Thursday 30 August 2012

Re: [wanabidii] Matokeo ya Kuanguka kwa Elimu Tanzania: AU KASUMBA

Hapo ndipo nashindwa kuelewa.
Je huku ni "...kuanguka kwa Elimu Tanzania..." au ni KUSHINDWA KWA KIINGEREZA, Tanzania???

Ningelipenda kutofautiana na Chambi.
Pamoja na kuwa ninadhani ninakielewa anachokisema, lakini ninadhani haya ni makosa ambayo ndiyo yaliyowafikisha baadhi ya Watanzania hapa.. Watu wenye mawazo hayo, wanadhani Elimu ni Kiingereza.!!!
Kwa maneno mengine, mtoto - mwingereza wa darasa la tatu nchini Uingereza, atakuwa ANA ELIMU kuliko Profesa aliyebobea kutoka Tanzania, kwakuwa Profesa huyo akijitahidi sana, atafahamu maneno mengi na dhana mbalimbali kwa Kiingereza, LAKINI hawezi kulingana na mtoto huyo kwa Kiingereza.
Tutofautishe, Lugha ya kutolea Elimu
na Elimu yenyewe.

Baada ya kusema haya, kwangu mimi NI AIBU KUBWA SANA Kwa kiongozi kama huyu kuwasiliana na wananchi wake kwa lugha MBOVU SANA kama hivi ilivyo. Je ilikuwa ni lazima kusema hayo kwa lugha aliyotumia?
Hii kasumba kuwa Kiinglish ndio kielelezo cha Elimu itakwisha lini. jamani???

Chambi, hebu nisaidie jamani.

 
Aldin K. Mutembei   (PhD)                         Aldin Mutembei (PhD)
Mkurugenzi                                                  Director
Taasisi ya Taaluma za Kiswahili                  Institute of Kiswahili Studies
Chuo Kikuu cha Dar es Salaam                   University of Dar es Salaam, TANZANIA
+255 222 410 757     [Ofisini]                     +255 222 410757 (Day time-Office)
+255 715 426 162      [Kiganjani]                +255 715 426 162  (Cell)
b-pepe: kaimutembei@gmail.com                Alternative e-mail: <kaimutembei@gmail.com>


From: Chambi Chachage <chambi78@yahoo.com>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>; "mabadilikotanzania@googlegroups.com" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
Sent: Thursday, August 30, 2012 2:10 AM
Subject: [wanabidii] Matokeo ya Kuanguka kwa Elimu Tanzania


----- Forwarded Message -----
From: Mobhare Matinyi <mobhare@gmail.com>
To: Chambi Chachage <chambi78@yahoo.com>
Sent: Wednesday, August 29, 2012 8:16 AM
Subject: Matokeo ya Kuanguka kwa Elimu Tanzania

Hii ni barua iliyoandikwa na Ofisi ya Serikali ya Mtaa wa Oysterbay
kama ilivyo bila kupunguza wala kuongeza kitu, ikiwa na makosa yake
hivyo hivyo bila hata kurekebisha nafasi kati ya maneno:

Tarehe 25/08/2012

TO
THE ALL RESIDANCE AND
RENTER AT APARTMENT,HOTEL
AND OTHERS


REF: CENSER COUNTING PEOPLE 26 AUG 2012

Refer the above mentioned Subject.

Remember the Government of Republic Union of Tanzania announce on
26.08.2012 is the day of counting people [censer] for all living
visitors in Tanzania. This is legal order for Beural Statistics No: 1
of 2002.

Because for this day any people who sleep at your House, Hotel, or
residence apartment on 26.08.2012 he or she must be accountable in
this censer. Also all people must answer this Question from the Censer
Officer.

ORDER
If your refuse to be countable or stop censer Officer to do the job of
counting people from 26.08.2012and 7 days more its is criminal
case,then you will be charged in the court and fine with sentenced in
prison for 6 month. Then please give all assistance Censer Officer
what he or she need.

Thanks in advance,

Peter J. Mushi,
Chairman,
Local Government.

SOURCE: Attachment.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


0 comments:

Post a Comment