Tuesday, 25 February 2014

Re: [wanabidii] MARERUHI WA MLIPUKO ZANZIBAR AFARIKI DUNIA

Kamishina wa polisi Zanzibar hamdan Omar makame amesema kwamba mabomu  ya jana ni ya kutengeneza kienyeji na kwamba hayana mnasaba na itikadi za dini wala siasa.
Alisema akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya polisi Ziwani Zanzibar alisema kwamba  polisi inaendelea na uchunguzi wa kadhia hiyo wakisaidiana na makachero kutoka Dar.
Pamoja na kusema  kuhusu uhalifu huo majeruhi mmoja kati ya wane amefariki .aliyefariki ni fundi vyuma Juma abdallah ambaye ndiye aliyejaribu chuma kinachoaminika kuwa mabaki  ya bomu la JWTZ la kwenye mazoezi.
Jana kumetokea milipuko mitatu ya mabomu, mbele ya kanisa la mkunazini na mgahawa wa mercury na unguja ukuu.
Fundi hiyo aliyekufa alikuwa akifua chuma kwa ajili ya kutengeneza nanga.

On Monday, February 24, 2014 11:15:48 PM UTC+3, ChingaOne wrote:
Ni hahabri zenye uhakika na nimesikia BBC hebu someni zaidi hapa http://www.chingaone.com/2014/02/milipuko-yarindima-zanzibar.html

Jennifer Livigha
Team Leader 
0712221744, 0787221744, 0754798920


On Mon, Feb 24, 2014 at 4:10 PM, <gm2...@gmail.com> wrote:

+ wahanga?
+ Impact?


Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: John George <george...@gmail.com>
Date: Mon, 24 Feb 2014 16:09:19 +0300
Subject: Re: [wanabidii] MILIPUKO YATIKISA KANISA NA HOTELI YA KITALII ZANZIBAR

Hotel ipi zipo nyingi sana huko Forodhani


On Mon, Feb 24, 2014 at 3:44 PM, Fakhi Karume <fka...@gmail.com> wrote:
Hoteli ya kitalii iliyopo forodhani na kwenye kanisa la anglikana mkunazini .


On Monday, February 24, 2014 4:38:59 AM UTC-8, Kilasara Fratern Kilawe wrote:
Aliye toa mada hii hayuko makini. Tunaomba taarifa zaidi. Mlipuko umetokea Zanzibar wapi, maana Z'bar kubwa, na sehemu gani? Hoteli na Kanisa gani yamehusishwa?


On Mon, Feb 24, 2014 at 3:34 PM, <gm2...@gmail.com> wrote:

Majanga


Majeruhi au vifo vimetokea?

Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: Fakhi Karume <fka...@gmail.com>
Date: Mon, 24 Feb 2014 04:14:59 -0800
Subject: [wanabidii] MILIPUKO YATIKISA KANISA NA HOTELI YA KITALII ZANZIBAR

Kuna milipuko imetokea Zanzibar, moja katika hoteli ya Kitalii na Mwingine Kanisani

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
-----------------------
Fratern Kilasara
,

P. O. Box - (Home): 62810; or (Office): 65300
Dar es Salaam - Tanzania.
Telephone (Office): +255 (0)22 2700021/4 Ext No. 239; Fax: +255 (0)22 2775591
Mobile (Personal): +255 (0)715 40 41 53 or +255 (0)754 40 41 53
Emails: kilasara...@gmail.com or kilasara...@yahoo.com

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

0 comments:

Post a Comment