Friday 27 May 2016

Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza Tanzania kurithiwa na chaguo lake?

Elisa,
Endelea kuwa na tumaini. Na mimi inanipa tumaini. I am an optimist by nature but it is the same nature that has turned me into a persimist.
Naomba kweli Magufuli afanikiwe kutuachia mfumo ambao hata chui akivaa ngozi ya kondoo, baadaye tugundue kuwa huyu ni chui na tumkoromee.
Nyerere angefanikiwa kuacha mfano wake (Sokoine?) leo tungekuwa tunaimba tofauti kabisa. Lakini chui walijaza kiti hicho na walikuwa wameanza kujipanga,
akina Membe, Makamba, Ridhiwani, waendeleze status quo. Niko upande wa Magufuli na namwombea mafanikio ili atakapomaliza muda wake iwe rahisi kwetu
wapiga kura kusema huyu anafaa, na huyu ana walakin.
em

2016-05-27 3:35 GMT-04:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Muganda.
Nimekunja na uso. Umenitonesha. Siku moja nikiwa hoteli fulani Mombasa nimeagiza chakula bahati nzuri kabla sijaanza kukila Nikaambiwa kuwa mwenye hoteli hiyo yumo gerezani. Kisa Moi alimnyang'anya. akamuahidi akubali amjengee nyingine kama hiyo Mwenye hoteli akakataa. Moi akamuweka ndani. Nililipa chakula hicho na kukiacha bila kukila.
Unasema kweli kuwa ''Ni vigumu'' kwa magufuli kuacha mrithi kuendeleza umagufuli baada yake. Maana yako sio kuwa HAIWEZEKANI nali NI VIGUMU. Naam nani angetegemea Mfupa umshinde fisi halafu Konokono autafune. Katika point hizo mbili mimi naona mbwa mwitu wanaojifanya kondoo ndio hatari. Lakini hawakufika mbali hata katika kushtukiza. Kushtukiza kwao kulikosa maana na wanaelekea kuacha. Sitaki kutoa mfano wa waliojifanya maafisa utumishi na kuwafungia wafanyakazi huku wakijua kuchelewa kunachangiwa na foreni za magari.
Mimi ninaamini kupitia ugumu 2025 Magufuli ataweza kuacha mrithi aliyechaguo lake kwa sababu mfumo aliouanza (naamini ameanza) utawafanya watanzania wachague mmojawapo wa pendekezo lake. Mfano Kati ya Daffo; Tulia; Makonda, Polepole na wengine wangapi wakishajulikana kwa wananchi nao wakachukua form kugombea atakayepita atakuwa ndiye. Kingine kati yao ninaowataja na ambao labda hajawaleta waTz watapima nani mwenye rangi nje inayoanzia ndani au nani anajipaka. Ni kupitia ugumu huo Magufuli aweza kuendeleza umagufuli. Hapo ni tofauti na mtu kuja na jina 'Membe'; natoa mfano tu. Ukimuangalia mtu mwenyewe hana agenda. Mimi nina tumaini.
--------------------------------------------
On Fri, 5/27/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza Tanzania kurithiwa na chaguo lake?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Friday, May 27, 2016, 1:45 AM

 Elisa,Una nia njema sana kuleta huu mjadala.
 Na mimi kama Mtanzania ningetumaini kama unachosema
 kinawezekana. Lakini kutokana na uzoefu wa siasa
 zetunachelea kusema kuwa itakuwa vigumu MAGUFULI
 kimrithisha yule anayedhani ataendeleza kasi yake. Nina
 sababu mbili. Kwanza, vita ndani ya CCM imeshaanza
 kumkwamisha Magufuli asifanikiwe kung'oa mizizi ya
 ufisadi. Nasikia kuna baadhi ya mawaziri wanaendesha kampeni
 za chini chini Magufuli ang'olewe 2020. Pili, hata
 atakapofanikiwa kuwatimu hawa ndani ya chama bado kuna kundi
 jengine la opportunists. Hawa ni chuki watakaojivisha ngozi
 za kondoo ndani ya chama na kuonekanakama kweli
 wana moto wa kazi ya Magufuli. Mfano mmoja tu ni hizi safari
 za kushtukiza. Ghafla, kila waziri au mtendaji serikalini
 alitaka kuonekana ana ari ya kushtukiza. Walikuwepo awamu
 zilizopita na hawakufanya kitu. Mkapa ni miongoni mwa
 waliofanya kazi kwa karibu sana na MWALIMU, yet kuna wakati
 aliniambia yeye HERO wake alikuwa ni arap MOI, a thief and a
 killer. Sikuelewa mpaka Mkapa alipoingia Ikulu. Kumbe
 alitaka kuwa anaother Moi. Sasa wa aina hii watakuwepo wengi
 tu pindi Magufuli atakapoonekana kutokuwa na ushindani ndani
 ya chama. Hiyo ndiyo hofu yangu kubwa. Kama nilivyosema, nia
 yako ni njema lakini haitakuwa rahisi kama wewe
 ufikiriavyo.em
 2016-05-26 14:04 GMT-04:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Domonick.
 Kama mjadala huu Magufuli hana muda nao basi hafai kuwa
 rais. Hili lazima liwe mojq kati ya agenda yake. Kumbuka
 tunajadili mrithi wake. Kujipanga kusahihisha mambo na
 kujenga taifa, jambo ambalo atakuwa hajamaliza muda wake
 uishe halafu asifikirie nani ataezeka jengo alilomaliza
 kupaua-atakuwa hafai basi. Mimi naamini hii ni agenda yake.
 Tunamsaidia na kumpa mbinu tunapoijadili

 --------------------------------------------

 On Thu, 5/26/16, 'Dominick
 Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza
 Tanzania kurithiwa na chaguo lake?

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Thursday, May 26, 2016, 6:02 PM



  Mjadala

  ni mzuri na mkali. Mnahama halafu mnarudi. Tungepta
 nafasi

  pengine ya kuzungumza na Rais Magufuli huenda hii kwake

  isingekuwa hoja kubwa kwake ingawa ni nzuri. Yeye Rais
 ana

  ajenda na majukumu na vipaumbele vyake. Na sisi raia

  wazalendo na wasio wazalendo tunapaswa kushiriki
 kumuunga

  mkono kwa vitendo ili kuleta mapinduzi. Wazalendo
 wanaweza

  kupaza sauti kila eneo kwa mfano kuwakumbusha raia wote

  kudai risiti baada ya kununua bidhaa kila
 inavyowezekana

  hili ni hitaji kuu la Rais Magufuli, na raia wasio
 wazalendo

  ni maadui wa taifa hili haijalishi wapo upande wa utawala
 au

  upinzani. Wazalendo ni lazima wawe na mkakati wa kipekee
 wa

  kuleta maendeleo ya taifa. Wazalendo ni lazima sana

  kufikiria namna ya kupunguza tatizo la ukosefu wa ajira

  nchini. Wazalendo ni watu wanaoaminika na kuaminiana

  kupigania maslahi ya taifa, ikibidi kuunganisha nguvu zao
 ni

  wepesi sana ili taifa lisonge mbele. Mhandisi mzalendo

  hatapumzika mapaka ametumia akili yake, maarifa yake na

  ujuzi wake,  vyote mpaka kwenye ukomo wake

  akishirikiana  na wengine kuona raia wanatumia nishati

  ya jua kuchemsha maji ya kunywa. Wazalendo wana uwezo
 mkuu

  wa kukaa huko waliko wahitaji/raia wa chini/wanyonge.
 Kwa

  wazalendo hakuna nafasi ndogo, kila nafasi inatumika
 hata

  kama itawabidi kuungana kujenga kiwanda kidogo cha

  kutengeneza sukari chenye kuajiri watu kumi,nk
 hawatasita

  kufanya kwa sababu shabaha yao ni kuleta mapinduzi.
 Nadhani

  Rais Magufuli yuko hivyo.Dominick



      On Thursday, May 26,

  2016 10:17 AM, J L Kamala <jlkamala@gmail.com>
 wrote:





   Elisa. Katiba sio

  kila kitu. Angalia Kenya wanakatiba ya wananchi lkn
 nini

  kinaendelea huko

  On May 26, 2016 9:05 AM,

  "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

  Points

  (fom both sides) taken. Let us go ahead with the HOJA:

  Magufuli kufanikiwa kumuacha rais wa chaguo lake hivyo

  kuimarisha na kuendeleza mafanikio atakayokuwa
 ameyafikiwa

  (kama hataharibu).



  --------------------------------------------



  On Thu, 5/26/16, J L Kamala <jlkamala@gmail.com>
 wrote:







   Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa

  kwanza Tanzania kurithiwa na chaguo lake?



   To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>



   Date: Thursday, May 26, 2016, 7:04 AM







   Muganda.



   Nilichokuhoji na ulichonijibu mbona n mjadala



   mzuri tu wenye kuelimisha sasa huyu mama anaita

  matusi.



   Mbona nimekuhoji na wewe ukanijibu vyema nikaelimika?

  Eti



   Muganda kwenye swali langu la wewe kuish marekan

  umeona tusi



   lolote mkuu? Is there any person who should decide
 for

  you



   kwamba umetukanwa?.



   Kwenye mijadala naamini katk kuhoji bila



   kuangalia eti umri. Nimekulia kwenye jamii ambayo

  kumhoji



   mkubwa ni tusi linalostahiri adhabu mbaya sana. Kwa

  mfano



   niliwahi kuhoj mchungaji kwenda kutibiwa Hosp wakat



   anatuombea tusiugue/tupone nikatwisha viboko badala

  ya



   kujibiwa.



   Kimsingi sijaporomosha tusi lolote kwako bwana



   Muganda na sjjafukuzwa jukwaa hili kwa kumtusi mtu.

  Naomba



   nieleweke hivyo usilishwe maneno mkuu



   On May 26, 2016 3:01 AM,



   "'ananilea nkya' via Wanabidii"

  <wanabidii@googlegroups.com>



   wrote:



   Kaka



   Elisa Muhingo,Ni kweli mtu--yaani tabia



   ya mtu ni muhimu katika uongozi  lakini muhimu

  zaidi sana



   katika zama hizi za uutandawazi wizi na siasa za

  vyama



   vingi,   misingi iliyowekwa Kikatiba ni

  muhimu sana. 



   Misingi hiyo inaepusha mtawala au kikundi ya 

  watawala kuwa



   fisadi.  Ufisadi  wa EPA, Deep Green, Twin

  Towers,



   Richmond, Escow, Lugumi and many more ni ishara

  kwamba 



   mkataba kati ya watawala na watawaliwa  (Katiba

  ya Nchi) 



   katika Jamhuri yetu ni dhaifu sana. Ni ishara

  mkataba una



    matobo makubwa sana yanayowezesha watawala 

  kukwapua mali



   za  wana wa nchi kilaini tena bila

  kuchukuliwa hatua



   zinazoweza kukomesha au kupunguza kwa kiasi kikubwa

  ufisadi



   nchini.  Naye Rais  wetu

  Magufuli --ni kweli anaonekana



   kuwa na dhamira ya kuirejesha nchi katika nidhamu

  ya



   uongozi, lakini  asipolielewa hili  tatizo

  la msingi na



   akalifanyia  kazi--hata atende mema kiasi

  gani--tuendako



   giza litakuwa nene zaidi  kuhusu ufisadi angamizi

  ndani 



   ya Jamhuri yetu na  mamilioni wataendelea kuumia

  kwa



   ufukara.Ananilea Nkya



    E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com











       On Wednesday, May 25,



   2016 8:29 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>



   wrote:











    Tunajadili hatma ya taifa letu.



   Tunajadili upatikanaji wa viongozi wetu.

  Tunawajadili



   viongozi wetu kuwa na malengo, kuweka misingi lakini

  kwa



   kutokuwa na ushawishi wa nani afuate misingi

  ikabomoka.



   nyerere aliweka msingi Mwinyi akabom oa. mkapa

  alilipa



   madeni JK akaleta mengine kwa sababu mkapa hakuweza

  kumuweka



   atakayeyaendeleza. mada hii inalenga kumshawishi rais

  wetu



   kuliona hilo. Wametajwa watu ambao ameanza nao

  ambao



   akiwalea wanaweza kulinda mafanikio yao. Huo ni

  mstakabali



   wa taifa letu. naona kamala na Mganda mnaenda nje

  kidogo na



   kuna madhara makubwa kusema mambo ya mtu binafsi.

  Haikuwa



   maana yangu wakati naandika mada.



   Elisa



   --------------------------------------------



   On Wed, 5/25/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>



   wrote:







    Subject: Re:



   [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa kwanza Tanzania



   kurithiwa na chaguo lake?



    To: "wanabidii@googlegroups.com"



   <wanabidii@googlegroups.com>



    Date: Wednesday, May 25, 2016, 6:49 PM







    Kamala,Mimi si



    mwanasiasa. Sikukimbia nchi. I would have



   loved to serve



    Tanzania but fate had it



   that after I graduated my father



    died and



   the onlyway I could help my 2 little







   sisters continue their education is get a job in

  America



   and



    bring them here. So you can call me



   what you



    maybut I do not regret



   contributing to my



    sister's education



   something I would not have been able



    to do



   if I had returned to Tanzania and







   startlooking for a job. Lakini wote







   waliokimbia azimio la Arusha walitaka Tanzania

  iwe kama



    ilivyo baada ya Mwinyi kufuta azimio la Arusha



   na



    ndiosababu wanakula bila kunawa, bila



    aibu.em



    2016-05-25 6:31



    GMT-04:00 J L Kamala <jlkamala@gmail.com>:



    Tumpe muda gan si ndo huu? Yaan wewe bado



   tu



    unahofu na Magu???







   Kukimbia nchi mbona wewe unakaribia marekani?



    Wewe n mzalendo kweli????



    On



   May 25, 2016 1:14



    PM, "Emmanuel



   Muganda" <emuganda@gmail.com>



    wrote:



    Kukimbia nchi si



    uzalendo. Nina hakika walikimbia kwa sababu



   azimio liliziba



    mianya ya kutumia nafasi



   zao kujitajirisha.em







    Sent



   from my iPad



    On May 25, 2016, at 4:53 AM, J



   L Kamala <jlkamala@gmail.com>



    wrote:











   Muganda.







    What is the



   problem with makonda au polepole na



    other



   youth working with Magu? Wenye akili walikuwepo

  zaidi



    ya hao labda wa karibu ni Salim Ahmed Salimu,



   hayati



    sokoine. Tentemeke Sanga, Mzee



   Lwizandekwe, Jackson Makweta



    to mention but



   a few.



    Kipindi cha Nyerere watu kadhaa



   waliokuwa na



    elimu walikimbia nchi kukwepa



   Sera ya ujamaa ya kulingana



    kila kitu kwa



   wote vinginevyo wangeweza kupatkana warith







   murua kuliko hawa ambao Nyerere alilazimika

  kuwafanya



    specimen.



    On May 25, 2016



   11:07



    AM, "'Lutgard Kokulinda



   Kagaruki' via



    Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>



    wrote:



    Mtu



   anayemlinganisha



    Nyerere na hawa watawala



   wa sasa, ni dhahiri hakumjua



    Nyerere



   vizuri!



    LKK  



    







        On Wednesday, May



   25,



    2016 9:04 AM, 'ELISA MUHINGO'



   via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>



    wrote:



    











     Bado Magufuli ana nafasi ya kufanya



   masahihisho ya



    makosa waliyofanya



   watangulizi wake. Yatakayomsaidia ni







   haya:



    1) Kuna makosa yaliyofanyika na



   watangulizi wake.



    2) magufuli ana akili za



   kuyaelewa yote.



    3) Ana nia njema na taifa



   hili na anajua hawezi kuyatimiza



    yote



   anayoyawaza kulielekeza taifa hili katika kipindi

  cha



    myaka 10.



    4) haya



   tunayoyajadili anayasoma na ana akili ya kujua



    tunasema nini. Ndiyo maana tunayasema wala



   hatusemi



    kujifurahisha.















   --------------------------------------------



    On Wed, 5/25/16, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>



    wrote:







    



   Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa

  kwanza



    Tanzania kurithiwa na chaguo lake?



     To: "wanabidii@googlegroups.com"



    <wanabidii@googlegroups.com>



     Date: Wednesday, May 25, 2016, 2:19 AM



    



     JKamala,Kwa



   sababu naijua CCM. Ilimshinda



     Nyerere



   mpaka akalazimika kurudisha multiparty. I am



     essentially an optimist by nature,but not



   like



     this. Akina Mkapa, Kikwete, Lowassa



   wote walilelewa na



     Nyerere, lakini



   walikuwa chui waliovaa ngozi za kondoo.



    



   Unaposemawatu walioonekana wenye vichwa



    



   walilazimika kumkimbia Nyerere unamaanisha the likes

  of



     Kambona? What did he do to show



   alikuwakichwa? Si



     alifika London akabaki



   tu kunywa pombe. Angalia watu ambao



    



   Magufuli anaona ni mahiri. Makonda? Na huyu waziri



     aliyefukuzwa kazi karibuni?I am an optimist



   who



     has been turned around by realities



   on the



     ground.em



    



   2016-05-24 12:11 GMT-04:00



     J L Kamala



   <jlkamala@gmail.com>:



     Muganda.



     Kwann unaamini



   wasioshabikia anachokifanya Magu



    



   watawashinda wale wanoshabikia? Pessimistic mbaya

  hiyo.



     Harafu ujue kosa kubwa alilolifanya



   Nyerere



     nikutokuwalea watu makini wa



   kimrith. Wale walioonekana



     vichwa



   walilazimika kumkimbia Nyerere apart from Magufuri



     anayewakumbatia na kuwalea vyema wakimsaidia



   kutekeleza



     dhana yake ya hapa job tu



     On May 24, 2016 6:11



     PM,



   "Emmanuel Muganda" <emuganda@gmail.com>



     wrote:



     Elisa,Hatujawahi



   kuwa na rais mzuri, makini,



     mzalendo kama



   Julius Nyerere. Lakini hata kabla hajaodoka



     wenzake, kuanzia Mwinyi walihakikisha



   Unyerere unafutwa



     nakushindwa. Ndivyo



   hivyo itakavyokuwa na



     Magufuli. Sidhani



   kila mtu ndani ya CCM anashabikia



    



   anachofanya mheshimiwa. Hence my conclusion kwamba



     utashindwa.Nyerere alituwekea misingi kwa



   miaka



     23 lakini katika kipindi cha miaka



   miwili tu Mwinyi



    alianza



    



   kuifuta akaja kumalizia Mkapa. Tuombe Mungu tuwepo

  halafu



     tuje tupimemaneno yako na ya



     kwangu.em



     2016-05-24 7:10



   GMT-04:00



     'ELISA MUHINGO' via



   Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



     Afadhali ungesema Umagufuli



     ''unaweza kushindwa'' kuliko



   kusema



     ''utashindwa'.



   Ninatamani tuwepo wote wakati



    huo



     tukumbushane. Umagufuli unaweza kuendelea



   mpaka rais wa



    tatu



    



   kutoka kwake. Kuna sababu nyingi: Watu walichoka na



    kuonewa



     na watu waliokuwa



   ndani ya CCM. Wakafikia kuichukua CCM.







   CCM



     imenusulika kwa sababu ya



   kusambaratika upinzani. Baada ya



     hapo CCM



   kumpata Magufuli akainusulu. Asipopepesuka



     ataendelea kuishi baada yake. Kingine ni



   hiki cha kutafuta



     watu na kuanza kuwalea.



   Sikumuongeza Makonda kwenye orodha



     ya



   wanaolelewa makusudi. Magufuli akilenga kumuweka

  mrithi



     na akatumia njia zinazotajwa humu, basi



   umagufuli utaishi



     baada yake.



    



    



   --------------------------------------------



    



     On Tue, 5/24/16,



   Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>



     wrote:



    



    



    



    



    Subject: Re: [wanabidii] POMBE MAGUFULI: Rais wa

  kwanza



     Tanzania kurithiwa na chaguo lake?



    



      To: "wanabidii@googlegroups.com"



     <wanabidii@googlegroups.com>



    



      Date: Tuesday, May 24,



   2016, 1:20 AM



    



    



    



      Ndani ya



    



      CCM hakuna linaloweza



   kutabirika. Unyerere ulishindwa



    



      kuendelea, Umwinyi ulishindwa na vile

  vile



   Umkapa na



    



    



    Ukikwete.Hata Umagufuli utashindwa



    



      tu.em



    



      2016-05-23 16:30 GMT-04:00



    



      'ELISA



   MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



    



      Kumbukumbu zizizo



   rasmi na zilizo



    



    



    rasmi Tanzania zinaonyesha marais wote

  waliotangulia



    



      walishindwa kuwaweka



   watu watakaorithi nafasi zao mara



    



   baada



    



      yao kumaliza



   vipindi vyao.



    



    



    



      Mwalimu Nyerere



   inasemekana alishindwa kuhakikisha



    



   chaguo



    



      lake



   linapita na badala yake Ndugu Ali Hasan Mwinyi



    



      akaichukua nafasi



   hiyo. Inasemekana chaguo la Mwalimu



    



      alikuwa Ndugu Salim Ahmed Salim.



    



    



    



      Ndugu Ali Hasan Mwinyi angalau huyo



   tunafahamu hakuwa



     na



    







      chaguo. Ushawishi wake uliporomoka



   sana na karibu



     Mwalimu



    







      Nyerere alikuwa strongman. Hotuba zake



   zinazotoka kila



     mara



    







      kwenye luninga zinajieleza. Mwalimu



   Nyerere alifanikiwa



    



    



    kumpigia chepuo Ndugu Mkapa kwa hiyo Mwinyi



     hakufanikiwa



    



      kumpachika chaguo lake.



    







    



    



    



    Wakati wa Benjamin Mkapa kung'atuka

  ilionekana



   alikuwa



     na



    



      chaguo lake japo kwa umahili wake

  haikuwa



   rais kumjua.



    



      Lakini



   kuna dalili kuwa Jakaya Kikwete hakuwa chaguo



     lake.



    



    



    Wakati wa mkutano mkuu wa CCM kuteua mgombea

  Mkapa



     alitoa



    



      hotuba iliyoashilia anammaanisha JK,



   lakini bado hakuwa



    



    



    chaguo lake.



