Wednesday 26 February 2014

Re: [wanabidii] chungulia nijuze

Mkuu,
Una deals nzuri ila huwa unaandika kama unakimbizwa. Tulia, andika vizuri kumbuka hapo unafanya marketing.

Ni ushauri tuu.

Magiri.

Dau dogo huambaa mwambao, kubwa huenda kwenye kilindi.

On Feb 26, 2014 6:28 PM, "lesian mollel" <aramakurias@yahoo.com> wrote:
wapendwa salaam
Naendelea kuboresha huduma zetu zileeeeee...properties sale nk
sasa tunapatika ktk blog....www.nijuzetz.blog.......utapata properties kibao na za bei nafuuu, bado tunafeed kwa sasa ziko chache lakinia kuanzia j3 naomba mvisit mtakuta vitu vya ukweli na vya maana.......kila kona ya jiji kuna property, ukiiiona usikawie apply haraka, huna shida ya kuanza kujeenga wakati nyumba za ukweli za bei nafuu zipo
Jamani kuina banagaluu moja ukiliona kama ikulu, inauzwa nna ina vyumba 5 jumba la kisasa sana bei mi 100 tu jamaa amekabwa sana na madeni...mwenye kuweza amtangulizie mi 50 then after 6 month atammalizia kidogo kidogo
kama unataka picha tembelea nijuze au oda kwa whatsaap nikurushie
karibuni pia office yetu pale sinza mori jirani na  maeda for more
0652 314181 mollel

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment