Yona na wengine,
Kama alivyosema Nico, January kama raia w anchi hii anaweza kugombea uras hivyo huenda naye anautaka. Na hadi afikie maamuzi au mawazo hayo, lazima kuna vitu kadhaa ametizama yeye kama mtu binafsi na wale ambao huenda wanamshauri na kuona anaweza kujitosa. Ila natofautiana na mawazo ya Nico na Ngulupa katika hoja kuu ya email yako.- Kwanza, limewafanya watu wengi sana wenye nia njema na mawazo mazuri kabisa ambayo huenda yangebadili hali iliyoko, kuogopa sana kuingia kwenye siasa au uongozi wa ushindani, wakiogopa kuambiwa waoneshe hizo sifa na wasiwe nazo au zisiwe dhahiri kama ilivyotegemewa. Imewafanya wale waliotangulia hata kama ni kwa kubebwa ndio wabaki kwenye mfumo kwa sababu tu wao wanajulika
- Pili, limezuia mawazo mapya na changamoto mpya ambazo ni mzingi sana katika kuleta mabadiliko ya kweli
- Tayu, limefanya uongozi uwe wa kujuana zaidi na wanaojulikana ndio wanaobaki kwenye uongozi hata bula tija
- Nne, tumebaki kukumbatia wazee au majina fulani kwa miaka nenda rudi huku tukiwa na malalamiko na maumivu yaleyale
- Tano, imechangia sana kujenga taifa la watu waoga kuleta mabadiliko...waoga kufanya kitu cha tofauti na mazoea yetu. Sio tu vijana kama akina Makamba na wengine wanaogopwa kupewa nafasi kwenye vyama vyao kwa kuwa eti hawana uzoefu, bali hili limechangia sana hata katika kuogopa kukubali vyama pinzani kuwa vinaweza kubadilisha hali iliyoko...huku tukilemewa na msemo wa zimwi likujualo halikukuli likakwishwa (sikumbuki vema maneno halisi)
Nirudie tu kusema kuwa, tuna vigezo vingi vingine vya msingi ambavyo twaweza kuvitumia kuhukumu aina ya watu wanaotaka kutuongoza zaidi ya uzoefu, umri, na mafanikio ambayo mwombaji keshayapa kabla ya nafasi anayoitaka sasa.
Nitarudi nikipata upenyo
MM
2014-02-22 18:21 GMT+03:00 Nico Eatlawe <eatlawe@yahoo.com>:
Yona na wengine,Kugombea nafasi yoyote ni haki ya kikatiba ya kila Mtanzania maadam anavyo vigezo vinavyotakiwa. Kwa msingi huo, mimi sioni tatizo kwa Makamba kugombea urais. Wasi wasi wangu tu kuwa anaweza kuwa anatamani ikulu kwa vile alikuwa karibu na JK bila kujua ugumu wa hiyo nafasi yaani kuongoza zaidi ya milioni 43. Inahitaji uzoevu na ukomavu wa namna fulani mtu kuongoza. Siyo kuwa na digrii au kuwa mbunge inamtosheleza mtu kugombea urais maana siyo kila anayepata ubunge ni kiongozi kweli maana tunaona wengi ni wafuasi tu wala hawana ushawishi wala ajenda yoyote zaidi ya maslahi yao binafsi.Pengine tuangalie kazi yake hadi leo. Ana ushawishi gani? Ameleta kipya gani? Tunaona vijana akina Zitto wakijaribu kufanya vitu hata kama wanaonekana wana udhaifu. Udhaifu ni ubinadamu ila kazi anafanya. Kwa upande wa CCM mimi sijaona kijana mwenye ushawishi na maono ukiacha wazee wenye uzoevu.
On Saturday, 22 February 2014, 12:20, Yona Fares Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
--Ndugu zangu ,Huyu kijana mwenzetu ameonyesha nia ya Kuutaka urais wa Tanzania , kuthibitisha hilo amehojiwa na kamati kuu ya CCM na akapewa adhabu ya miezi 12 .Je kuna lolote la kujadili kuhusu Mhe January Makamba ? Au tumwache tu kwa sababu hatumjui na hatutaki kumjua zaidi ?
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment