Jamani hii safi sana.Nashukuru sana sana kwa taasisi hii.Mimi hapa
nina NGO inayojulikana kama Africa Upendo Group ambayo inashughulika
na jamii katika kuondoa umaskini na kutunza mazingira.
Nimehangaika sana na watoto wa kike ambao wamefaulu vizuri lakini
hawana jinsi ya kusoma kutiokana na shule kuwa mbali na kukaa Day na
kupata mimba kwa watoto wa kike kwa wingi na hata kuacha shule.
Nimepata changamoto Mwaka huu wa mabint nne.Mmoja baba yake amefariki
anaitwa Ruth Joel baba yake amejinyonga na mama yake yuko magerezani
kwani haijulikani ni kwa vipi baba amefariki.Huyu bint alifariki hana
pa kukaa na hana mtu wa kumwangalia.
Hivi sasa anasoma shule ya kulipia ya Shighatini Sec School kwa
kusaidiwa saidiwa na wadau baada ya kupiga sana kelele.Nawaomba sana
msaada kwani hana mfadhili na anahuzuni isiyo kifani kwani alipofaulu
alikuwa na furaha sana ya kusoma lakini ghafla akapatwa na majonzi
haya makubwa.
Nahangaika sana kwani NGO yetu haina mfadhili.
Pia kuna wasichana wawili Aisha na Amina walifaulu kwenda Asha Rose
Migiro lakini wazazi wakakosa ada ya Hostel
Wanasoma Kilobeni wanakaa Day na kwao ni Mbali sana na shule kutembea
kila siku kilometa kadhaa tayari ni shida pia vishawishi na wanapenda
shule sema ni mbali na wamekata tamaa.
Jamani pia kuna bint ambaye mlemavu wa akili i alichangiwa sana na
wadau kwani wazazi wake nao ni watu ambao wana pia nao ni walemavu wa
akili.Tulimpeleka kule Arusha Patandi lakini sasa tumekosa ada ya
zaidi ya laki sita. Na tumeandika barua kuomba msaada kupitia
Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Mwanga tangia mwezi wa kwanza
hadi sasa hakuna majibu na yule mtoto alikuwa anaishi kwenye kibanda
cha kufugia kuku sasa ni shida sana.
Naomba Dr.Mheshimiwa Kigwangala kutuangalia sisi kama NGO kuna
walemavu wengi na tumetoa taarifa lakini hakuna hatua kabisa
inayochukuliwa pia hawa watoto wenye mateso na wengi wameachishwa
shule wengine wamebakwa wengine wamepata mimba za utotoni na tunatoa
taarifa sijui anawezaje kutusaidia au akaagiza cha kufanya kwani kwa
mwaka jana tu kulikuwa na matukio mabaya zaidi ya sita na
tumeyafuatilia tuchoka.
Kama naibu waziri anawezaje kusaidia hawa mabint ambao wanatakiwa tu
kukaa Hostel na kinachotakiwa kwa kila mmoja ni sh 320,000 wapo
watatu.Na huyu ambaye ni mlemavu wa akili anatakiwa laki tano na
sitini(560,000) ili akae shuleni pale Patandi.Hawa wote ni
wasichana.Pia naomba wadau mbalimbali watusaidie ili tuwasaidie
wasichana ambao katika Wilaya yetu ya Mwanga karibu shule za kata
wanafunzi wanakaa wengi hostel kama unaweza kutoa hela ya hostel na
shule hizi ziko mbali sana na vijiji wanapotoka wanafunzi wanatembea
kilomita nyingi sana na mwishoni wanatoka na zero kwani kutwa ni
kutembea na kuchoka.
wazazi hawana uwezo wa kuchangia kukaa hostel na wengi wa wanafunzi
wanaghilibiwa kwa vijana wa bodaboda na kupata ujauzito.
tupo wilaya ya Mwanga kata ya Shighatini.Ukihitaji kuwasaidia watoto
hawa naomba tuwasiliane nikupe account ya shule au ya asasi au namba
yangu ili tusaidie hiki kizazi.kwani tunatoa hela nyingi sana kwenye
Harusi na mfano wa hayo je hatuwezi kuchangia Elimu kwani hawa mabint
wana uwezo mkubwa kielimu lakini hali za wazazi wao ni nzito
www.envaya.org/aug +255-629-142-674 kwa mawasiliano
On 5/3/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com> wrote:
> Habari za jioni,
>
> Tafadhali pokea CODES hapa chini
>
>
> <img class=" wp-image-14883 aligncenter" src="
> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/a32603a8-b5b0-41d7-8533-7baf03333277-2.jpg"
> alt="a32603a8-b5b0-41d7-8533-7baf03333277" width="633" height="406" />
> <p style="text-align: center;"><span style="color:
> #000080;"><em><strong>Mwanzilishi wa Taasisi ya
> </strong></em><strong><em>Misaada ya Kijamii</em></strong><em><strong> ya
> Hamisi Kigwangalla, Naibu Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na
> Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akiwa katika picha moja na Getrude Clement
> ambaye atalipiwa ada ya kidato cha tano na cha
> sita.</strong></em></span></p>
> <p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Kwa
> kutambua umuhimu wa elimu kwa kizazi cha miaka ijayo, Taasisi ya Misaada ya
> Kijamii ya Hamisi Kigwangalla iliyoanzishwa na Naibu Waziri wa Afya, Ustawi
> wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla imejitolea
> kumlipia ada Getrude Clement kwa masomo yake ya kidato cha tano na
> sita.</span></strong></p>
> <p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Uamuzi
> huo wa kumsomesha Getrude umekuja baada ya leo kukaribishwa kuongea kwenye
> kikao cha wabunge watetezi wwa haki za watoto ambapo Getrude alipata nafasi
> ya kutoa historia yakee ambayo iliwatoa baadhi ya wabunge
> machozi.</span></strong></p>
> <p style="text-align: center;"><strong><span style="color:
> #000000;">Getrude aliwaeleza wabunge historia yake na hali yake ya kimaisha
> na kusema kuwa baba yake ni kinyozi na mama yake anafanya biashara ndogo
> ndogo za nyanya na vitunguu lakini bado amekuwa akijtuma katika masomo yake
> ambapo kwa sasa yupo kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Mnarani,
> Mwanza.</span></strong></p>
> <p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Baada
> ya kusema hivyo ndipo Dkt. Kigwangalla aliamua kujitoa kumsaidia mtoto huyo
> ili aweze kujiendeleza zaidi kielimu na kufikia malengo yake na zaidi
> akiahidi kumsomesha katika shule za kisasa ili apate elimu bora
> zaidi.</span></strong></p>
> <p style="text-align: center;"></p>
> <p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-14879 aligncenter"
> src="
> http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/05/ce18d8f2-cd50-4b46-8193-3351745537ac.jpg"
> alt="ce18d8f2-cd50-4b46-8193-3351745537ac" width="629" height="629" /></p>
> <p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Kwa
> kuthamini kipaji chake na mchango wake na kutambua nafasi yangu kama Naibu
> Waziri kwenye Wizara inayosimamia mambo ya Watoto na kama mbunge na mzazi
> wa mabinti, lakini zaidi kama mtu kutoka kwenye background ya maisha ya
> chini na ninayethamini mchango wa elimu kwenye maisha yangu, nimeamua
> kujitolea kumsomesha kidato cha tano na cha sita kwenye shule za
> kisasa,</strong></span></p>
> <p style="text-align: center;"><span style="color:
> #000000;"><strong>"Taasisi yangu ya misaada ya kijamii ya Hamisi
> Kigwangalla Development Foundation itamlipia ada za masomo yake ya high
> school," alisema Dkt. Kigwangalla.</strong></span></p>
> <p style="text-align: center;"><span style="color:
> #000000;"><strong>Getrude Clement ambaye ana miaka 16 amepata nafasi hiyo
> ya kipekee baada ya kupata nafasi ya kutoa hotuba kwa niaba ya watoto na
> vijana wengine duniani katika mkutano wa Umoja wa Mataifa ambapo
> alikaribishwa na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon na kusifiwa
> na watu mbalimbali duniani kutokana na hotuba yake
> nzuri.</strong></span></p>
>
>
>
>
> KAWAIDA
>
> [image: a32603a8-b5b0-41d7-8533-7baf03333277]
>
> *Mwanzilishi wa Taasisi ya **Misaada ya Kijamii** ya Hamisi Kigwangalla,
> Naibu Waziri wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
> Kigwangalla akiwa katika picha moja na Getrude Clement ambaye atalipiwa ada
> ya kidato cha tano na cha sita.*
>
> *Kwa kutambua umuhimu wa elimu kwa kizazi cha miaka ijayo, Taasisi
> ya Misaada ya Kijamii ya Hamisi Kigwangalla iliyoanzishwa na Naibu Waziri
> wa Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla
> imejitolea kumlipia ada Getrude Clement kwa masomo yake ya kidato cha tano
> na sita.*
>
> *Uamuzi huo wa kumsomesha Getrude umekuja baada ya leo kukaribishwa kuongea
> kwenye kikao cha wabunge watetezi wwa haki za watoto ambapo Getrude alipata
> nafasi ya kutoa historia yakee ambayo iliwatoa baadhi ya wabunge machozi.*
>
> *Getrude aliwaeleza wabunge historia yake na hali yake ya kimaisha na
> kusema kuwa baba yake ni kinyozi na mama yake anafanya biashara ndogo
> ndogo za nyanya na vitunguu lakini bado amekuwa akijtuma katika masomo yake
> ambapo kwa sasa yupo kidato cha tatu katika Shule ya Sekondari Mnarani,
> Mwanza.*
>
> *Baada ya kusema hivyo ndipo Dkt. Kigwangalla aliamua kujitoa kumsaidia
> mtoto huyo ili aweze kujiendeleza zaidi kielimu na kufikia malengo yake na
> zaidi akiahidi kumsomesha katika shule za kisasa ili apate elimu bora
> zaidi.*
>
> [image: ce18d8f2-cd50-4b46-8193-3351745537ac]
>
> *"Kwa kuthamini kipaji chake na mchango wake na kutambua nafasi yangu kama
> Naibu Waziri kwenye Wizara inayosimamia mambo ya Watoto na kama mbunge na
> mzazi wa mabinti, lakini zaidi kama mtu kutoka kwenye background ya maisha
> ya chini na ninayethamini mchango wa elimu kwenye maisha yangu, nimeamua
> kujitolea kumsomesha kidato cha tano na cha sita kwenye shule za kisasa,*
>
> *"Taasisi yangu ya misaada ya kijamii ya Hamisi Kigwangalla Development
> Foundation itamlipia ada za masomo yake ya high school," alisema Dkt.
> Kigwangalla.*
>
> *Getrude Clement ambaye ana miaka 16 amepata nafasi hiyo ya kipekee baada
> ya kupata nafasi ya kutoa hotuba kwa niaba ya watoto na vijana wengine
> duniani katika mkutano wa Umoja wa Mataifa ambapo alikaribishwa na Katibu
> Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Ban Ki Moon na kusifiwa na watu mbalimbali
> duniani kutokana na hotuba yake nzuri.*
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
--
"In accepting the trusteeship of our wildlife we solemnly declare that
we will do everything in our power to make sure that our children's
grand-children will be able to enjoy this rich and precious
inheritance."- Dr. Julius K. Nyerere
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment