Tuesday 12 March 2013

[wanabidii] URAIA WA NCHI 2 – TUZUNGUMZE KWA UWAZI

Ndugu zangu

Kuna hili suala la Uraia wa Nchi mbili yaani mtu anakuwa Mtanzania
anapoenda Ufaransa kuishi na kupata uraia wa huko basi ana uwezo pia
wa kuendelea kuwa na ule wa Tanzania na kuendelea kuwa na haki
nyingine zote kama Mtanzania .

Suala hili limekuwa linaumiza vichwa vya wengi haswa kwenye suala la
ulinzi na usalama wengine wanaogopa kwamba maadui zako wanaweza
kutumia fursa hiyo kukumaliza kwa kupandikiza watu wao wenye uraia wa
nchi mbili .

Kwa upande mwingine kuna faida zake kwa maana kama mtu ameondoka
akachukuwa uraia mwingine ana uwezo wa kurudi kuwekeza na kufanya
maendeleo bila kikwazo chochote kama raia mwingine wa nchi husika .

Katika hili mimi naona uraia wa nchi mbili uruhusiwe watanzania wawe
na uwezo na uhuru wa kubaki na uraia wao pindi wanapokuwa na uraia wa
nchi nyingine ila wawekwe kwenye uangalizi maalum kwa siku , miaka
kadhaa kabla ya kuruhusiwa kabisa .

Sijui wenzangu mnaonaje .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment