Thursday, 19 May 2016

Re: [wanabidii] WABUNGE WETU HAWA WANA BONGO NGAPI KICHWANI?

Bwana Masanja nimekusoma. Na Elisa pia namsikia. Nakubaliana kuwa tunahitaji kupunguza muda wa kuchambua na kutafakari mawazo ya mchangiaji. Yanapofika hapa ndiyo hayo, tunasome na kueleza ya kwetu ili kujiepusha na mkwamo mlio nao. Ili nami nisikwame humo  nitachangia hioja yangu muda si mrefu
Makongo
1.
 
----------------------------------------------------------------
Japhet Maingu Makongo
Director, Ubunifu Associates Ltd
P.O. Box 32670, Dar es Salaam,
TANZANIA
Website: www.ubunifu.co.tz, info@ubunifu.co.tz,
Tel: +253 24 2732125+253 24 2732125, Mobile:+253 758 270 254+253 758 570 253


On Thursday, May 19, 2016 10:02 AM, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:





Elisa, acha conspiracy theory, kwamba kuna mtu analinda nchi na mwingine anataka kuharibu. Hakuna kitu kama hicho. Kilichopo ni ubaguzi tu wa kuona mchango wa mwingine mara zote ni hasi na wa fulani mara zote ndiyo sahihi. Sasa hivi Bunge letu limegawanyika kulingana na itikadi, kwamba wabunge wa chama fulani wote mawazo yao yako sawa na sahihi na wabunge wa chama fulani mawazo yao yako sawa na wote hawako sahihi. Hali hii inadumaza kila kitu tunachikidhamiria kama taifa. Mfano mdogo ni mimi na wewe, tangu tuanze kuwasiliana hapa bado tuko kwenye mkwamo huo huo, maendeleo yatatoka wapi????

Tuwaache wanasiasa wafanye siasa zao, sisi kama Watanzania tuwasaidie kuuona mstakabali wa Taifa letu, tuisaidie serikali kutimiza majukumu yake. Tuna bahati sana kumpata JPM, tunaweza tusimpate tena mwingine kwa miaks hamsini ijayo, tumsaidie kwa mawazo ya kujenga, siyo kumpigia magoti tu hata pale tunapoona anakosea, ili taifa letu liende mbele.






2016-05-19 9:22 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Masanja. Hakuna ukandamizaji hapa.
Rais huapa kulinda katiba. Jiulize kuilinda dhidi ya nani? Nani adui wa katiba hiyo? Kama kupitia demokrasia Nchi inaweza kuonekana iko mashakani. Haiwi umiliki wa nchi kwa wale walio na mashaka na wenzao ambao wanaonekana kutoijali nchi inayolindwa na Katiba.
Ndiyo maana watu wanaotufundisha demokrasia kwao kuna mambo mnaweza kubishana na kupingana lakini kuna mambo hayana mjadala. Wakija kwetu wanatusaidia kuitafsiri demokrasia kiuharibifu na kama wengine tukikataa hatulazimishi kuwa unatengenezwa uhati-miliki. Mengine tunaweza kuombana samahani lakini si yale ninayoyataja. Kuna kazi kubwa kuhakikisha kila mtu anaongea kwa nia njema ya nchi. wapo wanaojua wanachokifanya lakini wapo wanaoburuzwa. Wote lazima kujilinda nao.
--------------------------------------------
On Wed, 5/18/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] WABUNGE WETU HAWA WANA BONGO NGAPI KICHWANI?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, May 18, 2016, 2:09 PM




 Tatizo lako wewe na wengine wa aina
 yako, sana sana wa chama fulani mko kama mna hati miliki ya
 Tanzania na mawazo yenu ndiyo sawa. Wengine wakiongea
 wanakuwa kama wanawaharibia, bado mko kwenye chama kimoja,
 hiyo ndiyo shida. Acha wabunge watoe hoja na hizo hoja
 zijibiwe bungeni, ndiyo mahara pake. Kuwaona upinzani kwamba
 hawana hoja hayo ni mawazo yako. Mimi nawaona wana hoja na
 wanahitaji kukaza kamba kwa vile upinzani bado haujakubalika
 sehemu nyingi. Hoja za ufisadi kuongelewa kwenye Wizara ya
 mamabo ya ndani ni mahala pake. Kama unajidanganya kwamba
 muda ukipita hoja ya ufisadi inakwisha fikiria
 upya.
 Wapinzani
 hawataanguka hata kama wewe unapendelea iwe hivyo. Ili nchi
 yetu iendelee, hitaji mojawapo ni upinzani imara ambao mimi
 nauona unajijenga. Tatizo ni kwamba hata wewe unazungumzia
 maendeleo huko ukiomba upinzani ufe, hiyo mimi naiona kama
 contradiction.

 2016-05-18 11:49 GMT+03:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Sasa
 nitkuuliza swali au maswali:

 Kwa sababu na mbunge huyo ana cheo ambacho nikikitaja
 inaweza kutafsiriwa kuwa ni tusi (au labda yeye hajakifikia
 maana ni mara ya kwanza kwa hiyo tumpe chake-MJINGA), basi
 na hawa wanapunguziwa heshima ya kuleta hoja isiyo ndani ya
 agenda yetu? Au kwa kuwa tunao watu wa namna hizi basi
 tuachane na vipaumbele vyetu maana wabunge wetu wamezoea
 kujadiri off-cause? Bunge la Marekani au uingereza likianza
 kujadili mambo yasiyosaidia kujenga barabara wana haki maana
 wao wanazo barabara tayari. Wa kwetu wakifanya hivyo
 tunatamani kutokuwa nao.

 Ndiyo maana mimi nafikiri wanastahili kuona Upepo unavumaje
 waende nao (Mjengwa Blog). Kinyume chake utawaangusha.
 Wananchi wanaoja mambo fulani. Mataifa ya nje wanaoipenda na
 wasioipenda Tanzania wanaona. Wabunge wetu kutoona ni hatari
 kuliko maadui wetu kuona hicho kinachoonwa na wengi. Wabunge
 kuendelea kuokoteza okoteza cha kumsema magufuli labda kwa
 kudhani kuwa wanaweza kufika mahala wakam-Impeach, ni
 kusubiri kuwa impeached wao. Miwani yangu inaona hilo

 --------------------------------------------

 On Wed, 5/18/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] WABUNGE WETU HAWA WANA BONGO
 NGAPI KICHWANI?

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Wednesday, May 18, 2016, 9:59 AM







  Elisa hicho

  unachokisema si rahisi kukipata, nadhani hauko fair

  unapozungumzia upinzani kwa dhana hiyo ya kwamba
 wanapoteza

  muda wa kujadili hoja za maana. Hata hivyo kwa vile ni

  mtazamo wako inabidi nikuheshimu kwa hilo. Mimi kwa
 upande

  wangu naona wabunge wa chama tawala hawana hoja zenye

  mashiko, hoja uliyoitoa ya kutumia muda wa bunge vibaya

  nadhani ingekuwa kwa upande huo. Hebu tazama muda
 aliotumia

  yule mbunge kutoka kanda maalumu kuunga mkono hoja ya

  kutooneshwa matangazo ya bunge live, unafikiri hoja
 hiyo

  ilikuwa na mashiko kweli?? labda ungekuwa umeanza na

  huyo.











  2016-05-18 9:40 GMT+03:00

  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

  Masanja

  sidhani kuwa sikukuelewa. lakini hebu ona Hoja ya mtu

  aliyetekeleza sera ya serikali ya mkapa ya kuuza nyumba

  inakujaje katika wizara hii? Hapo kitu gani kinaibuliwa
 na

  kinakuja kusaidia agenda gani.



  Tuna nyenzo kidogo. Moja ya nyenzo zetu ni muda na
 posho

  tunazowalipa wabunge. Kama hoja yetu ni ya upungufu wa

  chakula. Tunataka sana hoja zinazo-focus kwenye hoja
 yetu

  Mtu akaibua kitu tofauti ambacho kitatumia muda
 kukijadili

  na hakiwezi kabisa kuchangia safari yetu ya
 kujitosheleza

  kwa chakula huyu mtu akiitwa cheo chake ni matusi? Kama

  ndiyo basi naomba samahani.



  Lakini taifa limekuwa na shida ya ufisadi ambao
 umepelekea

  utajiri wa taifa kutonufansha watanzania. maneno mengi

  yamesmwa na upinzani umetoa mchango mkubwa katika
 kipindi

  kilichopita kiasi kiitikadi watu wengi kuelewa mchango
 wa

  upinzani. Inatia shaka kuwa upinzani sasa unaelekea api

  kwani baada ya kumpata rais anayeyaangalia yale
 waliyoyaibua

  wanaanza na kupingana nayo. Mtu unatia shaka kama ni
 wao

  walikuwa wanayaibua aau ni wale waliohama aukujitoa?
 Hili

  nalo sio tusi.



  --------------------------------------------



  On Wed, 5/18/16, Ezekiel

  Massanja <ezekielmassanja@gmail.com>

  wrote:







   Subject: Re: [wanabidii] WABUNGE WETU HAWA WANA BONGO

  NGAPI KICHWANI?



   To: "wanabidii@googlegroups.com"

  <wanabidii@googlegroups.com>



   Cc: "mabadilikotanzania" <mabadilikotanzania@googlegroups.com>,

  Wanazuoni@yahoogroups.com



   Date: Wednesday, May 18, 2016, 9:20 AM















   Kaka,



   umejieleza kweli kweli, lakini umeishia kutukana na

  kujikita



   kwenye itikadi. Wabunge wa upinzani wanaibua hoja, na

  ndiyo



   kazi yao. Ni jukumu la upande wa serikali kujibu hoja

  na



   kufanya marekebisho yanayohitajika au kuweka msimamo.



   kinachoendelea sasa huko bungeni ni kwamba Bunge

  limeungana



   na serikali kuhakikisha mambo yanapita. Hiyo

  inawezekana



   kutokana na wingi walio nao, lakini si afya kwa
 taifa.



   Ingekuwa bora kama hoja nzito zinazoibuliwa na
 upinzani



   zingepata majibu badala ya kuzimwa na kutupiliwa
 mbali

  kama



   vile zimetolewa na watu kuoka nchi za nje.
 Kinachotokea

  ni



   kwamba msimamo sahihi ni ule wa serikali na wabunge
 wa

  CCM,



   msimamo usio sahihi ni wowote ule unaotokea upande wa



   upinzani, sidhani kama hiyo ndiyo democrasia ya vyama

  vingi



   tuliyoikubali.



   Hata



   maandishi yako yanafikia kutukana, ukiona hivyo, huo

  ndio



   ukomo wako wa kufikiria, hii siyo sawa kabisa. Acha

  hoja



   ijibiwe kwa hoja. Hata hayo uliyoyaeleza kwenye
 andiko

  lako



   na ukaishia kutukana mbona yamenyoka tu! Walisema
 bajeti

  ni



   kubwa sana kama caution kwa serikali ijipange vizuri

  kwenye



   makusanyo ya kodi na kuangalia matumizi. Bajeti za
 wizara

  ni



   suala la mtazamo tu kwamba sekta ipi ni muhimu zaidi
 ya



   nyingine na ipi inahitaji ipewe bajeti kubwa kuliko



   nyingine. Sasa wewe ukisikia hivyo



   unatukana. 























   2016-05-17 22:58 GMT+03:00



   'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:











   Siasa si mchezo wa vichekesho. Siasa ni kazi maalum

  yenye



   mchango wake katika maendeleo ya taifa letu kama

  madaktari,



   mabwanashamba, wanajeshi nakadhalika. Tunapokwenda

  kwenye



   uchaguzi tunakuwa tunatafuta watu watakaofanya kazi

  maalum



   kwa maendeleo ya taifa letu.















   Tumechagua wabunge ili waweze kufanya kazi kama
 wabunge

  na



   wawakilishi wa wananchi katika kuisimamia, kuishauri



   serikali.















   Tumeletewa mfumo wa siasa za vyama vingi na kwa kweli

  wakati



   wa awamu iliyopita pale serikali ilipokuwa imelala

  tumeona



   manufaa yake.















   Haya. 2015 tukafanya uchaguzi. Tukampata rais

  anayeyaangalia



   matatizo ya wananchi kwa makusudi ya kuyatatua.



   Tumelitengeneza bunge. Tukaongeza idadi ya wabunge wa

  vyama



   vya upinzani. Tukatarajia kuona nguvu ya upinzani

  ikiisaidia



   serikali hii inayoonekana kuyaangalia matatizo

  yanayogusa



   wananchi.







   Ninaanza kuwa na matatizo na mambo ninayoyaona

  yakiendelea



   bungeni. Kuna wabunge hawaoni ulimwengu unachoona

  kikifanywa



   na serikali. Ndani na nje ya Tanzania kila mwenye
 akili



   kamili anaona serikali ya Magufuli inachokifanya na

  kila



   kona anapongezwa.















   Niongelee moja kama sio mawili: Serikali ilipotangaza

  kuwa



   mwaka ujao wa fedha (2016/17) inatarajia kutumia
 fedha

  za



   kitanzania Trilion 29 kutoka trillion 22 za mwaka

  unaoisha.



   Viongozi wetu walisimama kidete kuikatalia serikali

  kuwa



   haiwezi kuzikusanya fedha hizo kwa hiyo  bajeti hii
 ni



   kiini macho. Binafsi nilielewa wanalolisema japo

  niliielewa



   serikali kuwa kwa juhudi inazoonyesha za kukusanya
 kodi

  na



   kubana matumizi inaweza kuzifikisha. Kilichonitisha
 ni

  pale



   wakati wabunge hao hao wakijadili bajeti za wizara

  wanaibuka



   na kutaka budget za wizara zisipitishwe kwa sababu

  wizara



   zimetengewa fedha kidogo. Nashindwa kuwaelewa

  wawakilishi



   wetu. Wanapendekeza wizara ziongeze fedha (kwa kuwa



   hazitoshi) ambazo zinatokana na budget wanayotaka

  ipunguzwe



   (kwa kuwa haziwezi kupatikana). Kuna bongo ngapi

  vichwani



   mwao? Sielewi. Lakini mbunge mwingine ambaye

  anaheshimika



   sana anasema wabunge watamkumbuka JK. Watamkumbuka
 kwa



   sababu hakuwahi kuwazuia kumsema. Kazi ya bunge ni

  kumsema



   rais au kuisaidia serikali? Mbunge huyo anasema hivyo

  kwa



   sababu bunge limemzuia kumbambikiza Magufuli ujinga

  kuwa



   aliuza nyumba za serikali. Wabunge hawajui kuwa

  Magufuli



   hakuwahi kuuza nyumba hizo bali serikali iliuza
 nyumba

  zake



   kwa uamuzi wake na Waziri (Magufuli) akatekeleza
 uamuzi

  wa



   serikali. Anaambiwa aondoe neon magufuli na aweke
 neon



   Serikali nanasema hawezi kusoma maoni ya kambi ya

  upinzani.



   Upumbavu huu naulinganisha na ule ambao watu wazima



   walifafanuliwa zaidi ya mara nyingi kuwa Dr. Slaa

  alisema



   ataanzisha mchakato wa katiba ndani ya siku 100. Wao



   wakaendelea kusema alisema atalipatia katiba Taifa
 ndani

  ya



   siku 100. Nauita upumbavu kwa sababu hawakuelewa
 kabisa



   licha ya kufafanuliwa. Ni huo ambao watu
 wanalinganisha



   uuzaji wa nyumba na kashfa ya Richmond.















   Wabunge wanaotaka mijadala ambayo inaisha baada ya



   kujadiliwa wataua upinzani. Tunatarajia wajadili
 mambo



   yatakayoleta matunda baada ya kujadiliwa. Kutaka

  kujadili



   nyumba zilizouzwa na serikali kunatarajia kuleta
 faida

  gani



   baada ya mjadala.







   Mtu mmoja ameniuliza kuwa sababu ilizotoa serikali



   kutoonyesha mijadala ya bunge live ni sahihi?
 Nikamjibu

  kuwa



   sio sahihi. Sababu ni kuwa serikali ilitaka
 kuliondolea



   taifa aibu kutokana na mijadala kamahi kama ambavyo

  watu



   fulani huwaficha watoto walemavu ili kuficha aibu za



   familia. Kuna wabunge ni aaibu kuonekana live.















   Elisa















    --















    Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















     















    Kujiondoa Tuma Email kwenda















    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



   Utapata Email ya







    kudhibitisha ukishatuma















     















    Disclaimer:















    Everyone posting to this Forum bears the sole



   responsibility







    for any legal consequences of his or her postings,

  and



   hence







    statements and facts must be presented responsibly.



   Your







    continued membership signifies that you agree to
 this







    disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.















    ---















    You received this message because you are
 subscribed

  to



   the







    Google Groups "Wanabidii" group.















    To unsubscribe from this group and stop receiving



   emails







    from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.















    For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.















   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma















   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.











































   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





















  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.










 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.




--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment