<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe.<span style="color: #0000ff;">(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).</span></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Mwandishi wetu, Zanzibar</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>FILAMU ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau imeondoka na tuzo tatu katika tamasha la 17 la filamu la kimataifa la Zanzibar (ZIFF).</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Tuzo hizo ni pamoja na ya Signis , tuzo ya majaji na tuzo ya fedha ya ZIFF.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katika tamasha hilo filamu iliyotwaa tuzo ya dhahabu ni ile ambayo ilikataliwa kuoneshwa nchini Nigeria ilikotengenezwa ya Half of a Yellow Sun iliyoongozwa na Biyi Bandele.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Shughuli za utoaji tuzo ambazo zilitanguliwa na hotuba ya makamu mwenyekiti wa kampuni ya wananchi Group ambayo brand yake ya zuku ndio inafadhili ZIFF pamoja na tuzo zake za Swahili, zilinogezshwa na vikundi mbalimnbali kikiwemo cha kereografu cha B 6.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli ya Doubletree by Hilton Zanzibar, Bw. Samuel(kulia) Bond na Mkewe Jenny Bond wakibadilishana mawazo na mmoja wa majaji wa tuzo za ZIFF 2014 Mykel Parish (aliyeipa mgongo kamera) kabla ya kuanza kwa tuzo za ZIFF 2014.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha mwenyekiti huyo alisema kwamba Zuku itaendelea kuhakikisha inasaidia kuinua kiwango cha uigizaji na utengenezaji sinema za Kiswahili kwa kutambua kwamba filamu hizo ni sehemu ya uzalishaji wa fedha katika taifa kupitia utamaduni.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha alisema pamoja na mamilioni ya shilingi walioyoahidi kutumbukiza katika miaka 10 ni vyema taasisi nyingine hasa za umma kutambua uwapo wa tamasha hilo ambalo likitumika vyema ni chanzo kikuu cha fedha kwa serikali na watu wake.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katika utoaji wa tuzo ambao ulionekana nchi ya Afrika Kusini kufanya vyema, mtendaji wa ZIFF Professor Martin Mhando alizungumza maana ya nchi za majahazi na nini kinastahili kufanywa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em style="color: #000080;"><strong style="font-weight: bold;">Mkurugenzi Mkuu wa ZIFF, Profesa Martin Mhando akiwakaribisha wageni waalikwa waliohudhuria usiku maalum wa tuzo za tamasha la 17 la ZIFF 2014 zilizofanyika mwishoni mwa juma.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema tamasha hilo halitabadili wajibu wake wa tangu awali wa,mkuchochea mabadiliko miongoni mwa jamii na serikali hali ambayo inajenga jamii yenye kuheshimu maendeleo na wajibu wa kila mmojawao.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Alisema pamoja na kuwa na safari ndefu bado ZIFF ndio jukwaa lenye uhakika kwa watengeneza sinemakatika bara la Afrika na kadhalika.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Katika utoaji tuzo,ZIFF ilialika zaidi ya watengeneza filamu 30 kutoka nchi mbalimbali.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>ZIFF 2014 – AWARDS</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>SIGNIS AWARDS</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>SPECIAL MENTION</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Shadow Tree</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>By BIja Viswa</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(Tanzania)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>EAST AFRICAN TALENT AWARD (1000 dollars)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Sticking Ribbons</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>by Bill Jones</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(Kenya)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>SIGNIS PRIZE</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Espinho Da Rosa/ The Thorn Of The Rose</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>by Filipe Henriques</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(Guine Bissao)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>SEMBENE OUSMANE AWARDS</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Umunthu,</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>by Mwizalero Nyirenda</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(Malawi)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Body Games,</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>by Richard Pakleppa& Matthias Rohrig Assuncao</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(Namibia / Brasil / South Africa)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>SPECIAL MENTION</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Welcome to Loliondo</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>by Morten West</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(Denmark)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>ZUKU BONGO MOVIES AWARDS</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>ZUKU PEOPLE CHOICE</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Shikamoo Mzee</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo, Bw. Richard Bell akizungumza na wageni waalikwa wakati utoaji tuzo za ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar. </strong></em><em><strong>Aidha mwenyekiti huyo alisema kwamba Zuku itaendelea kuhakikisha inasaidia kuinua kiwango cha uigizaji na utengenezaji sinema za Kiswahili kwa kutambua kwamba filamu hizo ni sehemu ya uzalishaji wa fedha katika taifa kupitia utamaduni na kutoa wito kwa wasanii wa Bongo Movie kupeleka kazi zao kwa ajili ya kuonyeshwa kwenye chaneli za ving'amuzi vya ZUKU na kujitangaza kimataifa kupitia ving'amuz</strong></em><em><strong><span style="color: #000080;">i</span> hivyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST ACTOR</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Jackson Kabirigi</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>for Kisate and Nguvu ya Imani</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST ACTRESS</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Esha Buheti</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>for Mimi na Mungu wangu</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST DIRECTOR</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Issa Musa Cloud</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>for Shahada</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST FEATURE FILM</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Shahada</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Issa Musa</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>ZIFF AWARDS</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>LIFETIME ACHIEVEMENT AWARD</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Emerson Skeens</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Founder of ZIFF</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Awarded Posthumously</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST DOCUMENTARY</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Sobukwe: A Great Soul</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mickey Madoda Dube</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(South Africa)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST ANIMATION</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Khumba</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Anthony Silverston</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(SouthAfrica)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST SHORT FILM</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Shadowtree</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mti Wakivuli / Biju Viswanath</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(India / Tanzania)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST EAST AFRICAN TALENT</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>The King's Virgin</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Daniel Moss</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(Tanzania/UK)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mmoja wa majaji wa tuzo za Signs kwenye tamasha la ZIFF 2014, Adinda Pamela akitangaza washindi wa tuzo hizo. Katikati ni Mratibu wa Majaji wa tuzo za ZIFF 2014, Fabrizio Colombo na kulia ni mmoja wa "ushers" akiwa ameshikilia tuzo hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>CHAIRMAN's AWARD</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Sodiq</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Adeyemi Michael</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>(UK)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>SPECIAL JURY AWARD</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Julio Mesquith</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Main Actor</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>The Thorn of the Rose</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST FEATURE FILM (SILVER DHOW)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>The Thorn of the Rose - Espinho da Rosa</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>by Filipe Henriques (Guinea Bissau)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>BEST FEATURE FILM (GOLDEN DHOW)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Half of a Yellow Sun</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Biyi Bandele (USA)</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mmoja wa washindi wa tuzo za Signis alikuwa ni ADY de Batista malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose). Pichani ni ADY de Batista akisindikizwa jukwaani kupokea tuzo na Meneja wake.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mmoja wa majaji wa tuzo za Signis Adinda Pamela akimpongeza ADY de Batista baada ya kunyakua tuzo hizo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>ADY de Batista akiongea kwa furaha kwenye usiku maalum wa tuzo za Signis katika kusheherekea tamasha la 17 la ZIFF lililomalizika mwishoni mwa wiki visiwani Zanzibar.</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>ADY de Batista akishuka jukwaani baada ya kupokea tuzo na Meneja wake.</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Channel Coordinator wa ZUKU Swahili, Bilha Olimba akitangaza jina la mshindi wa tuzo za</strong></em></span> <em style="color: #000080;"><strong>ZUKU PEOPLE's CHOICE. Katikati ni <em style="color: #000080;"><strong>Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo kupitia brand ya ZUKU, Bw. Richard Bell</strong></em></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford akielekea jukwaani kumchukulia msanii mwezake Jacob Steven almaarufu kama JB alitwaa tuzo ya ZUKU PEOPLE'S CHOICE kupitia filamu yake ya SHIKAMOO MZEE kwenye tamasha la 17 la ZIFF lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Shamsa Ford akizungumza kwa niaba ya JB kabla ya kupokea tuzo hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo kupitia brand ya ZUKU, Bw. Richard Bell akikabidhi tuzo ya ZUKU PEOPLE's CHOICE kupitia filamu ya SHIKAMOO MZEE ya mwigizaji Jacob Steven almaarufu kama JB iliyopokelewa na msanii mwenzake Shamsa Ford.</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Shamsa Ford akishukaa jukwaa kwa furaha isiyona kifani.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><em style="color: #000080;"><strong>Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo kupitia brand ya ZUKU, Bw. Richard Bell akimkabidhi tuzo mwigizaji bora Jackson Laurent Kabirigi kupitia filamu ya</strong></em><em><span style="color: #000080;"><strong> <span style="color: #000000;">"</span></strong><span style="color: #000000;"><strong>Kisate na</strong></span><strong><span style="color: #000000;"> Nguvu ya Imani"</span> </strong></span></em><em style="color: #000080;"><strong><em>(</em>wa pili kushoto) aliyeambatana na ndugu yake Feysal Arikardy (kushoto).</strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mtayarishaji wa filamu Swahiliwood, William Mtitu akielekea jukwaani kumpokelea tuzo mwongozaji wa filamu Issa Mussa a.k.a Cloud 112 aliyetwaa tuzo ya uongozaji bora kupitia filamu yake ya SHAHADA ndani ya tamasha la 17 la ZIFF 2014.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"></p>

Malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau ADY de Batista akiwasili huku akiongozana na Meneja wake Sholey Maqueta kwenye usiku maalum wa tuzo wakati wa tamasha la 17 la ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar kwenye viunga vya Ngome Kongwe.(Picha zote na Zainul Mzige wa MOblog).
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
FILAMU ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose) ya Filipe Henriques kutoka Guinea Bissau imeondoka na tuzo tatu katika tamasha la 17 la filamu la kimataifa la Zanzibar (ZIFF).
Tuzo hizo ni pamoja na ya Signis , tuzo ya majaji na tuzo ya fedha ya ZIFF.
Katika tamasha hilo filamu iliyotwaa tuzo ya dhahabu ni ile ambayo ilikataliwa kuoneshwa nchini Nigeria ilikotengenezwa ya Half of a Yellow Sun iliyoongozwa na Biyi Bandele.
Shughuli za utoaji tuzo ambazo zilitanguliwa na hotuba ya makamu mwenyekiti wa kampuni ya wananchi Group ambayo brand yake ya zuku ndio inafadhili ZIFF pamoja na tuzo zake za Swahili, zilinogezshwa na vikundi mbalimnbali kikiwemo cha kereografu cha B 6.

Mkurugenzi Mtendaji wa Hoteli ya Doubletree by Hilton Zanzibar, Bw. Samuel(kulia) Bond na Mkewe Jenny Bond wakibadilishana mawazo na mmoja wa majaji wa tuzo za ZIFF 2014 Mykel Parish (aliyeipa mgongo kamera) kabla ya kuanza kwa tuzo za ZIFF 2014.
Aidha mwenyekiti huyo alisema kwamba Zuku itaendelea kuhakikisha inasaidia kuinua kiwango cha uigizaji na utengenezaji sinema za Kiswahili kwa kutambua kwamba filamu hizo ni sehemu ya uzalishaji wa fedha katika taifa kupitia utamaduni.
Aidha alisema pamoja na mamilioni ya shilingi walioyoahidi kutumbukiza katika miaka 10 ni vyema taasisi nyingine hasa za umma kutambua uwapo wa tamasha hilo ambalo likitumika vyema ni chanzo kikuu cha fedha kwa serikali na watu wake.
Katika utoaji wa tuzo ambao ulionekana nchi ya Afrika Kusini kufanya vyema, mtendaji wa ZIFF Professor Martin Mhando alizungumza maana ya nchi za majahazi na nini kinastahili kufanywa.

Mkurugenzi Mkuu wa ZIFF, Profesa Martin Mhando akiwakaribisha wageni waalikwa waliohudhuria usiku maalum wa tuzo za tamasha la 17 la ZIFF 2014 zilizofanyika mwishoni mwa juma.
Alisema tamasha hilo halitabadili wajibu wake wa tangu awali wa,mkuchochea mabadiliko miongoni mwa jamii na serikali hali ambayo inajenga jamii yenye kuheshimu maendeleo na wajibu wa kila mmojawao.
Alisema pamoja na kuwa na safari ndefu bado ZIFF ndio jukwaa lenye uhakika kwa watengeneza sinemakatika bara la Afrika na kadhalika.
Katika utoaji tuzo,ZIFF ilialika zaidi ya watengeneza filamu 30 kutoka nchi mbalimbali.
ZIFF 2014 – AWARDS
SIGNIS AWARDS
SPECIAL MENTION
Shadow Tree
By BIja Viswa
(Tanzania)
EAST AFRICAN TALENT AWARD (1000 dollars)
Sticking Ribbons
by Bill Jones
(Kenya)
SIGNIS PRIZE
Espinho Da Rosa/ The Thorn Of The Rose
by Filipe Henriques
(Guine Bissao)
SEMBENE OUSMANE AWARDS
Umunthu,
by Mwizalero Nyirenda
(Malawi)
Body Games,
by Richard Pakleppa& Matthias Rohrig Assuncao
(Namibia / Brasil / South Africa)
SPECIAL MENTION
Welcome to Loliondo
by Morten West
(Denmark)
ZUKU BONGO MOVIES AWARDS
ZUKU PEOPLE CHOICE
Shikamoo Mzee

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo, Bw. Richard Bell akizungumza na wageni waalikwa wakati utoaji tuzo za ZIFF 2014 lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar. Aidha mwenyekiti huyo alisema kwamba Zuku itaendelea kuhakikisha inasaidia kuinua kiwango cha uigizaji na utengenezaji sinema za Kiswahili kwa kutambua kwamba filamu hizo ni sehemu ya uzalishaji wa fedha katika taifa kupitia utamaduni na kutoa wito kwa wasanii wa Bongo Movie kupeleka kazi zao kwa ajili ya kuonyeshwa kwenye chaneli za ving'amuzi vya ZUKU na kujitangaza kimataifa kupitia ving'amuzi hivyo.
BEST ACTOR
Jackson Kabirigi
for Kisate and Nguvu ya Imani
BEST ACTRESS
Esha Buheti
for Mimi na Mungu wangu
BEST DIRECTOR
Issa Musa Cloud
for Shahada
BEST FEATURE FILM
Shahada
Issa Musa
ZIFF AWARDS
LIFETIME ACHIEVEMENT AWARD
Emerson Skeens
Founder of ZIFF
Awarded Posthumously
BEST DOCUMENTARY
Sobukwe: A Great Soul
Mickey Madoda Dube
(South Africa)
BEST ANIMATION
Khumba
Anthony Silverston
(SouthAfrica)
BEST SHORT FILM
Shadowtree
Mti Wakivuli / Biju Viswanath
(India / Tanzania)
BEST EAST AFRICAN TALENT
The King's Virgin
Daniel Moss
(Tanzania/UK)

Mmoja wa majaji wa tuzo za Signs kwenye tamasha la ZIFF 2014, Adinda Pamela akitangaza washindi wa tuzo hizo. Katikati ni Mratibu wa Majaji wa tuzo za ZIFF 2014, Fabrizio Colombo na kulia ni mmoja wa "ushers" akiwa ameshikilia tuzo hiyo.
CHAIRMAN's AWARD
Sodiq
Adeyemi Michael
(UK)
SPECIAL JURY AWARD
Julio Mesquith
Main Actor
The Thorn of the Rose
BEST FEATURE FILM (SILVER DHOW)
The Thorn of the Rose - Espinho da Rosa
by Filipe Henriques (Guinea Bissau)
BEST FEATURE FILM (GOLDEN DHOW)
Half of a Yellow Sun
Biyi Bandele (USA)

Mmoja wa washindi wa tuzo za Signis alikuwa ni ADY de Batista malkia wa Filamu ya Espinho da Rosa (the Thorn of the rose). Pichani ni ADY de Batista akisindikizwa jukwaani kupokea tuzo na Meneja wake.

Mmoja wa majaji wa tuzo za Signis Adinda Pamela akimpongeza ADY de Batista baada ya kunyakua tuzo hizo.

ADY de Batista akiongea kwa furaha kwenye usiku maalum wa tuzo za Signis katika kusheherekea tamasha la 17 la ZIFF lililomalizika mwishoni mwa wiki visiwani Zanzibar.


ADY de Batista akishuka jukwaani baada ya kupokea tuzo na Meneja wake.

Channel Coordinator wa ZUKU Swahili, Bilha Olimba akitangaza jina la mshindi wa tuzo za ZUKU PEOPLE's CHOICE. Katikati ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo kupitia brand ya ZUKU, Bw. Richard Bell

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford akielekea jukwaani kumchukulia msanii mwezake Jacob Steven almaarufu kama JB alitwaa tuzo ya ZUKU PEOPLE'S CHOICE kupitia filamu yake ya SHIKAMOO MZEE kwenye tamasha la 17 la ZIFF lililomalizika mwishoni mwa juma visiwani Zanzibar.

Shamsa Ford akizungumza kwa niaba ya JB kabla ya kupokea tuzo hiyo.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo kupitia brand ya ZUKU, Bw. Richard Bell akikabidhi tuzo ya ZUKU PEOPLE's CHOICE kupitia filamu ya SHIKAMOO MZEE ya mwigizaji Jacob Steven almaarufu kama JB iliyopokelewa na msanii mwenzake Shamsa Ford.

Shamsa Ford akishukaa jukwaa kwa furaha isiyona kifani.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Wananchi Group ambao ndio wadhamini wakuu wa tamasha hilo kupitia brand ya ZUKU, Bw. Richard Bell akimkabidhi tuzo mwigizaji bora Jackson Laurent Kabirigi kupitia filamu ya "Kisate na Nguvu ya Imani" (wa pili kushoto) aliyeambatana na ndugu yake Feysal Arikardy (kushoto).

Mtayarishaji wa filamu Swahiliwood, William Mtitu akielekea jukwaani kumpokelea tuzo mwongozaji wa filamu Issa Mussa a.k.a Cloud 112 aliyetwaa tuzo ya uongozaji bora kupitia filamu yake ya SHAHADA ndani ya tamasha la 17 la ZIFF 2014.

Kwa picha zaidi ingia hapa
0 comments:
Post a Comment