    



    



    



      Ndugu JK



   ameng'atuka. Alijitahidi kwa uwazi tena bila



    



      kificho kutaka



   kurithiwa na chaguo lake. Sitakuwa



    



   nimekosea



    



    



    nikiongeza kuwa kwa matamshi ya wanafamilia

  chaguo hilo



    



      halikuwa la JK peke



   yake bali lilikuwa la familia yake.



    



      Pamoja na makeke yote hayo mwisho wake

  JK



   hakurithiwa



     na



    



      chaguo lake. Kuna hisia kuwa ni Mkapa



   aliyefanikiwa



    



    



    kushawishi chaguo. Kama kuna ukweli ndani yake

  basi



     Magufuli



    



      alipita kwa uwezo wake na ushawishi wa



   Mkapa.



    



    



    



      Dr. Magufuli ndiyo



   anaaza. Ana myaka minne iliyosalia



    



   lakini



    



      aweza



   kuendelea mpaka myaka kumi.



    



    



    



      Dr



   Magufuli anaonyesha anaweza kurithiwa na chaguo

  lako



     kwa



    



    



    sababu kadhaa, zikiwamo zifuatazo:



    



    



    



    



    1)      Mtangulizi wake (JK) kama

  ilivyokuwa kwa



     Mwinyi



    



      haonekani kuwa anaweza kuwa na

  ushawishi



   mkubwa kuliko



    



    



    Magufuli wakati ukifika. Badala yake Magufuli

  anaweza



     kuwa



    



    



    na ushawishi mkubwa kiasi cha watu hata

  kutamani



     kubadili



    



      katiba ili aendelee japo hawezi

  kukubali.



   Hii inampa



     nafasi



    



      ya kuwapendekezea watanzania nani awe



   mrithi wake.



    



    



    



    



    



    



    



    



    2)      Mwendo wa Dr. Magufuli

  ana uwezekano wa kuwa



     na



    



    



    idadi ya watu ambao yeyote kati yao

  akichaguliwa



     atakuwa



    



      mteule wake. Mfano: (1) Jinsi ambavyo



   Naibu Speaker



    



    



    alivyoingizwa, sitashangaa kama 2025

  atajitokeza



     kugombea.



    



      Akigombea baada ya kulelewa enzi hizi



   ngumu kutokuwa



     chaguo



    







      lake. (2) Tunamuona Naibu Waziri wa



   Tamisemi Suleiman



     Daffo.



    



      Ukimuangalia sana,



   hatofautiani na Magufuli katika



     mambo



    



      Fulani. Matamshi yake



   hayaonyeshi ubandia au uigizaji



    



      wowote. Huyu namtilia shaka kuwa yuko



   analelewa. (3)



     Wakati



    







      watu waliposema Humphrey Polepole



   anapigania ukuu wa



     Wilaya



    



      niliwashangaa. Na



   naamini Polepole hakuwa na haraka ya



    



      kuupata Ukuu wa Wilaya. Kama angependa



   kupigania



     angeutafuta



    







      uwaziri. Kitendo cha kumteua kwa



   nafasi ambayo



     kimuonekano



    



      ni ya chini kwake



   sitafanya kosa nikisema amepelekwa



    



   kwenye



    



      nafasi hiyo



   ya chini ili apande polepole na kufikia



    



   2025



    



      atakuwa



   ameupata uzoefu ambao kwa sasa unaonekana hana



     na



    



    



    labda watanzania watakuwa wamemjua zaidi. (4)

  Kwa



   mwendo



     huu



    



      Magufuli anaweza kuweka chaguo lake

  hata



   chama cha



     upinzani



    



      ili mradi kufika siku zile atakayepita

  awe



   mmoja kati



     ya



    



      walengwa wake.



    



    



    



    



    Kama huu nio mkakati wake basi Baada ya

  Magufuli



     umagufuli



    



      utaendelea. Kama hakuwa amekusudia

  hivyo



   nitashangaa



     sana



    



      kama hataanza.



    



    



    



    



    



    



    



       --



    



    



    



    



    



    



    



       Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



    



    



    



    



    



    



        



    



    



    



    



    



    



    



       Kujiondoa Tuma Email



   kwenda



    



    



    



    



    



    



    



    



     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



    



      Utapata Email ya



    



    



    



       kudhibitisha ukishatuma



    



    



    



    



    



    



    



        



    



    



    



    



    



    



    



       Disclaimer:



    



    



    



    



    



    



    



       Everyone posting to



   this Forum bears the sole



    



      responsibility



    



    



    



    



     for any legal consequences of his or her

  postings,



     and



    



    



    hence



    



    



    



       statements and facts



   must be presented responsibly.



    



      Your



    



    



    



    



     continued membership signifies that you

  agree to this



    



    



    



       disclaimer and pledge to abide by

  our



   Rules and



    



    



    Guidelines.



    



    



    



    



    



    



    



    



     ---



    



    



    



    



    



    



    



    



     You received this message because you are

  subscribed



     to



    



    



    the



    



    



    



       Google Groups



   "Wanabidii" group.



    



    



    



    



    



    



    



       To unsubscribe from this group and

  stop



   receiving



    



      emails



    



    



    



       from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    



    



    



    



    



    



    



       For more options,



   visit https://groups.google.com/d/optout.



    



    



    



    



    



    



    



      --



    







    



    



    



    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



    



    



    



    



    



    



      Kujiondoa Tuma Email



   kwenda



    



    



    



      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



    



      Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma



    



    



    



    



    



    



    



      Disclaimer:



    



    



    



    



    Everyone posting to this Forum bears the sole



     responsibility



    



      for any legal consequences of his or

  her



   postings, and



     hence



    







      statements and facts must be presented



   responsibly.



     Your



    



      continued membership signifies that

  you



   agree to this



    



    



    disclaimer and pledge to abide by our Rules

  and



    



      Guidelines.



    



    



    



      ---



    



    







    



      You received this



   message because you are subscribed to



    



   the



    



      Google Groups



   "Wanabidii" group.



    



    



    



      To



   unsubscribe from this group and stop receiving



     emails



    



      from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    



    



    



      For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



    



    



    



    



    



    



    



    



    



    



    



    



    



      --



    







    



    



    



    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



    



    



       



    



    







    



      Kujiondoa Tuma



   Email kwenda



    



    



    



      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



     Utapata Email ya



    



      kudhibitisha ukishatuma



    







    



    



    



     



    



    



    



      Disclaimer:



    



    



    



      Everyone posting to this Forum bears

  the



   sole



     responsibility



    







      for any legal consequences of his or



   her postings, and



     hence



    



      statements and facts



   must be presented responsibly.



     Your



    



      continued membership



   signifies that you agree to this



    



      disclaimer and pledge to abide by our



   Rules and



    



    



    Guidelines.



    



    



    



      ---



    







    



    



    



    You received this message because you are

  subscribed to



     the



    



    



    Google Groups "Wanabidii" group.



    



    



    



      To unsubscribe from this group and

  stop



   receiving



     emails



    



      from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    



    



    



      For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



    



    



    



     --



    



    



   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



    



    



     Kujiondoa Tuma Email kwenda



    



     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



    



    



    



     Disclaimer:



    



     Everyone posting to this Forum bears the



   sole



    responsibility



     for



   any legal consequences of his or her postings, and



    hence



     statements and facts



   must be presented responsibly. Your



    



   continued membership signifies that you agree to

  this



     disclaimer and pledge to abide by our Rules



   and



     Guidelines.



    



     ---



    



    



   You received this message because you are subscribed

  to



    the



     Google Groups



   "Wanabidii" group.



    



     To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



     from it, send an email



   to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    



     For more options, visit



   https://groups.google.com/d/optout.



    



    



    



    



    



    



     --



    



    



   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



      



    







     Kujiondoa Tuma Email kwenda



    



     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com



      Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



    



      



    







     Disclaimer:



    



     Everyone posting to this Forum bears the



   sole



    responsibility



     for



   any legal consequences of his or her postings, and



    hence



     statements and facts



   must be presented responsibly. Your



    



   continued membership signifies that you agree to

  this



     disclaimer and pledge to abide by our Rules



   and



     Guidelines.



    



     ---



    



    



   You received this message because you are subscribed

  to



    the



     Google Groups



   "Wanabidii" group.



    



     To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



     from it, send an email



   to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    



     For more options, visit



   https://groups.google.com/d/optout.



    



    



    



    



    



     --







    



     Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



      



    







     Kujiondoa Tuma Email kwenda



    



     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com



      Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



    



      



    







     Disclaimer:



    



     Everyone posting to this Forum bears the



   sole



    responsibility



     for



   any legal consequences of his or her postings, and



    hence



     statements and facts



   must be presented responsibly. Your



    



   continued membership signifies that you agree to

  this



     disclaimer and pledge to abide by our Rules



   and



     Guidelines.



    



     ---



    



    



   You received this message because you are subscribed

  to



    the



     Google Groups



   "Wanabidii" group.



    



     To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



     from it, send an email



   to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    



     For more options, visit



   https://groups.google.com/d/optout.



    



    



    



    



    



    



     --



    



    



   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



    



      



    







     Kujiondoa Tuma Email kwenda



    



     wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



    Utapata Email ya



    



   kudhibitisha ukishatuma



    



      



    



    



   Disclaimer:



    



     Everyone



   posting to this Forum bears the sole







   responsibility



     for any legal consequences



   of his or her postings, and



    hence



     statements and facts must be presented



   responsibly. Your



     continued membership



   signifies that you agree to this



    



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



     Guidelines.



    



     ---



    



    



   You received this message because you are subscribed

  to



    the



     Google Groups



   "Wanabidii" group.



    



     To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



     from it, send an email



   to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    



     For more options, visit



   https://groups.google.com/d/optout.







    --



    Send



   Emails to wanabidii@googlegroups.com







    Kujiondoa Tuma Email kwenda







    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



    Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







    Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole



   responsibility



    for any legal consequences



   of his or her postings, and hence







   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



    continued membership signifies that you agree



   to this



    disclaimer and pledge to abide by



   our Rules and Guidelines.



    ---



    You received this message because you are



   subscribed to the



    Google Groups



   "Wanabidii" group.



    To unsubscribe



   from this group and stop receiving emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







        



















    --







    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







     







    Kujiondoa Tuma Email kwenda











    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com



     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







     







    Disclaimer:











   Everyone posting to this Forum bears the sole



   responsibility



    for any legal consequences



   of his or her postings, and hence







   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



    continued membership signifies that you agree



   to this



    disclaimer and pledge to abide by



   our Rules and Guidelines.











   ---







    You received this



   message because you are subscribed to the







   Google Groups "Wanabidii" group.











    To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



    from it, send an email to



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.























    --







    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







     







    Kujiondoa Tuma Email kwenda











    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com



     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







     







    Disclaimer:











   Everyone posting to this Forum bears the sole



   responsibility



    for any legal consequences



   of his or her postings, and hence







   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



    continued membership signifies that you agree



   to this



    disclaimer and pledge to abide by



   our Rules and Guidelines.











   ---







    You received this



   message because you are subscribed to the







   Google Groups "Wanabidii" group.











    To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



    from it, send an email to



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.























    --







    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







     







    Kujiondoa Tuma Email kwenda











    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com



     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







     







    Disclaimer:











   Everyone posting to this Forum bears the sole



   responsibility



    for any legal consequences



   of his or her postings, and hence







   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



    continued membership signifies that you agree



   to this



    disclaimer and pledge to abide by



   our Rules and Guidelines.











   ---







    You received this



   message because you are subscribed to the







   Google Groups "Wanabidii" group.











    To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



    from it, send an email to



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.























    --







    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







     







    Kujiondoa Tuma Email kwenda











    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com



     Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







     







    Disclaimer:











   Everyone posting to this Forum bears the sole



   responsibility



    for any legal consequences



   of his or her postings, and hence







   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



    continued membership signifies that you agree



   to this



    disclaimer and pledge to abide by



   our Rules and Guidelines.











   ---







    You received this



   message because you are subscribed to the







   Google Groups "Wanabidii" group.











    To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



    from it, send an email to



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



























    --







    Send



   Emails to wanabidii@googlegroups.com







     







    Kujiondoa Tuma Email kwenda











    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



   Utapata Email ya



    kudhibitisha ukishatuma







     







    Disclaimer:











   Everyone posting to this Forum bears the sole



   responsibility



    for any legal consequences



   of his or her postings, and hence







   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



    continued membership signifies that you agree



   to this



    disclaimer and pledge to abide by



   our Rules and Guidelines.











   ---







    You received this



   message because you are subscribed to the







   Google Groups "Wanabidii" group.











    To unsubscribe from this group and stop



   receiving emails



    from it, send an email to



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







   --



   Send



   Emails to wanabidii@googlegroups.com







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







   Disclaimer:



   Everyone posting to



   this Forum bears the sole responsibility for any

  legal



   consequences of his or her postings, and hence

  statements



   and facts must be presented responsibly. Your

  continued



   membership signifies that you agree to this
 disclaimer

  and



   pledge to abide by our Rules and Guidelines.



   ---



   You received this message



   because you are subscribed to the Google Groups



   "Wanabidii" group.



   To unsubscribe



   from this group and stop receiving emails from it,

  send an



   email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



























   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com



    Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to

  this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed

  to the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.























   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to

  this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed

  to the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.











  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment