Ndugu zangu, Msidhani watu kuongezewa vyeo au nyota, ni shauri ya kuwajibika na gwaride, wengi wao huwa ni shauri ya uongo, kama huu kutoka kwa anayezuia maandamano yahusuyo maji. Ama kweli, mwenye shibe, kamwe hamjui mwenye njaa.Natamani maji yakatike kwa mwaka mmoja huko Oysterbay na Masaki, ili hadi matanki yakauke, yakifuatiwa na visima kukauka. Hapo ndo watu wataujua huu wimbo unaoimbwa na wanyonge au waathirika wa maji , ni mtamu kiasi gani!!!. Ni mimi, Judith Anderson Coordinator - Women Fighting AIDS in Tanzania( WOFATA ) --- On Sat, 3/16/13, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:
|
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
0 comments:
Post a Comment