Tuesday, 5 April 2016

Re: [wanabidii] Magufuli afuta sherehe za Muungano

Kaota ndoto pia kanusa panya kuwa kungekuwa na sherehe wasiotambua uongozi wa sasa wa ZNZ wangeripua mabomu na kuua watu.
--------------------------------------------
On Tue, 5/4/16, 'Sylvanus Kessy' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Magufuli afuta sherehe za Muungano
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, 5 April, 2016, 8:47

Ni hekima ya hali ya Juu. Huwezi sherehekea Jubilei
ya Ndoa yenye migogoro mikubwa hivi kwa mamilioni.
Mheshiimiwa UMEFANYA LILILO BORA ZAIDI. Bravo!
 


From: 'Hildegarda
Kiwasila' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
To:
wanabidii@googlegroups.com
Sent: Tuesday, April 5,
2016 1:39 AM
Subject: Re:
[wanabidii] Magufuli afuta sherehe za Muungano



Hongera Mh
Magufuli. Lakini huu hii barabara ya kwenda airport na
uwanja wenyewe  toka 1994 unajengwa/kukarabatiwa nabarabara
ikitengenezwa kupanuliwa. Kuwaje kuanzia kipindi hicho hadi
leo haijaisha? Inji hii ina vituko.


--------------------------------------------
On Mon, 4/4/16, Joseph Beda Rupia <rupia.joseph@gmail.com>
wrote:

Subject:
[wanabidii] Magufuli afuta sherehe za Muungano
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, 4 April, 2016, 17:09

Magufuli afuta
sherehe za sikukuu ya muunganoDakika
10 zilizopita Mshirikishe mwenzako   
Rais wa Tanzania John Magufuli ameahirisha
sherehe za maadhimisho ya Siku ya Muungano na
badala yake
akawataka Watanzania
waiadhimishe wakiwa majumbani au wakiwa

katika shughuli zao binafsi.

      Siku hiyo hata hivyo bado itasalia
kuwa
ya mapumziko kama kawaida. Agizo hilo
la Dkt Magufuli aidha
linaathiri
shamrashamra za mwaka huu pekee.Siku hiyo

huadhimishwa tarehe 26 Aprili kila mwaka kukumbuka siku
sawa
na hiyo mwaka 1964 ambapo Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania
iliundwa kwa Muungano
wa Tanganyika na Zanzibar
(inayojumuisha
Visiwa vya Pemba na Unguja).

      Magufuli aamua sikukuu iwe siku ya
kazi Magufuli: Vijana sharti wafanye
kaziDkt Magufuli amesema fedha
ambazo zilipangwa kutumika kwa ajili ya
kugharimia vinywaji,
vyakula, gwaride,
halaiki, burudani mbalimbali na hafla ya

usiku ambazo ni zaidi ya shilingi bilioni mbili za
Tanzania
zitumike kupanua barabara ya
Mwanza Airport katika eneo
linaloanzia
Ghana Quarters hadi uwanja wa ndege wa

Mwanza.Barabara hiyo inafanyiwa upanuzi kutatua
msongamano wa mkubwa wa magari ambayo umekuwa
ukiathiri
shughuli eneo hilo.SOURCE: BBC
Swahili



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda


wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:


Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.


---

You received this
message because you are subscribed to the

Google Groups "Wanabidii" group.


To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment