Kamishina wa polisi Zanzibar hamdan Omar makame amesema kwamba mabomu ya jana ni ya kutengeneza kienyeji na kwamba hayana mnasaba na itikadi za dini wala siasa.
Alisema akizungumza na waandishi wa habari makao makuu ya polisi Ziwani Zanzibar alisema kwamba polisi inaendelea na uchunguzi wa kadhia hiyo wakisaidiana na makachero kutoka Dar.
Pamoja na kusema kuhusu uhalifu huo majeruhi mmoja kati ya wane amefariki .aliyefariki ni fundi vyuma Juma abdallah ambaye ndiye aliyejaribu chuma kinachoaminika kuwa mabaki ya bomu la JWTZ la kwenye mazoezi.
Jana kumetokea milipuko mitatu ya mabomu, mbele ya kanisa la mkunazini na mgahawa wa mercury na unguja ukuu.
Fundi hiyo aliyekufa alikuwa akifua chuma kwa ajili ya kutengeneza nanga.
On Monday, February 24, 2014 11:15:48 PM UTC+3, ChingaOne wrote:
Ni hahabri zenye uhakika na nimesikia BBC hebu someni zaidi hapa http://www.chingaone.com/2014/02/milipuko-yarindima- zanzibar.html On Mon, Feb 24, 2014 at 4:10 PM, <gm2...@gmail.com> wrote:
+ wahanga?
+ Impact?Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania NetworkFrom: John George <george...@gmail.com>Sender: wana...@googlegroups.comDate: Mon, 24 Feb 2014 16:09:19 +0300To: <wana...@googlegroups.com>ReplyTo: wana...@googlegroups.comSubject: Re: [wanabidii] MILIPUKO YATIKISA KANISA NA HOTELI YA KITALII ZANZIBARHotel ipi zipo nyingi sana huko Forodhani--On Mon, Feb 24, 2014 at 3:44 PM, Fakhi Karume <fka...@gmail.com> wrote:
Hoteli ya kitalii iliyopo forodhani na kwenye kanisa la anglikana mkunazini .
On Monday, February 24, 2014 4:38:59 AM UTC-8, Kilasara Fratern Kilawe wrote:Aliye toa mada hii hayuko makini. Tunaomba taarifa zaidi. Mlipuko umetokea Zanzibar wapi, maana Z'bar kubwa, na sehemu gani? Hoteli na Kanisa gani yamehusishwa?
On Mon, Feb 24, 2014 at 3:34 PM, <gm2...@gmail.com> wrote:--
Majanga
Majeruhi au vifo vimetokea?Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania NetworkFrom: Fakhi Karume <fka...@gmail.com>Sender: wana...@googlegroups.comDate: Mon, 24 Feb 2014 04:14:59 -0800To: wanabidii<wana...@googlegroups.com >ReplyTo: wana...@googlegroups.com--Subject: [wanabidii] MILIPUKO YATIKISA KANISA NA HOTELI YA KITALII ZANZIBARKuna milipuko imetokea Zanzibar, moja katika hoteli ya Kitalii na Mwingine Kanisani
Send Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatumaTo unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group..
Send Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatumaTo unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group..
--
-----------------------
Fratern Kilasara,
P. O. Box - (Home): 62810; or (Office): 65300Emails: kilasara...@gmail.com or kilasara...@yahoo.com
Dar es Salaam - Tanzania.
Telephone (Office): +255 (0)22 2700021/4 Ext No. 239; Fax: +255 (0)22 2775591
Mobile (Personal): +255 (0)715 40 41 53 or +255 (0)754 40 41 53
--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com .
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out .
Send Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com .
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out .
--
Send Emails to wana...@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+...@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+...@googlegroups.com .
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out .
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment