Tuesday, 25 February 2014

Re: [wanabidii] DK NDALICHAKO ALIKUWA KIKWAZO CHA UFAULU TANZANIA ?

Juma,
ukiona hivyo basi jua Joyce alikuwa mtendaji hasa, yaani alikuwa makini na kazi yake. Leo mtu wa div 4 anakuwa na div 3. Afu watz tunachekelea kama mazuzu kuwa ufaulu umeongezeka. CCM is killing us softly.------------------------------ On Mon, Feb 24, 2014 22:16 PST Juma Mzuri wrote: >Tangu baraza la mitihani liwe chini ya katibu mtendaji mpya. matokeo ya >Mitihani ya F4 na F6 umebadailika. > >Lakini hata makosa ya kufutiwa matokeo watoto wetu yamepungua sana. pia >kukusea kosea kwa matokeo imepungua kwa kiasi kikubwa. Kwa mfano wakati wa >Ndalichako mara utasikia matokeo ya huyu yameenda kwa yule au marks la somo >hili limejumlishwa kwa 3 badala ya 2 na kusababisha malalamiko makubwa kwa >wananachi. > >-- >Send Emails to wanabidii@googlegroups.com > >Kujiondoa Tuma Email kwenda >wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma > >Disclaimer: >Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines. >--- >You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group. >To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com. >For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment