Friday 27 May 2016

RE: [wanabidii] KUMALIZA VITA KIMAREKANI: Dunia itakuwepo?

Ndio maana Marekani ikikupa peremende na huyu ikampa pilipili vyote sawa. usijivune au kujisifu. Ipo siku watakuja kuzitafuta silaha za maangamizi.
--------------------------------------------
On Fri, 5/27/16, Ireneus Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com> wrote:

Subject: RE: [wanabidii] KUMALIZA VITA KIMAREKANI: Dunia itakuwepo?
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, May 27, 2016, 7:57 PM

Katika Sayansi ya siasa (PolSc.)
kuna kitu inaitwa realism principles ambazo waasisi wake ni
wamarekani wenye asili ya uyahudi na bila kumsahau Henry
Kissinger. Moja ya matokeo yake ni sera ya nje ya US ambayo
is mostly based and guided by the Darwinian theories I.e the
survival of the fittest. Only the strongest will survive.
Kwa hiyo moja ya sifa ya kuiongoza Marekani ni kuhakikisha
unatenda mambo kwa ajili ya marekani ikiwa ni pamoja na
kuongeza influence ya US externally by any means. And
that's all about politics - the means justifies the end.
So it may be by force / violence or diplomacy! This is
America and this is our world. All about balance of
power.
Saddam Hussein, Ghadafi, Osama, ISIS,
Savimbi, etc were/are products of America. Obama is no
different from his predecessors as far as he is an American.
He is safeguards the interests of U.S foreign
policy.From:
'Hildegarda
Kiwasila' via Wanabidii
Sent:
‎27/‎05/‎2016
19:19
To:
wanabidii@googlegroups.com
Subject:
Re: [wanabidii] KUMALIZA VITA
KIMAREKANI: Dunia itakuwepo?



Walimpa
silaha na mafunzo Osama bin Laden kisha wakamuua kama Mtu
wao Saadam akawa adui wao. Viongozi wa USA-Majipu. Wakiwa
wanaondoka-wanataka msamaha. Akiingia mwingine-utaifa kwanza
kupamba juu kutawala wengine na kuwaua. Tunasubiri tu 
Obama Foundation ianze kugharimia viwanda bongoland;
tumejilamba na za Bush-MCA-T na za Clinton -Clinton
Foundation
--------------------------------------------
On Fri, 27/5/16, 'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: [wanabidii] KUMALIZA
VITA KIMAREKANI: Dunia itakuwepo?
To:
wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, 27
May, 2016, 17:04

Mkenya
huyu ni jasiri sana. Amefanya
mengi ambayo
watangulizi wake yamewashinda. Nina maana ya
Barak Husein Obama rais wa Marekani. Leo
ametembelea
Hiroshima mahala ambapo mwaka
1945 Ndege ya marekani
ilidondosha bomu la
Nyuklia na kumaliza vita a pili huko
Japan.
Sijui sana vita hiyo lakini niliwahi kusikia kama sio
kusoma kuwa Japan ilitumia vibaya jeshi lake.
Japan
iliwaonea sana wachina katika vita
hiyo. Japan ilitaka
kulidhoofisha jeshi la
Marekani. Japan walikuwa wabishi
kiasi
kibiko cha mbwa mwizi ndiyo ilikuwa dawa. Marekani
ilichoamua ni kutupa mabomu mawili ya ATOMIC
huko Hiroshima
na jingine Nagasaki na kuua
watu wengi sana. Baada ya bomu
hilo Japan
haikuwa na hamu tena ya kuendelea na vita.

Nadhani hadi sasa japan haina hamu na vita yoyote. Sijui
vizuri kama mabomu hayo yalitumbukizwa katika
vikozi vya
jeshi la Japan ila najua raia
walikufa kuliko askari.
Leo Obama
ametembelea eneo hilo na kutoa hotuba moja kwa
uangalifu. Hakuomba msamaha na anakili kuwa
baada ya bomu
hilo lililoua sana vita
iliisha. Lo! Kazi kweli.
Myaka ya themanini
wakati Iran na Iraq zikipigana vita

iliyochukua muda mrefu, Marekani ilirudia mchezo huo.
Iliipatia Iraq silaha za maangamizi
(Biological weapons) na
Sadam akazitumia
dhidi ya majeshi ya Iran. Ayatollah Ruholah

Khomein alichofanya ilikuwa kusimamisha vita kuliko
kuendelea kuwaangamiza zaidi watoto wa watu.
Naam. Nita hiyo
iliisha. Ilikuwa inasumbua
namna ya kuimaliza. Watu walikufa
sana.
Kila upande ulikuwa ngangali. Bahati mbaya duniani
wengi walimshabikia Sadam Husein na alipotumia
silaha
alizopewa na Marekani nani
angemnyooshea kidole. Yakaisha
tu. Ni
silaha hizo ambazo Bush alikwenda kuzifuata na
kumpindua Sadam licha ya kutozikuta silaha
hizo.
Njia hii ya kimarekani ikitumika
kusuluhisha migogoro
ulimwengu utabaki
kweli?
  --
 
  Send Emails to
wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
    Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
this Forum bears the sole
 
responsibility
  for any legal
consequences of his or her postings,
and
  hence
  statements and
facts must be presented responsibly.

Your
  continued membership signifies that
you agree to
this
 
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 

  You received this message because you are subscribed
to
  the
 
Google Groups "Wanabidii" group.

 
  To unsubscribe from this group and
stop receiving
emails
 
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 

  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 

 
 

  --
 
  Send Emails
to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
    Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
this Forum bears the sole
 
responsibility
  for any legal
consequences of his or her postings,
and
  hence
  statements and
facts must be presented responsibly.

Your
  continued membership signifies that
you agree to
this
 
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 

  You received this message because you are subscribed
to
  the
 
Google Groups "Wanabidii" group.

 
  To unsubscribe from this group and
stop receiving
emails
 
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 

  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 

 
 

 
  --
 
  Send Emails to
wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
 
kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
 
Disclaimer:
 
 
Everyone posting to this Forum bears the sole
  responsibility
  for any
legal consequences of his or her postings,

and
  hence
  statements
and facts must be presented responsibly.

Your
  continued membership signifies that
you agree to
this
 
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 

  You received this message because you are subscribed
to
  the
 
Google Groups "Wanabidii" group.

 
  To unsubscribe from this group and
stop receiving
emails
 
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 

  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.
 
  --
 
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 

  Kujiondoa Tuma Email kwenda
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
  Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
  for
any legal consequences of his or her postings, and
hence
  statements and facts
must be presented responsibly. Your
 
continued membership signifies that you agree to this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules
and
Guidelines.
  ---
  You received this message because you are
subscribed to
the
  Google
Groups "Wanabidii" group.
  To
unsubscribe from this group and stop receiving emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
For more options, visit
 
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to
wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma


Disclaimer:
Everyone
posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her
postings, and hence
statements and facts
must be presented responsibly. Your

continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules
and Guidelines.
---
You
received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For
more options, visit

https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to
wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.


--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment