Thursday, 9 October 2014

Re: [wanabidii] swahili carnival

Nilihisi itakuwa hivyo ahasante kwa maelezo hili ni jambo zuri tuliombee liwe endelevu

On Oct 9, 2014 10:42 AM, "'Hilda Ngaja' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Ahsante sana innocent nganyagwa

karibu sana sana kwenye tamasha


From: Innocent Nganyagwa <nganyagwa@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, October 8, 2014 6:35 AM
Subject: Re: [wanabidii] swahili carnival

Nashkuru, nimefarijika kwa kuwepo tamasha la aina hiyo na nikupe kongole (pongezi) kwa wazo bunifu lenye uyakinifu sadifu. Nikutakie maandalizi mema!

2014-10-08 15:24 GMT+03:00 'Hilda Ngaja' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:


karibu sana innocent nitakuwepo kukupokea


From: Innocent Nganyagwa <nganyagwa@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, October 8, 2014 5:17 AM
Subject: Re: [wanabidii] swahili carnival

Nzuri sana, ntakuwepo panapo majaaliwa!


2014-10-08 14:59 GMT+03:00 'Hilda Ngaja' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:


habari zenu ndugu,

napenda kuitambulisha kwenu kwa mara ya kwanza tamasha nililoliandaa liitwalo SWAHILI CARNIVA

Ni tamasha la kuudumisha na kuuendeleza utamaduni wa mswahili.

tamasha litahusisha vyakula, vinywaji, mitindi, lugha, mavazi, muziki, tekinolojia pamoja na vitu vyoote vinavyomhusu mswahili.

tamasha hili litafanyika mwaka huu kwenye viwanja vya posta kuanzia tarehe 28 hadi 30 mwezi wa 11 mwaka huu.

tamasha litaanza asubuhi hadi saa sita usiku

ninaomba kuwakaribisha rasmi kwenye tamasha hili kwa kiingilio cha 10000 (elf kumi tu) hapo utaweza kujionea shuhuli zote zinazowahusu waswahili. kauli mbiu yetu mwaka huu ni kiswahili chetu utamaduni wetu.

bado tunakaribisha wadhamini pia kwenye tamasha hili.

karibuni sana sana kwa kukodi matent ya kuonyesha bidhaa na huduma zenu kwenye tamasha

mawasiliano:   0784670746
                           hildangaja@yahoo.com

karibuni sana
swahili carnival
kiswahili chetu utamaduni wetu

hilda
(mwanabidii mwenzenu)



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment