoani Pwani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-13710 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/04/DSC_0530.jpg" alt="Usia Nkhoma Ledama" width="629" height="418" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma- Ledama (katikati) akifafanua jambo kwa baadhi ya wajumbe wa msafara wa washirika wa maendeleo nchini wakati wa ziara hiyo.</strong></em></span></p>



KAWAIDA

Natalia Kanem -TASAF Beneficiaries Kibaha

Mkurugenzi Mkazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Natalia Kanem (kulia) akifanya manunuzi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanakijiji wa Vikuge ambao wamewezeshwa na mpango wa PSSN wa TASAF. (Picha na Modewjiblog)

Washirika wa maendeleo nchini wametembelea vijiji viwili Vikuge na Mwanabwito vilivyopo Wilayani Kibaha kwa ajili ya kutazama miradi ya kusaidia kaya masikini ambayo imeanzishwa kwa msaada wa fedha ambazo zinatolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF) ambapo washirika hao wamekuwa wakitoa fedha ili kusaidia miradi hiyo.

Washirika hao wa maendeleo kutoka UN Tanzania, Idara ya Maendeleo ya Kimataifa ya Serikali ya Uingereza (DFID), Irish Aid, USAID na Shirika la Kimataifa la Misaada la Sweden (SIDA) ambao wamekuwa wakishirikiana na TASAF katika Mpango wa Kusaidia Kaya Masikini (PSSN).

Wakitoa taarifa mbele ya washirika wa maendeleo, wanavikundi kutoka Kijiji cha Vikuge wamesema kuwa kupitia mpango huo wameweza kuboresha maisha yao tofauti na jinsi ilivyokuwa awali.

Walisema kuwa maisha yao ya awali yalikuwa magumu lakini kutokana na msaada walioupata kutoka TASAF wameweza kuanzisha vikundi ambavyo vinawasaidia kuboresha maisha kwa kufanya biashara za mazao, nguo na chakula.

"Kuna mafanikio tumeyapata darasani mahudhurio yameongezeka, klini wamama wanakwenda na hata utapiamlo haupo tena kwa watoto kwa sababu ya TASAF kutusaidia," alisema mwakilishi wa wanavikundi kutoka Vikuge.

TASAF Kibaha

Mratibu TASAF Kibaha, Goodson Hare, akitoa neno la ukaribisho kwa ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini waliotembelea vijiji viwili Vikuge na Mwanabwito vilivyopo Wilayani Kibaha kwa ajili ya kutazama miradi ya kusaidia kaya masikini ambayo imeanzishwa kwa msaada wa fedha ambazo zinatolewa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF).

Akizungumzia ziara hiyo, Mratibu Mkazi wa Umoja wa MATAIFA NCHINI, Alvaro Rodriguez alisema wamefanya ziara hiyo ili kuona ni hatua gani imefikiwa na wanufaikaji na kuona ni changamoto gani bado zinawakabili.

"Tunaangalia changamoto zilizopo ili kuona ni jisni gani tunaweza kuwasaidia kama Mpango wa Kusaidia Kaya masikini ulivyo nab ado kuna wahitaji zaidi licha ya kuwa tumeshasaidia kaya Milioni1.1 kwa nchi nzima,

"Mpango huu ni mzuri na kawa wasaidiwa wakiwa kama wajasiliamali na kutengeneza kipato inaweza kusaidia Tanzania kuondokana na umasikini kuelekea katika uchumi wa kati kama jinsi ilivyojiwekea malengo," alisema Rodriguez.

UN Resident Coordinator and UNDP Resident Representative in Tanzania, Mr. Alvaro Rodriguez

Kiongozi wa msafara wa washirika wa maendeleo nchini, Mratibu Mkazi wa Mashirika ya Umoja wa Mataifa na Mwakilishi wa Shirika la Maendeleo (UNDP), Alvaro Rodriguez akizungumzia madhumuni ya ziara yao kwa wanakijiji.

DSC_0311

Mkurugenzi wa Programu Jamii wa TASAF, Amadeus Kamagenge akizungumza jambo wakati wa utambulisho wa ujumbe huo.

DSC_0183

Wanufaikaji wa mpango wa PSSN wakisoma risala kwa wageni.

DSC_0299

Mmoja wa wanufaikaji wa mpango wa PSSN akitoa maoni wakati wa mkutano na washirika wa maendeleo waliotembelea kijiji chao.

DSC_0321

Mwenyekiti kijiji cha Vikuge, Vitus Mchami akitoa salamu kwa niaba ya wanakijiji kwa ugeni huo.

DSC_0173

Baadhi ya wanakijiji cha Vikuge wanaonufaika na mradi wa PSSN waliohudhuria mkutano huo.

DSC_0145

Zoe Glorious (kulia) kutoka ofisi ya Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini akifanya mahojiano na Mnufaikaji wa kijiji cha Vikuge, Bi. Halima ambaye aliwezeshwa na mpango wa PSSN na kuanzisha biashara ya kufuga bata ambayo imemuwezesha kuendesha maisha yake na kumuingizia kipato.

DSC_0170

Bi Halima akiwa katika picha ya pamoja na mtoto wake wakati wa ziara ya washirika wa maendeleo nchini walipomtembelea nyumbani kwake.

DSC_0388

Mwakilishi wa Ubalozi wa Finland nchini, Milma Kettunen (kulia) akinunua moja ya bidhaa iliyotengenezwa na ukili kutoka kwa wakinamama wa kijiji cha Vikuge walionufaika na mpango wa PSSN na kujikwamua kiuchumi.

Natalia Kanem -TASAF Beneficiaries Kibaha

Mkurugenzi Mkazi Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Idadi ya Watu (UNFPA), Natalia Kanem (kulia) akifanya manunuzi ya bidhaa zinazotengenezwa na wanakijiji wa Vikuge ambao wamewezeshwa na mpango wa PSSN wa TASAF.

DSC_0413

Mwakilishi wa USAID, Daniel Moore akinunua kitamba cha Batiki kutoka kwa wanufaikaji wa mpango wa PSSN unaoendeshwa na TASAF wakati wa ziara ya kukagua miradi mbalimbali ya TASAF mkoa wa Pwani.

DSC_0375

Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo  (wa pili kushoto) na Mwakilishi wa Umoja wa Ulaya (EU), Eric Beaume wakimsikiliza mmoja wa wanakijiji cha Vikuge aliwezeshwa na mpango wa PSSN na kufanya biashara ya kilimo cha matunda na mazao mbalimbali. Wa kwanza kulia ni Mwenyekiti wa Vikuge,Vitus Mchami, anayefatia Mratibu TASAF Kibaha, Goodson Hare

DSC_0379

Baadhi ya Biashara za wananchi wa Vikuge walionufaika na mpanngo wa PSSN wa TASAF.

DSC_0717

DSC_0556

Baadhi ya wanakijiji wa Mwanabwito, Kibaha mkoa wa Pwani waliohudhuria mkutano wa washirika wa maendeleo.

DSC_0367

Mratibu TASAF wa wilaya ya Kibaha, Goodson Hare akizungumza jambo wakati wa kutizama biashara zinazofanywa na wajasiriamali walionufaika na mpango wa PSSN wa TASAF kutoka kijiji cha Vikuge, Kibaha.

DSC_0553

Ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini akiwemo Mkurugenzi Mkazi wa Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP) nchini, Awa Dabo  (kulia) wakiwasili kwenye kijiji cha Mwanabwito.

DSC_0518

Ujumbe wa washirika wa maendeleo nchini na viongozi wa TASAF katika picha ya pamoja walipotembelea shamba la miti katika kijiji cha Mwanabwito mkoani Pwani.

Usia Nkhoma Ledama

Afisa Habari wa kituo cha Habari cha Umoja wa Mataifa (UNIC), Bi. Usia Nkhoma- Ledama (katikati) akifafanua jambo kwa baadhi ya wajumbe wa msafara wa washirika wa maendeleo nchini wakati wa ziara hiyo.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment