Mheshimiwa Mwema Felix, asante sana kwa uchambuzi huu. Hii inaonyesha wazi usanii wa hali ya Juu. Jamani siasa kwenye Elimu haiwezekani. Ni sawa na chuo cha Manesi siku hizi wanasoma miaka 2 tu na mengi ni theory. Hapa si tunajitakia majanga. Watanzania tujiandae kufa kwa mfumu huu wa Elimu. Tutapata waalimu Fake, Madaktari Fake, Wauguzi Fake, Mainjinia Fake. Ok Tunajichimbia kaburi!
On Sunday, February 23, 2014 2:18 PM, Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com> wrote:
TWENDE PAMOJA KATIKA UCHUNGUZI HUU,,!!!
NI KIGEZO GANI CHA KUTOFAUTISHA MATOKEO HAYA YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE KIMETUMIKA???
Kinachonishangaza sana na kunisikitisha ni hiki hapa.
Kuna wanafunzi wana-alama (points) 42 wamepewa Div.0, na kuna wanafunzi wanapointi 46 wamepewa Div. IV,
Kuna waliopata points 43 wamepewa Div.IV, na wengine wamepata points 43 wamepewa Div. 0
hii sio kawaida ni zaidi ya uchakachuaji.
UCHAMBUZI KWA KIFUPI HUU HAPA,,!! Kuwa makini uone utofauti au usawa wa points ila utofauti wa ufaulu.
Na kwanini mabadiliko haya yaje, kwa manufaa ya nani baada ya Bunge kukataa upuuzi huu???
SHULE YA SEKONDARI WIGAMBA YA MBEYA MJINI- ENEO LA ISANGA- MFANO WA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE
No. ya Mtahiniwa, Points. Division
S3133/0088 45 IV
S3133/0082 45 0
S3133/0092 42----------------- 0
S3133/0095 43----------------- 0
S3133/0099 44-----------------0
S3133/0100 42------------------IV
S3133/0101 43------------------IV
S3133/0103 44------------------IV
SHULE NYINGINE YA JINA LA MH. NCHIMBI
-------------------------------------------------------------------------------------------------
DR. NCHIMBI SEC. SCHOOL
S1877/0001 43--------------------IV
S1877/0003 43-------------------IV
S1877/0006 46-------------------IV
S1877/0007 46-------------------IV
S1877/0028 44------------------IV
S1877/0037 45------------------0
Ndugu Watanzania wenzangu, mimi naona haya ni maafa kuliko UKIMWI, NA TSUNAMI ukilinganisha na anguko hili.
Tujiulize, na tutafakari kwa ufasaha kisha tutumie busara kusaidia Taifa letu kwani linatufia kutokana na kuwafumbia macho mafisadi wakichakachua matokeo ya uchaguzi, hadi matokeo ya elimu za ndugu zetu ambao sasa wengine wanajichoma visu, na hata kujitia vitanzi kutokana na mafisadi wachache wanaotesa Taifa letu.
MASWALI,,??
Ni kigezo kipi kimetumika kuchukua mfumo huu wa kupanga matokeo??
Mfumo huu umekuwa bora wapi, na katika nchi ipi iliyoendelea??
Je, utafiti gani ulifanyika ukaridhisha kuwa mtindo huu wa kupanga matokeo utakuwa na tija kwa taifa kuliko uliokuwepo awali?
Kama utafiti ulifanywa, nani alifanya na matokeo yake yaliripotiwa kwa nani?
Je, bunge la Jamhuri lilihusishwa na kuidhinisha utaratibu huu??
CCM INATUMALIZA KABISA, KABISA,,,!!! MUNGU ATUSAIDIE ILA NI MUHIMU SANA SOTE TUSHIRIKI KULETA MABADILIKO NCHINI PETU.
------------------------------------------------------------------------------------------------------
ONA MATOKEO YA WANAFUNZI HAO NILIOWATOLEA MFANO KWA UNDANI UKIFUATA NAMBA ZAO UONE UFAULU WA KILA MMOJA NA POINTS WALIZOPEWA NA UTOFAUTI MA MADARAJA WALIYOPEWA.
Ukitaka kujiridhisha zaidi ingia kwenye tovuti ya NECTA uhakikishe ninachokisema hapa kisha tusaidiane kudai haki.
.................................................................................................................................
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S1877 DR. NCHIMBI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 4 DIV-III = 19 DIV-IV = 50 DIV-0 = 77
CNO SEX AGGT DIV DETAILED SUBJECTS
S1877/0001 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S1877/0002 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0003 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0004 F 28 III CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S1877/0005 F 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'B' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F' COMM - 'F' B/KEEPING - 'E'
S1877/0006 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0007 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0008 F 24 II CIV - 'C' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S1877/0009 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0010 F 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0011 F 47 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - '
S1877/0028 F 44 IV CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0037 F 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
--------------------------------------------------------------------------------------------------
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S3133 WIGAMBA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 1 DIV-II = 10 DIV-III = 14 DIV-IV = 57 DIV-0 = 34
S3133/0082 M 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0083 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0084 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S3133/0085 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0086 M 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S3133/0087 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0088 M 45 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0089 M 40 IV CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'E'
S3133/0090 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S3133/0091 M 34 IV CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S3133/0092 M 42 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0093 M 39 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0094 M 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0095 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0096 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0097 M 26 III CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'B'
S3133/0098 M 32 IV CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'C'
S3133/0099 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0100 M 42 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0101 M 43 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0102 M 37 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S3133/0103 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0104 M 39 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
NI KIGEZO GANI CHA KUTOFAUTISHA MATOKEO HAYA YA WANAFUNZI WA KIDATO CHA NNE KIMETUMIKA???
Kinachonishangaza sana na kunisikitisha ni hiki hapa.
Kuna wanafunzi wana-alama (points) 42 wamepewa Div.0, na kuna wanafunzi wanapointi 46 wamepewa Div. IV,
Kuna waliopata points 43 wamepewa Div.IV, na wengine wamepata points 43 wamepewa Div. 0
hii sio kawaida ni zaidi ya uchakachuaji.
UCHAMBUZI KWA KIFUPI HUU HAPA,,!! Kuwa makini uone utofauti au usawa wa points ila utofauti wa ufaulu.
Na kwanini mabadiliko haya yaje, kwa manufaa ya nani baada ya Bunge kukataa upuuzi huu???
SHULE YA SEKONDARI WIGAMBA YA MBEYA MJINI- ENEO LA ISANGA- MFANO WA MATOKEO YA KIDATO CHA NNE
No. ya Mtahiniwa, Points. Division
S3133/0088 45 IV
S3133/0082 45 0
S3133/0092 42----------------- 0
S3133/0095 43----------------- 0
S3133/0099 44-----------------0
S3133/0100 42------------------IV
S3133/0101 43------------------IV
S3133/0103 44------------------IV
SHULE NYINGINE YA JINA LA MH. NCHIMBI
-------------------------------------------------------------------------------------------------
DR. NCHIMBI SEC. SCHOOL
S1877/0001 43--------------------IV
S1877/0003 43-------------------IV
S1877/0006 46-------------------IV
S1877/0007 46-------------------IV
S1877/0028 44------------------IV
S1877/0037 45------------------0
Ndugu Watanzania wenzangu, mimi naona haya ni maafa kuliko UKIMWI, NA TSUNAMI ukilinganisha na anguko hili.
Tujiulize, na tutafakari kwa ufasaha kisha tutumie busara kusaidia Taifa letu kwani linatufia kutokana na kuwafumbia macho mafisadi wakichakachua matokeo ya uchaguzi, hadi matokeo ya elimu za ndugu zetu ambao sasa wengine wanajichoma visu, na hata kujitia vitanzi kutokana na mafisadi wachache wanaotesa Taifa letu.
MASWALI,,??
Ni kigezo kipi kimetumika kuchukua mfumo huu wa kupanga matokeo??
Mfumo huu umekuwa bora wapi, na katika nchi ipi iliyoendelea??
Je, utafiti gani ulifanyika ukaridhisha kuwa mtindo huu wa kupanga matokeo utakuwa na tija kwa taifa kuliko uliokuwepo awali?
Kama utafiti ulifanywa, nani alifanya na matokeo yake yaliripotiwa kwa nani?
Je, bunge la Jamhuri lilihusishwa na kuidhinisha utaratibu huu??
CCM INATUMALIZA KABISA, KABISA,,,!!! MUNGU ATUSAIDIE ILA NI MUHIMU SANA SOTE TUSHIRIKI KULETA MABADILIKO NCHINI PETU.
------------------------------------------------------------------------------------------------------
ONA MATOKEO YA WANAFUNZI HAO NILIOWATOLEA MFANO KWA UNDANI UKIFUATA NAMBA ZAO UONE UFAULU WA KILA MMOJA NA POINTS WALIZOPEWA NA UTOFAUTI MA MADARAJA WALIYOPEWA.
Ukitaka kujiridhisha zaidi ingia kwenye tovuti ya NECTA uhakikishe ninachokisema hapa kisha tusaidiane kudai haki.
.................................................................................................................................
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S1877 DR. NCHIMBI SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 0 DIV-II = 4 DIV-III = 19 DIV-IV = 50 DIV-0 = 77
CNO SEX AGGT DIV DETAILED SUBJECTS
S1877/0001 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'D' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S1877/0002 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0003 F 43 IV CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0004 F 28 III CIV - 'D' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S1877/0005 F 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'B' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F' COMM - 'F' B/KEEPING - 'E'
S1877/0006 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0007 F 46 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0008 F 24 II CIV - 'C' HIST - 'B' GEO - 'C' KISW - 'B+' ENGL - 'B' CHEM - 'D' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S1877/0009 F 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0010 F 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0011 F 47 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'E' BIO - '
S1877/0028 F 44 IV CIV - 'F' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S1877/0037 F 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
--------------------------------------------------------------------------------------------------
NATIONAL EXAMINATIONS COUNCIL OF TANZANIA
CSEE 2013 EXAMINATION RESULTS
S3133 WIGAMBA SECONDARY SCHOOL
DIV-I = 1 DIV-II = 10 DIV-III = 14 DIV-IV = 57 DIV-0 = 34
S3133/0082 M 45 0 CIV - 'E' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0083 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'E' ENGL - 'E' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0084 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' BIO - 'B' B/MATH - 'E'
S3133/0085 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' PHY - 'F' CHEM - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0086 M 38 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' PHY - 'F' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'F'
S3133/0087 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0088 M 45 IV CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0089 M 40 IV CIV - 'D' HIST - 'F' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'E'
S3133/0090 M 29 III CIV - 'C' HIST - 'C' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'B' PHY - 'D' CHEM - 'D' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S3133/0091 M 34 IV CIV - 'E' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'C' B/MATH - 'E'
S3133/0092 M 42 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0093 M 39 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'C' ENGL - 'D' PHY - 'E' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
S3133/0094 M 48 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'E' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0095 M 43 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0096 M 49 0 CIV - 'F' HIST - 'F' GEO - 'F' KISW - 'F' ENGL - 'F' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0097 M 26 III CIV - 'C' HIST - 'E' GEO - 'C' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'B' CHEM - 'C' BIO - 'C' B/MATH - 'B'
S3133/0098 M 32 IV CIV - 'D' HIST - 'D' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'C' PHY - 'D' CHEM - 'E' BIO - 'E' B/MATH - 'C'
S3133/0099 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0100 M 42 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'E' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0101 M 43 IV CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'C' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0102 M 37 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'C' ENGL - 'D' BIO - 'D' B/MATH - 'F'
S3133/0103 M 44 0 CIV - 'E' HIST - 'E' GEO - 'F' KISW - 'D' ENGL - 'E' BIO - 'F' B/MATH - 'F'
S3133/0104 M 39 IV CIV - 'D' HIST - 'E' GEO - 'D' KISW - 'D' ENGL - 'D' BIO - 'E' B/MATH - 'F'
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment