Thursday 2 August 2012

Re: [wanabidii] My Bank account raided using my own ATM card

John,
Pole sana. Benki kama CRDB unatumiwa meseji chini ya dakika moja baada ya kucuhukua hela kwenye akaunti yako na wanakupa namba ya kupiga kama hukuchukua hela kama ukiwa umejiunga na huduma ya mobile banking. Tatizo la huduma hii ni kwamba ni ngumu kama huko nje ya nchi.
Jambo jingine la msingi ni kuangalia statement ya akaunti yako angalau mara mbili kwa siku ili kama ukigundua tatizo utoe taarifa haraka. Njia nyepesi kufanikisha hilo ni kujiunga na internet banking.
EK
Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: Yona Maro <oldmoshi@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thu, 2 Aug 2012 14:23:33 +0300
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] My Bank account raided using my own ATM card

Pole sana ndugu yangu

Baada ya pole hiyo lazima tujue kwamba katika mashine zote za ATM kuna kamera zilizowekwa kwa ajili ya kuangalia usalama wa mashine hizo pamoja na watumiaji , naamini kamera ziliweza kupiga picha za mtu aliyeingia kwenye mashine hizo kuchukuwa fedha au kufanya njia nyingine haramu kutumia kadi yako au nyingine ambazo imetengenezwa kama yako .

Ushauri wangu ni kama ifuatavyo .

1 - Sasa benki zianzishe taratibu nyingine za kuweza kutambua usahihi wa taarifa zinazoingizwa pindi mtu anapotaka kuchukuwa fedha zake haswa kwa wateja wenye fedha nyingi na ambao wanapenda kuchukuwa fedha nyingi kutumia mashine hizo .
Kwa mfano mteja anaweza kupewa kitufe cha kubonyeza na kumpa password /Neno la siri jipya baada ya kuingiza la zamani pindi anapotaka kuchukuwa fedha , kifaa hicho anatakiwa awe nacho mwenye akaunti .

2-Benki kwa kutumia wataalamu wa Tehama na mawasiliano ya simu waanzishe mpango wa kutambua wateja wao na jinsi wanavyochukuwa fedha katika maeneo yao , kwa mfano mimi nakaa makumbusho na mara nyingi nachukulia fedha maeneo ya makumbusho siku nikienda mwanza au kariakoo basi benki yangu kwa kutumia programu hiyo iniulize maswali zaidi kabla ya kutoa fedha


Mengine tutaendelea kueleweshana na kupeana elimu zaidi jinsi ya tunavyozidi kuchangia au kulingana na ushauri utakaotolewa na baadhi yetu .

On Thu, Aug 2, 2012 at 2:04 PM, Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk> wrote:
The same happened to a relative of mine but the bank camera showed a woman milking the ATM and the woman happened to be his wife who also knew the ATM card password. The Bank's ATM Camera should have captured the faces of those who robbed you using a duplicate card.

From: Manta Michael <barbiemicsay@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, 2 August 2012, 12:54
Subject: Re: [wanabidii] My Bank account raided using my own ATM card

Am xo xorry john! Very touching.........

----------
Sent from my Nokia phone

------Original message------
From: John Wanyancha (tz) <jwanyancha@psi.or.tz>
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, August 2, 2012 11:43:22 AM GMT+0300
Subject: [wanabidii] My Bank account raided using my own ATM card

Folks,

Could this have happened to any one out there?

In just four days between July 27th and July 30th 2012 my bank account,
with one of the largest Tanzanian banks, was unbelievably emptied by
suspected fraudsters who got away with a fortune my life time. Mark you
this is a bank with which I have seamlessly operated the same account for
nearly six years. I will not mention names for now as I am still trying to
get to the bottom of the matter, after which I will give a comprehensive
press release.

*My VISA-enabled bank card*
It all started last Friday, July 27th, at around 10 am when I attempted to
withdraw TZS 100,000 with my VISA-enabled bank card from an ATM machine of
yet another largest Tanzanian bank at Banana, Ukonga in Dar es Salaam. The
machine could not dispense the cash or a receipt but  displayed a message
to the effect that it was uanbel contact my banker - whatever that means!.
Being used to this kind failed ATM withdrawals it did not bother me so I
moved on to other things putting aside the activity for another time.
Little did I know that this was the beginning of a horrifying banking
experience of my lifetime.

Came Saturday and I was at another ATM machine, this time one owned by my
bank of six years. Being eager to know whether the non-dispensed TZS
100,000 was still intact in my account, my first transaction was
naturally to "check balance" which gave an indication that all was not
well. I went a step further to print a mini-statement on the machine which
revealed that a total of TZS 900,000 had been withdrawn from the account in
four transactions of TZS 100,000 (27th July), TZS 200,000 (July 28th), TZS
400,000 and TZS 200,000 (July 28th 2012).

In the meantime, this was happening during the weekend while my Monday and
Tuesday were spent in Dodoma at Bunge attending the MOHSW budget session.

And when I showed up yesterday (August 1st) at my bank branch in Dar to
report the loss of TZS 900,000 from my account, I was met with yet another
surprise package, when upon checking it was discovered that a further TZS
400,000 had again been withdrawn from the account on July 30th,
bringing the total to TZS 1,300,000 in just four days!! All the
five illegal transactions appeared as VISA cash withdrawals done using my
own bank card from ATMs not owned by the issuing bank!!!

The immediate action taken by my bank branch was to block the card to avoid
further milking of the already dry bank account. The bank has launched
investigations
into the matter but another sad news is that it takes a minimum of 45 days
to get such stolen money back to the owners' account.

*Duplicate ATM cards*
On making further inquiries as to what may have caused this to happen , I
was shocked to learn from some staff (names withheld) that mine is not an
isolated incident, but part of a wave of fraudulent activities done using
duplicate VISA-enabled ATM cards that most banks are facing with interbank
VISA disputes already running to hundreds of million of shillings. I was
also to learn the problem is to do with some banks operating ATM machines
that do not meet international/recommended standards.

I was informed in confidence that when you draw money from such
substandard ATMs with your VISA-enabled card, your banking details
including ATM number are captured by fraudsters who use the details to
produce "duplicate ATM card" which is then used to raid your account. Two
local banks were cited (one a large one and another one with offshore
banking activities) as having these substandard ATM machines.

As I mentioned, I will not mention names for now as I am still trying to go
down to the root of the matter. Not bad if someone out there with better
insights can comment on this or shed more light. As for now my resolution
is never to ever use my bank card on a different bank's ATM machine.

John Wanyancha

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.




--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment